Skip to main content

Full text of "Märchen und erzählungen der Suaheli"

See other formats


Google 


This is a digital copy of a book that was preserved for generations on library shelves before it was carefully scanned by Google as part of a project 
to make the world's books discoverable online. 

It has survived long enough for the copyright to erpire and the book to enter the public domain. A public domain book is one that was never subject 
to copyright or whose legal copyright term has erpired. Whether a book is in the public domain may vary country to country. Public domain books 
are our gateways to the past, representing a wealth of history, culture and knowledge that's often difficult to discover. 

Marks, notations and other marginalia present in the original volume will appear in this file - a reminder of this book's long journey from the 
publisher to a library and finally to you. 


Usage guidelines 


Google is proud to partner with libraries to digitize public domain materials and make them widely accessible. Public domain books belong to the 
public and we are merely their custodians. Nevertheless, this work is erpensive, so in order to keep providing this resource, we have taken steps to 
prevent abuse by commercial parties, including placing technical restrictions on automated guerying. 

We also ask that you: 


4 Make non-commercial use of the files We designed Google Book Search for use by individuals, and we reguest that you use these files for 
personal, non-commercial purposes. 


4 Refrain from automated guerying Do not send automated gueries of any sort to Google's system: If you are conducting research on machine 
translation, optical character recognition or other areas where access to a large amount of test is helpful, please contact us. We encourage the 
use of public domain materials for these purposes and may be able to help. 


4 Maintain attribution The Google “watermark” you see on each file is essential for informing people about this project and helping them find 
additiona| materials through Google Book Search. Please do not remove it. 


4 Keep it legal Whatever your use, remember that you are responsible for ensuring that what you are doing is legal. Do not assume that just 
because we believe a book is in the public domain for users in the United States, that the work is also in the public domain for users in other 
countries. Whether a book is still in copyright varies from country to country, and we can't offer guidance on whether any specific use of 
any specific book is allowed. Please do not assume that a book's appearance in Google Book Search means it can be used in any manner 
anywhere in the world. Copyright infringement liability can be guite severe. 


About Google Book Search 


Google's mission is to organize the world's information and to make it universally accessible and useful. Google Book Search helps readers 
discover the world's books while helping authors and publishers reach new audiences. You can search through the full tert of this book on the web 
alhttp:7/books. google. com/ 


STANFORD 
UNIVERSITY 
LIBRARIES 


LEHRBUCHER 


DES 


SEMINARS 


FUR 


Ua 


SP PRACHEN 


ZI RIENTALISCHE 


ZU BERLIN 


sa 


HERAUSGEGEBEN 


VON DEM DIRECTOR DES SEMINARS 


STUTTGART 4 BERLIN 
W. SPEMANN 


1898 
1909 iibereegangen in den J 
Vorlas von Georg heimer Berlin 


DEM ANDENKEN 


IHRER HOCHSELIGEN MAJESTAT 
DER 


KAISERIN UND KONIGIN AUGUSTA 


KVIJI 


MARCHEN usd ERZAHLUNGEN 


DER 


SUAHELI 


VON 


C. VELTEN 


LEHRER DES SUAHELI AM SEMINAR 


ya YA 


STUTTGART 64 BERLIN 
W. SPEMANN 


1898 
1902 tibergegangen in den 
Verlag von Georg Reimer Berlin 


VII 


Inhalts-Verzeichniss. 


Seite. 
orwort. .........................). KAY 
inleitung . .... 2 ............. KIAKII 
1. mwanamke na paka -.<................ I 
>. paka na panya . , I 
3. nyama wenyi pembe na fisi. 2 
t- kima na chui 2 
;. simba na kibana Wasi . ....... 3 
). sungura nafisi. ....................... 14 
7. fissi . 5 
3. mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini --......... 6 
9. hadithi ya Abu Nuwassi .................. 8 
0. hadithi za Abu Nuwasi ..... 2. .......... 
1. hadithi zingine za Abu Nuwasi -—.2........... 14 
2. hadithi ya Abu Nuwasi. ..................... 318 
(3 hadithi ya Koodini ....................... 338 
4 sutanina Abu Nuwassi........................ 19 
5. Muhemedi na washitaki wake... ................ 21 
>. usishike shaurila mwanamke ................ 25 
. mtoto mtundu lazima kumridi. .... . . .. .. . . . 26 

mwalimu mwenyi'agili................... 2 
mashindana . ............................ 2 
Dijonina Tarafu . ................... .d 27 
mfalme na waziriwake. ....................... 23 
mwiallim mtaowa nashetanizake.............. 29 
Mahomedi. ........................... . 30 
mtoto mwenyikigongo. ....................... . 31 
- maneno matatu. . . . --............ 32 
. bibi mungwana nabibi mtumwa ........... . .. 33 
s Kibwana nakibibi .......................... 3 
8. binti Matari Shemshi ................ . 36 
9. hokumungumu ................... 39 


. 


.vipofuwatatu .............................. 40 


STANFORD 
UNIVERSITY 
LIBRARIES 


KI 

recht zu finden. Es war mir jedoch schliesslich gelungen, mchrere 
recht brauchbare Leute zu gewinnen. Falls ich die Zeit dazu hatte, 
habe ich den Erzihler erst einmal seine Erzihlung hersagen lassen, 
che ich an die Aufzeichnung nach dem Diktat ging. 

Was nun die einzelnen Erzihler anbelangt, die mir mit Aus- 
nahme des Diwani Mamgola bin Diwani Mgola aus Gubiro, der seine 
Erzihlung zu Papier brachte, simmtlich perstnlich bekannt sind, so 
ist Folgendes tiber sie zu bemerken: 

Der intelligenteste unter ihnen ist unstreitig der leider im vorigen 
Jahre verstorbene, auch als Dichter bekannte, Mw'allim Mbaraka aus 
Kondutschi, der als Lehrer in Daressalaam lebte. Ich habe nie einen 
zweiten cebenso unermtidlichen und fleissigen Suaheli kennen gcelernt wie 
diesen. Dre: Jahre lang hat er mir bei meinen sprachlichen Samm- 
lungen gute und treue Dienste geleistet. Seine Erziihlungen zeichnen 
sich durch cin gutes Suaheli und Klarheit des Ausdrucks aus. 

Viele Erzihlungen stammen von Muhemedi bin Madigani aus 
Magogoni her, der woh|l den meisten Deutschen in Daressalaam bekannt 
sein diirfte, da er es nicht versiiumt, jedem Ankommenden bald seine 
Aufwartung zu machen. Er ist ein intelligenter, schwatzhafter junger 
Mann, der stets zu Diensten bereit ist. Auch seine Erzihlungen ktnnen, 
obwohI| dieselben manche sprachliche Eigenthtimlichkeiten aufzuweisen 
haben, zu den besseren zihlen. Besonders interessant war die Art 
seincs Erzihlens. Er gefiel sich sehr hiufig darin, ceincn Passus seiner 
Erzihlung, den er soeben mit cinfachen Worten berichtet hatte, zum 
zweiten und dritten Male, aber immer lcichter und gefalliger und mit 
melodischen Niiancirungen wicederzugeben und war dann jedes Mal 
stolz auf seine Leistung. 

Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi, ein Bruder des 
Mw'allim Mbaraka, ist “agida”) im Bezirk Kondutschi. Auch seine Er- 
zahlungen reihen sich wtirdig an dice seines Bruders an. 

Der verstorbene Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza aus Klein- 
Bagamoyo sowie dessen Bruder Muhemedi bin Diwani Tambaza, ferner 
Mwenvi Gogo aus Kichwele und Merere bin Kawamba Mshale sind 
Suaheli-Leute mittleren Bildungsgrades. Ihre Erzihlungen weisen die 
meisten sprachlichen Eigenthtmlichkeiten aut. 

“Ali bin Rajabu aus Kilossa, ein Halbaraber, wic er sich gerne' 
nennt, ist aus Mbuamadiji gebtirtig, lebt aber scit einer Reihe von Jahren 
als Hiindler in Kilossa. Er hat von Antang an den Deutschen, be- 


”) Unterbeamter des Bezirksamts Daressalaam. 


KI 


sonders den Stationen Kilossa und Ulanga, gegen die Wahehe treuc 
Dienste geleistet. Mit ihm auf gleiche Stufe zu stellen ist S'aid bin 
Bushiri Ilmalindi, “agida von Kilwa Kisiwani. Beide sind auch als 
Dichter unter ihren Landsleuten bekannt. 

“Ali bin Nasur, ein Bruder des bekannten Oberwali Soliman bin 
Nasur, ist Araber und Wali in Pangani. Er gehtrt zu den gebildetsten 
Arabern der Kiiste. Scine Erzihlungen sind in gutem Suaheli 
gegeben. 

“Abdallah bin Musa, “Omar ben Rufa3 und Selim bin Abakari 
sind lange Jahre als Diener bei Deutschen in Diensten und zur Zeit 
alle dreci in Berlin. Bei den Erzihlungen des Selim bin Abakari muss 
jedem Suaheli-Kenner auffallen, dass seine Ausdrucksweise klarer und 
priciser ist, als bei den meisten Suaheli-Leuten seines Bildungsgradses, 
was vermuthlich seiner Kenntniss der deutschen Sprache sowoh!| wie 
seinem Jahre langen Aufenthalte in Deutschland zuzuschreiben ist. 

Jeder Erziihlung habe ich den Namen des Erzihlers beigefigt, 
cinerseits, da die sprachlichen Eigenthimlichkeiten bei denselben Er- 
zihlern immer wiederkehren, andererseits auch damit spitere Sammler 
in Ostafrika wissen, an wen sie sich zu wenden haben. 

Was nun die Anordnung der Sammlung anbelangt, so habe ich 
mich vom sprachlichen Gesichtspunkte leiten lassen, die in leicht ver- 
stiundlichem Suahceli abgefassten Erziihlungen zuerst zu geben und mit 
den schwierigeren zu schlicessen. Es war dices um so mehr geboten, 
da dieselben vorncehmlich als Lehr- und Lesebuch ftir die Suaheli- 
Studirenden am Seminar dienen sollen. 

Inhaltlich haben wir zundichst dic Tierfabel, in der sich haupt- 
sichlich der Hase (sungura), der dic Stelle unseres Reinecke Fuchs 
einnimmt, durch seine Schlauheit anderen Tieren gegentiber sehr iiber- 
legen zeigt. Es folgen die Geschichten des Abu Nuwasi, die auf 
arabische Ouellen zurtickfiihren und zuwellen recht derb sind. Morali- 
sirende Erzihlungen wechseln aldann mit solchen von menschen- 
fressenden Ungeheuern. In cinigen volifiihren menschliche Wcsen, ja 
selbst verkriippelte, die grOssten Thaten, sei es durch eigene Tapferkeit 
oder durch tibernatiirliche Hilfe, wihrend in anderen michtge Sul- | 
tane und Hiuptlinge durch niedere oder schwichliche Personcn aus 
ihrer gebietenden Stellung vcerdrangt werden. 

Bemerkenswert ist, dass die Erzihler zuweilen Ztige augenblick- 
licher Verhiltnisse und Oertlichkeiten, in denen sie sich befinden, 
ihren Erzihlungen beifiugen z. B. akatanyiza paketi kidogo p. 28, Z.1 
(paketi ist sonst im suah. nicht gebriuchlich, aber der Erzihler hatte 
als Laufbursche in einem Eszportgcschift viel mit Paketen zu thun)j; 


KIV 


ikatia nanga merikebu, ikapiga mzinga mmoja p. 78 Mittc (dic Post- 
dampfer ldsen bei Ankunft cinen Kanonenschuss); na huko merikebu 
inangoa nanga, ikapiga peipu (engl. pipe) p. 79, Z. 13 v. u.; na yule 
manamke yakitoa bakhshishi, yakampa pauni kumi (zechn engl. Pfund) 
Pp. 79, Z. 8 v. u.; ikenenda merkebu, ikapiga mizinga 'esherini na moja 
(der Salut fiir den Gouverneur betrigt 21 Schuss) p. 80, Z. 1; akatia 
nanga manowari p. 117, Z. 13 (engl. Kriegsschiff); akenda akaingia 
ndani ya sitima (engl. steamer) p. 117, Z.5 v. u.; kesho napenda 
kwenda Kiungani (Vorort von Zanzibar) p. 136, Z. 11; shurti ukani- 
jengee Maziwe (kleine unbewohnte Insel vor Pangani, der Erziihler 
stammt aus Pangani) p. 139, Z. 3 v. U. 

Die Transscription ist die bis jetzt in den Lchrbiichern des 
Seminars und auch sonst aligemein cingeftihrte englische. Fitr die 
verschiedenen t, th, h, s und z Laute sowie en habe ich jedoch, wie 
ich dics bereits in meiner Abhandlung tiber ,Sitten und Gebriuche 
der Suaheli“ in den Mittheilungen des Seminars Jahrgang 1 Abthig. III 
p. 09—85 gethan habe, genau unterscheidende Merkmale cingcfihrt und 
zwar habe ich die arabische Transscription dabei zu Grunde gelegt. 
Das Transcriptionssystem ist daher folgendes: 


| umschrieben a 42 umschrieben r (Zungen-r) 


| 
| 

wa . b, p ) ” z (weiches s) 
| 


Mi s (scharfes s) 


(CG: 


sh, ch (wie sch 
” und tsch) 


s (emphatisches 


, th(engl.th inthank) | 
| 
| " hartes s) 


> j (wic dj), $ (wic g) | 


d jemphat. engl. 
weichcs th) 


aa ma WA VU 


7 
— 
a Ni h (sehr starkes h) 

| 
<a 


> t (emphatisches 1) 
m kh (wic unser ch) 
th (emphat. cngl. 
| ” weiches th) 
.” ” d c 


(eigentl. Zusam- 
mcnpressen der 
Kehle, im suah. je- 
doch meist er- 
weicht). 


Zz (meist wie 
weiches s) 


Po 


KV 


€ umschrieben gh (Zipfchen r), g Y umschrieben m 

, v J , n 

2 - 4(mphat kW Awa 
| 

>, k > . h 

ha aa 


Fiir den Suaheli-Schtiler, welcher sich nicht mit Arabisch be- 
schiftigt hatte, war es bei der bisherigen Schreibweisc schwierig zu 
wissen, wie cin Wort und besonders Worte arabischen Ursprungs ge- 
schrieben wurden, z. B. talaka; bei dieser Schreibweise weiss der 


Schiiler nicht mit welchem t, ferner ob mit £ oder (9 zu schreiben, 


wihrend er bei talaga sofort das Wort richtig schreiben muss. Ebenso: 
tabia (tabi'a), shetani (shetani), shurti (shurti), sadiki (sadigi), san- 
duku (sandugu), thuru (duru), bithaa (bidaa), fetha (fedda), thanni 
(thanni), athuhuri (athuhuri), asubuhi (asubuhi), kasid (gasid), kissa (gissa), 
asili (asili), maarufu (mafarufu), amali (“amali), maana (ma'ana), ajabu 
(ajabu), riziki (rizigi), kathalika (kazalika), etc. etc. 


Die sprachlichen Eigenthtimlichkeiten dieser Erzihlungen sind 
sehr zahlreich, da die Erzihler aus allen Gegenden der ostafrikanischen 
Kiiste stammen und fast jede Stadt ihre besonderen sprachlichen 
Eigenthimlichkeiten hat. In den Tezten habe ich nirgends Verinde- 
rungen vorgenommen, sondcern alles so wiedergegeben, wie cs mir er- 
zahit wurde, da wir lernen wollen, wie der Afrikaner spricht, nicht 
wie er der Grammatik nach sprechen sollte. 

In reinem, grammatikalisch gutem Suaheli sind folgende gehalten: 

paka na panya. 

nyama wenyi pembe na fissi. 
kima na chui. 

simba na kibana Wasi. 

fissi. 


KVI 


hadithi ya Abu Nuwasi. 

hadithi za Abu Nuwasi. 

sultani na Abu Nuwasi. 

Muhemedi na washitaki wake. 

usishike shauri la mwanamke. 

mtoto mtundu lazima kumrudi. 
mw'allimu mwenyi 'agili. 

mfalme na waziri wake. 

hokumu ngumu. 

sultani “Ediri na sultani Ndozi. 

mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri. 
njia mbali na njia ya garibu, 

mtu mvivu na mtu wa kazi. j 
mfalme tajiri na mfalme maskini. 
Msiwanda. 

nguvu za uganga. 

sultani na maskini. 

“agili ya waanawake. 

sultani wa kisiwa na sultani wa barra. 
hadithi ya mwanamke aliyeoa baba na mwanawe. 
hadithi ya zamani. 

sultani Harun Alrashid na waziri wake. 
hila za waanawake. 

hadithi ya kijitu kiovu. 

Abu Nuwasi na waziri wa sultani. 

Dic meisten arabischen Ausdrticke finden wir bei folgenden Er- 

zahlern: 
“Ali bin Nasur, 
S'aid bin Bushiri, 
Mw'allim Mbaraka bin Shomari, 
Mwenyi Hija bin Shomari. 

Der cersterc ist selbst Araber, wiihrend die tibngen meist mit 
Arabern in Verkehr leben und ces lieben ihre arabischen Kenntnisse 
anzubringen. Dic Erziihlungen von Leuten, wie Muhemedi bin Madi- 
gani und Muhemedi bin Diwani Tambaza sind ziemlich frei von nicht 
allgemein gebrauchten arabischen Worten. 

Auf dice einzelnen Eigenthiimlichkeiten ist in den Fussnoten hin- 
gewilesen. Allgemcin sich durch das Ganze hinziehende und wieder- 
holende Thatsachen bedtirfen jedoch als Beitrige zur Grammatik der 
niiheren Besprechung: 

Das w (kurze u) vor Vokalen von mw (ihm,ihr,ihn, 


KVII 


sie) ist scehr hiufig absolut unhdrbar in der Aussprache; 
z. B. hdrt man eben so oft akamambia als akamwambia, ebenso 
anamogopa, wakamona, hakumuliza, wakameleza etc. Das gleiche gilt 
von einer Anzahi von Substantiven, z. B. bana neben bwana sowohl 
gesprochen wie geschrieben, manamme neben mwanamme, manamke 
neben mwanamke etc. Ich habe das w iiberall da, wo es nicht hdr- 
bar war, ausgelassen. 

Die Auslassung des genitiv-pracefires ist in folgenden 
Fillen zu verzeichnen: 

sili nyama bin Adam p. 6, Z. 3; pasicho kitu chakula p. 6, Z. 5; 
mimi ni mtoto mfalme p. 7 Mitte; maneno yake sungura p. 7, Z. 13 
v. u.; hatta mkewe Jafafari p. 11, Z. 1; yule mkewe waziri Ja'afari yupo 
p.11, Z. 6 v.u.; mudda miezi minne p. 12, Z.12 Vv. U.; alipomwona 
tunda yule kijana p. 13, Z.8 v.u.; aliyotolewa mimba mkewe Pp. 24, 
Z.13 v. u.; huyu kanitolea mimba mke wangu p. 24, Z.12 v.u.; 
yakamwona yaya wake binti sultani p. 31, Z. 10; yakatoa maji koga 
P. 42, Z. 5 v. u.; akawatambua mbuzi watoto na mamice mtu Pp. 53, Z.6; 
akamwona mtoto mfalme p. 70, Z.6; na watoto wake yule sultani 
P. 84 Mitte; wakakaa mahali mwendo safa sitta p. 95, Z. 14; mumewe 
dada yake p. 97, Z. 14 V. u.; kuna mchunga wa baba yake yule mkewe 
p- 98, Z. 16; nataka mudda siku tatu p. 102, Z. 13; wakakaa nyumbani 
mudda siku sitta p. 105, Z. 2; mkewe mtoto wa sultani p. 111, Z.7; 
kamwiteni mkewe huyu mwarabu p. 116, Z.2 v. u.; akaona kichwa 
cha mumewe vule mwanamke p. 118 Mitte; juu ya wazee wake vule 
mtoto p. 127, Z.6; ntakwenda mwuma mtoto wake sultani p. 146, Z. TI. 

Die Auslassung scheint besonders nach Worten wie mke, mume, 
baba, mama, mtoto, yaya, wazee — also nach Verwandtschaftsnamen 
tiblich zu sein. Bei mudda oder binti ist dieselbe insofern zu crkliren, 
als dies arabische Worte sind. Der Suaheli sagt jedoch auch binti wa 
sultani z.B. p. 146, Z.2 v.u. und p. 147 in der Ueberschrift; mudda 
wa mwezi mmoja p.8:, Z.12 V. u. ctc. 

Die Pronomina personalia mimi, wewce, sisi, Ninyi 
zeigen folgende hiiufig gebrauchtc Ncbentormen aut: 

miye fiir mimi: p. 18 Mitte; p. 32, Z. 4; P. 36, Z.5 v. u.; P. 39, 
Z.12;Pp.40, Z.5 v.u.; Pp.42, Z.17; P.42 Mitte; 49, Z.4, 6, 8 v.u.; 
p- 58, Z.9; Pp.59,Z2.8, 9; p.60, Z.6v.u.; p.61,Z.6 und Mitte; p. 63, 
Z.10vV.u.; Pp.63, Z2,3 v.u.; P.64 Z. 4,6, 16, 18, 30; p. 66, Z. 5 und 
lio; Pp-66,Z.3 v.u.; Pp. 89 Mitte ctc. 

ewe und wee fiir wewe, besondcrs bcim Anrut: p. 3, Z. 3; P-. 79, 
Z. 2 etc. etc. 


KVII 


siye fir sisi: p. 15, 2.13 v.u.; P.23, 2.6; Pp.55,Z.7 vu; 
P.63. 2.14 v.u.; p. 68, Z. 10 ctc. 

nyie ftir ninyi: p.26, Z.1 v.u.; P.309, Z2.2 Vv.u.; P. 42, Z. 2 
v.u.; Pp.51, Z.5 v.u.; Pp.52,72.0; Pp.52, 7.6 v.u.; p.65, Z.4 v.u; 
p-66, Z.1 v.u.; Pp.74 Z.10; Pp.74 Z.9 v.u.; p.82, Z.4WV.u. etc. 

niye ftir ninyi: p. 54, Z.11; p. 108, Z.3 v.u. 

enye fur ninyi: p. 40, Z. 5 u. 6 €nvc, wajinga watatu. 

Bei den persdonlichen Ftirwdodrtern beim Verb tritt in 
der JII. pcrs. sing. der 1 KI statt a die Form ya, die sich an 
dic altce Form vu anlehnt, schr ott und bei fast allen Er- 
zihlern auf, wie ein Blick in cinen der Tesrte sofort er- 
kennen lisst. Am hiufigsten ist dies der Fall bei den weniger mit 
Zanzibar-Leuten in Bertihrung kommenden Erzihlern wie Muhemedi 
bin Diwani Tambaza, Waziri bin Diwani Tambaza, Muhemcedi bin 
Madigani und Mwenyi Hija bin Shomari. 

Neben dicsen bciden Formen kommt auch.o (gespr. wie 
kurzes ii) ftir die III. pers. sing. und we (wi) fur die III. pers. 
plur. der L KI und zwar meist bcim pertect vor z. B. 

emetukhada'a p. 8, Z. 15; emelifutika p. 11, Z.2 v. u.; cmetughuli 
P. 15, Z. 14; cmcchoma p. 15, Z. 15; emcetia, emepakia p. 15, Z. 16; 
emcnituma Pp. I7 Mitc; emeshika p. 22, Z. 6; emekufa p. 24, Z:9; 
emenona Pp. 24, Z.9 Vv.u.; emewasili p. 25, Z.9; cmcekaa, emeshika 
P. 27, Z. 1; cmcejinamia Pp. 27, Z. 4; emeniponya Pp. 37, Z. 14; cemekaa 
Pp. 30 Mitte; cemejuaje p. 40 Mitte; emekuja p. 42, Z. 5; emewafuata 
P. 42, Z. 14; emekaa p. 42, Z. 14; cmewafuata p. 43, Z. 7; emekuja, 
emekwenda p. 48 Mitte; emcekuja p. 48, Z. 4 v. u.; cmemtongozea P. 50, 
Z. 4; cmenishinda p. 54 Mitte; cmcingia p. 69 Mitte; cmefanya p. z0, 
Z.2 v.u.; cmemwambia p. 70, Z.t v.u.; emechoka, emeduru p. Z71, 
Z. 11 v.u.; emetuponya p. 72, Z.2; cemeamriwa Pp. 76, Z. 10; cmekutuma 
P- 77, Z.6 v. u.; cmetutia p. 81, Z.5 v.u.; emekuja p. 82, Z. 12 v.u.; 
emckufa p. 82, Z.8 v. u.; cmekuta p. 83, Z. 2; cmekuwa p. 84, Z. 15 
v. U.; cmesimama p. 84, Z. 13 v. u.; emcenea p. 84, Z. 7 Vv. u.; emetoa 
p. 85, Z.9 v.u.; emekua p. 86, Z. 10 v.u.; emesahau p. 87, Z. 12; 
emekhitimu p. 88, Z.8: emejua p. 88, Z. 10; emekwisha p. 88, Z. 16; 
emclala, cmelia p. 89, Z. 18; cmewceka p. 07, Z.2 v. u.; cmekwenda 
p.o8, Z. 1; emekaa p. 98, Z. 2; cmcchukua p. 98, Z. 13 v.u.; cemceji- 
pakaza, emegeuka, emekuwa p. 98, Z.7 v. u.; cemcnikata p. 99, Z. 16; 
emcefutika p. 108, Z. 13 v.u.; cmekaa p. 108, Z.9 v.u.; emekuja p. 115, 
Z.11u.2v.u.; emcerudi p. 1106, Z. 9; emcekimbia p. 117, Z. 2; emefanza 
P. 148, Z. 7; emegcuka p. 148, Z. 9 v. u.; cmenifaa p. 149, Z.8; emekaa 
Pp. 150, Z. 1; emekwenda p. 151, Z. 14; cmekuwa Pp. 168, Z.7 Yu. 


KIK 


wemcekaa p. 7 Mitte; wemelala p. 77, Z.6 v.u. 

In einigen Fillen tritt diesc auch im praesens auf, z.B.: 

encosimama Pp. 1, Z. 13; enedawiwa p. 22, Z.9; ewe p. 31, 2.14; 
enceokwenda p. 37, Z. 8; eneokaa p. 41, Z. 10; enekokwenda, enckorudi 
p. 43, Z.i1i Vv. U.; cewe Pp. 110, Z. 9 Vv. Uu.; cnevompenda p. 148, 
Z.2 v.u. 

Einmal kommt die Form yuna fur ana vor p. 135, Z.1. 

Beim Futur ist die hiufige Auslassung des pron. pcrs. 
der 1. pers. ni zu erwihnen: 

tafanyaje p.2, Z. 13; takwenda p.2, Z.3 v.u.; takupa p.5, Z. 21; 
tafanyiza p. 12 Mitte; tampa p. :4,Z.14, Z. 2; takwenda p. 1:19, Z.8, 11 
v. U.; tapewa, takuoza p. 20 Mitte; takupa p. 27 Mitte; tarudi p. 35, 
Z.4 Vv.u.; tafanza p. 55, Z.6 v.u.; tamwambia p. 56 Mitte; takupa 
p- 58 Mitte; takuoa p. 59, Z. 9; takunyanganya p. 59, Z. 13; tafanza 
p. 64, Z. 11; takwenda p. 64 Mitte; tawaua p. 101, Z. 12; tawaziisha 
p. 123 Z.3 v. u.; takuja p. 130 Z.?2 v.; takuletea p. 132 Z. 4; taingia 
p. 132 Z. 9; takwenda p. 135 Z. 12 v. u.; takupa p. 139 Mitte; taku- 
shushia p. 142 Z. 3. 

Bei den Formcen des Zeitworts mit cingeschobenem ka 
fallt in der JI. pers. sing. der I KI. das pronom. pers. a (ya) 
oft aus: 

kaniula p. 23 Z.4 Vv. u.; kanitolea p. 24 Z. 12 Vv. u,; kaitoaje 
p. 24 Z. 11 v. Uu.; kamambia p. 32 Z. 10; kakaa p. 32 Z. 7 v.u.; ka- 
sema p. 32 Z. 5 v. u.; kafanyiza shauri p. 33 Z. 4 v. u.; kalala p. 39 
Z. 6; kanipa p. 39 Mitte; kaninyanganya p. 41 Z. 5; kawacha p. 46 
Mitte; kazuia p. 46 Z. 11 v. u.; kanitongoza p. 50 Z. 1; kamzaa p. 50 
Z.2 v. u.; kamwambia p. 51 Z. 3; kanena p. 57 Z.7 v.u.; ka- 
mambia p. 54 Z. 2, 3; kamusia p. 59 Z. 7; kawambia p. 59 Z. 16; 
kamchukua p. 59 Mitte; kaficha p. 63 Z. 3 v. u.; kaua p. 64 Z. 8; 
kainama p. 93 Z. 4; kauawa p. 1ig Z. 2; kanena p. 120 Mitte; ke- 
nenda p. 122 Z. 12; kamwambia p. 125 Z. 8; kamjibu p. 125 Z. 5 V. 
u.; kamjibu p. 126 Z. 9; katatuta, kaifunga, kamwona, kaingia, ka- 
mwambia p. 126 2.11 —8wv.u. 

Vereinzelt kommt auch das Fitirwort der IL pers. in 
Wegfall; in einem Falle auch das der 1 pers.: 

kanitolea (ttir ukanitolea) p. 22, Z. 4 Vv.U.; kalete (uk.) p. 29. Z. 12; 
kamtwae (uk.) p. 136, Z. 14 v. u.; kasimamc p. 137, Z. 5; kaniangulie 
Pp.137, Z.4 v.u.; kanivulie p. 141, Z.12 v. u.; kalitwae p. 142 Mitte; 
kamlete (nikamlete) p. 85, Z. 5; 

Das ecingeschobence ka (und) lautet in sechr vicelen 
Fillen ki. 


KK 


An der Kuiste scheint dics schr Ublich zu sein, wie cin Blick in 
irgend einen der Testc z. B. sultani wa kisiwa na sultani wa barra, 
Zcigt, in dem fast durchweg ki fur ka gebraucht ist. 

Umgekchrt finden wir auch ka wo wir ki erwarten 
sollten, jedoch nur scehr vercinzelt z. B.: 

akamwona baba vyake akasta'ajjabu p. z0 mittc; lakini tukapigana 
hapa utakufa weye p. 72, Z. 6; ukasikia ,,mfunge" p. 75, Z. 13 V. U.; 
ukasikia kimya p, 75, Z. 11 Y. u.; ukasikilikana — utashinshwa Pp. 76, 
Z. 13, v. u; ukasikia kimya p. 77 Mitte; japo kama yakanila p. 87, 
Z. 17; mkamregeza — atakimbia p. 109, Z.3; ukaona kitambaa p. 157, Mitte. 

Auch die Verwechselung von ,ki wenn“ mit,,po als“ 
kommt dfter vor z. B.: 

akiona nyama ile p. 5, Z. 12; akimtezama yule ndege p. 74 
Z. 5; akiona mji yule mkubwa p. 74, Z. 13 v. u.; akikamata miguu — 
yule ndege akapupurika p. 76 Z. 2; akiona jeshi inakuja p. 81, Z. 16; 
akijongea katika maji p. 91. Z. 8; yakirejea baharini p. 100, Z. 7 V.u.; 
akifika kwa sultani p. 100, Z. 3 Vv. u.; wakimwona wale vijana p. 104, 
Z. 10; yule frasi wake wakimwona ndugu yao p. 107, Z. 1; waki- 
mwona wale vijana p. iit, Z. 10 v. u.; wakimfika ameshughulika 
Pp. 125, Z. 9. 

Das Verbalsuffiz vyo (so) lautet an der Kiiste eben so 
hiiufig vo wie vyo z. B.: 

wanavofanviza p. 7, Z. 9; tulivoagana p. 22, Z. 6; alivosema 
P-. 24 Mitte; ilivopita p. 25, Z. 2; ilivokuwa p. 41, Z. 12 v. u.; vali- 
vopanda p. 47, Z. 6; aliyomwambia p. 51 Mitte; wanavosema p. 52, 
Z. 8; unavoingia p. 56, Z. 2; nnavotaka p. 57, Z. 3; alivomwona 
Pp. 57, Z. 2 vy. u.; aliyvomambia p. 59, Z. 1; unavotaka p.63, Z.9vV.u. 
alivotaka p. 64, Z. 7; mtakavo p. 65 Mitte; hivo atakavofanyiza p. 66, 
Z. 7; walivomtupa p. 66, Z. 9; alivosikia p. 67 Mitte; alivoikamata 
P. 67 Mitte; inavolia p. 68, Z.6 v. u.; hivo alivoipata p. 68, Z.3 V. u.; 
alivomwambia p, 70 Mitte; unavopendwa p. 79, Z. 2, V. U.; alivom- 
pata p. 82, Z. 6; alivoinama p. 82, Z. 15 v. u.; ntavousemesha p. 83. 
Z. 3 v. u.; itavolia p. 86, Z. 3; yanavosema p. 836, Z. 6; wanavokosa 
p. 87, Z. 9; utavonitenda p. g0, Z. 8; hivo, ndivo ulivotaka Pp. 91, 
Z. 14; valiyokwenda p. 94, Z. 17; alivyonambia p. 96, Z. 14 und 10 
vy. Uu.; anavokwenda p. 111, Z. 5; alivoeleza p. 122, Z. 2 v. u.; nili- 
vojipamba p. 130, Z. 5; utakavo p. 131, Z. 8; walivofuatana p. 132, 
Z. 3 v. u.; valivo p. 135, Z. 7 v. u.; ulivo p. 135, Z.4 V. Uu.; walivo- 
amurwa p. 130 Mittce; ulivoniona p. 138, Z. 8; hivo ulivonipa p. 139, 
7. 12 v. u.: alivofanviza p. 140, Z. 3; wanavokaa p. 143, Z. 2 V. U; 


KZI 


nilivofundishwa p. 155 Mitte; alivosikia p. 156, Z. 15; ndivo alivo 
P- 159, Z. 6 V. U, 

Vereinzelt kommt auch vo ftir po (als) vor z.B.: 

ulivokuchwa p. 6, Z. 7 v. u.; atakavouawa p. 65 Mitte; uli- 
vokuwa p. 124, Z. 3 Y. u.; alivouza p. 155, Z.2; ulivofungwa p. 150 
Mitte; walivogurubia p. 156, Z. 2 v. u. 

Beim Passiv lautet ,,von und durch"“in den Nordbe- 
zirken Pangani und Tanga mcist ni statt na z. B.: 

atakuja uawa ni mtoto wa tajiri fulani p. 92, Z. 3; asije kuuawa 
ni yule mtoto p. 92, Z. 13 v. u.; akashikwa ni harara p. 93, Z. 17; 
iliyoonekana ni wale waganga p. 93, Z. 6. v. Uu.; msionekane ni mtu 
P- 136, Z. 13; kama walivoamurwa ni bibi yao p. 136 Mitte; asione- 
kane hatta ni mtu mmoja p. 137, Z. 1. 

Das veraltete Relativ ambaye oder ambaye kwamba 
kommtin diesen Testen dcs d#fteren vor: 

Auch im mtindlichen Verkehr mit den Suaheli ist mir dasselbe 
zuweilen zu Ohren gekommen. St. Paul in seinem Suaheli-Handbuch 
p. 185 bestreitet das Vorkommen dieser Form. Da dicselbe in diesen 
Tezten allein siebenmal vorkommt, liisst sich mit Sicherheit anncehmen, 
dass sie noch ziemlich inGebrauch ist z.B.: akatafuta nyama anaye pembe, 
ambaye amekufa zamani p. 2, Z. 14; yuko mtu ambaye mzee p. 33, 
Z. 4; nisikilize maneno yambayo vatasema p. 47 Mitte; na kulla neno 
ambalo jema p. 129, Z. 11; selaha zangu za mali ambazo ni muth- 
mini p. 130, Z. 4; mkachimbe shimo ambalo ni pana p. 136, Z. 11; 
akampelekea sinia ya maandazi ambayo ya vyakula usiku p. 140, Z. 9 V.U. 

Das Relativ der 1 KI lautet neben yeauch yo, welches 
die regelmissige ilterc Form und an der Kiste sehr ge- 
briuchlich ist z. B.: 

aliyotolewa p. 24, Z.13 v. u.; aliyotongoza p. 48 Mitte; aliyom- 
zaa p. 50, Z.2 v. u.; niliyoota p. 51 Mitte; anayokaa p. 51, Z. 10 
v. U; aliyomponya p. 53, Z. !; anayosangaa, aliyoweka, asiyoweza 
P- 53 Mitte; anayonipa p. 53, Z. 8 v. u.; aliyotaka p. 54, Z. 13 v. Uu.; 
aliyo p. 55, Z. 3; uliyotaka p. 55, Z. 3; umtakayo p. 72, Z. 4; aliyoza- 
hwa p. 75, Z. 2; unayokwiba p. 79, Z.4V. uU.; aliyopata p. 82, Z. 10; 
aliyompata p. 82, Z. 15; nimjuayo p. 82, Z. 9 Vv. u.; aliyotiwa p. 83, 
Z. 8; niliyosafiri p. 83, Z. 15 v. u.; asiyo p. 84, Z. 13; uliyomtaka 
Pp. 85, Z. 9; niliyompata p. 85, Z. 5 v. u.; uliyozipata p. 86, Z. 5; 
niliyomzaa p. 87, Z. 14; atakayokuuliza p. 87, Z. 16; atayomlea p. 87, 
Z. 17; unayokwisha p. 97, Z. 8; aliyookota p. 98, Z. 11 v.u.; uliyo- 
kuwa nayo p. 99, Z. 17; aliyomnyima p. 99, Z.9vV. u.; ndiyo aliyonipa 
p: 100, Z. 1; aliyozaa p. 104 Mitte; anayompenda p. 108 Mitte; niliyo— 


KIKI 


mwacha p. 110, Z. 6; alivyokuza p. 110, Z. 13; anayokuja p. 111, Z. 12 
v. u.; umtakavo p. 113, Z. 7,090; aliyooa p. 115, Z. 1; aliyoingia Pp. 115, 
Z. 35 v. u.; niliyomleta p. 11:16, Z. 13 v. u.; aliyokuja p. 117, Z. 2; 
aliyomfumaniza p. 117, Z. 10 v. u.: aliyokuja, aliyozini, aliyokuwako, 
aliyokufa p. 1:8 Mittc; aliyomwuzi p. 119, Z. 4; aliyo p. 119, Z. 8; 
aliyomwambia p. 1109, Z. 8 v. u.; aliyokwenda p. 119, Z. 7 v.u;; uli- 
yomzaa, aliyomlea p. 128, Z. 15; aliyomtoa p. 146, Z. 1; anayogeuka 
p. 146, Z. 6; anayompenda p. 130. Z. 11; anayofanya p. 146, Z. 12; 
aliyofungwa p. 146, Z. 16; aliyouza p. 148 Mitte; ulivomtafuta p. 148, 
Z. 6 v. u.; asivojua p. 150, Z. 9; aliyozaliwa p. 1533, Z. Ii v. u.; ali- 
yokuja p. 161, Z. 3; aliyotupa p. 167 Mitt. 

In Relativsitzen, in denen das Relativum Objcct ist. 
werden der Grammatik nach dem Vcerbum das cinfache Rc- 
lativ-Pronomen, gcfolgt vom persO0nlichen Object-Prifis, 
vorgesetzt. In unscren Teszten ist dic Auslassung dcs letz- 
teren ziemlich hiufig z. B.: 

hadithi tuliyosikia p. 2, Z. 6; mazambi uliyofanjiza p. 5, Z. 2 
v. Uu.; na aliyonena Abu Nuwssi p. 9 Z. 2 v. u.; khabari ile unavo- 
taka p. 10 Z. 13; maneno anayosema mwenzio p. 23 Mitte; kwa sa- 
babu ile naziri aliyoweka p. 26 Z. 0; khassa mali uliyopewa p. 38 
Z. 13; kulla neno wanalosema p. 42 Z. 15; nguo ya chini aliyovaa 
Pp. 42 Z. 7 v. u.; kula maneno mlivyosikia p. 44 Mittce; kulla 
neno unalotaka p. 64 Z. 15; ncno analotaka p. 64 Mitte; neno 
gani unalotaka p. 64 Z. 133 v. u.; kulla kitu unachotaka p. 644 
Z. 12 v. u.; ngoma tuliyotaka p. 68, Z. 5 v. u.; 'ahadi yetu 
tuliyoweka p. 89 Z. 2; dawa hizi wanazofanviza p. 96 Z. 3 V. u; 
khabari alizofanyiza p. 100 Z. 2; fimbo zangu nilizopigwa p. 109 Z.8 
v. u.; gissa ulichokaa p. 109 Z.5 v. u.; gadiri utakaloona p. 112 Z.7; 
amana uliyopewa p. 114 Z. 13; yamini aliyoapa p. 119 Z. 3;- yale 
maneno ya vule mzee anayosema p. 120 Mittc; kwa yale maneno ali- 
yosema vule mzcce p. 120 Z. 5 v. U.; vale maagano waliyoaganagana 
Pp. 132 Z. 5 v. u. khabari alizofanya p. 134 Z. 16; mambo yote aliyo- 
fanya mke p. 134 Mittc; mambo waliyofanviza p. 136 Z. 1; haggi 
yangu twaliyoagana p. 130 Mittce; zile gartasi alizoandika p. 140 Z. 3 
v. U,; maneno yote aliyoandika Z. i41 Z. 4; kulla kitu cha kike wa- 
nachovaa p. 152 Z. 2. 

Dic Umgchung des Relativs, dice wir bei ungebildeteren 
Suaheli und vorncehmlich bei Lcuten, die aus dem Inncrn 
zur Ktste kommen und das Suaheli crlernen, hiufig zu 
horen bekommen, haben wir in vereinzelten Fillen auch 
hier zu vyerzcichncn, z. B.: 


KIKI 


akapawa jiwe limepasuka (statt lililopasuka) p. it Z.4 vu. 
takupa bei unaitaka p. 58 Mitte; njia va garibu si njia, afadali ya 
mbali unaijua p. 60 Z. 1 v. u.; illa wagati ulitaka weye p. 125 Z. 11 
v. u.; wakamthannia ni kitwana Gorjia wa sultani analeta halua 
Pp. 133 Z. 9; una mtu juu aulinda p. 167 Z. 10. 

Bei Relativsitzen und inden Zeitwortformen mit cin- 
geschobencm po lautet das taka dcs Futurs in so vielen 
Fillen ta bei den vyerschicdenen Erzihlcrn, dass diesc Form 
nceben der andern gebriaiuchlich erscheint, z. B.: 

utapokwenda utasikia watu Pp. 77 Mitte; na siku atayokuja p. 84 
Z. 5; nani atayokwenda kumlea p. 87 Z. 6; hapana atayokuuliza p. 87 
Z. 16; nani atayomlea p. 87 Mitte; vitendo utavonitenda p. g0 Z. 10; 
illa kwa sa'a itafaavo (fr itakayofaa oder ifaayo) p. 125 Z. 14 etc. 

na (und) tritt hiufig im Sinnc von <auch> auf,z. B.: 

lete na sogi p. 10 Mittc; akaokota na kuni p. 22 Z. 12 v.u.; 
vakavua na fulana, yakavua na nguo, yakavua na mfuko p. 42 
Z. 7 v. u.; yakachukua na ndege p. 80 Z. 14 v. u.; twende zetu 
na ninyi p. 83i Z. 4; akanipa na mke vulc p. 85 Z. 10; ulete 
na upanga p. 85, Z. 5 v. u.; nietcc na ngoma p. 86, Z. 1; 
akanunua na boriti p. 87 Z. 2; akaifanya na bustani p. 92 Z. t0; 
akapanda na matunda yote p. 92 Z. 10; usiondoke na wewe p. 102 
Z. 1 v. u.; yule mtoto wa waziri akaoza mke naye p. io Z. 53 Vv.U.; 
kwa nini na wewe husafiri p. iti Z. 5; ukileta na zawadi p. iji 
Z. 6; nataka na kitu unipe p. 120 Z. 11; kuikimbia na ile harusi 
Pp. 129 Z. 6 v. u.; akampimia na halua vake p. 132 Z.7 Vv. u.; ata na 
shughli zako p. igo Mittc; na mimi nitoc p. 147 Z. 1 v. u.; akaon- 
doka na maskini p. 148 Z. 5; yakazaa na mtoto p. 148 Z. 16; akatia 
na kisu kidogo p. 153 Z. 8 v. u.; linifac na miye p. 155 Z. 12; ana 
na fedda, ana na mkewe mzuri p. 164 Z. ir v. u.: wakatwaa na 
miti p. 164 Z. 1 v. u.; wakagubali na Banyani p. 166 Z. 10; akapewa 
na nyama p. 166 Mitt. 

In yereinzelten Fillen kommt na in der Bedeutung von 
valso", ,so“ vor, z. B.: 

na tufanyize hikima p. 11 Z. 6; na tusafiri p. 65, Z. 4; na tuoe 
p-: 86 Z.16 v.u.; na tukae pamoja p.93 Z. 14; na vije vita p. 161 Z.5. 


Mwanamke na paka. 


paka aliondoka akakaa nyumbani mwa mwanamke mmoja. siku 
moja mwanamke akamambia!): ,,paka, mimi ntakupa usimamizi wangu." 
paka akamambia: ,,nimegirri?) kusimamia, lakini usimamizi gani uta- 
kaonipa?“ mwanamke akamjibu: ,,nitakupa usimamizi wa jikoni pale, 
nikesha?) pika; ntakuachia samaki ya kungojea, ma'ana nikesha pika - 
husinzia?).“ paka akamjibu: ,,nimegirri kungojea.” 

hatta siku moja alipokwisha pika, paka akamambia: ,,kikaango 
acha wazi.” naye mwanamke yakagirri?) kuacha wazi. 

aliposinzia mwanamke, paka akatazama samaki ndani ya kikaango, 
mate yanamtondoka$); mwisho akasema: ,,ntakula". hatta alipoamka 
mwanamke, yakaona chunguni hamna kitu; akamambia: ,.,gissi”) gani, 
mbona chunguni hamna kitu?" paka akamambia: , twende tukaulize 
sheri'a?), kama eneosimamia?) hapewi chakula?“ mwanamke akampiga 


akamfukuza, akasimamia mwenyewe vyungu vyake, akavifunika. 


Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza 
aus Klein-Bagamoyo. 


1) Diese Schreibweise ist akamwambia vorzuziehen, da fiir gewdhn- 
lich beim Sprechen das kurze u (w) nicht horbar ist. Ich habe iiberall : 
da, wo es bei der Erzahlung deutlich zu horen war, dasselbe gesetzt, im 
anderen Falle weggelassen. 7) ar. festmachen, bestitigen. 3) nikiisha. 
4) Ein Schlifchen machen. 9) akagirri; ya fir a III pers. an der Kiiste 
hiaufig. $) Das Wasser im Munde zusammenlaufen. 7) ar. Art, suah. 
gissi, ginsi, jissi und jinsi. $) ar. Gesetz. 7?) anayesimamia. 


Paka na panya. 


Paka moja akamkuta panya, aliyetoka majini. alipomwona, alitaka 
kumkamata, yamle.!) yule panya akafanyiza shauri, akasema — kuwa?): 
ningoje,?) sasa hivi maji mengi mwilini mwangu, ngoja nikauke.“ 
wakaja wakashuka katika inchi kavu ya mchanga, wakakaa kitako. 


1) amle. 2) kuwa, ya kwamba, ya kama dienen hiaufig zur Ein- 
fuhrung direkter Rede. 3) uningojee. 


Velten, Suaheli-Marchen. I 


yule paka alitaka tenna kumkamata yule panya; panya akasema: 


mbado,!) maji yako“. akachimba tartibu?) huku na huku — marra 
ameshuka chini, akamambia yule paka: ,,njoo, unikamate sasa!" na 
yeye akamkimbia Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi. 


1) bado noch nicht; beim Verb steht neben ja ,,noch nicht” hiufig 
noch bado. 7) ar. Ordnung, im suah. auch sachte, leise, vorsichtig. bana 
tartibu nennt der Suaheli den ruhigen, bedichtigen und fiir jedermann zu- 
ganglichen Europier. 


nyama wenyi pembe na fissi. 


aida!) na hadithi,?) tuliyosikia na watu wazima. wakisema wali- 
sema: ,,hapo zamani ya kwanza walikutana nyama msituni?) wakasema: 
mtufanyize karamu), walakini katika karamu yetu kwa kulla nyama, 
anayo pembe, na aje bassi; hiyo nyama, asiyo pembe, asije". bassi 
wakakutana jami'ei?) ya nyama wanao pembe, wakafanyiza karamu 
kubwa sana na vitu vingi sana. 

fissi alisikia khabari hii, akaondoka kwenda kutazama karamu, 
aitaka, naye hana pembe. akasema: ,tafanyaje?) hatta enende?) karamuni?" 
marra akaona shauri jema. akenda akatafuta nyama anaye pembe, am- 
baye?) amekufa zamani mwituni. akaiona, akazitwaa pembe za yule 
nyama aliyokufa. akatafuta nta akajibandika kichwani, akapandika zile 
pembe, akaenenda katika ile karamu. 

hatta zamani za mchana jua kali, ile nta ikayayuka kwa jua, na 
karamu haijesha?) bado. akazitwaa pembe, akazizuia kwa mikono aka- 
wambia: ,jama'a!!) fanyeni mambo upesi upesi, kwani wengine tuna 
za mjombokelo!!); nafsi yake asema: ,,wengine tuna pembe zaanguka".!?2) 
bassi katika nyama wenziwe wakajua fissi hana pembe; yatufanyia urevu“, 
wakamfukuza. Mwenyi Hija bin Shomari. 

1) ar. gleichfalls, ebenfalls, ferner. 2) ar, Neuigkeit, Erzihlung. 
3) neben mwituni. 9) ar. Fest. 9) ar. all, versammelt. $) nitafanyaje. 
7) nienende. $) veraltetes, hin und wieder noch angewandtes Relativ von 
amba — ambia sagen, zuweilen auch ambaye kwamba. 9) haijaisha. 


10) ar. Versammlung. 11) pembe za mjombokelo; mjombokelo wohi| Kissa- 
ramo. 12) zinaanguka. 


kima na chui. 


akaondoka kima, akasema: ,,mimi sina nguvu, takwenda!) kwa 
mtu mwenyi nguvu hamtake?) urafigi.” akenenda kwa chui, akam- 
fanya urafigi. 

1) nitakwenda. 72) fiir nikamtake. 


3 


wakakaa; hatta siku moja wakaondoka, wakaenenda hatta waka- 
fika shinani pa mti mkubwa. wapumzike pale. na ule mti una miba 
mingi. yule chui akamwambia kima: ,?wel) kima, waweza ku- 
keleza?) mti? ukeleze, ukatazama upande unao vita na upande unao 
amani.” 3) 

yule kima akakeleza mle mtini, akafika kattikatti, akapapura na 
miba, ikatoka damu, ikatona chini. yule chui, alipokuja ona damu 
ya rafigiye1) imetona, akairamba. ile kima akitunza mbali shinani pa 
mti, akitazama damu yake yarambwa na rafigiye — akafanya khofu.) 
chui akamwuliza kima: ,,upande gani unao vita?" kima akasema: 
“nimetazama kwa kulla upande, sikuona vita, walakini vita nimeviona 
hapa shinani pa mti, ndipo panapo vita.” kima akafanya khofu, asi- 
shuke tenna juu ya mti, na urafigi ukavunjika. 

Mwenyi Hija bin Shomari. 

1) wewe; als Anruf ist ewe gebrauchlich, z. B. ewe mwenyi ma- 

dafu, ewe mwenyi mikuki njoo hapa; eine andere Kiirzung von wewe ist 


wee, z. B. mwongo wee. 7?) keleza klettern. 3) ar. Sicherheit, Friede. 
4) vafigi yake. 9) ar. Angst. 


Simba na kibana Wasi.” 


aliondoka simba, akamtuma kibana Wasi, akamwambia: ,,enenda 
pahali kaza wa kaza?), tenna upesi urudi." 

akenenda kibana Wasi, akafanyiza shughli?) zake, walla asijue 
kambani nimetumwa na simba?" akakaa sana huko, sababu ana- 
ogopa kurudi. hatta simba akaghadabika?), akatoa “askari9), akenda aka- 
twaliwa kibana Wasi, akaja. simba akamwambia: ,,kwani?) kutaakhkhari$) 
nilikokutuma?" ' akamwambia: ,,nalikutana na mwenzio?), akanizuia, 
nayo!) yuko mahali kaza wa kaza.“ simba akamwambia: ,,vema, tuenende“. 

wakenenda hatta katika kisima kikubwa, na ndani mna maji mengi. 
akamwambia simba: ,,mwenzio yumo ndani ya kisima.“ simba akata- 
zama akajiona mwenyewe, ya'ani!1) lile jivuli??) lake, naye haijui sura ?) 
yake. alipoiona sura yake mule/4) ndani ya maji, athanni 9) ni mwen- 


ziwe, akaingia ndani ya kisima kwenda kupigana naye, akazama. 
Mwenyi Hija bin Shomari. 

1) kibana Wasi wird der sungura (Hase) genannt, der in der Thier- 
fabel bei den Suaheli die Rolle unseres Fuchses spielt. (Wohl von Abu 
Nuwasi gebildet, siehe Geschichten des Abu Nuwasi weiter unten.) 7?) ar. so 
und so. 939) ar. Geschift, Arbeit. $) Zusammengezogen aus ya kwamba 
nini. 9) ar. erziirnt sein. $) ar. Heer, Soldat. 7) kwa nini. $) ar. ver- 
spiten. 9) mwenzi wako. 10) naye. 11) namlich. 12) gewcohnlich kivuli, 
jivuli grosser Schatten. 13) ar. Form, Gestalt, Gesicht. 14) mle und mule 
kommen nebeneinander vor. 19) ar. glauben, meinen, 


1” 


Sungura na fissi. 


Alitokea sungura akafanya urafigi!) na fissi, wakikaa siku nyingi. 
hatta siku hiyo yakamwambia?): ,,nataka, twende kwetu." fissi yaka- 
mwambia: ,,twende". yakamwambia: ,fanyiza mikate sab'a". yakam- 
wambia: ,vema”, fissi yakafanyiza mikate. akamwambia: ,,haya, 
twende zetu“. fissi yakamwambia: ,,tunakwenda wapi?" yakimwambia?): 
kwetu, kuwatezama?) wazee wetu; haya, twende". 

wakenda zao hatta wakaona njiani pana mto wa maji mengi. 
sungura akamwambia: ,,ningoje hapa, ukiniona nimekawilia, vuka mto, 
uende ukaningojee njiani; na hapo unapovuka, utaambiwa ,,tupa 
mkate" — bassi utupe, ndio utaponya"“. fissi akamwambia: ,,vema"“. 
wakenenda, hatta wakafika mtoni. sungura akamwambia: ,,ningoje, 
nakwenda chooni; ukiniona nimekawilia, vuka. hapo utapopita ukaam- 
biwa ,tupa mkate“ — bassi utupe, upate kujiponya". yakenda?) sungura, 
akazama mbalimbali, akikawilia, fissi akavuka. 

alipokwenda, akaambiwa: ,tupa mkate". fissi akisema: ,,ndio 
aliyonambia rafigi yangu sungura“; yakitupa fissi mkate majini. sungura 
huwapo chini, yakaudaka kwa kinywa, yakakawilia kuvuka. akam- 
ambiaje fissi? ,,huko nilikovukia mimi, nilitaka kuuawa, lakini ajali) 
yangu bado. sasa njaa inauma, ninakula mikate yangu". fissi akam- 
wambia: ,na mimi". sungura akamwambia: ,,yako iko wapi, mikate 
yako” fissi akanena: ,,hukuniambia, ukivuka ukisikia ,tupa”, bassi 
utupe” nikasikia, nami nikatupa mkate“. sungura yakimwambia: ,,una 
wazimu wewe, kuna mtu husema ,tupa mkate?" sungura yakila?) 
mkate wake, na rafigi yake hakumpa. 

alipokwisha kula, yakamwambia: ,,twende". wakenda zao hatta 
wakafika shamba kubwa sana la miwa. yakimwambia: ,,rafigi yangu 
fissi, miwa ya watu hiyo usikate, kata midete?), nami nakata midete' 
sungura yazunguka?), yakikata!?) miwa juu ya ukubwa wake. hatta 
wakafika mahali, panapo kivuli, wakakaa kitako, yakanena: nishuke 
midete yangu“. yakatezama yakaona miwa, na fissi yakinena: ,,na mimi 
nishuke midetc yangu, yakitezama — midete; yakamwambia: ,,yangu — 
midete, rafigi yangu“. yakamwambia: ,,ujinga wako mwenyewe, kwa 
nini usikate miwa, ukenda ukakata midete?" 

wakatoka, wakenda zao hatta mahali panapo mti mkubwa, 
wakakaa kitako, yakamambia: ,,sasa tunakwenda huko nyumbani kwa 


1) rafigi, ar. Freund. “) akamwambia. 7) akamwambia; Verwechse- 
lung von ki und ka ist schr hiaufig. ') neben tazama. ?) akaenda. $) ar. 
Ziel. ") akala, $) trockenes Zuckerrohr, das weniger schmackhaft ist. 
”) akazunguka. '?) akakata. 


5 


wazee wetu, hii dawa nakuonyesha ya homa, na hii ningine ya tumbo 
na hi ningine ya uvimbi". 

wakatoka wakenda zao, hatta wakafika nyumbani kwa wazee. 
wakapikiwa chakula. sungura akajitia ugonywa, akasema: ,,rafigi yangu, 
siwezi, tumbo linaniuma, nenda kanitwalie!) dawa ya tumbo kule 
nilikokwambia". 

fssi akaondoka mbio, akaenenda?) akaichukua dawa, akalileta. 
akamfikia?), sungura amekwisha kula chakula pekeyake, na ugonywa 
umekwisha pona. akimambiaf): ,,sasa iweke dawa“. 

wakakaa, hatta usiku wakatandikiwa mahali pa kulala. sungura 
akatiwa chumba cha kuku, na fissi akatiwa chumba cha mbuzi. na 
fissi ana njaa ya siku kumi, akiona nyama ile ya mbuzi, roho?) ikam- 
toka, akamrukia mbuzi moja yakamwua. 


Muhemedi bin Madigani 
" aus Magogoni. 


!) .ukanitwalie, relative Form von twaa. 3) neben akaenda und 
akenda. 9) akimfikia oder besser alipomfikia. “) akamambia. 9) ar. Seele. 


Fissi. 

walikuwa watu wawili, mtu na rafigi yake, walikuwa na shindana. 
mmoja akasema — kama: ,.hapana mtu anayeweza kusilimisha!) fissi 
kuwa Islamu, kwani nyama wote husilimishwa, huwa welevu?), lakini 
fissi sikupata kumwona kusilimishwa". rafigi yake akanena: ,,mimi 
ntaweza kumsilimisha”“. rafigi yake kanena: ,,huwezi, ukiweza ntakupa 
reale mia u themanin“. akasema: ,,vema, ':na miye kama sikuweza, 
takupa?) reale miteni"“. 

wakenda wakakamata fissi, wakalichukua. rafigi yake akamambia — 
kama: ,,sasa kalisilimishe." 

akenda akawa nalo siku kaza wa kaza katika vifungo, halipi fissi 
chakula shurti) kwa siku ya tatu hatta siku ya tatu. khalafu fissi 
ameshikwa na njaa, akanena: ,,miye ntakufa katika vifungo". yule bin 
Adamu akamambia: ,,mimi ntaweza fanya shauri usife; ukinifanzia 
shuruti ya kusilimu, ufuate dini?), ntakufungulia nikupe vyakula“. 
akajibu: ,,vema, ntasilimu, lakini nambie namna ya kusilimu Usilamu, 
huwaje? vitu vya haramf) na vitu vya halali?) nataka unambie". yule 
bin Adam akanena: ,,kama unataka kusilimu, neno la kwanza — mtu 
husali?) na kusoma; ukiomba muungu, mazambi?) uliyofanyiza yaki- 
pungua, na kulla kitu atakupa, lakini usile nyamafu), kwani nyamafu 


') bekehren. 7) werevu. 9) nitakupa. 1) ar. Bedingung. 5) ar. Glaube, 
Religion. $) ar. verboten. 7) ar. erlaubt. 9) ar. beten. 9) ar. Siinde. 9) Aas. 


6 


haram, na bin Adam haram. ukila nyama ya kuchinshwa — ndio 
nyama ya halali“. 
lile fissi akamjibu, akamambia: ,,vema, sili nyama bin Adam 
walla nyamafu, lakini kama nakwenda njiani, pahali pasipo mtu, pasicho 
kitu chakula, na miye nimekuta nyamafu katika njiani, ntafanyaje? 
mtu hula, amma mtu hali?” akamambia: ,,mtu hali, sababu haram, 
stahamili!) hatta ufike penyi watu”. bassi, ntapitaje katika njia, 
nacho kipinda?) kiko katika njia?" akasema: pita upande mwingine 
mkono mshoto?) amma mkono mwume". akamambia: ,,Jakini njia 
huku nyembamba na upande huu mwembamba, ntapitaje? na miye 
ntamguza?"” asema: ,,bassi, mruke upite kattikatti“. akasema: ,,nikianguka 
katika nyama, hokumu yake nini?“ akamjibu: ,,hokumu yake — wewe 
fisi tenna, hukuwa Islam“. akamambia: ,,bassi, nisamehe, siwezi 
kuwa Islamu. ukipita upande huu — usikiguze kipinda, ukipita upande 
mwingine — usikiguze, ukiruka ukianguka — haram, bassi neno gani la 
halali? afadali nirejee katika ufissi. 
Selim bin Abakari. 


!) ar. geduldig abwarten, 7) Aas. $) meist mkono wa kushoto und 
mkono wa kuume oder wa kulia. 


Mtoto wa tajiri!) na mtoto wa maskini. 


yalitokea?) mtoto wa tajiri, na mtoto wa maskini yakimfanyiza 9?) 
rafigi yake. baba yake na mama yake marra nyingi wakimambiaf: 
mwewe maskini, ya nini?) kufanyiza urafigi na mtoto wa tajiri?” yule 
mtoto yakishitaddi?) kutaka usahibu?) na yule rafigi yake, mtoto wa tajiri. 

wakikaa siku nyingi na miezi mingi, hatta yule rafigi yake yaki- 
mambia?): ,,twende tusafiri barra". yakimambia: ,,;twende“. wakifanya 
mikate mingi sana. wakilala hatta usiku ulivokuchwa?) asubuhi, wakija 
kuhimiza safari10) yao, wakipanda frasi!) zao, wakiomba muungu, 
wakitoa frasi wakenenda zao, hatta wakifika?) walipotaka. 

wakafika mahali mbali sana, wakikuta punda na farasi) wengi. 
yakisema mtoto wa tajiri: ,,shauri gani ya hawa frasi wengi?" ,,tuwa- 
chukue kwetu, tukawauze, tupate fedda, tuharriji #) kwa haja yetu tuta- 
kayo“. yule mtoto wa maskini yakimambia: ,,haifai, haya mali ya watu; 


1) ar. Kaufmann, reich. ?) alitokea. 3) akamfanyiza. $) wakamambia. 
>) neben kwa nini, $) ar. sich anstrengen. 7) ar. Freundschaft. 8) aka- 
mambia. 9) ulipokuchwa. 10) ar, Reise, im suah. fiir Karawane gebriauch- 
licher als msafara. 1) ar. Pferd. 12) wakafika. 13) neben frasi. 19) ar. 
hinausfiihren, ausgeben. 


7 


sisi tumekuja kutarazzagi!), tuwache tutarazzagi; labda?) muungu?) 
mkubwa, hapana mwingine tenna, wa amma mimi na wewe sikilizef) 
mudda wa siku kumi, muungu atatufariji?).” wakiwaacha wale punda 
na frasi wale, wakikaa pale. 

yakitokea$) sungura, vakija?) na kusalia?), yakinena: ,,maskini! 
ninaomba, sipewi kitu; watu hawa watu gani, makafiri?) nini10) hawa?“ 
yule sungura amecheka kunena. yakitoka yule mtoto wa tajiri, yaki- 
mambia: ,,gissi gani, wewe hujui vibaya ,,maskini, maskini“, yanaombea 
cha!) kupewa na wote? nayo ndio ga'ida 2?) ya watu, wanavofanyiza 5), 
huruzigiwa'/4) na cho chote.” 

majibu hayo anamjibu yule mtoto wa tajiri, yanamambia, akasi- 
kia yule mtoto wa maskini. na yule mtoto wa maskini yakimambia: 
hujui wewe, huyu sungura hataki kitu, yanataka hujaji?) yetu yai- 
pate, tuliyokujia, kama huna khabari wewe.” 

yule mtoto wa tajiri yakimwambia: ,,kweli kama hivo, mkamate 
mfunge.“ yakikamatwa!$), yakifungwa sungura. wyakinena sungura: 
hamna khabari? mimi ni mtoto mfalme!?), na baba yangu yana mtoto 
mwanamke, tenna mzuri sana; tenna wawili hao!?) watoto, wenyewe 
mnapo, nifungulie, kulla mtu nitampa mojamoja." 

wale vijana wakipata tama'a!??) ya yale maneno yake sungura, 
kwa ma'ana wemekaa??) siku nyingi, kulla moja yana hamu?!) ya mke. 
wakimfungulia yule sungura, yakenda zake msituni. 

yalipofika kule kwao, yakileta vita vikubwa kuja wapiga wale 
vijana. wvikija vile vita, kuja wapiga wale watoto. na wale watoto 
wamesoma gorani sana wamesoma; wakiona vita vinakuja kutupiga. 
yule mtoto wa maskini yakincna: ,,shauri gani sasa? na wewe, ndio 
mwenyi mali, ujuaje kuyasirifu??) haya mali yako? wyasirifu, tuyaone 
tusije uliwa ??); na haya mali ni ya kuchuma, roho haichumi.“ yakimjibu: 
Sina neno jingine, illa ya kugawa mali haya, tuwape wao wachukue, 
sisi tupate kupona roho zetu.” yule mtoto wa maskini yakinena: 
..haina haja kupotea mali yako, khalafu tukifika kwetu uje unambie — 
ya kuwa: ,,mali yangu yasingalipotea illa huyu”, — na mimi siwezi 
naza'a?i)." 


1) ar. Kleinhandel treiben. 272) labuda, labda und vereinzelt auch 
lamda. 95) zu ergianzen mali ya muungu. 1) tusikilize. 9) ar. frei- 
machen, dvfinen. 9) akatokea. 7) akaja. $) woh!| falschlich fiir 0om- 
bea gebraucht. 9?) ar. Ungliubiger. 010) besser gani. 11) zu er- 
ganzen kitu. 12) ar. Grundlage, feststehende Sitte. 13) wanavyofanyiza. 
14) ar. Lebensunterhalt geben. 13) von kuja ist hujaji, das Kommen, gebildet. 
16) akakamatwa. 17) mtoto wa mfalme. 18) hawa. 19) ar. Verlangen. 
20) wamekaa. 21) ar. Absicht, Sorge. 2) ar. wenden, beugen. 23) oder 
uawa. 21) ar, Zank, Streit. 


8 


walipokuja wale watu vita vile, yakiwazuia yule pekeyake, mtoto 
wa maskini. alimrukia frasi wake, yakijifunga upanga na jambia na 
mkuki na bundugi zake, yule kijana pekeyake, yule mtoto wa tajiri 
amejificha msituni. yakipigana vita vile, yeye pekeyake, hana mwenzi, 
yakiwafukuza wote, wakikimbia wakenenda zao. 

yakarudi yakamtafuta yule kijana. hatta yakamwona yakisema: 
nhimewafukuza, wemekwenda!) zao na wengi nimewaua; na sasa 
chukua mali yako, yataharibika, ni afadali?) twende zetu kwetu." 

wakienenda, hatta njiani wakimwona sungura, sijui kama ndio- 
ndio yuleyule) wanashindana; wakamkamata, wakitaka kumchinsha. 
sungura vakinenaf): ,,yama yangu mimi ngumu, hamwezi labda)?); 
mnifunge na mirara9), mnifunge; nikipata jua, ile nyama yangu itare- 
jea, mtakula kwa tartibu, walla hamioni?) kama ngumu." wakikhada- 
“ika$). hatta ile kamba ikayabisika?), yakiikata, yakenenda zake mwituni. 
watu wakimzomea, wakisema — kama: ,,sungura emetukhada'a 99), na sisi 
tumekhada'ika na kinyama kidogo hiki sungura." 

wakaja zao hatta wakafika mjini kwao. wakifurahi baba zao na 
mama zao, wakiuliza khabari ya barra iliyowafika, wakieleza yote, na 
watu wakisikia. 


ndio khabari yangu ya uhadithi!!) huu, wa maana sana. 
Muhemedi bin Madigani aus Magogoni. 


1) wamekwenda. 72) comp. es ist besser. 3) Die Verdoppelung 
driickt den besonderen Hinweis aus ,,0b es grade der ist", 4) aka- 
nena. 99) zu erganzen kula. 6) Palmblattstreifen. 7) hamwioni. 
8) khada'a, betrigen. 9) ar. trocken. 10) ametukhbadata. 1) neben 
hadithi, ar. Erzahlung. 


hadithi ya Abu Nuwasi.!) 


Auwali yake huyu Abu Nuwasi jina lake Muhamed. na baba 
yake “Abdallah, gadi?) wa Haruni Alrashid. akikaa?) babake hatta 
zamani alipokuwa hawezi, akimwita mwanawe, akamambia: ,,nakuusia?) 
mwanangu nikifa ,,usiwe gadi, walla usiwe waziri kwa mfalme — 
shika shughuli”) yako.” 


1) Abti Nuwias war ein arabischer Dichter, geb. 762 n. Chr., gest. 
815. Er zog durch seine Poesien die Gunst des Hofes in Bagdad auf 
sich und genoss die Freundschaft des Chalifen Hartdn. Seine Liebeslieder 
gehoren zu den besten der arabischen Poesie. Eine Menge heiterer Er- 
zahlungen laufen unter seinem Namen, die wie diese und die folgenden 
dem Arabischen entlehnt sind. “Jj ar. (geistliche) Richter. 9) akakaa. “) ar. 
cmpfchlen, vermachen. 9?) ar. Geschaft, Arbeit. 


9 


yalipomshika maradi!) baba yake, gadi “Abdallah, analaghalagha”) 
mauti”). yule mwanawe Muhamedi alipojua — ya kama ,,baba yangu 
atakufa sasa hivi", akakusanya watoto, akachimbia mchi chini, akatwaa 
guzi la mnazi), akaweka juu ya mchi. akafanyiza ngamia, akitwaa?) 
makumbi ya minazi, yakiweka ndani ya guzi la mnazi, yakiweka juu 
ya ule mchi, akipanda juu yake, akiwambia watoto: ,,zungusheni 
hili guzi". wakazungusha, ikiwa mfano wa ngamia anayoshindika?) 
mafuta. 

wakija watu, wakimpa khabari: ,,baba yako “Abdallah anataka 
kufa, yu katika laghalagha mauti". majibu yake aliyowajibu wale 
watu aliwambia: ,,Abu Nuwasi hushika shughli zake bassi, maana 
yake baba kaniusia, “Abdallah, gadi“. 

akifa babake, akiletewa khabari ya kama: ,,baba yako amekufa“. 
majibu yake alinena: ,,Abu Nuwasi — shughuli yake!" katika 
ngamia wake wa mnazi wakamhujuru”) watu, wakanena: ,,huyu ana 
wazimu". wakisimama kuzika babake wagati?) wa athuhuri?). 

alipojua yule Abu Nuwasi, ya kama watu wamekwenda maga- 
burini") kwenda zika, naye akenda meskitini. hamna?) mtu mle 
meskitini. akenda gibulani”) akakaa kitako. naye asitoke, akiwa mle 
ndani, hatta watu wakaja kusali?) wakasali watu, walakini Abu 
Nuwasi yeye hakusali, yeye hutazama shughli zake. hatta walipo- 
kwisha kusali watu, wakitoka watu meskitini. 

kazalika £) na Abu Nuwasi akitoka, akenda kwa sultani Harun 
Alrashidi, akamambia: ,,niozeshe mtoto wako nimbikiri?)". sultani 
akauzika sana, akamambia: ,,huna haja ya kunambia") mimi hayo, ya 
kama wataka umwoe mwanangu”? kwa sababu najua kama nikikuoza 
mtoto wangu, lazima utalala naye, na kama utalala naye, najua, kama 
utambikiri, bassi haihitaji”) kunambia, walla sikuozeshi mtoto wangu". 
akakataa kumoza mtoto wake. 

akazipata khabari waziri wake Jafafari, ya kama Abu Nuwasi 
alitaka kuoa mtoto wa mfalme, lakini mfalme amekataa. akaja Ja'afari 
kwa mfalme, akamnasihi'?) mfalme akamambia: ,,mwozeshe mtoto wako 
Abu Nuwasi, na aliyonena Abu Nuwasi msamehe"). akamwoza kwa 
ma'arifa”) aliyomwambia waziri wake Ja'afari. 


1) ar. Krankheit. 7?) ohne Besinnung, im Sterben liegen. 9) ar. Tod. 
4) herabgefallener Kokosbaumast. 5) akatwaa. 9) neben sindika. 7) ar. 
sich trennen von. 9?) ar. Zeit. 7) ar. Mittag. 5?) ar. Begrabnissplatz, 
Friedhof. '!) wie pana —-. hapana, kuna — hakuna, muna, mna — hamna. 
13) ar. Gebetsrichtung. ?) ar. beten. '?) ar. gleichfalls. '?) bikra ar. Jung- 
frau. '$) kuniambia. ') ar. ndthig haben. 9) ar. Rath geben. "ar. 
verzeihen. €?) ar. Kenntniss, Wissen, Vermittlung. 


IO 


alipomwoa yule mwanamke, Abu Nuwasi alikaa siku nyingi 
hakulala na mwanamke, kazi yake kula na kulala pekeyake. wakenda 
watu wakamsaili Abu Nuwasi: ,,kwa nini weye huyu mwanamke 
hulali naye, tukijua kijana ao mke mkubwa?" Abu Nuwasi akanena: 
nastahi') mtoto wa sultani kumbikiri". 

na wale watu waliposikia maneno ya Abu Nuwasi, wakenda 
kwa mfalme, wakampa khabari — ya kama: ,.hii harusi?) imekawia 
kustawi), ajili?) ya Abu Nuwasi anamogopa mtoto wako kumbikiri“. 
mfalme akatoa amri, Abu Nuwasi akalala naye. 

hatta akipata siku arba'in!), akiwa mtu, mke akaona tamu, aka- 
tarajji9) kumwatii”) pande mbili. mwanamke akapeleka khabari kwa 
babaye, sultani, akam'arifu khabari hizi za Abu Nuwasi. yule babaye 
akamwita Abu Nuwasi, akamsaili: ,,khabari ile unayotaka kumfanyiza 
mkeo?) ni kweli" Abu Nuwasi khabari ile akagubali. akimambia: 
”>mwache mwanangu". akamwacha palepale na babaye palepale. 

akamwita mtumwa wake yule Abu Nuwasi, akamambia: ,.lete 
punda". akaja punda. akamambia: ,lete na sogi“. akamtandika punda, 
akenda katika udongo, akautia udongo kumoja?). watu wakamambia: 
”Abu Nuwasi una wazimu? sogi kumoja?"“ akawambia: ,,kutia huko 
na huko namwogopa sultani, ma'ana akisikia atanipigia". 

wale watu wakenda wakamambia sultani: ,,Abu Nuwasi anatuta 
udongo") kuchukua, na sogi anamtia kumoja punda“. yakamwita 
sultani Abu Nuwasi, yakamambia: Abu Nuwasi huna 'agili'!), ilikuwaje 
kutia udongo upande moja, desturi gani hiyo? umeona wapi ya kupa- 
kiwa kumoja?" Abu Nuwasi akamjibu sultani, akamambia: ,,umeni- 
kataza mwenyewe zamani, ukanambia ,,haifai“, ukanisiza mke wangu, 
na sasa ilikuwaje kunambia nitie huku na huku, nawe unajua kama 
haya mambo ni uzani?" sultani akamambia: ,,chukua mkeo“. akim- 


rejesha mtoto wake kwa mumewe. 


Mw'allim Mbaraka bin Shomari 
aus Kondutschi. 


1) sich fiirchten. 7?) ar. Hochzeit; harusi neben “arusi. 53) si- 
tawi grinen, blihen, hier feiern. “) ar. Grund. 9) Die Zahl arbafin 
scheint eine beliebte Zahl der Suaheli zu sein. cf. Mittheilungen aus 
dem Seminar Bd. I Heftt III p. i7. Note 2 und p. 44 Note 4; fiir letzteren 
Ausdruck ist auch arba'lin mpumbuji gebrauchlich; cf. ferner die folgende 
Erzahlung hadithi za Abu Nuwasi p. 11. ?) ar. winschen. 7) ar. zu- 
friedenstellen. 9) mke wako. “auf cine Seite. '9) Lehm holen. 1) ar. 
Verstand. 


II 
hadithi za Abu Nuwasi. 


Abu Nuwasi alikuwa fasigi!) sana, hatta mkewe Jafafari, yule wa- 
ziri wa sultani, alikuwa mwanamke wake. akazipata khabari yule 
Ja'afari, waziri wa sultani, ya kama: ,,mkeo anazini na Abu Nuwasi.” 

akaenenda Ja“afari kwa sultani, akamambia: ,,na tufanyize hikima?), 
magsudi”) tumwue Abu Nuwasi.“ sultani akajibu: ,,huyu Abu Nuwasi ana 
“agili sana. tutafanyiza hikima gani, hatta imshinde Abu Nuwasi?“ waziri 
akanena: ,,na tufanyize hikima, tuwatake watu gadiri?) ya watu arba'in ?) 
waje hapa. na kulla mtu tumpe yayi mojamoja?) atie nguoni mwake, na 
khalafu tumwite Abu Nuwasi tumwambie: ,,sisi watu arba'ini, tulio hapa, 
kulla mtu na ate?) yayi mojamoja, na Abu Nuwasi asipoweza kuata yayi 
yake — auawe.” sultani akagubali. bassi akaitwa yule Abu Nuwasi. ali- 
posikia akanena: ,,vema, fanyizeni.“ ikiwa wale wamechutama3$), kulla 
mtu akajikwina?). wakitoa yayi kulla mtu; akabagi!?) Abu Nuwasi. ali- 
poona watu wale wametoa mayayi, Abu Nuwasi alitwaa mikono yake, aka- 
ipiga katika mbavu zake, akajifanyiza jogoo la kuku, akanena: ,,kokoiko." 

akaenenda Abu Nuwasi kwa mfalme, akapiga mbavu zake, akanena 
vilevile kama jogoo ,,kokoiko“. wale watu wakamambia: ,Jete yayi, 
kulla akiambiwa katoa!!) yayi“; yeye hujigeuza jogoo, akawika. khalafu 
akaulizwa: ,,nini ma'ana, sisi wote?) tumetoa mayayi, weye shughuli yako 
— kokoiko?" akawajibu: ,,ninyi kuku na mimi jogoo, si kazi yangu kuzaa, 
walakini mimi huwapa mimba ninyi, ndipo mlipopata kuzaa mayayi. ha- 
yamkini?) kuku kuzaa pasipo!?) jogoo na ninyiote!?) kuku, mimindiyo jogoo 
wenu; amma nitajieni jogoo wenu, aliyewapanda hatta mkapata mimba, 
mkitoa mayayi haya!” wakishindwa wale kwa maneno ya Abu Nuwasi. 

wakifanyiza!8) hikima ya pili. yule waziri Ja“afari akamambia 
mfalme: ,.tulitwae jiwe tulipasue, tumwite Abu Nuwasi alishone jiwe, 
na asipolishona — auawe.” na pale waliponena maneno yale, yule 
mkewe waziri Ja'afari yupo, akajua mwanamume wake, Abu Nuwasi, 
atauawa. akapeleka khabari kwenda mwambia khabari ile. 

hatta asubuhi akitwa!?) Abu Nuwasi, akapawa!?) jiwe limepasuka !?), 
wakimambia: ..lishone jiwe lile, na usipolishona — tutakuua.” Abu 
Nuwasi akatoa ndogo katika nguo yake, alikuwa cmelifutikaW), akampa 
waziri wa mfalme lile jiwe kidogo?!), akamambia: ,,piga uzi, nishone 


1) ar. Wolliistling. “) ar. Weisheit, Verstand. 3) ar. Absicht. “) ar. 
ungefahr. 9?) cf. vorige Erzihlung Note 5. $) Je ein. 'j)ache. $) Sich 
hinhocken. 9) driicken. 9) ar. itibrig bleiben. '!) akatoa. 2) Besser wiire 
sisi sote. 3) es ist nicht moglich, yumkini oder yamkini es ist moglich. 
14) Ohne (wo nicht ist). 5) ninyi nyote. '$) wakafanyiza. 7) Neben 
aketwa von akaitwa. '8) Neben pewa. ?) Statt lililopasuka; die Umge- 
hung des Relativs ist haufig. “) amelifutika, “!) Besser dogo. 


12 


jiwe hili kubwa.” waziri wa mfalme asiweze kupiga uzi, kwa sababu 
lile jiwe litakuwaje uzi? akishindwa waziri tenna, ya'ani!) Abu Nuwasi 
akasema: ,,mimi sishoni, illa mpige uzi huu." wakamwachia, akenda zake. 

na gissa?) cha tatu”): alifanyiza hikima tenna yule waziri pamoja na 
mfalme, wakanena: ,,tumwite Abu Nuwasi, tumwambie ajenge nyumba 
ya juu kwa juu, na asipoweza kujenga tumwue.”“ wakimwita, wakanena 
kama hayo. Abu Nuwasi akanena: ,,vema, ntajenga nyumba juu kwa juu.” 

akenda nyumbani kwake, akafanyiza 'agili yake, akatafuta miwalef, 
akafanyiza tivyara?) kubwa sana. khalafu akaifunga uzi, akairusha; 
ulipovuma upepo, ikenda juu tivyara. akenda nayo, akashika uzi, 
akenda hatta kwa mfalme na waziri wake. akiwafika akakaa kitako, aki- 
wambia: ,,nimekwisha jenga nyumba ya juu kwa juu, itezameni?), nayo 
ni ile juu iko, walakini nyumba ile kazi yake haijesha') yote, nataka 
chokaa kidogo na mawe myapeleke juu, wende?) watu wakaweke 
chokaa juu, na mimi takwenda?) maliza kazi.“ 

akatazama mfalme na waziri wake, hapana mtu atakayoweza ku- 
panda juu kunako ile tivyara, kwa sababu hapana mti wa kushikia 
hatta mtu afike juu. bassi, wakishindwa mfalme na waziri, wasiweze 
kumwua. 

akenda Abu Nuwasi kwa waziri Ja“afari, akamambia: ,,weye ume- 
fanyiza vissa vitatu — magsudi niuawe mimi, na sasa mimi sikuuawa, 
na leo mimi tafanviza 7) gissa kimoja — weye utauawa.“ waziri aka- 
mambia: ,,mwongo, huwezi kabisa.” 

bassi, akatoka Abu Nuwasi katika mji ule mudda miezi minne, 
khalafu akarejea mjini. alipokuja akachukua mchezo, na ule mchezo 
jina lake desi; walipouona watu, wakiupenda sana mchezo ule. akaji- 
fundisha waziri Ja'afari, hatta akajua. akenda akimambia!') sultani — 
ya kama: ,,Abu Nuwasi amekuja na mchezo mzuri sana.“ akajifundisha 
sultani, hatta akajua. 

na vule sultani anayo mtoto wake mwingine yumo nyumbani, 
bado hajaolewa; yule mtoto akajifundisha mchezo ule, hatta akaujua. 

bassi vule waziri huenda akicheza na mfalme kulla siku, hufung- 
wa?) mfalme na waziri. hatta siku moja akenda Abu Nuwasi aka- 
mambia mfalme: ,,mwache waziri acheze na binti?) wako, kwa sababu 
binti wako anajua sana kucheza mchezo huu.” mfalme akamambia 

1) namlich. 7?) ar. Sache. 9?) Diese Erzahlung ist ihnlich der in Dr. 
Biittners Anthologie p. 89 No. IV gegcbenen. “) Leichte Palmstangen, die 
mcist zu Thiiren yerwandt werden. Jj ar. Papierdrache. 9) tazama und 
tezama, bcide gebrauchlich. 7) haijaisha. ") waende. 7) nitakwenda; 
ni der 1 pers. beim Futur wird hilufig ausgelassen. ') nitafanyiza. '1) aka- 
mambia. '?) Hier in der Bedeutung von ,;jim Spiele schlagen.” 8) ar, 
Tochter. 


13 
waziri wake: ,,nenda kacheze na mtoto wangu.” akenda akacheza na 
mtoto wa mfalme, akafungwa yule kijana mabao!) sitta. 

akenda Abu Nuwasi kwa yule kijana mwanamke, akamambia: 
Umemfunga waziri?” yule kijana akanena: ,,sikumfunga, kanifunga 
yeye mabao sitta.“ Abu Nuwasi akamwambia yule kijana: ,,kesho 
akija kucheza nawe, usivae ukaya.“ akija?) waziri siku ya pili akicheza 
naye, na yule kijana hana ukaya, akifungwa vilevile mabao sitta. 

akenda Abu Nuwasi akamwuliza yule kijana: .,umemfunga wa- 
zirit” yule kijana kanena: ,,sikumfunga, amenifunga mabao sitta.” 
Abu Nuwasi akamambia yule kijana: ,,kesho ukicheza na waziri, vua 
barogoa.”) 

akija?) waziri siku ya tatu, akacheza na yule kijana, akafungwa 
yule kijana mabao sitta. Abu Nuwasi akamwuliza yule kijana: ,,umem- 
funga waziri?" akanena: sikumfunga, kanifunga yeye mabao sitta.“ 
akimambia:?) ,,kesho mkicheza, vaa nguo moja, mawasi9) ya kiswaheli."“ 

akija?) waziri, akicheza naye yule kijana.) alipomwona nguo: 
moja, akamtama'ani.”) akafungwa waziri mabao mawili, na yeye 
akimfunga?) yule kijana mwanamke mabao manne. na sababu ya 
kufungwa yule waziri, alikuwa macho yake hatazami ule mchezo, 
alikuwa akitazama kifua cha mwanamke, yule kijana, ndipo alipo- 
fungwa mabao mawili. 

akija Abu Nuwasi, akamambia: ,,leo umemfunga waziri?” yule 
kijana akanena: ,,nimemfunga mabao mawili, naye amenifunga mabao 
manne". Abu Nuwasi akimambia: ,,kesho tafuta ushanga uvae kiunoni 
mwako, utafute na ukaya uvae, ndiyo nguo yako, walla usivae nguo 
ningine illa ukaya“. 

alipokuja waziri kucheza na yule kijana, akamwona amevaa 
ukaya, na tunda") zinaonekana. yule waziri alipomwona tunda yule 
kijana, hakuwa na '“agili yule waziri, akifungwa mabao sitta yule waziri. 
khalafu yule waziri akamtama'ani yule kijana kulala naye. akalala naye, 
akiwa mwanamke wake yule mtoto wa sultani. 

na yule Abu Nuwasi akatazama khabari ile. hatta alipojua kama 
huyu waziri kesha”) lala naye huyu kijana, akenda akimambia baba 
yake mfalme — ya kama”): ,,waziri wako anazini na mtoto wako“. 
mfalme akamambia: ,,hagiga?) khabari hiyo?" Abu Nuwasi akanena: 

1) Der Erzahler hat hier woh| an das Bao-Spiel, ein bei den Suaheli 
sehr beliebtes Spiel, gedacht. 7?) akaja. $) ar. Gesichtsschleier. “) akaja. 
5) akamambia. $) Wohl aus dem ar. libasi gebildet; Kleid. 7) Die 
Vorsetzung des pron. vor das subst. ist in dieser Erzihlung auffallend 
hiufig. $) Begehren. ?) akamfunga. 9) Perlschnur. ') Fir amekwisha. 


13) In ahnlicher Weise wird die Rede auch oft durch kuwa oder ya kwamba 
eingeleitet. 3) ar. Wahrheit. 


14 


mkweli? akamambia: ,,kama husadigi') — lete wanja;) huu wanja 
tampa?) kijakazi, anayotandika kitanda nyumbani mwao, aenende aka- 
mwage kitandani. zama za saa sitta u nussu, akesha kula, hana buddif 
atataka kulala; na mimi na wewe mfalme tuenende mahali tukajifiche 
garibu ya njia, marra tupige ukelele wa moto, hana buddi atatoka; na 
ikiwa kweli amelala yeye katika nyumba ya mtoto wako, tutaona “ala- 
ma') ya wanja katika nguo yake." 

akachukua wanja Abu Nuwasi, akatafuta kijakazi cha nyumbani, 
akampa mapesa mangi. akenda akautia kitandani wanja yule kijakazi. 
alipokwisha kula waziri sa'a sitta U nussu alikwenda kitandani akalala, 
na kanzu yake vilevile, hakuvua. 

marra ukapigwa ukelele wa moto wa kimbilia watu. na yule wa- 
ziri akatoka kukimbilia moto, hana khabari kana kanzu yake ina wanja. 

alipopita pale, walipojificha mfalme na Abu Nuwasi, wakimwona 
kanzu yake yote ina wanja. mfalme akajua, hagiga huyu waziri ana- 
zini na mtoto wangu. marra akaamrisha watu: ,,kamateni waziri.” 
wakimkamata, akifungwa yeye na jama'a?) yake na watoto wake, wa- 


kiuawa wote. 
Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi. 


1) ar. glauben. 7?) Schwarzes Schonfirbemittel. 9) nitampa. 
War. Ausweg. ”J) ar. Zeichen. 9) Verwandtschaft. 


hadithi zingine za Abu Nuwasi. 


Siku moja Abu Nuwasi akafukuzwa mjini kwa mambo yake 
mabaya. sultani yakamambia!): ,,nenda zako, usikae mjini mwangu, 
tafuta inchi ningine, uende ukakae". nyumba yake wakaipiga moto. 

bassi, Abu Nuwasi akangojea nyumba yake ikawaka yote, ya- 
kenda?) dukani?), yakanunua magunia, yakenda yakazoa maivu ya 
nyumba yake, yakaazima na baghala?), chombo kikubwa, wyaka- 
pakiwa maivu katika baghala, hatta ikashehen?), yakatweka ya- 
kasafiri. 

yakapata baharini, yakakutana Wareno) na merkebu sab'a za 
fedda, wakamuliza: ,,unakwenda wapi?" yakawambia: ,,nakwenda kwa 


') akamambia. 7?) akaenda; in dieser Erzahlung lautet die III pers. 
fast immer ya. 7?) Laden. 1) grosses indisches Fahrzeug; der Suaheli 
liebt es, wenn er ein Fremdwort gebraucht, die Erkliarung in suaheli, wie 
auch hier chombo kikubwa, beizufigen. 9) ar. befrachten. $) Portugiesen; 
bezeichnend ist, dass im Folgenden gerade die Portugiesen als die 
Dummen hingestellt werden; die Suaheli nennen dieselben auch washenzi 
wa Ulaya. 


15 
sultani.“ wakamambia: ,,unachukua nini?" akawambia: ,,nimechukua 
zawadi kwa sultani, tunu kubwa sana.“ wakamambia: ,,tuulize!)“, 
akawambia: ,,siuzi, maana nampelekea sultani zawadi?)."” wakambem- 
beleza?) sana, wakampa merkebf') moja na shehena”) ya fedda, wenyewe 
wakashuka wote. na yule yakawapa jahazi,) wakafungaza) wa- 
kenda zao. 

na yule Abu Nuwasi yakenda zake pwani hatta mjini kule ali- 
kotoka. yakenda kwa sultani, yakamambia: .,,hii merkebu yangu 
nataka watu wakatute fedda yangu.“ yakamambia: ,,fedda umepataje?”“ 
akamambia: ,,nimechukua maivu ya nyumba yangu kwenda kuuza, 
watu wanayataka sana.“ sultani yakachoma mji mzima, yakapakia 
maivu katika vyombo. 

na wale Wareno wakenda kwao wakayafungua magunia, wa- 
kayaona maivu, wasema: ,,huyu emetughuli.?) wakafunga vita, ili 
kumtafuta baharini na wenzi wake. na sultani emechoma”) nyumba 
zake, mji mzima, emetia”) katika majunia!) maivu. emepakia”) jahazi 
sab'a, yakapakia na watu wajuao biashara). 

wakenda wakakutana Wareno baharini, wakawauliza: ,,mnakwen- 
da wapi?" wakawambia: ,,tunakwenda kuza maivu“. wakawambiana: 
ndio watu wetu hawa, tunaowatafuta, sasa wapigeni.” wakapigwa 
kwa mizinga, wakauawa wengi; wengine wakogelea wakafika hatta 
pwani, wakenda wakamambia sultani: ,,siye?) watu wengi tuliokufa, 
maana tulipigwa na mizinga tele, hatukutambuana.” sultani ya- 
kasema: ,,mtafuteni Abu Nuwasi;“ yakatafutwa, asipatikane. 

fedda yake yakamnyanganywa yote, yasimbagie”) hatta pesa 
moja; yakawa kazi yake kuokota mafupa, na ngozi yakatafuta. ya- 
kapata shehena nzima ya jahazi, yakapakia yakenda zake kusafiri. ya- 
kenda yakakutana watu wengine, wakamuliza: .,unachukua nini?” ya- 
kasema: ,,nimechukua zizo"); wakasema: .,tuulize". akasema: ,,siuzi, 
maana nampelekea sultani, hii tunu kubwa sana.” wakamambia: 
tunaitaka siye.” asema: ,labda mnipe fedda nyingi na merkebu 
mbili, ndipo ntauza.” wakampa merkebu mbili, yakafungaza mpaka 
pwani. 

akenda kwa sultani akamambia: ,,nataka watu nikachukue fedda 


1) relative Form von uza. ?Jar. zad Reiseproviant, Wegzehrung, 
suah. zawadi Geschenke. 53) zureden, liebkosen. $) ar. Schifi. $) ar. 
Fracht. $;) Fahrzeug. ') ins Schlepptau nehmen. $?) ametughuli; 
gbuli betrigen. 7) amechoma. ') ametia. ') neben gunia. “) ame- 
pakia. 5?) ar. Handel, aus befi wa shara Kauf und Verkauf; suah. 
bifashara und biushara. 'f) sisi; neben mimi, wewe, sisi, ninyi 
haben wir die Formen miye, weye, siye, nyie. ”?) ar. tibrig bleiben. 
16) kostbare Felle. 


16 


yangu." yakamambia: ,fedda hii umcipataje weye?" yakamambia: 
mhimeokota mafupa na ngozi, nikachukua nikenda nikauza.“ aka- 
mambia sultani: ,,huko mali sana? sababu watu wangu wanaitaka 
sana; yakamambia: ,mali tele.” yakachinsha ngombe wake sul- 
tani — wote, akasema: ,,nyama kuleni, nataka mafupa na ngozi." 

wakachinsha ngombe wote wa sultani, na punda pia wakachin- 
shwa. yakanunua magunia, yakatia mafupa; wakapakia katika vyombo 
sab'a. yakatoa mwanawe sultani, yakamambia: ,,nenda kauza mali 
haya, mafana weye si mjinga wa biashara; na ukenda!) ukaulizwa, 
sema: ,,nimechukua mafupa na ngozi." 

wale Wareno wakenda wakafungua magunia, wakatazama mafupa 
na ngozi. wakafunga vita, wakasema: ,,waliotunyanganya tukawatafute 
hatta tuwaone.” wakenda wakakuta baharini hawa watu wa sultani 
wakauliza: ,,mmechukua nini?” wakawambia: ,,;tumechukua ngozi;” 
wakasema: ,,hawa ndio watu wetu, sasa tuwapige.” wakapigwa, 
jahazi wakazitupa, wakogelea, wakafa; wengi, wengine wakajipona, 
wakaja mjini. yule mtoto wa sultani yakameleza baba yake mambo 
yaliyowapata. wakamtafuta Abu Nuwasi, hatta wakamona,”) wa- 
kamfunga na mali wakamnyanganya, wakenda wakamtia shimoni. 

na hilo shimo mna simba ndani, wakamtupa ndani gusudi? 
yende') yakamle. alipofika chini, yakamambia simba: ,,nimetumwa na 
sultani, ili kuja kukukuna.” simba akafurahi”) sana, asema: ,,sultani 
ananipenda sana, ma'ana kuniletea mtu kunikuna." 

yakakaa siku tele ndani. hatta siku moja wakapita watu njiani 
wakasemana; Abu Nuwasi yakajibu ndani, yakasema: ,,ntoeni$9), na 
mwenyi kunitoa ntampa?) fedda nyingi.” wale wakafanya tama'a9), 
lakini waliogopa sultani. 

bassi, wakenda wakamambia sultani — kama: ,,Abu Nuwasi 
mzima". yule sultani akaleta watu, walikwenda kumtoa Abu Nuwasi. 
wakamtoa wakampeleka kwa sultani. akenda akapata mali tele, akawa 
mtu mkubwa. 

“Siku moja ikaja ishara?) ya vidole vitano katika mji huu. wa- 
kesha wa'allim kutazama, wasijue ishara — moja wapo, Abu Nuwasi 
akasema: ,,mimi najua.“ akashuka pwani Abu Nuwasi, yakenda aka- 
fanyiza vidole vitano kwa mkono wake, kikazama kile cha tano. hatta 
asubuhi akafanza vidole vinne, kikazama kile cha nne. siku ya tatu 
akafanza vidole vitatu, kikazama kile cha tatu. siku ya nne akafanza vidole 
viwili, na siku ya tano akafanya kidole kimoja, kikazama cha mwisho. 

) ukienda. 7?) wakamwona. '9JJar. Absicht. 9) yaende — aende. 


o)J ar. sich freuen. 9)nitoeni. 7) nitampa. 6") ar. Verlangen, Sehnsucht. 
?Jar. Zeichen, Hinweis. " 


17 


sultani akamambia: ,,nipe maana.” ,,ma'ana ntakuelezea, lakini 
shurti') unipe mali.” yakampa mali sultani. alipompa, yakamambia: 
>mweny'ezimgu”) alikuja akauliza: ,,wale watu watano wanapendana 
wako?” mimi nikamambia: ,,hatta wanne hakuna“. na siku ya tatu 
nikamambia: ,,hakuna hatta watatu“; na siku ya nne nikamambia: 
-,-hakuna hatta wawili"; na siku ya tano nikamambia: ,,kulla mtu kwa 
shauri lake." 


bassi akakaa siku tano tenna katika mji huu, pana ishara ya 
bawa?) mjini, na kulla mwenyi koga huchubuka mwenyi mwili mzima?). 
sultani akasema: ,,mtu mwenyi koga maji haya ntampa?) upande mzima 
wa mji". akatoka maskini akagubali, akasema: ,,mimi ntalala usiku 
kucha, walakini shurti unipe khattif) ya mkono wako." 


hatta maghribi') akaingia majini, na “askari wanamngojea. na 
bibiye?) yakaja mpaka pwani, yakawesha?) moto juu. na mjukuu yuko 
katika maji, na mzee analia kumlilia mjukuwe"”); yakalala siku kucha 
kule majini. asubuhi yakatoka mzima, yakenda kwa sultani, yaka- 
mambia: nimeisha'') toka, nipe haggi”) yangu.” sultani akamambia: 
>bibio”?) aliwesha?) moto juu, weye katika maji ukaupata moto, hu- 
pati kitu.“ 


akenda zake huyu maskini, akenda kwa Abu Nuwasi, ili kwenda 
kushitaki?) akamambia: ,,sultani emenituma'?) burre majini, na ijara”) 
yangu hakunipa.” Abu Nuwasi akasema: ,,nimegubali." 


yakanunua michele mingi, akanunua na mbuzi, akamwita sultani 
akasema: ,,shamba mna karam”)." yakawaita watu wakubwa waku- 
bwa, wakafuatana shamba na sultani pamoja. akenda akachinsha mbuzi, 
na michele ikapimwa, wakatia katika vyungu; wakaweka hapa moto 
hapa chungu — mbalimbali. 

mpaka saa sitta sultani anahimiza, akasema: ,,upesi upesi, njaa 
inauma.” Abu Nuwasi yakamambia: ,,bwana”?), watu wanapika.“ 
akamambia: ,,nimesikia chungu na moto mbalimbali, ni kweli?” aka- 
mambia: ,,ni kweli bwana.“ akasema: jissi gani”) hivi, mwenyi ku- 


J) ar. Bedingung. 7) mwenyi 'ezi muungu. 95) plestzlich auf- 
tretende Krankheit. “) der folgende Theil dieser Erzihlung hat einige 
Aehnlichkeit mit der in Dr. Biittners Anthologie p. go No. V gegebenen. 
5) nitampa. “$) ar. Schriftstiick. 7) ar. Sonnenuntergang, im suah. ist 
matueo ya jua oder machweo ya jua gebriuchlich. 9?) bibi yake. 7?) aka- 
washa. 7) mjukuu wake. ') neben nimekwisha. 7?) ar. Recht, Forderung. 
13) bibi vyako. ') aliwasha. 5?) ar. klagen. '$) amenituma. ) neben 
ujira ar. Lohn. 5) ar. festliche Bewirthung. ?) meist hort man bana 
sagen. “?) neben gissi gani und ginsi gani — wie kommt das? 


Velten, Suaheli-Mirchen. j 2 


18 


pika — moto chini chungu juu, leo umepika mbalimbali?” sultani 
akakasirika sana, wakagombana. 

khatima!) sultani akauliza: ,,kwa nini hivi? akasema: ,,mimi nna 
ma'ana, nikafanyiza hivo — huyu maskini umemnyanganya haagi 
yake; umeona wapi ya mtu aliyokuwa katika maji, hatta moto ulio 
juu pwani ukampata? kana?) umempata, mbona chungu hakiwia:? 
sasa mpe haggi yake.“ sultani akagubali, akasema: ,,;inshallah, ntampa 
haagi yake." 

bassi wakenda mjini, yakenda yakampa haggi yake. bassi ndipo 
ilipokwishia hadithi ya Abu Nuwasi. 


Muhemedi bin Diwani Tambaza 
aus Klein-Bagamoyo. 


1) ar. schliiesslich. 7?) neben kama. 


hadithi ya Abu Nuwasi. 


Abu Nuwasi alikuwa na njaa sana, sababu njaa tele katika inchi 
hii. akatoka akenda kwa rafigi yake kumtazama. na yule rafigi ana 
chakula. aliposikia, Abu Nuwasi anakuja, akaficha chakula katika kiti, 
akaweka na nguo juu. 

wakamgaribisha ndani. Abu Nuwasi akenda kukaa katika kiti cha 
pili cha garibu na chakula. akawambia hadithi za vita za kupijana'), 
akawambia: ,,siku moja tulikuwa tukapijana na watu, nikamkuta moja 
akatangulia kunipija, nikaanguka. nikaondoka kidogo, nikakimbia kidogo, 
nikarudi nikaja nikampijia na miye”); yule mtu naye akaanguka. kha- 
lafu nikampija marra ya pili, akaanguka. nikachukua mfuko wake, 
nikakimbia nao. nikaona njaa sana nilipokwenda, marra nikapija chini 
hivi — nikakuta chakula, ndio kama hiki hiki kitini vilevile." 

ba'ada ya haya wakala sawasawa. 


. ..... “Abdallah bin Musa. 
1) pigana. 7) mimi. 


hadithi ya Koodini. 


Palikuwa mtu jina lake Koodini, wengine wakamwita Abu Nuwasi. 
kazi yote anajua, “agili nyingi sana. ikakokuwa'!) sulutani?) — hamtaki; 
amefanyiza taratibu?) zote yamwuef), lakini hampati, sababu hana sababu. 

siku moja sulutani akaweta?) watu, na yule Koodini na mtoto 
wake. wakachukua mti, wakautia katika chumba chenyi kiza). sulutani 


1) besser wire ikawako. 7“) sultani, 9) ar. Ordnung, hier im Sinne 
von List gebraucht. $) amwue. 9) akawaita. 9) neben giza. 


19 
akamzmbia Koodini: ,,nenda ndani uchukue rissi'), upije”?) huu mti 
marra tatu, lakini pahali pamoja; na kama umefanyiza darba?) mbili — 
utakufa.” 

Koodini akenda ndani, akawambia: ,,mmesikia?" wakasema: ,,tume- 
sikia”. yakachukua rissi, akapija kwa nyuma, na marra ya pili akapija 
vilevile, marra ya tatu akapija kwa uso, akawacha akatoka. akawambia: 
nendeni ndani mkatazame". wakenda ndani watazame; wakakuta 
darba moja tu. 

wakatoka. sulutani akamambia: ,,sasa na aende mtoto wako". 
mtoto wake akenda, babakc akamambia: ,,kwa herif), na nyuma yake 
ntakuifundisha". na yule mtoto akajua, yule babake”) amamfundisha. 

yule mtoto naye akenda ndani, akapija kwa nyuma marra mbili, 
marra ya tatu akapija kwa uso, akatoka. sulutani alipoona hii aka- 


sta'ajjabu?), na watu wote pia. wakamwacha yeye na babake. 
“Abdallah bin Musa. 


1) Art. >) upige. J)ar. Schlag. “)seltener hdrt man kwa kheri, 
ar. kheir, das Gute, gut, wahrend kheri, Gliick, alleinstehend haufiger ist 
als heri. 9?) baba yake; auch babaye. 9) ar. sich wundern. 


Sultani na Abu Nuwasi. 


Paliondokea sultani, milki') na inti”) zake nyingi sana, na “askari?) 
wake wengi sana, kulla namna?) anazo. naye sultani amezaa watoto 
wake wawili, wote waanawake, mmoja ameolewa na mmoja bado. 

akatoka Abu Nuwasi, akanena na watu, akasema: ,,;takwenda?) 
mposa mtoto wa sultani“. watu wakimkataza, akanena: ,,sisikii maneno 
yenu”. wakimwuliza wale watu: ,,utakwenda nafsi?) yako ao utapeleka 
mtu ao barua?" akanena: ,takwenda”) nafsi yangu". 

akimngojea siku ya baraza. watu wamejaa tele. akamgabili?) sul- 
tani, akasema: ,,sultani, nimekuja kwako, nataka unioze mtoto wako, 
nilale naye". alipokwisha sema vile, sultani akafanya ghadabu?) sana, 
akiamru “askari akauawe Abu Nuwasi. marra moja Abu Nuwasi aliruka, 
akianguka katika ) miguuni mwa waziri wa sultani, gasidi ') amwombee 
apate salaama. sultani akanena: ,,Jhuyu amenitukana sana, walakini 
ba'ada mmetaka samahani”) nyingi, mawaziri zangu, nimemsamehe, 


ar. Macht, Herrschaft. ?)fiir inchi. $) ar. Heer, Soldat. far. 
Art. ?) das Fiirwort ni wird beim Futur hiaufig weggelassen. 9) ar. Seele. 
7) nitakwenda. $) ar. sich nihern. 9) ar. Zorn. 9) katika wire durch das 
angehingte ni in miguuni tiberfliissig. '!) ar. Absicht, Vorhaben. 7?) Ver- 
zeihung. 


0” 


20 


lakini nataka yatoke') katika milki yangu, asikae". akatolewa katika 
mji, akienenda?) nti?) nyingine. 

ikitokea shani?) katika mji wa sultani. kwa baadi?) za baharini 
kiko kitu hutoa mikono miwili ndani ya maji, kikitoa?) vidole kumi, 
kikawaonyesha walio katika mji. wakata'ajjabu?) watu wote, waka- 
peleka khabari kwa sultani, wakamwambia: ,,pwani iko ishara?) ya 
kitu, kinatoa vidole kumi ndani ya bahari“. akienenda sultani, akita- 
zama akiona kweli. wakitakwa wa'allimu, wanaotazamia kulla ishara, 
wasitoe fasili?) yake; ikiwashinda waganga wote. 

akatokea “askari mmoja, akanena kwa sultani, akamwambia: ,,kama 
angalikuwapo Abu Nuwasi katika inti?) yako, angaliitambua ishara 
ile“,. ,,marra"“, sultani akamwambia waziri wake, ,,pelekeni khabari, 
akatwe Abu Nuwasi, arejec katika mji, aje atuambie mambo haya, 
atupe fasili yake". akapelekewa khabari Abu Nuwasi kuitwa. akaleta 
majibu, akanena: ,,siwezi kuja, sababu roho yangu ina khofu, labuda 
sultani anita'") kunikhada'a?) — ataniua". ikipelekwa majibu ya sa- 
hihi?) — ya kwamba ,,huna dara"), ni kuja ?)“. 

akaja Abu Nuwasi, hatta akifikia kwa sultani. sultani akimpa 
khabari. akinena: ,,nimesikia, lakini iwapo mimi nimetambua ishara yake 
kile kitu, tapewa'9) nini ahsante) yangu?” sultani akanena: ,,takuoza 
yule mtoto wangu, uliyomtaka auwali“. akanena: ,,vema, sultani, ni- 
megubali, nipelekani”) pwani hatezame ?)“. . 

wakampeleka pwani, akatazama, akiona kitu kimetoa vidole kumi. 
na yule Abu Nuwasi akatoa vidole tiss'a, kile kitu kikarejesha mikono 
yake, khalafu kikatoa vidole vinane. Abu Nuwasi akamtolea vidole 
sab'a— kikatoa vidole sitta. akatoa vitano — kikatoa vinne, akatoa vitatu — 
kikatoa viwili. Abu Nuwasi akatoa kimoja, khalafu kile kitu kikaondoka. 


wakarejea katika mji. sultani akamwuliza: ,,Abu Nuwasi, nipe 
khabari, nini ishara yake”)? akanena: ,ishara yake — amekuja uliza, 
anena: ,iko siri?!) ya watu kumi?" mimi hamjibu”): ,,haiko hatta ya 
watu tissa.” akanena: .,,hatta wanane?" hamwambia: ,,hatta sab'a.” 
akanena: ,,hatta sitta?" hamwambia: ,,hatta watano.“ akanena: ,,hatta 
wanne?" hamwambia: ,,hatta watatu.“ akanena: ,,hatta wawili?" ham- 
ambia: ,,hatta moja;“ akenda zake. hio ndio ishara iliyokujia. 


) atoke. 7?) akenda. 3) inchi, f) ar. Sache. 3) ar. Theil. 
6) kikatoa. 7) ar. V. Form, erstaunen. $) ar. Hinweis. 9) ar. er- 
klaren, auslegen. 9) inchi. '!) fiir anijita, ?) ar. betrigen, hintergehen. 
3) ar. wahr. 1) ar. Schaden, Ungliick. 5?) wortlich ,,du bist zu kommen“, 
gebrauchlicher ware njoo. '9) nitapewa. 7) Dank. '?) neben pelekeni. 
19) fiir nikatazame. “) zu erganzen ist ma'ana. "!) ar. Geheimniss. 7) fiir 
nikamjibu. 


21 


akasadigi') sultani; akafanya “arusi 7), iliyo kubwa sana, ya mtoto 
wake na Abu Nuwasi. akikaa katika nyumba Abu Nuwasi siku nyingi, 
asilale naye mwanamke, walla asikae naye mahala pamoja. ikapelekwa 
khabari kwa sultani, akiambiwa: ,,yule mume, uliyomwoza mwanao, 
hawakai pamoja.“ sultani akanena: ,,mwiteni, aje.“ 

akaitwa, akenenda akamwambia: ,,sababu nini, mimi nimekuoza 
mke, sababu nini hulali naye, walla hamkai mahala pamoja?” akajibu 
Abu Nuwasi, akanena: ,,nataka amri kwako, sababu nnaogopa.” akanena: 
“himekuamru." 

akenenda Abu Nuwasi nyumbani kwake, akalala na mkewe, h'a- 
rusi ikasitawi, akapawa na nussu ya mji na watu wake. akastarehe na 
mke wake, akiwa mtu maarufu?) kwa sultani, sababu ya maana, 
aliyoitoa mbele ya sultani, fasili ya kile kitu kilichotoa vidole kumi. 

Abu Nuwasi akawajibu maneno yaliyo sawasawa: ,.siri hakuna 
ya watu kumi, hatta mtu mmoja; ajapokuwa mtu pekeyake, akiona 
jawabu?) la siri, hapana buddi?) atapata rafigi?) yake, atamwambia na 
rafigi yake, naye anaye rafigi yake mwingine, atamkhubiri”), ndipo 
linapotoka nje, watu wote wakijua khabari. 

Mwenyi Hija bin Shomari aus Kondutschi. 


Yar. glauben. 7) “arusi neben harusi. 39) ar. angesehen. “f) ar. 
Antwort. ') ar. Ausweg. $) ar. Freund. ') benachrichtigen. 


Muhemedi na washitaki wake. 


Alikuwako sultani tajiri!) sana, yakazaa waanawe?) wawili, mmoja 
manamke na mmoja manamme.3) baba yao yakifaf), yakibagi?) yeye 
na ndugu yake. manamme yakaoa, yakazaa mtoto mmoja manamme, 
na manamke akaolewa, yakazaa mtoto mmoja manamme. 

bassi — wakalewa watoto hao hatta wakakua. wakawambia 
wazee wao: ,.tuozeni wake, ma'ana tumekuwa wakubwa.” wakaoza 
wake, kulla mtu na mkewe. 

hatta siku hiyo wakenda sogonif), wakenda wakakutana mbuzi 
wawili, wanauzwa kwa rupia 'asherini. wakanunua, sababu siku kuu 
garibu. yakamambia: ,,mwenzangu'), tungoje siku kuu tuchinshe.“ huyu 
akamambia: ,,vema.” 

hatta siku kuu ikafika, yule mmoja yakachinsha mbuzi wake, 
yakampelekea kichwa, yakamambia: ,,nnakupa kichwa cha mbuzi wangu, 
nawe unipe chako;" yakagubali. wakala nyama yao. ikesha naye 


1) ar. reich, Kaufmann. 7?) waana wake. 3) mwanamume. 1 akafa. 
5) ar. tibrigbleiben. $) sogo ar. Markt. 7) mwenzi wangu. 


22 


mwingine yakachinsha mbuzi wake, yakampelekea mwenziwe kichwa. 
akamambia: ,,sigubali mimi, nilikupa kichwa cha mbuzi wangu na 
weye unipe chako; leo unanipaje!) kichwa cha mbuzi, nasi?) hatukua- 
gana! shurti nataka kichwa chako!" 

yule akafanza dihaka?) ya maneno aliyosikia. yule mwingine 
emeshikaf), asema: ,,shurti unipe kichwa chako, ma'ana ndipo tulivoa- 
gana”). wakenda kwa baba zao, wakaamua$) maneno, wasiyaweze. 
wakawambia: ,,nendeni kwa sultani “Ediri?).“ 

wakaondoka watu wengi mpaka njiani. yule. ened'awiwas), 
Muhemedi, njaa inamuma sana. wote huwa mbele — watu, yeye akakaa 
nyuma kwa huzuni?) kumwingia, kwa oga!V) kufa. 

hatta wakapata mji mwingine yakapita kuomba maji. akamkuta 
kizee!!) kimoja huanika. jua likampata sana, yakenda yakataka maji. 
yakaambiwa: ,,maji, kwetu ta“abu??), waanawake wametoka toka asubuhi, 
ili kwenda kutafuta maji, hawajarudi; walakini upo mnazi barazani, 
panda uende juu, ukaangue madafu, upate maji unywe.” yakapanda 
Muhemedi mpaka juu, akenda akaangua madafu. marra yakaanguka, 
yakamfikia kizee; yakafa yule kizee. 

mwanawe, alipoona mamake amekufa, yakamshika: ,,umeniulia 
mama yangu, ntakwenda kwa sultani, cnde!?) akatuhokumu.“ waka- 
fuata njia moja, hatta wakafika mji mwingine. 

garibu na mji Muhemedi yakamkamata kanga yakamchinsha. 
yakenda katika nyumba ya hakim/), yakaomba moto. akaokota na 
kuni, akazunguka nyuma, yakachoma ndege wake; harufu) ikanuka 
nyumbani. na yule mke wa hakim ana mimba. aliposikia harufu ya 
nyama ile — yakaharibu. 

yakaja, yakaambiwa hakim, kama alikuja Muhemedi, yakapaa 
moto!$), akazunguka nyuma, yakenda yakachoma nyama yake, bibi aka- 
sikia harufu, yakaharibu. hakim akakasirika sana, yakamkamata 
Muhemedi, akasema: ,,na twende kwa sultani, yaende yakahokumu, 
maana kanitolea!?) mimba ya mke wangu." 

wakafuatana wengi, wakenda kwa sultani Ndozi, ili kwenda 
hokumiwa. walipokwenda njiani, wakasema wengine: ,,pataneni, huyo 
si amri yake, amri ya njaa.” hakim asigubali. tenna Muhemedi 


1) angehiangtes je— wie, was. 7?) na sisi. 9) ar. Spott. 1) ameshika. 
3) tulivyoagana. $) richten, Streit schlichten. 7) Gerechtigkeit. $) anayed'awiwa 
ar. d'ai beanspruchen. 9) ar. Traurigkeit. 19) neben ogopa. 11) unter kizee ist 
eine alte Frau, Zauberin zu verstehen. 12) ar. Ermidung, Beschwerde. 
15) aende, 14) Herrscher, Richter. 19) ar. “arf Geruch. 18) paa moto 
heisst sich in einem Hause brennende Kohlen holen, um Feuer machen 
zu konnen. 17) ukanitolea. 


23 
asema: ,,nataka rukhsa sasa kwenda kwa sultani “Ediri, sababu ya 
khabari ningine, ma'ana hokum yake nzun.“ 

marra yakaja yule mwenyi mbuzi, yakashitaki: ,billahi!) wa 
billahi, namshitaki Muhemedi, tumeagana mimi naye, ,,nakupa 
kichwa cha mbuzi wangu na weye unipe chako; leo anakataa, 
kwa sababu gani? na siye?) tumeisha?) agana, sasa nataka kichwa 
chake.“ sultani akamambia: ,haifaa kumua nduguyo), pataneni.“ 
akakataa. 

akaja yule mtu mwenyi mamie”), aliyokufa, yule mzee. yakaja 
yakashitaki. sultani Ndozi yakaamua yale maneno, yakamambia: ,,uta- 
pewa reale mia, maana hakumgusudiab?) kumua billa nguvu za 
muungu.” wyakakataa. 

wakenda zao hatta kwa sultani “Ediri. akenda akashitaki mwenyi 
mbuzi: ,billahi wa billahi, namshitaki Muhemedi, nilimpa kichwa cha 
mbuzi wangu, nikamambia ,,unipe chako“, yakagubali. khalafu chake 
hataki kunipa. akachinsha mbuzi wake, akaniletea kichwa; na sisi 
“ahadi?) yetu — kichwa chake.“ 

sultani akamuliza: ,,maneno, anayosema mwenzio3), kweli?“ 
akamambia: ,kweli, bana.” wakaitwa 'askari, sultani akawambia: 
mshikeni Muhemedi.” wakamshika, wakatoka naye ugani”); yakatoa 
kisu yule mwenziwe. sultani akamambia: ,,mchinshe, uchukue kichwa 
chake — angalia umwachie roho!?) yake.” akamambia: ,,siwezi, nikim- 
kata kichwa, atakufa.” akamuliza Muhemedi: ,,ulimpa roho, ao ulimpa 
kichwa?" akasema: ,,nilimpa kichwa.” ,,bassi, chukua kichwa chake, 
umpe roho yake.” akamambia: ,siwezi.” akamambia: ,,utaweza, 
ma'ana sikunyanganyi haggi!!) yako, mchukue kichwa chake, umwachie 
roho yake, tenna kwa upesi, walla usikawie, ma'ana nasumbuka kusi- 
mama, nnakusaburisha?) weye, chukua upesi, uangalie roho yake." 
vule akalia, akamambia: ,,bwana, nimetubu!?) maneno yangu, hatta 
siku ya pili nitakapo haya maneno — nichinshe." akamambia: ,,bassi, 
rukhsa, ende!?) zako." 

yakagabiri!3) yule mwenyi mama yake, aliomua katika mnazi, 
yakaja yakashitaki: ,,huyu Muhemedi kaniulia!$) mama yangu.” sul- 
tani yakamambia: ,,alimuaje?“ akamambia: ,,alipita pangu ya kutaka 
maji, nikaambia ,.maji hapana, walakini uko mnazi, panda juu kaangua 
madafu." na mama yangu yakakaa chini ya mnazi. yakenda yakuangua 


1) bei Gott. 7?) sisi. 39) tumekwisha ist gebrauchlicher. 4) ndugu 
yako. 9) mama yake. 9) ar. beabsichtigen. Tjar. Versprechen. $) mwenzi 
wako. 9) offener Platz. 10) ar Seele. 11) ar. Recht, Forderung. 72) ar. 
sich gedulden. Endung sha ist suah. causativ-Endung. 3) ar. sich 
bessern, bekebren. 14) nenda. DP) ar. sich nahern. 168) akaniulia. 


24 


dafu, marra yakaanguka mwenyewe, yakamfikia mamangu!) — yakafa; 
na sasa nataka uniamue." 

yakamwuliza: ,,mnazi unapatajer“ akasema: mnazi mkubwa 
sana.” ,uwongo, si mkubwa — mdogo.” akamuliza tenna: ,,unapa- 
taje mnazi huu!" akamambia: ,,mnazi mrefu sana.“ yakamambia: 
twende, ukanionyeshe mfano wake.” 

akenda akamwonyesha mnazi. yakapawa kisu mkononi, aka- 
mambia: ,,panda juu ya mnazi, uende ukaanguc nazi, na huyu atalala 
hapa chini ya mnazi, uende ukaangukce juu, umfikie huvu; emekufa?) 
— bassi, la — umckufa weye — bassi.“ yakamambia: ,,siwezi, bana, 
bokumu hiyo.“ yakamuliza: ,,alimpiga fimbo” yakasema: ,,hakum- 
piga;“ ,,alimchinsha na kisu?" yakanena: ,,hakumchinsha"; alimpiga 
risasi?” yakasema: ,,hakumpiga.” alipataje hatta yakamua?“ asema: 
alipanda juu ya mnazi, akamangukia, akafa; ,na weye panda juu 
ya mnazi, na mnazi huu ndio mfano aliopanda yeye." akamambia: 
>Siwezi bana.” akamambia: ,,utaweza, ma'ana mwenyi kuua — naye 
huuliwa, na mwenyi kupiga — naye hupigwa, ma'ana huyu kaua — 
nawe panda juu umwuc.” 

na mnazi huu mrefu, kama alivosema”), yaogopa kupanda. ya- 
kitoka juu hatta chini — atakufa, yakampata — atakufa, na yakamkosa 
— atakufa! akamambia: ,,bwana, nimetubu maneno yangu, walla sina 
da“awaf) naye, na unasikia ntamshitaki, nifunge utakapo mwenyewe, 
na mimi ni radi”), nimemsamche?) mambo aliyonifanyizia.“ 

yakagabili mwingine, huyu wa tatu, aliyotolewa mimba mkewe”. 
akashitaki, akimambia: ,,huyu kanitolea?) mimba mke wangu.“ akau- 
liza: ,,kaitoaje?) mimba hiyo?" asema: ,alikuja na ndege wake mpaka 
mjini, akataka moto nyumbani kwangu. yakapewa moto, yakazunguka 
nyuma, yakachoma ndege wake; na yule ndege emenonal?), bassi 
akasikia h'arufu mke wangu, mimba — ikatoka; sasa nataka mimba 
yangu.“ yakaulizwa yule Muhemedi, yakaambiwa: ,,weye mbaya sana, 
kulla mtu anakushitaki weye kwa ubaya wako.“ sultani akasema: 
”mimi ntayaamua hava maneno." 

akamwita mwenyi mkewe, akamambia: ,.tafuta nyumba kubwa, 
utie vyakula vingi, utie na kuni na vibiriti!!) vingi, na nyama nyingi 
na samli nyingi, na huvu Muhemedi pamoja na mkewe; ufunge 
mwango, ufunguo uchukue mwenyewe muhulla?) wa miezi sitta, 


1) mama vyangu. ?) amekufa. 653) alivyosema. 9) ar. Klage, 
Prozess. ?jar. zufrieden. 69) ar. verzeihen. 7) mimba ya mkewe. 8) aka- 
nitolea. ") akaitoaje. 10) amenona. !!) kibiriti ar. Schwefel; plur. sollte 
also auch kibiriti lauten; so bildet der Suaheli auch yon ar. gissa den 
plur. vissa. 12) ar. Frist. 


25 
atatia mimba.” yule asigubali, akamambia: ,,siwezi, bana. aka- 
mambia: ,,bassi, pataneni weye naye.” yakamsamehc; ndipo ilivopita!) 
hokumu. | 

wakaondoka wote pia, kulla mtu yakajuta. mwenyi mamaye 
yakajuta, ,,kheri ningalipokea fedda pale kwanza;“ na yule mwenyi 
kutaka kichwa yakajuta, na yule mwenyi mkewe yakajuta. 

sultani yakatoa “askari, wakampeleka hatta kwao yule Muhemedi, 
wakamgabidi?) mama yake na baba yake, wakawambia: ,,mwanenu3) 


emewasiri?). bassi ndipo ilipokwishia. Muhemedi bin Diwani Tambaza 
“ aus Klein-Bagamoyo. 


1) ilivyopita. 2?) ar. in Empfang nehmen. 3) mwana wenu; 
seltene Zusammenziehung. 7) amewasili, 


Usishike shauri la mwanamke. 


Alitokea mfalme, akanena: ,,shauri la mwanamke asishike mtu“. 
akitokea mtu na mkewe, anakwenda tembea. wakapata mahala pana 
mitende mingi. akapanda juu manamme, juu ya mtende kungoa tende, 
apate kula yeye na mkewe. 

alipopanda juu, akashika kuti kavu. yule mwanamke chini aka- 
mwambia mumewe: ,,uache kuti kavu, ushike kuti bichi, kwa sababu 
hilo kuti kavu halina nguvu“. yule mwanamume akawaza akanena, 
sultani amesema ,,msisikilize mashauri ya waanawake.” akashika kuti 
kavu, ili kukataa shauri ya mwanamke, akaanguka chini akazimia!). 

khalafu yule mwanamke alipomwona yule mumewe amezimia, 
akalia mwanamke. marra wakija wenyewe wenyi mitende yao, waki- 
mwuliza?) mwanamke: .,,unalilia nini?" akanena: ,,nalilia mume wangu, 
amekufa. alipanda juu ya mtende, akashika kuti kavu, hamwambia?) 
vShika kuti bichi,“ asigubali, akaanguka, akifa?), na sasa nalilia mume 
wangu.” 

wale wakamwambia: ,,kama alishika kuti bichi mumeo?), naye 
akiwa mzima, tungalimpiga mikuki akafa, walakini sasa haiduru?). wa- 
kamchukua mwanamke. 

hatta asubuhi yule mumewe ikarejea roho?) yake, akatazama 
mkewe amechukuliwa, akanena; ,,kama ningalishika kuti bichi, hafu- 


ata$) maneno ya mke wangu, wangaliniua.“ 
Mw'allim Mbaraka bin Shomari aus Kondutschi. 


1) das Bewusstsein verlieren. 7?) wakamwuliza. 5) nikamwambia. 
4) akafa. 9) mume wako. 9$j)ar. schaden. “Jj ar. Seele. $) nikafuata, 


Mtoto mtundu!) lazima kumrudi?). 


Alikuwako mtu mmoja, ana mali mengi, lakini anataka mtoto, 
hajapata. akaweka naziri”): ,,nipatapo mtoto, gadrif) atakalofanyiza?) 
— simrudi." 

akapata mtoto, akamlea, hatta akiwa mkubwa. alipokuwa mku- 
bwa, yule mtoto hufanyiza utundu, hana heshima?), haogopi watu; 
kulla mtu akamwona — humtekenya?). 

wakenda watu, wakimwambia babaye) — ya kama: ,,huyu mtoto 
mtundu, hana heshima, kulla mtu anayemwona humtekenya.“ na yule 
baba yake hamrudi mtoto wake, kwa sababu ile naziri, aliyoweka auwali. 

siku moja akamtekenya mtu, akastuka?) yule aliyotekenywa!, 
ana kisu mkononi, akampiga nacho, akamwua akafa. 

alipokufa, watu waliobagi mjini, wakimwambia baba yake — ya 
kama: ,,mwanao amekufa kwa sababu ya utundu; nawe hukuweza 
kumrudi mtoto wako? kulla tukinena nawe husikii, na sasa mtoto wako 
amekufa, hapana da“awa!J).? akashukuru !?) muungu. 

hadithi hii hadithi ya mtu mwenyi mtoto mdogo, akifanyiza 
utundu, wajibu 3) kumrudi. 


Mw'allim Mbaraka bin Shomari 
aus Kondutschi. 


1) unartig. 2) rudi hat die Bedeutung zuriickkehren, dann zurecht- 
weisen, bestrafen. 59) ar. Geliibde. f) ar. ungefihr. 9) lo auf neno be- 
ziglich. 9) ar. Respekt. 7) kitzeln. $) baba yake. 9) auffahrer, erschreckt 
werden. 10) das relat. yo fiir ye der I, Klasse ist sehr hiufig. 11) ar. 
Prozess, Klege. 72) ar. danken. 13) ar. Pfiicht. 


Mwarallimu'!) mwenyi 'agili?). 

Alitokea mw'allim mmoja wa kizungu, aliyejua kusoma sana; 
vamcekuja?; kutoka Ulaya?). akauliza mw'allim: ,,nani anayojua kuso- 
ma” akaambiwa: ,,watu wengi wanajua.” akasema: ,toka niliposoma 
mimi, sikuona mw'allim ajuave kusoma kama mimi.“ wakamwambia: 
utele hapa, wapo hao wafallim.“ , twendeni mnipeleke;" wakimpeleka. 

kulla mw'allim humwuliza: ,,kitamu nini?" wale wafallim hum- 
jibu, wakasema: ,tamu roho?) na 'afyaf) na bakhati?) na mali na uzima 
na kesho kuingia peponi.” vule mw'iallim wa kizungu akawambia: 
bado hamjanambia kweli.” wakasema: ,,kwa nini?" ,hamkijui kitu 
kilicho kitamu nyie58;.“ 

Ii) ar. Lehrer. 2?) ar. Verstand. 53) amekuja. 1) ar. Bezirk, Provinz. 
Dcr Suahceli versteht unter Ulaya Europa resp. Deutschland und in zweiter 


Linie ,,Heimath“ iiberhaupt. ?) ar. Scele. $) ar, Gesundheit. 7) ar. Gliick. 
$ . . 
) NINYI. 


27 
akamwona mw'allim mmoja, emekaa!) kitako barazani pake, eme- 
shika?) kitabu anasoma. yule mw'allim wa kizungu akamjongelea 
garibu yake, na yule mw'allim yasimtazame, yameshika kitabu chake, 
emejinamia?), anasoma. akamwambia mw'allim: ,,kitamu nini?“ yule 
mw'allim wa kiswaheli akamjibu, akamwambia: ,,kitamu — wali.“ 
akatoka akenda zake hatta kwao Ulaya; akakaa miaka 'asherin,. 
akiwa mtu mzima. khalafu alipokuja zake kwa yeye), yule mw'allim 
wa kiswaheli, akamwambia: ,,mw'allim, kwa nini?" akamwambia: 
kwa nyama.” akampa mkono, akamwambia: ,,weye mw'allim mku- 


bwa, hapana mwingine tenna." Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) amekaa. 7?) ameshika. 3) amejiinamia. 4) besser kwake. 


Mashindana)). 


walishindana watu wawili kwa shuruti?) yule mtu mmoja aka- 
nena: ,,hapana mtu anaweza mtezo?) wa watoto.” yule mwenzi wake 
akanena: ,,mimi naweza.” wakafanya mashindana, akamwambia: ,,uwe- 
zapo mtezo wa watoto, ntakupa reale mia.” naye akanena: ,,kama 
sikuweza takupa?) reale mia. j 

akenenda katika mtezo wa watoto, akateza?) nao kulla namna. 
khalafu alipoona watoto wakavua nguo zao — wote, wakenenda tupu, 
veye asiweze kuvua nguo, ajili9) yeye mtu mzima. akashindwa, akatoa 


rcale mia. 
Mubhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) Wette. 2?) ar. Bedingung. 3) mchezo, 1) nitakupa. 9) akacheza. 
6) ar. Grund; gebrauchlicher ist sababu, kwa sababu als ajili, kwa ajili. 


Dijoni na Tarafu. 


Palikuwa mjini watu wawili, wana 'agili sana. mmoja jina lake 
Dijoni, na mwingine Tarafu. ikakuwa!) pale sulutani?) moja; yule 
Tarafu akakuwa3) katika rafigif) zake. 

yule sulutani alifanyiza shauri kumkamata yule Dijoni. akenda 
akafanyiza karamu kubwa sana. na yule rafigi yake Tarafu, alipopata 
khabari, ya kama sulutani alitaka kumfukuza Dijoni, akachukua mchele 
kidogo na nyama kidogo, chakula chote chilikuwa?) katika karamu 


1) besser ikawa. 7) sultani. 5) akawa. 41) ar. Freund. 9) kilikuwa. 


28 


amechukua kidogo kidogo kwa yule rafigi yake. akafanyiza paketi!) 
kidogo?), akampa mtu kupeleka kwa Dijoni. 

na yule Dijoni khalafu akaja nyumbani kwake usiku, akakuta 
ile paketi kidogo, akafungua. alipoona vitu vidogo hivi vyote, aka- 
tambua maana?) yake, yaani?) — sulutani alitaka kumkamata. 

aka“azimu”?) kuondoka usiku na vitu vyake na mke wake na 
mama yake. akachukua tenna mbuzi wawili na ngombe wawili, aka- 
wafunga mlangoni kwake nje. walikuwa wanalia sana, yule Dijoni 
akathanni$), ,,sasa wanakuja kunikamata“, yakakimbia, na vitu vyake 
na mke wake na mama zake na mbuzi na ngombe vyote?) akawacha 
palepale nyuma. 

siku ya pili watu wa sulutani wakenda nyumbani pake kumka- 
mata, wakamkuta hayupo, amekimbia. 

ikapata mwaka mwingine, yule sulutani akafanyiza shauri, alitaka 
kufanyiza suluhu?) na yule Dijoni. akatuma watu — ya kuwa; ,,sitaki 
ugomvi na wewe sasa, urejee papa hapa mjini.” na yeye akasema: 
Ndio, ntakuja;“ lakini yeye hakuja. 

yule sulutani akafanyiza watu kwenda mchukua, yakamambia 
yule Tarafu: ,,nenda, ukamlete Dijoni.” yule Tarafu akasema: ,,mimi 
sitaki kwenda, kwa sababu nikenda ntasema, labda nimesema na yeye.” 
khalafu yule sulutani kamambia: ,,nenda, kwa sababu weye rafigi yake, 
ukenda weve — atakuja.” 

Taratu akafanviza safari?), akafika kwake. walipokutana, Tarafu 
akashika upanga wake, akamambia rafigi yake: ,,nimetumwa na sulutani 
kuja kukuchukua.” Tarafu aliposema maneno haya, akafanya “alama!9). 
na upanga wake, Dijoni akajua — akamambia: ,,ngoja kidogo, nakuja, 
navaa nguo zangu kwanza.” marra akakimbia, sababu ametambua 
katika “alama — sulutani alitaka kumchinsha. 

“Abdallah bin Musa. 


1) das deutsche Wort Packet. 7?) besser ndogo. 3) ar. Bedeutung. 
4) nimlich. 9) ar. sich entschliessen. 69) ar. glauben, meinen. 7) zu er- 
ganzen vitu. 83) ar. Frieden. 9) ar. Reise. 19) ar, Zeichen. 


Mfalme na waziri wake. 

Alitokea mfalme katika inchi yake; na waziri wake mmoja hum- 
penda sana. na katika inti!) za mfalme yule zimo nyumba mbili za 
mawe tu, moja va mfalme na moja ya waziri wake; bassi hapana 
nyumba ningine ya mawe katika mji. 


1) inchi; inti und nti (Lamu Dial.) sind neben inchi gebriuchlich. 


29 

hatta siku moja akibarizi mfalme katika barza!), na watu waka- 
kutana sana. akaletwa mtu mmoja mbele ya yule mfalme, na jamf'ei 
ya watu wakubwa katika barza. mtu yule ameshitakiwa, sababu ame- 
zini na mke wa mtu mkubwa, mfalme akafanya ghadabu?) sana. aka- 
ondoka waziri wa mfalme, akawaamru 'askari kumkamata, kumfunga 
yule; akiamriwa kuuawa. 

khalafu akanena yule mtu, akanena: ,,msiniue, nna?) neno nataka 
kusema.” yule mfalme akasema: ,,mmwacheni, msimfunge.”“ waki- 
mwacha), wakimwambia: ,,sema maneno yako.” khalafu yule mtu 
akasema, akamwambia mfalme: ,,;iko mbegu kwangu, nataka kupanda." 
mfalme akamwuliza: ,,unayo mbegu gani?" akamjibu akamwambia: 
“mbegu ya lulu, ndio niliyo nayo.” mfalme akamwambia: ,,kalete?), 
nipande.” akanena: ,,;ina shuruti9) mbegu hiyo, kupanda kwake shurti 
ipatikane mahala panapo nyumba ya mawe — ivunjwe, ipatikane ki- 
wanja cha nyumba ya mawe pasaftidiwe?), ndipo panapofaa kupanda 
mbegu hiyo.” 

mfalme akamwambia waziri wake: ,,amru$) nyumba yako ivunjwe.“ 
ikavunjwa nyumba va waziri wake, pakitengezwa kiwanja. wakimwam- 
bia: ,,sasa lete mbegu, upande.” akanena: ,,ipo shuruti ya pili.“ aka- 
mwambia mfalme: ,taka mtu, asiyopenda waanawake, huyo ndio 
afaaye kupanda mbegu hiyo.“ akidabbiriwa?) mtu, asiyopenda waana- 
wake, katika buldani!?) zote, asipatikane. 

khalafu akija!!) sultani wa inchi ningine kutembea katika milki!?) 
ya yule mfalme. akampa khabari zote yule mfalme, akamwuliza mfalme 
mwenzi wake, naye akamwambia: ,,hatta katika inchi yangu hutapata 
mtu asiyopenda waanawake.“ akasamehewa yule mtu akapata sa- 
laama kwa vule mfalme asiuawe, walla asifungwe, akapata amani, 
akenda zake. 


Mwenyi Hija bin Shomari 
aus Kondutschi. 


1) baraza. 2?)ar. Aerger. 39) nina. 1) wakamwacha. 9?) ukalete; besser 
lete. 6) ar. Bedingung. 7?) ar. reinigen. $) amuru. ?) ar. anordnen, 
disponiren. 10) ar. beled pl. buldan Ort, Stadt. 11) akaja. 12) Reich, 
Herrschaft. 


Mwallim!) mtaowa na shetani?) zake. 


Kuwa mw'allim, ana rafigi zake shetani wawili. na yule mw'allim 
kazi yake ya :kusali?). killa siku, hatta kutembea njiani, anataka kusali 
tu. hatta mwanamke kuoa hataki, alitaka kusali, ndio kazi vake. 


1) ar. Lehrer. 2?) ar. Teufel, Verfiihrer hier. 9) ar. beten. 


zo 

siku moja yule rafigi yake, shetani mdogo, akafanyiza shauri na 
huvu shetani mwingine, akasema: ,,nataka kumhadaya!) mw'allimu, 
yawache?) kazi ya kusali“ vule mwingine akashindana”); akamam- 
bia: ,,huwezi kumhadava.” na yule mdogo wa shetani akamambia: 
ntaweza.” 

yakenda, yakamtafuta mwanamke mzuri sana, mtoto bado, 
“omri!) wake miaka sitta'ashara. akamchukua akamfanyiza nymba 
garibu na yule mw'allim wa kusali, akamambia: kaa wee?); kesho kapiga 
kelele kuwa huwezi." 

siku ya pili yule shetani yakafika kwa yule rafigi yake mw'allim, 
kamambia?): ,,yuko mwanamke kijana hawezi sana, usiku halali, njoo 
umtazame.“ na yule shetani amechukua ulewi?!), amemwekea yule 
kijana. yule mw'allim akafika kwa yule kijana kumtazama; ikakuwaf?) 
siku zote anafika kumtazama. na vule manamke kijana, alipomfika)), 
akimgaribisha yakimpa mvinyo!) kidogo, akanywa mwenyewe, hatta 
khalafu wakilewa wote mawili. na munda!!) wa miezi minne vule 
mw'allim amefanyiza mtoto kwa yule mwanamke. 

khalafu yule mw'allim ameogopa kwa sababu ya kulewa, amejua 
kama shetani amemhadava, akamchinsha yule mwanamke na yule 
mtoto wake. 

mwisho wake akakuwa???) shetani vilevile. 

“Abdallah bin Musa. 


1) verfiihren. ?) aache. ”) wetten. Bar. Alter. 9) wewe. $) akamambia. 
7) berauschende Getranke. 9$)ikawa. 9) besser alipomfikia, 10) jedes 
starke berauschende Getrank. 11) mudda. 12) akawa. 


Mahomedi. 


Alikuwako mtu mmoja, jina lake Mahomedi; akawa na mali sana. 
akawa tenna manamke, binti sultani, naye mzuri sana. naye Maho- 
medi anamtaka; bassi mali yake yote anampa manamke. na yule 
manamke alitaka kumnyanganya mali yake, walakini hamtaki. bassi 
fedda nyingi anawapa tenna watumwa wake, walakini hampati bibi. 

hatta siku hiyo akamwita bibi, akasema — kama: ,.leo njoo 
kwangu.“ alipokwenda akapewa kileo, akalewa sana. khalafu bibi 
akamuliza: ,,una mali yako giasi!) gani?“ akamambia: ,,nna laki?) ya 
fedda.” akamambia: ,,vema, mali yako yote unipe mimi, nawe utani- 
pata, ntagubali kuolewa.” yakampa mali yote Mahomedi. alipokwisha 
kumpa, akamfukuza Mahomedi. 


1) ar. Maass. 72) hindust. lakh — 100000, pers. lik s0000. 


31 


akawa maskini sana, akaomba mjini. khalafu siku moja aka- 
mambia mamake!): ,,mimi ntatokomea?) mjini.“ bassi yakaondoka mjini, 
akenda zake. akenda siku sab'a, hapati chakula, walla hapati maji. 
akenda kutana matango mahali yamewiva sana; akenda akatafuna tango 
moja, akaota pembe mbili za kichwa. akenda zake, yakasema: 
”nnasimama — ntaanguka, hapa sipati jengine nitafune, maana njaa 
inaniuma sana.” 

yakenda mbele, yakapata tango bichi, yakatafuna; pembe zika- 
anguka chini. khalafu yakachuma matango mabichi na mabivu, akachu- 
kua mpaka mjini alikotoka. yakamona yaya wake3?) binti sultani, ya- 
kampa matanga mabivu, akamambia: ,,kampe bibi.” yakachukua tango, 
akenda akampa. alipotafuna, zikaota pembe. wakesha kufanza dawa, 
zile pembe zikakaa vilevile kichwani. sultani akasema: ,,mwenyi 
kufanya dawa zikaanguke, ntamoza huyu mwanangut?), ewe?) mkewe." 

akatokea Mohamedi, akamwambia sultani: ,,nikafanza9) dawa, 
zianguke pembe, mke nioe mimi, lakini nipe khatti?) ya mkono 
wako.“ akafanza dawa Mohamedi siku sitta; siku ya sab'a zikaanguka 
pembe. zilipoanguka pembe, ikapigwa mizinga mingi; khalafu aka- 
mwoza mke. 

alipokwisha oa, akamambia: ,,nipe mali yangu, maana ulinitoa 
khada'a$), mali yangu ukanidanganya, na sasa nikatafuta uganga ku- 
pata mali yangu; na sasa nipe mali yangu.“ manamke akamambia: 
mhaya, mali yako na mimi sawasawa, sasa ntakupa nini?“ Mohamedi 
akasema: ,shurti?) unipe mali yangu, kama nilivyokupa.“ 

sultani akasikia khabari, akampa usultani mkwewe, aliyomolea mwa- 
nawe. naye akakaa mjini hana hokumu!?), hokumu yote kwa mkwewe. 


Muhemedi bin Diwani Tambaza 
“ aus Klein-Bagamoyo. 


1) neben mamaye von mama yake. 7?) verschwinden. 3) Auslassung 
des gen. praef. hiufig; binti sultani konnte als Apposition gedacht werden. 
4) mwana wangu. ?) awe. 6$) nikifanza. 7) ar. Schreiben, Schriftstiick. 
8) ar. betrigen. 9) ar. Bedingung. 10) ar. Urtheil, Gesetz, Herrschaft. 


Mtoto mwenyi kigongo. 


Palikuwa mtu, akazaa watoto wanne; wale watatu wakimchukia!) 
yule mtoto wa mwisho, kwa sababu mwenyi kigongo. na yule baba 
na mama walimpenda sana yule mwenyi kigongo. 


1) wakamchukia, 


32 

khalafu baba yao na mama yao wakafa. wakarithi!) wote mali, 
kulla mtu akachukua sehemu?) yake. yule mtoto mgonywa akafanya 
karamu), akawetaf) rafigi zake na ndugu zake, wakaja katika karamu. 
akawambia: ,nasafiri kuondoka hapa, ninyi na mkae hapa, na miye”) 
ntaleta barua huko.“ akanunua punda moja, na vitu vingine vya safari, 
akaondoka, akafika njiani katika inchi haina mtu. 

khatima siku moja akakuta mama moja mzee. yule mama aka- 
mambia: ,unakwenda wapi?” akamambia: sijui huko naokwenda, 
na naotoka?) sijui.” yule mama akamweka pale katika nyumba yake, 
kamambia: ,njoo, tukae hapo wote wawili.“ 

khalafu pana pahali pengine, si mbali sana, iko nyoka kubwa 
nyumbani mwake. ile nyoka siku moja hujigeuza mtu, kwa sababu 
ni shetani, na siku moja — ni nyoka, hukamata watu njiani. 

akamkamata yule mtoto mgonywa. yule mama akamtafuta siku 
mbili, asimwone. na yule nyoka akamambia yule mtoto: ,njoo hapa 
ukae kitako, kanipikie?) chakula.“ na ile nyumba viko vitu vingi sana; 
ile nyoka huchukua vyote nyumbani humo. 

kulla siku nyoka hutoka kutafuta vitu, hurudi jioni; akaja, akala, 
akalala. na yule mtoto kazi yake kufanyiza chakula. 

siku moja akafanyiza maji ya moto sana. alipolala nyoka, akam- 
mimina maji yote katika kichwa; akafa nyoka. 

akarudi kwa mzee, akamambia khabari zote. khalafu akarudi 
akachukua vitu vyote, kachukua?) frasi na punda na kulla kitu aka- 
chukua; akenda akajenga mji mkubwa, akawa sulutani?) mkubwa. 

“Abdallah bin Musa. 
1) ar. erben. 2?) ar. Amntheil. 3) ar. festliche Bewirthung. 49) aka- 


waita. >?) mimi. 6) besser nakokwenda und nakotoka. 7) ukanipikie. $) aka- 
chukua. 79) sultani. 


Maneno matatu. 


Palikuwa sultani, kakaa!) katika mji. akawaita watu wote walio 
katika mji, akawambia — kuwa: ,nataka mnambie maneno matatu.” 
nao watu wakauliza: ,maneno gani unataka“ kasema?) — nauliza: 
vikiwa?) imekuja njayaf?), khalafu njaya ikatoka — nyumba gani huwa 
njaya killa siku?“ 

na jingine”): ,ukawa ugonywa popote, na ugonywa ukatoka — 
nyumba gani huwa ugonywa?“ 


1) akakaa. 2?) akasema. 5”) fiir ikawa, 1) njaa. >?) auf neno be- 
zuglich, 


33 


na la!) tatu: ,ikawa vita; na vita zikisha toka — nyumba gani 
huwa vitar“ 

na watu mjini hawajui; akawauliza watu wote, bapana mtu aka- 
jua. hatta siku ya pili mtu moja akasema: ,yuko mtu ambayo?) 
mzee, hayuko hapa, naye atajua, tukamwite; wakenda wakamwita. 

alipokuja, wakamwuliza. akasema: ,ikiwa njaya, na njaya ikaondo- 
ka; nyumba enyi?) njaya — nyumba ya mtu mvivu.“ 

Ukawa ugonywa popote, na ugonywa ukatoka; nyumba vya 
ugonywa — nyumba ya mtu mzee, hautoki ugonvwa.“ 

”Mmjini ikiwa vita, vita zikatoka; na nyumba enyi vita — ma- 
namme mwenyi wake wawili.“ 

aliposikia maneno haya, sultani akasema: ,ndio, maneno 
yako kweli. 

“Abdallah bin Musa. 


1) neno. 2?) veraltetes Relativ. 3) yenyi. 


Bibi mungwana na bibi mtumwa. 


yuko mtu alikuwa na manamke na mjakazi wake. na yule mkewe 
akizaa naye, akazaa watoto; mjakazi wake akazaa naye, akapata watoto. 
na sura!) zao ote?) sawasawa. tenna yule mjakazi na yule mwanamke 
nuru”) zao sawasawa. 

khalafu yule mwanamme akafa, wale warithi?) wake walitaka 
kurithi?). wakawakamata yule mama, mjakazi, wakasema: ,,wewe bado?) 
— uko katika utumwa; umezaya?) na baba yetu, lakini bado hakufanyiza 
mungwana."“ na yule mjakazi akasema: ,,mimi ni bibi yenu, mimi si 
mtumwa, mtumwa ni huyu mwingine.” 

kakuwa?) da“awa?) kubwa sana; wakachukuliwa wote mbele ya 
magadi 9). wakifika, hawajui nani mjakazi nani bibi, sababu nuru zao 
sawasawa. 

mwisho ikakuwa!!) mtu moja mzee wa katika wao kafanviza!?) 
shauri. wakachukuliwa yule mjakazi na watoto wake, wakatiwa katika 
chumba chenyi kiza !5), na yule bibi na watoto wake wakatiwa kazalika H) 
katika chumba chenvi kiza; na katika kulla chumba kina chakula. 


1) ar. Form, hier Gesicht. 7) ote gebriuchlich neben wote. 3) ar. 
Licht, hier helle Hautfarbe. 9) ar. Erbe. 9) ar. erben. 8) zu erginzen 
huru. 7) zaa. 8) ikawa. ar. Klage, Prozess. 10) ar. Richter. 11) ikawa. 
12) akafanyiza. 13) neben giza, Dunkelheit. 14) ar, gleichfalls. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 3 


34 


khalafu yule mjakazi na watoto wake wakashikwa na njava!), 
wakala katika kiza. na wale wangwana kazalika wakashikwa na njaya, 
lakini wao wakapiga mlango?) kutaka taa, wapate kula. 

khalafu vyumba vyote viwili vikafunguliwa. wakakuta yule mja- 
kazi na watoto wake wamekwisha kula chakula, na yule mungwana 
na watoto wake hawakula bado. vule mzee akasema: ,,kweli, hawa 


ndio watumwa.” 
“Abdallah bin Musa. 


1) njaa. ?) mlangoni. 


Kibwana na kibibi.!) 


yakitokea maskini ya muungu, amekaa katika inchi ile. yule 
maskini ana mkewe, amezaa mtoto mwanamume. yuko sultani katika 
inchi ile amezaa mtoto mwanamke. 

wakikaa siku nyingi na miezi mingi na miaka mingi, hatta mtoto 
mwanamume yakibaleghi?), yakiwa mtu mzima. na yule mtoto wa 
mfalme amekwisha vunja ungo; yakikaa mwaka moja”) yakibaleghi. vi- 
jakazi wake wote wakisifu?), kama mtoto wa bwana mzuri sana, walla 
hapana mwingine tenna. 

na yule mtoto wa maskini jina lake Kibwana. bassi, wale wa- 
jakazi kulla siku hunena: ,,kama kibibi vyangalimpata mardadi?) kama 
huvu Kibwana, mtoto wa maskini! kuwa mwana mardadi sana." 

hatta siku hiyo wale wajakazi wakimwambia bibi yao — kama: 
mbibi, yuko kijana kizuri sana.” akiwambia: ,,anakaa wapi?" wakisema: 
mbibi, yanakaa hapa mjini, ni mtoto wa maskini." 

na vule Kibwana, tangu amemwona huyu kibibi, akikataa chakula. 
mama yake na baba yake humwuliza: ,,Kibwana, una nini? una kichwa? 
una homa: Kibwana jibu lake huwajibu: ,.sina homa walla kichwa, 
lakini yuko mwanamke moja mzuri sana, nampenda sana.” yule Ki- 
bwana, mtoto wa maskini, kulla siku hunena vilevile. na babaye hu- 
mwambia: ,,€6€, mwanangu, utasikia? watakuchukua wakakuchinsha; 
mtoto huyu wa sultani, usifanze zarau") yako.” 

na yule mtoto wa sultani amesikia, kama yule mtoto wa maskini 
yananitaka mimi, yanioe yeye. roho vyake anampenda, walakini atam- 
pataje kumwoa? 


1) Diese Erzahlung hat cinige Aehnlichkeit mit mtoto wa sultani 
na mtoto wa mfalme. ?) ar. mamnmbar. 3) mmoja. 1) ar. Inf. sifa, gute 
Eigenschaft (beschreiben). ?) schmuck, eitel. 9) ar. zara, verachten, hier: 
mach dich nicht zum Spott anderer. 


35 


na yule kibibi akapewa rizigi!) yake vyakula vya siku settin, na 
vitoweo vya siku settin, na kuni, na maji, kulla zana?) za matumizi”) 
wafanyiza pamoja na mchele wake. yakijifungia mlango mudda wa 
mwezi mmoja; baba yake hakumuliza. 

siku hizi yakitoka, yakamamkia baba yake, yakitaka zana zake 
zilezile za miezi miwili, siku settini. yakapewa yote, yakenda zake, 
yakajifungia ghorfani kwake. 

hatta siku moja wakimteremsha wajakazi wale katika kikapo, ya- 
kishuka kibibi yule, yakenda nyumbani kwa yule kijana, yakipiga hodi; 
yakimwitikia, yakifungua mlango, yakipita hatta ndani, yakimgaribisha, 
akikaa kitako. 

kijana amefurahi sana kama amemwona. wakizumgumza mwezi 
u nussu. hatta siku moja kibibi yakimwambia — kama: ,,mimi si 
mwenzio?), nimekuja kukutezama?”); na wewe usinitie rohoni mwako, 
kwa ma'ana mimi mtoto wa sultani, akikusikia atakuchinsha.” 

yakitoka, yakenda zake; hatta wajakazi wakimwona bibi anakuja 
wakateremsha kikapo. kilipoteremshwa, vakiingia kikaponi, wakam- 
vuta, yakifika hatta juu. 

na vule Kibwana yakikaa siku nyingi, hatta siku hiyo wyakifikiri$), 
yakimambia mama vyake: ,,nifanyizie mikate; kesho, nikija'aliwa?), sina 
buddi?) kuondoka.“ yakitoka yakenda zake nyumbani kwake. na 
vule kijana mwanamke ametoka yapata siku sitta. 

na vule Kibwana yakenda hatta yakafika njiani; pana mti mku- 
bwa, yakikaa chini ya mti, yakapumzika. khalafu yakipanda juu ya 
mti, yakiona mwanamke mahali mbali sana, na garibu yake pana ziwa 
la maji; mwanamke huyu kizee?), amekaa kitako, amechoka. 


Kibwana vakenda hatta yakifika kwake. alipomwona yakimwam- 
bia: ,,umekuja taka nini?“ yakimwambia: ,,mama wee, unajua msiba 10) 
wangu! unaniulizaje?” yakimambia: ,,utapona, inshallah.“ 

bassi, wakenda zao wote wawili mahali mbali, wakiona mji. 
wakenda hatta wakifika, wakikaa kule mjini siku nyingi. hatta siku 
hiyo kizee yakimambia: ,.tarudi!!).“ yakimambia: ,,wewe bibi, ukirudi, 
sitakupata tenna, nipe shauri lako wewe mwanamke.“ yakimambia: 
nitakupa dawa ya kugeuka njiwa, uingie ukajifiche katika mapango ya 
nyumba ya mawe. na ukitaka kumgeukia mwingine useme ,,nataka", 


1) ar. Lebensunterhalt, MNahrung. 72) Vorrath. 5) Verbrauchs- 
gegenstinde. 4) mwenzi wako. 9?) tazama. '#Sjar. nachdenken. 7?) ar. 
bestimmen; hier: wennich von Gott dazu bestimmt werde. 8) ar. Ausweg. 
9) unter kizee versteht man fiir gewohnlich eine alte Zauberin. 10) ar. 
Ungliick. 11) nitarudi. 


36 


marra yakigeuka; ya pili useme ,,nataka“, utapinduka paka; na ikiwa 
yuko mtu mwingine useme ,,nataka“, yatageuka chui, nawe umegeuka 
mtu. kiisha shika bundugi umwende umwuce. ndio dawa yangu na- 
kupa, nami nakwenda zangu sasa." 

naye Kibwana yakenenda hatta yakifika nyumbani kwa baba 
yake. na baba yake hakupata khabari, ya kama mtoto wake amekwenda 
kutembea mahali mbali. yalipokwisha mtezama, wakikaa kitako nyum- 
bani mwao. 

hatta siku moja yakipita yule kibibi, hawara!) yake ya zamani, 
yakenda kutembea. marra yakigeuka njiwa, yakimrukia yakimgeukia 
njiwa, yakicheza naye. yule mtu anayomlinda huyu kibibi, alipoona 
njiwa hawa — yakasta'ajjabu?). marra akaona paka, naye mwenyewe ya- 
kigeuka chui; naye Kibwana yakipinduka kuja mtu, yakashika bundugi, 
yakimpiga chui yakifa. na huyu njiwa mwingine yakipinduka kibibi. 

yule mfalme, baba yake, zamani ameweka naziri”) — ,,sitamwoza 
mtoto wangu mume illa mtu hodari)". alipopata khabari ya vitendo 
vya yule Kibwana, akapeleka mtu kumwita. alipokuja, akampa yule 
Kibwana mtoto wake, awe mkewe; yakimwoza mwenyewe. na yule 
kibibi hakusema tenna — ya kama: ,,huyu maskini“, maneno hava 
yamekwisha. 

yakioa Kibwana, yakitumia ufalme; yeye na baba yake na mama 
yake na jama'a”) wake walio mjini wakikaa kitako raha mustarehe. 


Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) Geliebte, die man nicht zu hceirathen beabsichtigt, auch Liebhaber 
einer Frau; Geliebte, die man zu heirathen gedenkt, heisst mchumba 
oder mposi (Braut). ?) ar. sich wundern. 93) ar. Gelibde. 4) tapfer, 
tuchtig, fleissig. ?) Familie, Verwandtschaft. 


Binti Matar'i!) Shemshi.? 


Aliondoka sultani, yakawa na mwanawe mwanamme. vakamlea 
hatta akawa mkubwa. bassi akasema: ,,nataka binti Matari Shemshi"“. 
babaye yakamjibu: ,,mke huyu simpati miye”), ma'fana ana “askari 
wengi, tenna tajiri sana, na kwake ukuta wa shaba.” mtoto yakalia 
sana, akamambia: ,,baba, hunipendi!” yakamambia: ,,mwanangu, huko 
siwezi kwenda, maana nikienda ntakufa.” 

yakamambia mama yake: ,,nifanyizie mikate, na maji unitirief) 


1) ar. matlai Sonnenaufgang. 2?) ar. shems Sonne. 9$) mimi. 
4) unitilie. 


37 


katika guduria.“!) wakamfanyizia vitu vyote vile, wakampa. yaka- 
panda frasi wake, yakaondoka yakenda zake. yakafika njiani, yakaku- 
tana na shetani, yakakutana na nyoka ana vichwa sab'a, anataka?) 
kummeza shetani. mtoto yakenda yakatoa salaamu, yakamuliza; aka- 
mambia: ,,nifae, mafana huyu nyoka ataka kunila.” akafuta upanga 
yule kijana, yakampiga nyoka, ataka kumua; nyoka akafa. 


akamambia yule shetani: ,,twende kwetu!” yule kijana yakamjibu: 
kwenu hakwendi?) mtu, kulla enaokwenda?) — hufa.” akamambia: 
kwetu hafi mtu; ukafa?) — juu yangu mimi!” wakafuatana, wakenda 
hatta garibu ya kwao. yakamambia: ,,ukija kwetu — usicheke, ma'ana 
kuna watu uso upande, kuna watu wa mguu mmoja, na wengine 
mkono mmoja, na wengine jicho moja.“ akamambia: ,.sicheki.” 


wakenda hatta mjini kwao. wakafika kwa baba yake, akauliza: 
mtu huyu umempata wapi?” asema: ,,cmeniponya$9) njiani; kama si 
huyu — ningalikufa. mafana tulikutana na nyoka, yakataka kunimeza, 
huyu yakamua nyoka; nikamambia ,,;twende kwetu“; yakakataa sana, 
khatima nikambembeleza?) kwa nguvu.“ ikafanyizwa karamu nzuri 
na ngoma kupigwa. akakaa miezi minne, akawambia: ,,nataka kuon- 
doka, ma'ana nimekaa siku nyingi." 

shetani akamambia: ,,somo$), tunakwenda kwa baba, atakupa 
mali mengi, kataa, illa taka kitwana, jina lake Kibelei.”“ wakafuatana 
wote, wakenda baba yao kumwaga safari. yakapewa ngamia sab'a na 
kulla ngamia shehena?) fedda kwa zahabu; yakapewa na wachunga 
sab'a na kulla mchunga ana nguo zapata reale mia. mtoto yakakataa 
yote, akawambia: ,,nataka Kibelei“; alivyosema — yakaanguka. 


wakamchukua nyumbani, hana “agili, yakaugua siku nne. siku 
ya tano yakapata 'agili, yakamuliza: ,,mwanangu, unataka nini?" aka- 
mambia: ,,nataka Kibelei.” wakapelekwa watu kutafuta Kibelei, yaka- 
patikana, yakapewa. alipopewa, yule kijana yakakasirika sana, yaka- 
mambia: ,,weye, mwenzangu, mbaya, hukuwacha mali kunipa, unanipa 
kitwana huyu, hapati hatta rupia kumi.“ yule akasema: ,,mimi nakupa, 
mchukue.” 

mtwende sasa kwa mama, twende tukaage; kwa baba tumekwisha 
aga, ndio twende kwa mama. na kwa mama utapewa mali mengi — 
kataa, utake upatu,"19) akamambia: ,,nimesikia.” wakenda hatta kwa 
mama yao, akamambia: ,,mama, kwa heri, nakwenda zangu.” yakampa 


1) Thonkrug. 72) statt aliyotaka. 93) haendi gebrauchlich. 9) ana- 
yokwenda. 9) ukifa. $) ameniponya. 7) liebkosen, jd. zureden. $) Freund, 
wenig gebrauchlich. 9?) ar. Last. 10) Messingteller, der als Musikinstru- 
ment dient. 


38 


ngamia kumi, na kulla ngamia ana twike!) ya fedda na wachunga 
kumi. yakakataa yote, akamambia: ,,nataka upatu." alipokwisha ku- 
sema, yakaanguka. wakamchukua nyumbani, yakakaa siku tatu; siku 
ya nne yakapata 'agili. yakapewa upatu, akaondoka akenda zake. 

moyo wake ukakasirika sana, yakasema: ,,mwenzangu mbaya 
sana, amenipa vitu havipati hatta rupia tano.“ akaondoka na uchungu 
wa moyo wake, akenda zake na mtumwa wake na upatu wake, hatta 
njiani akakaza mwendo sana, ili gusudi?) kumtupa yule mtumwa, ham- 
taki. kulla akenda, yule mtumwa yuko nyuma. hatta saa sitta waka- 
fika mti mkubwa, wakapumzika. 

mtumwa yakamambia bana wake: ,,kwa nini bana hatuzum- 
gumzi'“ bana wake akamjibu: ,,ntazumgumza na nani?” yakimambia: 
khassa?) mali uliyopewa ungaliyafanyaje?" akamambia: ,,ningalijenga 
nyumba ya mawe, ghorfa tatu, nikanunua na vitwana na vijakazi na 
masuria mazuri, ningalikuwa tajiri.” yakamuliza: ,,ungalijenga mahala 
gani?“ akamambia: ,,ningalijenga juu ya mrima.“f) akamambia: ,,kaa 
kitako upatu, piga bismillahi ondoke!” upatu ukaondoka, ukampeleka 

hatta palepale alipotaka. 

j marra ikaota nyumba ya mawe kubwa, na vijakazi wengi na 
vitwana wengi na fedda nyingi na masuria mengi. kule watu waka- 
sema: ,,hii “ibura?) gani? sasa hivi pakawa mwitu, sasa pana nyumba, 
sasa kumekuwa nyumba ya mashetani“; wakakimbia watu wote. 

akakaa pekeyake mjini. mtumwa wake yakasema: ,,ntafanya hila 
za kuwaita watu.” hununua vitu vyote kwa themani?) kubwa. watu 
wakafanya tama'a?), huja watu wengi sana wakauza vitu, naye hunu- 
nua vyote. bassi, wakaja watu mjini tenna, wakakaa kitako tenna 
mjini, lakini kule kwake wanafanza oga kuenenda. mtumwa wake 
akenda mjini, yule Kibele, akasema: ,,nimetumwa na bwana, anaweta?! 
watu wote mjini, kwa saa tatu mwende kwake." watu wakasema: 
inshallah, tutakuja.” 

akenda akapika wali mwingi yule Kibelei kwa sahani?) za fedda; 
kulla sahani mna kitwana moja kusimama. wyakafagia sebleni10), yaka- 
weka sahani, yakafunika na shuka. wakaja watu wakala, waliofanza 
oga wakajuta; lakini bana wake Kibelei!!) hashuki chini. walipokwisha 
kula wakenda zao. 

Kibelei yakenda yakamambia bana wake: ,,ulitaka kwenda kuoa 
binti Matari Shemshi, mbona huendi?" akamambia: ,fanza hila, 


1) Last. 2?) ar. Absicht. 5) ar. besonders. 9) mlima. 9?) ar. Beispiel, 
Zeichen. '#$j)ar. Preis, Werth. Yar. Verlangen. 8) anawaita. 9) ar. 
Teller. 10) sebule Empfangshalle. 11) gen. praef. ausgelassen. 


39 


twende!” akamambia: ,,jingia katika upatu." akaingia ndani, upatu 
ukapaa, ukenda!) hatta binti Matari Shemshi, ukenda mpaka mwan- 
goni.”) wakakuta 'askari thelatha mia; akamambia bana wake: ,,una- 
ona “askari hawa?” wakapanda ghorta mbili?), wakenda wakakuta 
“askari mia. wakapanda ghorfa ya tatu, wakakuta wajakazi mia; waka- 
panda ghorfa ya nne, wakamkuta bibi kalala. alipomtazama — vya- 
lianguka. wvyakamuliza: ,,bwana, unaangukia nini?“ vyakamambia: 
tokea ndipo zaliwa, sijamwona mzuri kama huyu." Kibele; aka- 
mambia: ,jifunge?) vitambaa vya macho, tumshike tumweke katika 
upatu.“ wakamshika wakamweka katika upatu. upatu ukaondoka hatta 
nyumbani kwao; wakenda wakakaa kitako. 

mwanamke alipoamka, yakauliza: ,,miye?) niko wapi?" akaam- 
biwa: , tulikuja kwenu, tukakuchukua.” mwanamke akakaa kitako na 
bwana wake. naye mtumwa hamkumbuki, huko juu alikopanda ha- 
shuki chini, walla hamwiti, walla hampi chakula. yule mtumwa aka- 
sema: ,,bwana wangu mbava, haya?) asingalipata kama si miye, leo 
wanawambiwa?): ,,Jhuyu msimpe chakula, walla msimpe maji; na neno 
ndio kosa?) — silijui? watumwa wake kulla suku?) hunipiga.“ 

bwana wake akalala, yakaota yuko kwao, cemekaa 9) barazani 
anangojea muhogo wa kutafuna. alipoamka — yuko kwao, nguo hana, 
walla kofia hana, hatta pesa moja hana. yakashukuru muungu, vaka- 
sema: ,,muungu kanipa!!), yakannyanganya.“!?) ndipo ulipokwishia. 


'Ali bin Rajabu aus Kilossa. 


1) ukaenda. 2?) mwango neben mlango gebrauchlich. 53) ya pili. 
1) mfunge. ?) mimi. 9) mambo zu erginzen. ') Zu crganzen watu. 
4) nimelikosa. ?) siku. 10) amekaa. 11) akanipa. 7?) akaninyangainya. 


hokumu!) ngumu. 


kuna waanawake wawili, wamezaa katika nyumba usiku kitanda 
kimoja na kiza tenna. 

hatta asubuhi walipoamka, wakatazama watoto wawili, mmoja 
mwanamke na mmoja manamme?), hawatambui kulla mtu mtoto wake. 
khalafu wakaondoka wakagombana. 

tenna watu wakauliza: ,jee?), khabari gani kugombana nyvief) wa- 
wilir? moja akasema: ,tunagombana sababu ya watoto, mwenzangu”) 


1) ar. Urtheil. 2) mwanamume. 3) Ausruf des Erstaunens, etwa 
was ist denn das?" 4) ninyi. ?) mwenzi wangu. 


40 


anataka kuchukua mtoto mwanamme, kuniwachia!) mtoto mwanamke, 
ndio khabari yetu tunagombania?). wale watu wakawambia: ,twen- 
deni kwa gadi”), atazame khabari yenu.“ 

wakenda zao kwa gadi. gadi akawauliza: ,jee, khabari gani?“ 
waanawake wote wawili wakasema: ,tumezaa wote wawili pamoja, 
sasa kulla mtu hamjui mtoto wake; mwenzangu anataka kuchukua 
mtoto manammce kuniwachia mtoto mwanamke, na mimi nataka 
kuchukua manamme kumwachia manamke. 

bassi yadi akashangaa!), hakuweza kuwahokumu, akasema: ,mtu 
mwenyi kuja hapa akahokumu waanawake wawili hawa, ndiye ata- 
kuwa gadi pahali pangu.” 

akatokea mtu akasema: ,hokumu yao khafifu?); chukueni kulla 
mwanamke maziwa yake vapimeni, mwenyi kutokea maziwa yake ma- 
zito, ndiye mtoto wake manamke, na mwenyi kutokea maziwa yake 
mapesi, ndiye mtoto wake manamme!). 

bassi, gadi akasema: ,emejuaje') khabari hii? ninakuona “agili?) 
yako barraba?,..” yule mtu akamambia gadi: ,“omri!?) wangu sikula 
samaki, illa marra moja, na tenna imekaangwa na samli, ndio “agili 
zangu zikaja barrabarra kichwani!!).“ 


“Omar ben Rufa'i aus Barawa. 


1) wacha neben acha. 2) die relative Form ist hier wohi ge- 
braucht, da der Erzihler ninamgombania meinte,. 39) ar. Richter. 
3) rathlos, in Sorge sein. P”jar. leicht. 69) aligemein verbreitete Ansicht 
unter den Suaheli. 7) amejuaje. 4) ar. Verstand. 9?) barraba oder 
barrabarra pers. gerade, eben. jar. Alter. !!) wer nach Ansicht der 
Araber und auch der Suaheli viel Fisch isst, dessen Verstand nimmt ab. 


Vipofu watatu.! 


Alikuwako mtu mmoja maskini, vakaweka naziri?): y,ymwaka ni- 
patao mali, nitapiga mafungu mawili, fungu moja ntampa maskini, 
fungu moja ntwae3?) miyef).“ 

yakapata kazi, yakapata rupia nane. vakenda kumpa maskini 
rupia nne, yakasema: ,niliweka naziri — mwaka nipatao fedda, ntapiga 
mafungu mawili, fungu moja kumpa maskini.“ maskini akasema: 
|hipe haggi?) vyangu.” 


1) Diese FErziahlung ist zur Halfte dieselbe wie kijana aliyeweka na- 
ziri na vipofu vitatu in den Swahili stories ..Kibaraka" von der englischen 
Mission in Zanzibar herausgegeben. Diese hier gegebene ist jedoch aus- 
fiihrlicher. 7?) ar. Geliibde. 59) nitwae. 4) mimi. 9?) ar. Recht, rechtliche 
Forderung. 


AI 

alipompa, yakamkamata mkono, yakalia sana maskini, vakasema: 
”nmji huu hamna hakim? huvu ananyanganya fedda yangu!“ wakaja 
watu, “askari, wakamkamata yule kijana, wakamambia: ,kunyanganva 
kwako hakuna hava? unanyanganya maskini ya muungu?“ yakasema: 
mimi sikunyanganya.“ maskini vakasema: ,uwongo, kaninyanganya!) 
fedda yangu rupia nane.“ wakamfunga kamba yule kijana, wakam- 
piga fimbo nyingi. yakasema: ,mtaniua burre, miye sikumnyanganya." 
vakesha yakafunguliwa, akenda zake. 

tenna maskini akenda zake. yakamvizia bassi — hatta nyumba 
encokaa?). yakasimama maskini, yakafungua mwango”), yakaingia ndani. 
na yule kijana akaingia ndani. yakesha yakafunga mwango maskini, 
akaingia chumbani; na yule kijana yakaingia nave pamoja. yakachimba 
chini maskini, yakatoa chungu chake cha feddaf), na yule kijana ana- 
mwona, yakahasibu?) reale mia. yakesha yakachimba palepale, yaka- 
fukia fedda yake. 

hatta khalafu yule kijana yakachimbua, yakaifungua miango yote 
miwili, vakamambia: .wfedda vyangu nimechukua mwenyewe; na 
chungu akamvunjia cha uso. wyakalia maskini sana, yakapiga makelele 
sana mjini. watu wakenda wakamsikiliza, wakamambia: ,una nini 
maskini?“ asema: ,nimenyanganvwa fedda vyangu reale mia.“ wa- 
kamambia: ,mwongo, kama ungalikuwa na fedda, usingaliomba.“ wa- 
kamfanyiza ana wazimu. wyakalia siku kucha. 

hatta asubuhi yakaondoka yakenda kule wanapoomba maskini, 
vakakaa kitako. na yule kijana yuko nyuma amemfuata, yakenda ya- 
kakaa naye pamoja. yakawambia wenziwe?) — kama: ,,mimi nimenya- 
nganywa fedda yangu.“ wakamambia: ,tueleze khabari, ilivokuwa?) 
hatta ukanyanganywa fedda yako.“ akawambia: ,alikuwako mtu moja 
yakaweka naziri, asema: ,mwaka nipatao fedda, nitampa maskini.“ ya- 
kapata rupia nane, yakaja yakanipa rupia nne. mimi nikamkamata 
mkono, nikapiga kelele; wakaja “askari wakamkamata wakampiga, bassi 
ndio khabari iliyonipata.“ 

wakamambia: ,weye mjinga weye, huna macho, fedda yako 
unachimbia chini? ikawa ikawaka moto ile nyumba, fedda yako utai- 
pata wapi? na weye huna macho, huoni!” akamambia mwenziwe: 
>mimi fedda yangu ntatia katika fimbo vangu.“ yule kijana anasikia, 
akakaa kumvizia yule mwingine. 

hatta majila8) wa jioni yakamfuata mpaka nyumbani kwake. wa- 


1) akaninyanganya. 7?) anapokaa. 3) nceben mlango. 1) Es ist dies 
die herkommliche Art und Weise bei den Suaheli grossere Summen aufzu- 
bewabren. 9?) neben hesabu gebrauchlich. 9) wenzi wake. 7) ilivyo- 
kuwa. 8) majira die Zeit, wenig gebriuchlich. 


42 


kenda wakaingia nyumbani wote wawili, maskini na yule kijana. ya- 
kakaa kitako yule maskini, yakatoa fimbo yake yakaipakata!). bassi 
ikesha?) yakalala na fimbo vake pamoja. yule kijana yakafungua 
miango yote, yakaivuta fimbo yakaitoa, yakatoka nayo mbio. 

alipoamka maskini, yakapiga kelele, asema: ,mwizi3) emekuja!) 
nibia”?).“ watu wakaja wengi kumuliza khabari: ,una nini maskini 
weye, unapiga kelele burre, walla hapana sababu?“ yakasema: ,,nimei- 
biwa fedda yangu reale miten.“ wakamambia: ,mwongo wee, kama 
ungalikuwa na fedda, hungaliomba.“ wakamambia: ,ninyi mmezoea 
kupiga kelele burre, na kule amepiga makelele sana maskini moja 
kwa hu khabari ya uwongo.“ , yakalia sana maskini. 

hatta asubuhi wakenda wanapoomba, wakamkuta mkubwa wao, 
wakameleza khabari iliyowapata. mkubwa wao yakacheka, akawambia: 
nyie wajinga sana.“ na yule kijana emewafuata?), emekaa?) kitako, 
kulla neno wanalosema anasikia. akamwambia: ,weye mjinga, weye 
huna macho ukatwae fedda yako ukatie katika fimbo, ukaja ukanyanga- 
nywa ukapigwa nayo mwenyewe; miye fedda vangu natia katika mi- 
fuko, nikavaa na fulana tenna, nikavaa na kanzu gusudi$) mtu asipate 
kunyanganya. tenna nalala meskitini, watu wote wakiondoka ukawa 
usiku sana ndipo nipovua?) kanzu yangu.“ yule mtoto anasikia. 

yakaondoka mtoto yakenda kwao, yakamambia mama yake: ,ni- 
fanzie mkate, utie pilipili nyingi, unipe.“ akakaa mpaka usiku, aka- 
jitia upofu naye, yakavaa nguo za maskini, yakenda meskitini vyaka- 
mambia: ,miye maskini, nataka mahala pa kulala.“ huyu kipofu ya- 
kamambia: ,lala huko.“ vakampa mkate akala; alipokula mkate unao 
pilipili nyingi, yakafanza jasho, kulala na nguo nyingi hawezi, yaka- 
nena: ,ntastamirri!?) mpaka yalale huvu, niende nikoge.“ 

yule ,kijana yakajitia usingizi. yakamwita marra tatu — asimjibu; 
vakasema ,yamelala.“ yakaondoka polepole hatta katika biriga!!), ya- 
kenda yakavua kanzu ya kwanza, yakavua na fulana, yakavua na nguo 
ya chini, aliyovaa, yakavua na mfuko unao fedda, yakaweka wyakatoa 
maji koga. na yule kijana yakamfuata nyuma yake. yakachukua mfuko 
wa fedda, yakatoka nje, akenda nacho. 

alipopapasa maskini — hapana fedda, yakalia sana, yakapiga 
kelele. wakaja watu wakamuliza wakamambia: ,nyie maskini mne- 
ngiriwa?) na wazimu, mnapiga makelele burre, walla pasipo neno.“ 


jin den Arm, Schoss nehmen. 2?) ikiisha. 3) neben mwevi. 
1) amekuja. 9) kuniibia. 6) amewafuata. 7) amekaa. 8) ar. Absicht. 
?) ninapovua. 10) ar. N. Form von marr beharren. 11) ar. Wassergefass, 
in arabischen Hiiusern gewdohnlich ein Wasserbehalter aus Stein. 12, fiir 
mnaingiliwa, 


AA 


43 


asema: ,,nimechukuliwa fedda yangu yote.” wakamambia: ,uwongo 
wako, ungalikuwa na fedda ungaliombar“ 

yakalala hatta asubuhi, yakawambia wenziwe mambo yaliyompata 
usiku, akawambia: ,sasa hivi twende tukebe!) kwa sultani.“ na yule 
kijana anasikia, akawavizia mpaka usiku. wakenda wakeba mifuko 
mitatu”), wakachukua mpaka magaburini mwituni. wakakaa watu wa- 
tatu wakaweka mifuko mitatu; na yule kijana emewafuata?) nyuma. 
akawambia wa kwanza: ,gawa weye.” yule akasema: ,la, gawa 
weye.” wakashindana sana. yule kijana yakaondoka, akenda yakai- 
chukua mifuko yote, akenda akaificha. 


wale wanashindana, wakapapasa — hapana kitu. wakajishuku?) 
wenyewe kwa wenyewe, wakamfanyiza mwevi yule maskini wa kwan- 
za, wakamambia: ,weye mbaya sana, fedda yetu isingalipotea illa kwa 
ajiri?) yako weye.“ wakampiga sana kwa migongo?), naye akawa- 
piga; wakafukuzana mpaka mjini, wakampingia kumua, naye aka- 
kimbia. 

yakapotea, yakenda katika mto, yakakaa kitako; na maji mengi 
mtoni. yakapita mw'arabu moja na mkewe na mtumwa wake na frasi 
watatu, wakamkuta maskini analia, wakamuliza: ,unalia nini?“ aka- 
wambia: ,nalia njaa, ya siku sab'a') sijala kitu.” wakampa mkate, 
wakampa na maji, vakala. yakesha yakawauliza: ,mnakwenda wapi? 
nami mnichukue.” wakamambia: ,tunakwenda kwetu.“ akawambia: 
nami chukueni.” mkewe akamambia mumewe: ,,usimchukue, ma'ana 
maskini mbaya — hana imani$).<“ mumewe akamambia: , weye mbaya 
sana, huyu maskini yuko mtoni, hajui enekokwenda?) walla enekorudi!0).“ 
mumewe yakampakia katika frasi, wakenda mpaka mjini kwa sultani, 
mji mkubwa sana. 


wakafikia nyumbani, wakakaa kitako. maskini yakauliza: ,nyum- 
ba va sultani garibu?“ wakamambia: ,garibu.“ ,nipelekeni kwa sul- 
tani!” wakaja watoto wakampeleka mpaka nyumbani kwa sultani. 
alipopata nje, yakaanguka maskini, yakalia sana. sultani akatoka ya- 
kamuliza: ,unalia nini?“ akamambia: ,nimenyanganywa mke wangu, 
nafsi zangu, na mtumwa wangu na fedda zangu nimenyanganywa, na 
hivi!!) nataka “askari waende wakawakamate.”“ wakaondoka “askari, 
wakenda wakawakamata, wakawaleta mpaka kwa sultani. akawauliza: 
kwa nini mnamnyanganya mke wake?” yule mwarabu akakana, 


1) tukaibe. 7) ya fedda. 3) amewafuata. 1) ar. beargwohnen, ver- 
dachtig halten. 9) ar. Grund (ajili). $) gongo, mag. Kniittel, oder mgongo 
— mig. 7?) siku ya sab'a, es ist der siebte Tag. 98) ar. Vertrauen. 
9) anakokwenda. 10) anakorudi. 11) sasa hivi. 


44 


akasema: ,sikumnyanganya mke wake; nikamkuta yule mtoni nikam- 
chukua.” yule akasema: yuwongo, bana, wameninyanganya mke 
wangu.” 

wakenda wakafungwa wote watu wanne. moja!) maskini aka- 
fungwa chumba cha punda, na manamme yule mwarabu yakafungwa 
chumba cha ngombe, na manamke yakafungwa chumba cha mbuzi, 
na yule mtumwa wao yakafungwa chumba cha kondoo. hatta usiku 
sultani yakapeleka kulla chumba “askari watu watatu kwa sikiliza 
MANCNO Vao wasemayo. 

hatta usiku mwanamke akasema: ,mume wangu nilimambia, 
kana?) maskini mbaya, usimchukue, akanikaidi?), na sasa tumefungwa 
bilashif.< na mtumwa yakasema: vybana wangu mkaidi sana, bibi 
amemambia usimchukuc maskini, vakakaidi yakamchukua, na sasa 
tumefungwa burire.” maskini akasema: ,punda na wanyie mavi, na 
wanipige mateke, asubuhi ntapata mke.” “askari wakasikia killa ma- 
neno wasemayo. 

hatta Zama za buraza waketwu?) 'askari wote: wkulla maneno 
mliyosikia nelezeni9).€ “askari wakamjibu maneno yote, waliyoyasema 
hawa watu watatu. wakafunguliwa wakasailiwa. mwanamke akaulizwa, 
yakaambiwa:? vyule maskini mumeo)?” akakuna akusema: ,tulimwona 
mtoni huyu muskini.” maskini alikamatwa yakafungwa, vakapigwa 
hatta yakasema:! ,si mke wangu.“ 

na yule akapewa rukhsa na mkewe, na mali yakampa sultani, 
yakamambia: wniwic radi kwa maneno ndio kutendea, usiuzike sana, 
huyu maskini mwongo.“ akasema: wmimi ni radi.” bassi wakashika 
njia wakenda zao. na maskini akakaa kitako pale mjini yakaomba 
kama kwanza. Muhemedi bin Diwani Tambaza 

" aus Klein-Bagamoyo. 


1) mmoja. ?) ncben kama. 5”) widerstreben, 9) ar. ohne cine Sache, 
9) wakaitwa, 6) nielezeni. 7) mume wako. 


Mchumba!) wa ndugu watatu. 


yalitokea mtu moja?) yakizaa watoto watatu; na yule mkubwa wao 
yameposa mchumba. 

wale watoto wakitaka kusafiri kwenda kuchuma mali, yakiwapa 
fedda baba yao kwenda fanya bfashara?); yakiwapa kulla mtu rcale mi- 
teni. wakiondoka kwenda chuma, wakikaa miaka mitatu. 


1) Geliebtc, Braut (auch mposi genannt). 72) mmoja. $) ar. Handel. 


45 


mmoja, yule mkubwa wao, yakinunua kichupa cha mafuta mazuri, 
yakiuliza!): ,,dawa yake nini?" yakiambiwa: ,,yakifa mtu ukimtia?) — 
hufufuka, yakiwa mzima. 

na yule wa katti yakinunua kioo, yakipewa. kioo hicho dawa 
vyake kwenda kukitazama — marra kuwa yuko kwenu, na kule kwenu 
mahali mbali, hana buddi?) kuona yote; ndio khabari ya kioo hicho). 

na wa tatu yakinunua kitanga”). yakiambia: ,,shughuli yake nini?“ 
wakimambia: ,,kwenu hapo kuwa mwendo wa siku kumi hatta miaka 
kumi, utafika kwa siku moja, kwa sa'a mbili hufika; ndio khabari ya 
kitanga hiki. 

kama hiyo wakikaa siku nyingi. hatta siku hiyo yule wa katti 
yakatezama$) kioo chake, yakiona mchumba wa kakaye?) amefarigi3) 
dunya?), yakimambia: ,,kaka yangu, mchumbao!!) amefaligi!!) dunya, 
tenna leo hatta kilio kikija amrishwa.“ yule kakaye yakimambia: ,,twende 
zetuni!?), tukawahi tuzike.” yakiwambia: ,,haya twendeni." 

wakingia katika kitanga, kikaruka, marra kikafika. wakiwahi 
hatta kilio kikija amrishwa, yakinena kaka vao: ,,niwacheni nikamwage 
mchumba wangu.” yakungia ndani, yakimnukiza mafuta puani, marra 
vakiwa mzima. watu wakista'ajjabu!?), mtu yule yu kufa — khalafu 
hufufuka. 

tenna wale ndugu wakigombana. ,,mchumba huvu wangu mimi 
mdogo.” na yule wa katti yakinena: ,,mchumba wangu mimi.” na vule 
mwenyewe, mkubwa, yakinena: ,,mchumba wangu mwenyewe tokea 
zamani, na sasa nimempa dawa mimi mwenyewe." na yule wa katti 
yakinena — kama: ,,siku hiyo wangu, kumwona mngalipataje kumpa 
mafuta yenu hayo?" na yule mwenziwe akanena: ,kama si mimi 
kuwaleta — mngalimpataje?" 

wakigombea mchumba yule, hatta khalafu wakimambia/!): ,,sasa 
mchague mwenyewe wa?) kumwoa.” sasa wote wanaacha kugombana. 
shauri gani? watu yakawashinda kumtafuta mumewe, illa hapana mwin- 
gine — illa baba yao, ndio wa kumwoa, wote wamwite ,,mama”; 
mwisho ndio wakigubali. ndipo ulipokwishia. 


Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) besser alipouliza. 72) zu erganzen puani. 3)ar. Ausweg. 1) oder 
hiki. 5) kleine runde Matte. 6) akatazama. 7) kaka yake; kaka, der 
altere Bruder. 939) ar. sich trennen. 9) ar. Welt. 190) mchumba wako. 
11) farigi. 2) neben twende zetu, auch twendeni zetuni. 13) ar. sich 
wundern. 14) wakamambia. 1?) zu erganzen mume. 


46 
Mtu bakhili). 


yalitokea mtu mmoja bakhili, yamekufiwa?) na baba vake na 
mama yake, yanataka kufanviza khitima?). kwa karamu hii yakinunua 
michele na mbuzi na bizari!) na vitunguu, kulla kitu zana?) yakinunua, 
illa nazi hajanunua. 

yakiona ghali?) zile nazi. na mwenyewe vanajua kupanda mnazi, 
vakenenda sogoni') kuuliza: ,nazi giasi?) gani?” yakiambiwa?): mbili 
— pesa, walakini ukenenda hapo mbele utakuta tatu — pesa.“  yaki- 
pata tamaa), yakenda yakiuliza: y,giasi gani nazi?” wvakiambiwa: 
ntatu — pesa, walakini ukenda hapo mbele utakuta nazi nne kwa pesa.“ 

yakenda hatta mbele, vakiuliza: ,nazi giasi gani?“ yakiambiwa: 
Mhizi nne kwa pesa, walakini nenda Kiungani!!) wanatafuta mkwezi!?), 
kama unajua kupanda, utapata nazi sawasawa!?). 

na mwenyewe yakenenda hatta Kiungani, yakiziona yakiziuliza. 
ndiasi gani?“ yakiambiwa: kumi kwa pesa, walakini nenda hapo ga- 
ribu wanatafuta mkwezi wa kupanda minazi, wewe kama unajua nenda 
ukapanda.“ wvakisema: ,ninajua.” wakimwambia: ,haya, nenda uka- 
pande, utapewa nazi tele.“ yakipata tama'a yakenenda; wyakiwaona, 
wakimpandisha minazini, yakipanda. 

na huku kawacha!?) mudda wa siku kumi kusoma khitima va 
baba yake na mama yake, wanamngojea wasome khitima. 

na yule kisha panda juu ya mnazi, yakipindukia juu ya katti??) 
Hle kule la nazi, na mikono yake kazuia kuti lake; miguuye!6) kapa- 
suka!?), yakizuia mikono na miguuye. 

yakapita mtu moja, yakamambia: ,tafaddali, ukija ukiniondosha, 
nitakupa reale thelatha mia.” wyakipata tamaa, yakipanda kumzuia 
miguu yake, ikanasa mikono yake ndani ya miguu ya yule anayomtoa, 
wakaninginia!3) wote. 

yakipita?) mtu mwingine, wakimwambia: ,ukija tutoa, tutakupa 
fedda.”“ yakiuliza: ,wewce ulio juu utanipa giasi gani?” yakimambia: 
ambapo nikitoka salaama, nitakupa reale arba mia.” yakimambia: 
ha wewe ulio chini yake, utanipa giasi gani?“ vakimambia: ,nita- 
kupa arba mia.“ 


1) ar. geizig. “) amefiwa. ") ar. Koranlesung. 1) ar. Gewirz. 
?) Vorrath. Sjar. theuer, 7? ar. Markt. 9) ar. Preis, Werth. 92) aka- 
ambiwa. 10) ar, Verlangen. 11) Vorort von Zanzibar, kiunga Obstgarten. 
12) Kokosbaumkletterer, von kukwea klettern. 13) worti. das Gleiche 
d. h. zur Halfte. 4) akaacha. !#) Mitte, d. h. in der Krone, wo die 
vielen Acste zusammenlaufen. 168) miguu yake. 17) akapasuka. 18) da 
hingen sie beide (als wenn sie aufgehingt wiaren). 19) akapita. 


47 


yakipata tama'a, yakiwaza — ,reale themanie mia hizi nitatwaa 
reale mia ninunue punda, na reale miteni nitanunua nyumba ya mawe, 
kidogo chanitosha; na reale mia nitanunua joho na kilemba na jam- 
bia, na fedda ningine nitaweka nikenda shamba nitumie nikiludi!).“ 

yakiwaza yakiwaza, hatta yamekwisha kuwaza na kutengeneza 
yalivopanda?) juu ya mnazi — marra wakiporomoka?) wote na kuti 
lao, wakianguka wakifa. yule na matengenezo yake hakupata, ikiwa 


wamekufa wote wawili. 


Jumbe Waziri bin Diwani Tambaza 
aus Klein-Bagamoyo. 


') rudi. 7) alivyopanda. 9?) herunterstiirzen, 


Usijifiche kusikiliza maneno ya watu wengine. 


wagati!) wa kulima na gabla?) ya kuvuna watu hufanya siku kuu. 
yuko mtu moja siku hii anakwenda pekeyake katika minda”), anapima 
anasema — kuwa: ,huyu atapata mizigo khamsini, na mwenziwe!) 
atapata mizigo 'asherin, na huyu atapata labda mizigo mitatu ao 
minne.“ 

hatta munda wa mwaka mwingine ikakuwa?) mtu mwingine, 
jirani yake, akasema: ,leo mimi ntakwenda ntajificha, nisikilize ma- 
ncno vambayo?) yatasema huyu katika shamba langu.“ khalafu akenda 
akajificha katika shamba lake. na yule mtu akatokea; alipoona shamba 
lake la jirani yake, akasema: ,huvu atapata mzigo mmoja.“ na 
veye mwenyi shamba yuko hapa, akasikia maneno yale. khalafu 
akenda zake. 

na yule mtu akenda akafanyiza muaba'?), lakini mkubwa sana 
sana, upata mizigo mia. siku ya kuvuna katika shamba lake ule muaba 
ukajaa tele; wakauchukua watu wengi sana. kutaka kufika nyumba- 
ni kwake, yule mwenyi muaba akafa, na ule muaba ukapotea njiani, 
hawajui umekwenda wapi. 

na tenna tokea hapo hatta sasa hamna mtu hathubutu3) kufanyiza 
kama hii, ma'ana kujificha kusikiliza maneno ya watu wengine. 


“Abdallah bin Musa. 


'Jar. Zeit. “Jar. vor. 7) munda (kiangazija) — shamba. f) mwenzi 
wake. ”) ikawa. $) veraltete, nur selten gebrauchte Relativform. 7) kiangaz. 
Sack. $) ar. fest, muthig sein. 


48 
Wajinga watatu. 


Alikuwako maskini, ana mwanawe mzuri sana; kulla mwanamume 
anakuja kuposa — hataki. ,,atakaye mwanangu!), atoe reale thelatha 
mia.“ kulla watu?) wanakwisha, hapana awezaye kutoa. 

khatima yakawa mtu mmoja akasema: ,,naweza kutoa.” yakauza 
vitu vyake vyote, hatta watumwa wake akauza, yakapata reale thelatha 
mia. yakapeleka kwa mkwewe”), yakamambia: ,tezamia?) siku njema, 
nije nikuoze." akatazamia, yakapata siku njema, yakenda yakaoa; asi- 
pate heshima, yakaoa kana mtumwa. yakakasirika sana, yakasema: 
mfedda yangu nimepotea burre.” 


akakaa siku nyingi pale, khalafu akachukua mkewe; babaye asim- 
pe nguo hatta moja, asimpe mtumwa hatta mmoja. yakatoka yakenda 
na mkewe, yakakaa nje ya mji, yakawa maskini sana. na kazi yake 
kupiga ndege. hupata ndege wawili, moja akauza chakula na moja 
kitoweo; sikuzote kazi yake. 


yakatoka manamme mgine?”) kijana, akuja taka mkewe. mwanamke 
akafanya kama akagubali. yakampa reale ya sham€); killa siku hum- 
zungusha, humambia: ,,kaningoje mwituni“; naye haendi. 


siku moja yakaja baba yake, mwenyi kumzaa yule manamke, 
yakamkuta njiani yule mtu, aliyotongoza mwanawe, akamambia: ,,na- 
taka nyumba ya “Ali, iko wapi?“ akamambia: ,,mimi najua sana, twende 
nikupeleke.” vyakamkuta mumewe hayuko, yakapiga hodi, akamambia: 
ulete mkeka, baba emcekuja?).” yakatoa mkeka yakampa, wakatandika 
barazani?). akauliza: ,,mumeo?) emekwenda9) wapi?" akamambia: 
vemekwenda tembea." 

wakakaa barazani kuzumgumza, yakaja mumewe. yakaona watu 
barazani, naye akachukua ndege wawili, yakafanya haya!!) ya kupita, 
yakapita kwa nyuma. yakampa ndege moja, yakauliza: ,,nani emekuja 
barazani?" akamambia: ,,baba emekuja.” 

akenda sogoni?) kuuza ndege wake. wakapata mchele yakanu- 
nua, na nazi yakanunua, na pilipili yakanunua, yakapita kwa nyuma, 
yakampa mkewe. khalafu akarudi kwa njia ningine, yakaja barazani, 


1) mwana wangu. 7 besser kulla mtu oder watu wote. $) mkwe 
wake. “$) tazamia. 5) mwingine. 9) ein Maria-Theresien-Thaler. 7) ame- 
kuja. ") baraza ist zundichst die vor dem Hause noch unter dem Schutz 
des weit vorstehenden Daches befindliche meist etwas erhdhte Terasse, 
die gewissermassen als Empfangsraum fiir Giste djient; ferner werden die 
von den Bezirksmannern abgehaltenen cffentlichen Gerichtssitzungen 
sowohl, wie die Gerichtshallen selbst baraza genannt. 7) mume wako. 
0) amekwenda. ') ar. Scham. 2) ar. Markt. 


49 


 yakampa mkwewe mkono, yakamuliza: ,,khabari ya huko utokako? 
kina mama otc!) hawajambo?" akamambia: ,,0tc hawajambo.” waka- 
zumgumza sana, khalafu wote wakalala. 


manamke akapika. chakula kimekwisha, yakasima?) mwangoni?), 
yakawetaf): ,,enye), wajinga watatu!" kwanza yakaamka baba yake. 
yakaweta: ,,enye, wajinga watatu“ tenna, yakaamka mumewe. yakaweta: 
wajinga watatu“ tenna, yakaamka yule kijana aliyetongoza mke. 

baba yake akakasirika sana, yakamambia: ,,mwanangu, nimekuja 
kukutazama, nawe unanambia mjinga?" akamambia: ,,nipe mkoba 
wangu, niondoke!” mwanawe akamuliza: ,,unaondokea lini?” akam- 
ambia: ,,umenitukana, ntaondoka sasa hivi, umenambia mjinga na mimi 
mwerevu.” akamambia: ,,kaa kitako, ule chakula kwanza, khalatu 
ntakwambia maana yake." 


na yule mumewe alikasirika sana, akamambia: ,,mke wangu, 
umenitukana.“ akamambia: ,,usikasirike, kula chakula kwanza, ntaku- 
ambia ma'ana yake. 

na yule mwingine akakasirika naye, yakawaga?), yakasema: ,,kwa 
herini”), ntakwenda zangu, ma“ana nimetukanwa burre.” akawambia 
wote: ,,kaeni kitako, mle chakula, ma'fana zake ntawambia khalafu." 
wakakaa, wakala chakula. 


walipokula, wakesha$), wakamambia: ,,tupe maana yake." ,,kwan- 
za, akasema, mjinga baba wangu ya kunmioza mimi mwanawe kwa 
reale thelatha mia, walla asinipe mtumwa hatta moja, walla asinipe 
nguo na mali, walla asinipe chombo cha fedda, walla asinifanyizie 
“arusi?) nzuri! umenioza ao umeniuza kwa mume? baba yangu — mjinga." 

mwa pili mjinga mume wangu. ukatoa reale thelatha mia, ukanioa 
miye), sina shamba walla sina kitu; ungalioa mwana wa sultani, un- 
galipata mali mengi, ungalitumia kwa wasa'a!!), ukapata shamba nzuri 
la kwenda 2), na vitwana nyuma vitakufuata 3) — ukanioa miye mas- 
kini wa muungu, sina kitu cho chote. ya pili: ukiwa na kazi ya ku- 
patia pesa, tukatumia kwa nafasi), ikawa kunitazama nikifurahi miye 
kulla suku!3) — weye, mume wangu, mjinga." 

wa tatu mjinga — huyu. mume wangu alinioa kwa gharama 18) 
nyingi, fedda zake zote, zisiwe mali, ikawa mari!?) reale yako moja; 


1) wote. 7) simama. 9) mlangoni. “) akawaita. ”) ninyi. $) aka- 
waaga. ') kwa heri ninyi. 9) wakaisha. “) meist hort man harusi sagen. 
10) mimi. '!) Musse. ?) kwendea. 5) der bessere Suaheli liebt es, nach 
-dem Vorbild des Arabers, einen moglichst grossen Tross von Leuten hinter 
sich zu haben, wenn er ausgeht. 4) ar. Gelegenheit. 2?) neben siku ge- 
briauchlich, jedoch seltener. '$) ar. Unkosten, Gebiihren. 7) mali. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 4 


50 
akiwa kanitongoza siku zote kwenda laza mwituni — umetokea huna 
adabu.” 

aliposikia mume, akakasirika sana, akamambia: ,,huyu ndio emem- 
tongozea!?) mke wangu?“ yakashika fimbo, yakampiga sana yule, ya- 
kamfukuza mbio, na matusi yakamtukana, akamambia: ,,nataka nikuone 
hapa, ukapita!?) pangu tu, ntakuua.” akarejea barazani akakaa kitako. 

mkwewe akaaga safari, asema: ,,nimekuja kuwatazama, na sasa 
nakwenda zangu nyumbani.” wakamambia: ,, kwa heri baba, salaam 
mama na watoto wote pia mjini salaam.” yakaondoka yakenda kwa 
mkewe, yakamweleza khabari, iliyompata huko alikotoka. 

yakatoa fedda, yakapiga mafungu mawili; fungu moja yakatwaa 
yeye, na fungu moja yakanunua vitu. yakanunua nyumba nzuri sana, 
yakanunua na vijakazi vizuri, yakanunua na matandiko mazuri, yakanunua 
na mapambo mazuri, yakanunua na mbuzi, yakanunua na mchele 
mwingi, yakanunua na pilipili na bizari. yakaandika barua, yakawaita 
mkwewe na mwanawe; wakaja. wakatia h'arusi kwa mali mengi waka- 
fanyiza, yakatoa watumwa yakampa mwanawe, na vitwana yakampa 
mkwewe. | 

mwanamme akafunga mali kwenda kuchuma barra. yakapata 
mali, yakapata pembe na watumwa wengi; yakarudi pwani, yakakaa 
kwa kheri na mkewe, wakazaa watoto. 

ndipo ilipokwishia hadithi ya wajinga watatu. 


Muhemedi bin Diwani Tambaza 
aus Klein-Bagamoyo. 


') amemtongozea. 7) ukipita. 


Sultani 'Ediri!) na sultani Ndozi?). 


Alitokea mfaume?) 'Ediri na mfaume Ndozi. kulla mtu anakaa 
kwa inchi yake. na ile inchi ya sultani 'Ediri haina mvua, kulla mwaka 
jua. hukaa wale katika inchi yao. na yule sultani 'Ediri ana watoto 
wake na yule sultani Ndozi ana watoto wake. 

hutoka mtu mmoja mvuvi wa samaki, akenda baharini kuvua. 
aliporudi akimwamkia mama yake kizee, lakini yule kizee si mama 
yake aliyomzaa, kamzaaf) mtu mwinginc. yule kizee humpikia chakula 
chake; akiona hana mama, afadali awe mama yangu huyu. akenda 


1 ar. Gerechtigkeit. 7?) der Deuter, Traumdeuter. 7?) mfalme. 
1) akamzaa. 


HI 
baharini kuvua, ndio kazi yake kulla siku; kurejea kule baharini 
yakija!) zake nyumbani. 

na yule kizee kulla siku kamwambia mfalme Ndozi: ,kulla siku 
ukiota, njoo unambie.“ yule kizee akamwambia: ,vyema.” na yule 
kizee kulla siku huota, huenda yakimwambia sultani: ,leo nimeota 
hivi ao nimeota hivi.” na yule kijana hulala, naye akiota, humwambia 
vule mama yake kizee, na yule kizee hupeleka kwa sultani Ndozi ndoto 
zake, kulla siku ndio 'amali?) yake. 

hatta siku hiyo yule kijana, mvuvi wa samaki, akiota ,,mwezi 
unakuchwea huku matokea jua?), na jua linatokea machweo jua.“ 
yule kijana akamwambia yule kizee, mama yake, na yule kizee akaenda 
mwambia sultani, kama ,leo nimeota mwezi unatokea machweo jua, 
na jua limekuchwea matokea jua.“ yule kijana akimwambia: ,,mama, 
usiende mwambia sultani, ma'ana maneno haya mabaya sana; tuta- 
kufa wote, atatufunga, atatupiga." 

yule mama yake asisikie maneno ya yule kijana, akiondoka yule 
kizee akenda kumwambia sultani. na sultani alivomwambiaf) vile, ya- 
kamkamata, yakamfunga, akataka kumchinsha. naye akamwambia: 
”Siyo mimi niliyoota!” sultani akamwambia: ,nani aliyoota?“ akim- 
wambia: ,mtoto wangu.“ akafunguliwa yule kizee. akapewa na 'as- 
kari kwenda mkamata yule mtoto, aliyoota ndozi?) hiyo. hutoka wa- 
kenenda, wakamkamata, wakamleta kwa sultani. sultani akiwambia: 
vSitaki kumwona, mtie ndani ya fumba, mshone kamtose baharini.” 

wakamtia ndani ya fumba, wakimchukua hatta nyumba ya pili 
ya sultani, anayokaa mtoto wake; na yule mtoto — mwanamke. aki- 
wambia: ,nini mmechukua“ wakimwambia: ,mtoto moja maskini, 
baba yako amesema mchukueni, mkamtose baharini.” akasema: ,mle- 
teni kwanza nimtezame. akapeleka kurabu$) yake chini yule mtoto, 
ikinaswa ile fumba, ikavutwa juu. na wale 'askari wapo chini, wa- 
nangojea; huwambia: ,yhuyu mtu namchukua mimi, na nyie”) twaeni 
mawe, yatieni ndani ya fumba, kayatoseni baharini.“ wakitia mawe, 
wakenda tosa baharini, wakirudi wakimwambia sultani: ,tumekwisha 
tosa.“ akiwambia: ,bassi.“ 

na yule kijana yuko juu kwa mtoto wa sultani, ndio aliyemchu- 


YVakaja. 7) ar. Arbeit. 7) Fir N. S. O. W. haben wir folgende Bezeich- 
nungen im suah.: N. gibla (Gebetsrichtung) oder kaskazini (N. O. Mon- 
sun); S.: suheli oder kusini (S. O. Monsun); 0.: kunapotokea jua, kuna- 
pokucha jua, matokea jua, ma'a wa jua, matlai, mashrig; W.: kunapo- 
kuchwa jua, machweo jua, mateo jua, maghribi oder maghribu. “) alivyo- 
mwambia. ?) Traum, sonst ndoto gebrauchlich. 9) ar. Haken (kulabu). 
7) ninyi. 

4" 


52 
kua. siku moja yule kijana humwambia: ,mimi sina kazi yangu.“ 
akimwambia: ,kazi gani?" akasema: ,nnavua baharini na mshipi." 
akimwambia: ,nikununulie mshipi utavua?”“ akimwambia: ,nunua.”“ 
akimnunulia') akimpa, akimnunulia na mtumbwi, akimpa, akenda 
pwani kuvua. 

anaporudi kuvua, hutumbua samaki, matumbo yao hutupa, samaki 
yakatunga. huja ndege, wakalia: ,nipe utumbo, nipe utumbo ao sa- 
maki.“ na ndege wale huja wengi — samaki). wanavosema”?) vile, 
mama yao huwapo pale, akiwambia: ,nyief) watoto, kuna kuja ki- 
pande kinatoka kwa mfalme 'Ediri, mje mkatambue ncha na shina, 
kinaletewa sultani Ndozi.”“ wale ndege husema wadogo wadogo: ,na 
wewe mama kazi gani hiyo, itayomshinda mtu? kinapokuja kipande 
hicho?) hukitia majini, kunakozama ndio shina, na kunakoelea 
ndio ncha.“ 

hutoka yule kijana, akenda zake, humwambia yule mtoto wa sul- 
tani, aliyemponya yeye, humwambia: ,baba yako ataletewa kipande, 
akitambue shina na ncha.“ akimwambia: ,na akitwae kipande hicho, 
akitie majini, kunakoelea — ndio ncha, na kunakozama — ndio shina." 

akiletewa barua yule sultani na sultani 'Ediri, na kipande pia 
kikaletwa. akasoma barua sultani Ndozi, akaona khabari yake ya ku- 
tambua shina na ncha kipande, naye hajui. akatoka mtoto wake, yule 
mwanamke, yakimwambia: ,baba, lete sufuria kubwa, ujaze maji tele, 
ukitie kipande ndani, ukaona?) kunakoelea ndio ncha, na kunakozama 
ndio shina.“ akakitia majini, akaona kipande ncha na shina. shina 
akaweka “alama?), akampelekea mwenyewe sultani “Ediri, yakimwambia: 
>kipande chako hicho kinakuja, na ncha nimetambua, na shina nimeli- 
tambua, na huko kunako 'alama nyekundu ndio shina, na kunako 
“alama nyeusi ndio ncha.” yakapelekewa; akatazama sultani “Ediri, 
akasema: ,huyu kweli sultani Ndozi.“ 

na yule kijana huenda akivua. kulla siku wakaja ndege tenna, 
wakimwambia: ,tupe samaki, amma utumbo.“ mama yao husema: 
mwataka nyie, yeye atakulani”)?“ kuna kuja mbuzi watatu kwa sul- 
tani 'Ediri, aje awatambuc sultani Ndozi watoto na mama yao.“ wale 
ndege wadogo wakimjibu mama yao: wee, mama, ni rakhisi?).“ wa- 
kija mbuzi watatu hao, huwafungia majani vichungu") vitatu, na wale 
mbuzi wakaletwa kwa yule sultani Ndozi. akiletwa na barua ya ku- 
tambua mbuzi hao'!). 


') akamnunulia. ") zu erginzen kutaka. 97) wanavyosema. 1) ninyi. 
5) neben hiki. $) ukiona. ar. Zcichen. 6") atakula nini. 9) ar. rakhis, 
billig, leicht; suah. wird es meist rakhisi geschrieben,. 9) kichungu kleine 
Last Gras, Heu, Holz etc. '!) hawa. 


53 


akitoka yule kijana mvuvi, akenda mwambia yule mtoto, aliyom- 
ponya, wa sultani — kama: ,baba yako sultani ameletewa mbuzi awa- 
tambue mama ya mtu na watoto, mwambie na wafunge mbalimbali, 
asubuhi anapowafungua watakimbia kumkimbiria!) mama yao, bassi 
ndiye?) watoto wale.“ 


sultani akafanyiza vilevile, akawatambua mbuzi watoto na ma- 
mic?) mtu). mamaye mtu?) akamkata shikio, akimwambia: ,huyu 
ndio mama yao.“ alipoona hii sultani “Ediri, akasema: ,yatanishin- 
da huyu.“ 

akapeleka watu watatu. na yule kijana huvua, wakimwambia 
ndege: ,tupe samaki, ao tupe utumbo.“ akawapa; mama yao akiwa- 
jibu akiwambia: ,kuna kuja watu watatu, uwatambue mtumwa na 
mungwana na khadimu?).“ wale ndege wakanena: ,kama sisi tunga- 
liwapikia chakula, tukawatandikia ukumbini?). akiweka taa ya bati 
ya pesa tatu, wakagaribishwa ndani, wakapita, wakakaa kitako ndani 
wanakula chakula. akapita mtoto akiuzima taa, ukamwona anayo- 
sangaa$) na tonge?) ya wali mkononi — ndiye khadimu, na aliyo- 
weka mkono mtupu, asiyoweza kushika chakula gizani — ndiye 
mungwana."“ 

na yule kijana mvuvi akitoka, akenda zake nyumbani, akamwam- 
bia mtoto wa sultani: ,kuna kuja watu watatu kwa baba yako, awa- 
tambue mtumwa na khadimu na mungwana.“ kusema vile — marra 
wakitokea. sultani tenna roho yake ikafanya kutumai, kulla siku ina- 
letewa aina!) ya kutambua na muungu yamweke mtoto wangu, hu- 
sema: ,sizijui ndozi hizi mimi, walakini mwanangu ndio anayonipa 
ma'arifa!!) haya.” 

akatumwa mtu upesi kwenda kwa mwanawe: ,wamekuja watu 
tenna wameletwa, watu watatu, wataka watambuliwe mtumwa na 
khadimu na mungwana.“ akimwambia: ,pika chakula, baba, uwa- 
tandikie ndani; wanapokula yapite mtoto mmoja aizime taa kwa 
ujanja.“ 

wakitandikiwa ndani, kikapikwa chakula, wakapita ndani kwenda 


1) kimbilia. 7) besser ndio — ndio wao. J) mama yake — ma- 
maye und mamiye. 1) das gen. praef. wird hiaufig ausgelassen. 59) ar. 
Diener; suah. freigelassener Sklave; Aussprache ist hadimu und 
khadimu; Muhadimu, Wah. werden die Urbewohner Zanzibars genannt 
(ihr Chef Munyi mkuu), von denen noch e€in geringer Theil sehr zu- 
rickgezogen im Innern der Inscl lebt. 9) der an der Vorder- und Hinter- 
thiire gelegene lange, schmale Raum in den Suahelihausern. 7) giza und 
kiza. $) rathlos sein, nicht wissen was zu thun. ?) kleines Kliimpchen. 
10) pers. Sorte, Art. 1) ar. Kenntniss. 


54 


kula. mtoto mmoja akazima taa kwa ghafla!), wakaona — moja ame- 
sangaa na wali mkononi, na moja anakula, na moja hali, anangojea taa. 
sultani akawakamata, akawambia: ,huyu mungwana, akamweka “alama, 
na huyu khadimu na huyu mtumwa, akiwaweka 'alama, kulla mtu na 
“alama yake. 

wakenda zao hatta kwa sultani “Ediri, wakamwambia: ,tume- 
kwisha tambuliwa.“ sultani “Ediri akasema: ,l007), amenishinda, wala- 
kini sasa nitataka kitu kingine, aniletee mvua. 

na yule kijana akenda zake pwani kuvua samaki, wakija ndege 
vilevile, wakinena: ,tupe samaki, tule, ao utumbo.“ akinena mama 
yao — kama: mwacheni, mnataka niye?) — yeye atakulanif)?“ kuna 
kuja amri moja huko ya kutaka mvua sultani "Ediri kwa sultani Ndozi.“ 
wale ndege wadogo wakinena: ,kama mimi ningalitwaa mjusi, nikam- 
kata mkia, nikatwae nikachome, unga wake nikarushe kwa upepo, 
marra mvua itakuja. 

ikija barua ile ya kutaka mvua. yakiletewa sultani Ndozi, yaki-. 
nena: ,emenishinda”) huyu sasa, khabari ya kuleta mvua nitajuaje 
mimi sasa? khabari hii anajua muungu mwenyewe.” akitoka mwe- 
nyewe, akenda mwambia mtoto wake: ,imekuja barua ya sultani “Ediri 
ya kutaka mvua.“ akimwambia: ,kamata mjusi, umkate mkia, mkia 
wake uchome, unga wake urushe kwa upepo, bassi mvua itakuja 
marra. ukitaka jua, twaa kichwa cha mjusi ukichome, ufanye sawa- 
sawa, marra itakuja jua.“ 

yakitoka?), yakenenda sultani Ndozi hatta kwa yule sultani “Ediri, 
aliyotaka mvua, akimwambia: ,kama nimekwisha kuja, nini unataka 
sema?” akimwambia: ,nataka mvua.“ akamwambia: ,ungoje, saa 
sitta usiku itakuja mvua.“ 

yule sultani Ndozi akakata mjusi wake mkia, akachoma hatta 
usiku akarusha kwa upepo, marra likatanda uwingu, ikija mvua nyingi 
sana, ikajaa ndani ya majumba, nyumba za udongo zinaelea juu 
kwa juu. 

yakipiga makelele yule sultani “Ediri — kama: ,sultani Ndozi, 
kama nimetubu?) maneno yangu, tenna sitaki mvua, walla kitu kin- 
gine sitaki kufanyiza juu yako; nikifanyiza nyumba zangu na mji 
wangu raia?) zako, na mji uchukue wewe.“ yakimwambia: ,sasa 
unataka jua.“ sultani Ndozi yakachoma kichwa cha mjusi, akarusha 
unga wake, likatoka jua. j 


) ar. Nachliissigkeit. 7) Ausruf des grossen, bewundernden Er- 
staunens. 7) ninyi. “jatakula nini. ) amenishinda. 9) akatoka. 7) ar. 
sich bessern, bekehren. #$Jar. Unterthan. 


55 


yakafirisika!) yule sultani “Ediri, sultani Ndozi akaja zake mjini 
kwake. khalafu yule mwanawe mwanamke akawambia — kama: 
mbaba, aliyo?) akakuponya — huyu mtoto uliyotaka kumtosa, mimi ni- 
kamtwaa, ikenda?) toswa mawe mahali pake; na maneno yote ananam- 
bia yeye.“ 

sultani akamfanyiza ndio mwanawe mwanamme, tenna akamwo- 
za na mwanawe, akamfanya mkwewe tenna. ndio khabari!) ya sul- 


tani Ndozi na sultani “Ediri. 
Muhemedi bin Madigani 
” aus Magogoni. 


1) fiir Bankerott erkliren; d. i. er erklirte sich fiir geschlagen. 
3) aliye. 7?) es gingen. “$) khabari und habari. 


Mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri.” 


LI 


alikuwa mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri, walikuwa sahibu?) 
sana. mtoto wa sultani na mtoto wa tajiri walikuwa wakitoka pamoja 
na kucheza pamoja. 

ilikuwa siku moja wamepata fikira?) ya kujenga uwalio.9) wali- 
pokwisha jenga uwalio huenda zao, hatta asubuhi hurudi huja huta- 
zama samaki. wakipata samaki, vule mtoto wa sultani huchukua 
samaki wazuri, walio wadogo humwacha mtoto wa tajiri. yule mtoto 
wa tajiri hakuridiwa?) na khabari hii, kwa sababu wamefanya gha- 
rama?) sawasawa, kulla mtu ametoa fedda nuss kwa nuss. mtoto wa 
tajiri akasema nafsi yake: ,;tumekamata samaki kwa mchezo tu, hatu- 
taki kuziuzi, kwani siye?) tuna fedda, hatutaki fedda ya bi“ashara va 
samaki! tafanza?$) 'agili gani hatta tugawe huu uwalio?" akamambia 
mtoto wa sultani: ,tugawe uwalio nuss kwa nuss, kulla mtu awe na 
wake; uwalio wangu wakiingia samaki zaidi — bakhti?) yangu, waki- 
ingia kwako zaidi — bakhti yako.” mtoto wa sultani amegubali 19), 
wakagawa!!) uwalio. 

mtoto wa tajiri uwalio wake ulikuwa na bakhti, zikaingia samaki 


') reich, Kaufmann; die Aussprache ist entweder tajiri oder tajiri. 
2) ar. Freund. 3) ar. Gedanke. $) Zaun, der am Meeresstrande im Wasser 
angelegt wird, um Fische zu fangen. Wenn die Fluth die Fische daritiber 
hinwegtreibt, konnen dieselben bei ablaufendem Wasser nicht wieder zu- 
ruck und sind bei eintretender Ebbe leicht zu fangen. 5) ar. zufrieden 
sein. 9) ar. Unkosten. 7) sisi. $9) nitafanza. ?) ar. Glick. 9) ar. an- 
nehmen. '!) neben gawanya. 


56 


sana; na mtoto wa sultani huingia kidogo. yule mtoto wa sultani 
akaona vile uwalio wa mtoto wa tajiri unavoingia!) samaki wengi, 
akafanza hosuda?), akiondoka asubuhi mapema kuliko mtoto wa tajiri, 
huenda kule huchukua samaki wa mtoto wa tajiri, hutia kwake. mtoto 


wa tajiri akija — hukuta samaki kidogo, na kule kwa mtoto wa sul- 
tani wengi. 
akatokea mtu, akamambia — kama: ,,wewe uwalio wako huka- 


mata samaki zaidi, lakini mtoto wa sultani huondoka na mapema, 
akaja akaweba.“3) akasikia mtoto wa tajiri, akanena: .,haina hajaf) 
kugombana na rafigi yangu kwa ajili?) ya samaki; kwanza nikinena 
haitapendeza mimi kudai?) samaki mbele ya rafigi yangu, mtoto wa 
sultani.” akawacha uwalio, akenda zake, akampa mtu mwingine. 
akamambia rafigi yake: ,,sasa sitaki uwalio.“ billa yeye kutoa fikira 
mtoto wa sultani akawacha naye uwalio wake. 

wakakaa siku kaza wa kaza — hawana mchezo. hatta siku moja 
wakanena — kama: ,.tukacheze karata?) mgahawani.) wakenda 
mgahawani, wamepata watu wanne, wakacheza karata, nao wakaingia 
katika shirika?) ya karata. walikuwa wakacheza zile karata, mtoto wa 
sultani akafikiri!0): neno gani tamwambia!!) sahibu yangu hatta au- 
zike?"12) huchukua mzungu wa nne') hupijaM) juu ya bao!5), hu- 
sema: ,,sultani aula.“16) mtoto wa tajiri amesikia marra kaza wa kaza 
katika mchezo, gauli!?) ile imemuzi. kwani huyu ananena ,,sultani 
aula?" akaondoka na msiba!8) moyoni mwake, akenda zake. 

alipokwenda zake nyumbani mwake, baba yake amemtazama, 
marra ile alimjuilia, kama huyu amepatikana na “izara!?). ,,mtoto 
wangu umcfanya ninir mbona umekasirika; akanena: ,,sikufanya 
kitu.“ akamambia: ,,mtoto wangu, usikasirike! kwa nini unakasirika? 
kitu gani unachokitaka? mtoto wangu una fedda, kulla kitu unacho- 
kitaka utakipata! kwa nini unauzika?" akasema: ,la, sikuuzika kwa 
hivo, rafigyi yangu kanikasiri. tumekwenda kucheza karata, na kulla 
tukicheza huchukua mzungu wa nnc, hupija juu ya bao, husema: ,,sul- 
tani aula.” babake akanena: hayo ndio maneno yaliyokukasiri? aki- 
sema marra ya pili, nawe chukua asi), mwambie: ,,mali ngazi?!).“ 

wakenda kucheza karata. mtoto wa sultani akacheza, akasema: 
vsultani aula; naye akapija asi yuu ya bao, akanena: ,,mali ngazi.“ 


') unavyoingia. ”) ar. Neid. 7) akawaiba. $) ar. Verlangen. 5) ar. 
Grund. “SJ ar. beanspruchen. ')Karten. $)im Kafleehaus. 7?) ar. Gesell- 
schaft. ?) ar. nachdenken. ') nitamwambia. ?) sich gekriankt fuihlen. 
13) KOonig im Kartspiel. ) hupiga. '”) Spielbrett, Tisch. '$) der Sultan ist mehr. 
li) ar. Rede. )ar. Unglick. '?) ar. Erniedrigung, Beleidigung. 7?) Ass. 
21) Vermeogen ist die Leiter, der Weg, auf dem man alles erreichen kann. 


aa 


57 
mtoto wa sultani akashtuka!): ,,vilikwendaje kunambia mali ngazi?" 
naye akamjibu mtoto wa sultani: kwani?) ukanambia ,,sultani aula?“ 
akanena: ,,ndiyo mimi sultani, ntaweza kufanya. nnavotaka?).”“ wale 
watu walikuwapo wameshtuka, wakasema: ,,ngojeni tuwafanzie sulu- 
hu.” wale watoto wamesikia, na wale watu wamewafanzia suluhu; 
wakapatana. 

wakacheza marra ingine. mtoto wa sultani akacheza mzungu 
wa nne, akanena: ,,sultani aula.“. mtoto wa tajiri akacheza, akamcheza 
asi, akajinasabu?): ,,mali ngazi." akanena mtoto wa sultani: ,,kwani 
unanena mali ngazi?" naye akamrudishia mtoto wa sultani kamam- 
bia$): ,,kwani unanena sultani aula?" akasema: ,,mimi naweza kubho- 
kumu katika inchi hii na katika inchi ningine.” akanena: ,,nami naweza 
kufanza kulla kitu nnachokitaka, kwani nna?) mali.” akamambia mtoto 
wa sultani: ,,mimi naweza kumwoa dada yako.“ mtoto wa sultani 
akamambia mtoto wa tajiri: ,,na wewe huwezi kumwoa ndugu yangu.” 
akamjibu: ,,mimi naweza kumwoa dada yako.“ mtoto wa sultani 
amemcheka, akamambia: ,.tajiri hawezi kumwoa mtoto wa sultani.“ 


wakagombana sana, hatta khalafu wakafanya shuruti$). mtoto 
wa sultani akamambia mtoto wa tajiri: ,,uUkiweza kumwoa dada yangu 
— inchi yangu na usultani wangu halali?) yako.“ akanena mtoto wa 
tajiri: ,,kama ukiweza kumwoa ndugu yangu — mali yangu yote chu- 
kua halali yako.” wakaweka na mashahidi!?), kulla mtu akatia sahihi!) 
va ushahidi, na kulla mtu akachukua khatti?) yake. wamepatana tenna, 
na khalafu wakenda zao. 


mtoto wa sultani akajenga merkebu, alitaka kusafiri kwenda ma- 
tembezi. na yeye hakumwambia rafigi yake, amekaa siku kaza wa 
kaza hatta merkebu imekwisha, imebagi!3) siku tatu alitaka kusafiri. 
akaja mtu moja akamambia mtoto wa tajiri: ,umepata khabari ya ra- 
figi yako? siku gani atasafiri?” mtoto wa tajiri akashtuka, akamwuliza: 
.Tafigi yangu gani?“ akanena: ,,mtoto wa sultani.” kanena): ,,sina 
khabari kama anasafiri, umesikia na nani?“ asema: ,,najua zamani 
amejenga merkebu, ataka kwenda matembezi, kesho anashua?), na 
kesho kutwa anasafiri." 


mtoto wa tajiri ameuzika; ameondoka katika baraza, akenda zake 
kwa baba yake. babake alivomwona!) macho yake yamegeuka, marra 
alimjuilia kama amcuzika. akenda zake katika chumba chake, akenda 


1) stuka, erschreckt werden. 7?) kwa nini. 9$)ninavyotaka. “ar. 
Friede, Versohnung. ”) ar. sich bristen. ")akamambia. ')nina. #Jar. Be- 
dingung. 7) ar.erlaubt. 9) ar. Zeuge. '!) ar.richtig. “ar. Schriftstick. 
13) ar, iibrig bleiben. '“) akanena. ?) vom Stapellassen. ) alivyomwona. 


58 

akajilalia. amekaa hatta wagati!) wa chakula, babake ameuliza: ,,mtoto 
wangu yuko wapi?" wakanena: ,,mtoto wako yuko chumbani kwake.” 
akaondoka, akenda chumbani kwake, akamkuta ametia tumbuu?) kwa 
ndani. akamwita: ,,mtoto wangu, fungua mlango.“ akaondoka aka- 
fungua. akamambia: ,,una nini? huwezi?" akamambia: ,la, mzima.” 
akamambia: ,,nambie kweli.” yule mtoto akamambia: ,,baba, mzima, 
lakini ntakwambia neno moja, kama kweli unanipenda — usikasirike." 
kanena: ,,unataka nini, mtoto wangu?" akanena: ,,mtoto wa sultani 
amejenga merkebu, anataka kusafiri, na miye hakunambia; bassi, baba, 
kama unanipenda, nataka leo hatta kesho nataka merkebu, na kesho 
kutwa asubuhi nataka kusafiri." kanena: ,,hivo tu? ndiyo maneno ya- 
liyokukasiri?"“ akasema: ,,bassi — usikasirike, ondoka ukale chakula, mer- 
kebu iko tayyari?) hatta ukitaka kesho. 


alipoondoka baba yake, akenda zake mashamba, akakusanya ja- 
mfei ya watu, akawambia: ,,nataka merkebu, hapa hatta kesho jishe, 
mtoto wangu asafiri.” akamambia yule fundi: ,,ukiweza kwisha hatta 
kesho, takupaf) befi unaitaka”). wakenda wakajenga merkebu. siku 
ya pili imekwisha. mtoto wa sultani hana khabari. wakapakia rufa'a9), 
kulla kitu cha dunyani na aina?) vyakula, wakaishua merkebu. mtoto 
wa tajiri akasafiri. 


mtoto wa sultani amesikia, kama mtoto wa tajiri amejenga mer- 
kebu kwa siku moja, siku ya pili amesafiri. marra ile mtoto wa sul- 
tani akaamru watu, wakashua merkebu yake, wakasheheni$) na vya- 
kula, wakapakia na makaa?), akamfuata rafigi yake. 


alipomfuata, akamkuta katika bahari. alipomkuta, akampandia 
akamambia: ,tafaddali twende shanjari!9), na tule pamoja.“ yule mtoto 
wa tajiri akamambia: ,ndio, lakini siku moja tule kwangu na siku 
moja tule kwako.“ siku anayokula kwa mtoto wa sultani — hapati 
vyakula vizuri, siku wanayokula kwa mtoto wa tajiri hupika kulla aina 
ya vyakula vizuri. 

hatta wamekaa siku kaza wa kaza baharini, mtoto wa tajiri vya- 
kula vyake vimekwisha. akamambia mtoto wa sultani: ,tafaddali, ni- 
hesabie!!) nuss ya vyakula vyako katika merkebu yangu, kwani vya- 
kula vyangu vimekwisha.“ mtoto wa sultani amekataa kumpa mtoto 
wa tajiri. mtoto wa tajiri akastahamili?), akila vyakula vya maba- 
haria!5). 


ar. Zeit. 7) Riegel. 53) pers. fertig. “) nitakupa. “) unayoitaka. 
8) ar. rufa, aufheben, tragen; hier Ladung. 7) pers. Art. Sar. be- 
frachten. 7) Kohlen. 9) neben einander fahren. 7) auf Rechnung ab- 
lassen. 7) ar. mit Geduld ertragen. ?) Matrosen. 


59 


hatta siku ya tatu alivomambia vyakula vimekwisha — ikeshiwa!) 
makaa, kamambia?) mtoto wa sultani: ,nipe makaa kidogo, makaa 
gu yamekwisha.“ kamambia: ,sikupi.“ mtoto wa sultani akenda 
e. mtoto wa tajiri akatwceka. 

mtoto wa sultani akarudi, akenda zake kwao. katika fikira?) yake 
thanni?) ,mtoto wa tajiri amekufa kwa njaa.“ alipowasili akasema: 
'oto wa tajiri amekufa, kaniusia?) nimwoe dada yake, alipokuwa 
a.“ dada yake akasema: ,la, miye siolewi na mtoto wa sultani.“ 
mjibu: ,miye takuoaf), kwani ndugu yako ameniusia.“ dadake 
kataa, akanena: ,hunioi, mimi naolewa na mtoto wa tajiri kama 
ai.” mtoto wa sultani akamambia: ,kama kesho hukufanza shauri 
ikuoe — bassi kesho kutwa utaondoka katika inchi yangu, na mali 
0 takunyanganya/?).“ 

siku ya pili akawasili?) mtoto wa tajiri. alipowasili bendarini, 
u wakamwuliza: ,umemambia mtoto wa sultani amwoe ndugu 
oo?“ kawambia: ,la, sikumambia.” watu wakasema: ,mtoto wa 
ani amekuja, amesema umekufa; amenena: ,ulipokuwa ukifa ume- 
sa kama amwoe dada yako.“ akawambia: ,uwongo.” 


gadi?) akenda kamchukua mtoto wa sultani, akamambia: ,kwani!?) 
:sema uwongo mbele ya shera'a!!)? umenena kama mtoto wa tajiri 
'ikufa, naye amekuusia kama umwoe dada yake!“ akajibu: ,haku- 
ibia, lakini nataka kumwoa dada yake.“ mtoto wa tajiri akam- 
via gadi: ,sema sasa nimemsamehe?) mtoto wa sultani, kwani 
za 'agili”) anaitaka kufanza;“ akamsamehe. 


akenda zake nyumbani mtoto wa tajiri, akenda akaandika barua 
mpelekea dada yake, mtoto wa sultani, akataka kumposa. na ile 
a yake, mtoto wa sultani, alikuwa anampenda mtoto wa tajiri. 
mjibisha majibu, akamambia: ,nimeridia!?4), lakini sitaki mtu ajue 
ika tufunge khutuba!?), wagati ule wakijua — bassi hapana 
cka 16), 

siku ya pili akamjibu barua dada yake mtoto wa sultani, aka- 
nbia: ,kesho kutwa nakwenda shamba, nakwenda kutembea, bassi 
ddali njoo katika shamba langu ufuatane na gadi, aje atukhu- 
ishe. 

siku ya pili akatengeneza magari na frasi na watu wa kufuatana, 
enda shamba. na mtoto wa tajiri akenda shamba. wakenda wa- 


1) ikishwa. 7?) akamambia. ?J) ar. Gedanke. 9) ar. denken. 3) ar. 
nachen. 9) nitakuoa. 7) nitakunyanganya. $) ar. Ankommen. ar. 
iter. 0) kwa nini. '!) ar. Gesetz. ?) ar. verzeihen. 3) ar. Verstand. 
ir, Zufrieden sein, einwilligen. 5?) ar. Predigt. '8) ar. Zweifel. 


60 


kifanza karamu wakala. mtoto wa tajiri akaonana na dada yake mtoto 
wa sultani, akamwita gadi, akenda akawafungisha nikahi!). 

mtoto wa tajiri amerudi amekuja zake, akaja akamwita mtoto 
wa sultani, akamambia: ,nimemwoa ndugu yako.“ mtoto wa sultani 
akamambia: mwongo, ndugu yangu humjui.“ akamambia: ,mimi 
namjua.” kamambia?): nani jina laker“ akasema: ,jina lake Fatuma." 
marra ile alishtuka mtoto wa sultani, akaingia khofu”), akamambia: 
bado sikusadigif); nioneshe?) mashahidi, walipokuwa ulipokuwa 
ukikhutubisha nikahi.“ 

akamwita gadi na mashahidi watatu. akaja akauliza. gadi akam- 
ambia: ,ndugu yako ameolewa na mtoto wa tajiri.” na mashahidi 
wakatoa ushahidi waliposhuhudia. akaondosha barua yake ya ma- 
shuruti kamambia: ondoka katika inchi yangu, usultani wako ni- 
menfuta.” 

Selim bin Abakari. 


) ar. Ehe. “jakamambia. 3) ar. Furcht. 9) ar. glauben. ) nion- 
yeshe. 


njia ya mbali na njia ya garibu. 


walikuwa watu wawili, wakafanya urafigi. walikuwa wakilima 
mashamba pamoja. yule moja njia anayopita mbali, naye shurti afua- 
tane na rafigi yake, wapite kule njia ningine. na garibu ya ule mji 
wanaokaa pana njia ya garibu; ukikaa mjini huona mashamba yao. 

siku moja wakatoka asubuhi, wakafika pale penyi njia ya garibu, 
akamambia: ,tupite hii njia ya garibu, twende upesi.“ yule rafigi 
yake akamambia: ,napita hii ya mbali, nende zangu, maana hiyo ga- 
ribu siijui.“ vule akanena: ,bassi miye napita hiyo garibu, maana 
nataka kwenda upesi, nawe pita hiyo mbali nende zako.“ 

yule akapita njia ya garibu, alitaka kwenda upesi; akenda 
— akaanguka katika shimo; na yule aliyopita mbali — akawasili 
salaama. 

njia ya garibu si njia!), afadali ya mbali unaijua?). 

Selim bin Abakari. 


1) Ein guter Weg um, ist nicht krumm. 7?) unayoijua. 


01 
mtu mvivu na mtu wa kazi). 


alikuwa mtu mmoja mvivu, naye alikuwa mzima na nguvu zake. 
kulla siku, akiona watu wakienda mashamba kulima, yeye husema: 
<nangoja muungu.“ 

hatta siku moja akaja rafigi moja, akamambia: ,kwani?) weye 
huendi kulima“ asema: ,siwezi kulima.“ rafigi yake akamambia: 
>miye nnalima, mweny ezi?) muungu anisaidief).“ 

hatta walipovuna mpunga wao na mtama wao, yule mtu mvivu 
akawaona wamekwisha vuna, wamekuja zao mjini, yeye kulla siku 
hulala na njaa, huondoka na njaa, akasema: ,mweny'ezimgu?) anipe.“ 
yule rafigi yake akamambia: ,nenda ukalime, amma ufanye kazi, 
upate pesa utumie.“ yeye hataki kufanya kazi kwa ajili) ya uvivu 
mwingi. 

hatta siku moja akenda kwa rafigi yake, akamambia: ,nipatie 
chochote?), ninunue chakula, maana sina chakula sina nguo.“ akamwu- 
liza: ,kwani huna chakula huna nguo, weye mgonywa? akanena: 
la, miye mzima.” asema: ,kwani weye hulimi?” akamambia: 
”mimi namngojea muungu, mwenyezi muungu atanipa.“ akamambia: 
mhatta sisi tunamngojea mwenyezi muungu atupe. lakini mtu hufanya 
kazi, akaomba muungu — mweny'ezi muungu humsaidia, lakini uki- 
kaa kitako, ukisema ,nnamngojea mwenyezi muungu“, na wewe hu- 
fanyi kazi, hakupi kitu, atakupa donda3). 

Selim bin Abakari. 
1) fleissig; hodari. 7) kwa nini. 9?) mwenyi 'ezi; 'ezi ar. Macht. 


1) ar. helfen. 7) mwenyi “ezi muungu. $) ar. Grund. 7) kitu. 9) Wunde, d. h. 
Krankheit. 


Mfalme tajiri na mfalme maskini. 


alikuwa mfalme tajiri na mfalme maskini. mfalme tajiri alimam- 
bia mfalme maskini: ,tukizaa watoto waanaume!) — tuwaue.” yule 
mfalme maskini akasema: ,haifai, watoto waanaume zaidi kuliko wa- 
anawake.“ mfalme tajiri akasema: ,la, tutawaua.” mwenzake?) aka- 
fikiri3): ,shauri gani ntafanyiza watoto wangu wasiuawe?”  alipofikiri 
“agili, akanena: ,vema — tutawaua, lakini kulla mtu ataua wake mwe- 
nyewe katika nyumba yake.“ mfalme tajiri akasema: ,vema;“ akagu- 
bali lile shauri. 


!) neben waanawaume. 7) mwenzi wake. 39) ar. nachdenken. 


02 


mfalme tajiri amezaa mtoto kwanza, akamambia mfalme maskini 
— kama: ,mtoto wangu namwua.“ akamambia: ,vema, fanya una- 
votaka!).“ 

mwaka wa pili mfalme maskini amepata mtoto manamme, aka- 
fikiri: ,mtoto wangu nnampenda, shauri gani ntafanyiza mtoto wangu 
asiuawe?“ 

akenda kwa mtu moja maskini, akamambia: ,nifanzie shauri, 
kwani nimezaa mtoto, na miye sitaki kumwua, na ndugu yangu sitaki 
yajue, ya kama mtoto wangu yu hai?).” yule maskini akamambia: 
vlete mtoto wako ntamficha, walakini usimambie mtu, kama mtoto wako 
yu hai. mtu akikuuliza, mambie: ,mtoto nimemwua.” 

akenda kwa mfalme tajiri, akamambia: ,nimepata mtoto, nami 
nimemwua.” akanena: ,vema.“ kulla mwaka kulla sultani hupata 
mtoto. mfalme tajiri huua wake, na mfalme maskini huwaficha wake, 
hatta wamekuwa saba. 

wale watoto wamekua, wametiwa chuoni, wamesoma hatta wa- 
mekhitimu gorani?). mfalme maskini akanena: ,sasa watoto wangu 
wamekua, wamcekhitimu gorani, wanajua killa kitu, 'agili?) gani ntafan- 
viza watoto wangu wasiuawe, na miye?) nisiuawe? 

akatokea mtu moja fitinaf), akawaona wale watoto katika ua wa- 
nacheza, akaingia katika nyumba ya yule mtu maskini, akamuliza: 
Watoto wa nani?” akamjibu: ,watoto wangu.“ akauliza: ,,umezaa 
watoto hatta upate watoto wazuri namna hii? neno hilo sitagubali, 
hawa ni watoto wa watu wakubwa, sura?) zao naziona.“ akamambia: 
hawa watoto wa sultani maskini, amekuja kuwaweka amana$) nyum- 
bani kwangu, mfalme tajiri asiwauc, lakini usimambie mtu.“ akamam- 
bia: la, sitamambia mtu.” 

akaondoka, akenda zake, akenda kwa mfalme tajiri, akamambia: 
shipe kitu, nami nikwambie neno usilolijua.“ akauliza: ,neno gani'“ 
akamambia: ,shurti unipe kitu nikwambie.” akamuliza: ,unataka kitu 
gani“ akajibu: ,nataka kitu kitontosha?),.“ akamambia: ,takupa!?) 
mali itakutosha uhai!!) wako na uhai wa watoto wako. 

akamandikia barua, akampa mashamba na fedda zambazo!?) zi- 
tamtosha. akanena sasa: ,ndugu vyako watoto wake hakuwaua.“ ka- 
mambia: , weye mwongo, ndugu yangu amezaa watoto saba, nami 
nimezaa watoto sab'a, na sote!”) tumewaua.” akanena: ,la, watoto wa 


1) unavyotaka. 7) ar. lebend. 7) den Koran beendigen, lesen kdnnen. 
1) ar, Verstand. 7) mimi. 9) ar. Zwist, Zwietracht, Intrigue. 7) ar. Form, 
Gesicht. 9?) ar. Sicherheit. 7?) kitanitosha. ') nitakupa. '!) ar. Leben. 
12) selten gebrauchte Relativform von amba sagen. 3) wote. 


63 


ndugu yako wa hai, na kama husadigi!), takuoncsha?)j; na kama 
sivo3) — kichwa changu halali yako.“ akamambia: ,twende ukanione- 
she.“ yule mtu fitna akamambia: .jigeuze namna ningine, uvae ki- 
maskini, tukingie?) katika nyumba, usije kutambulikana, kama wewe 
mfalme tajiri.“ akajigeuza kama maskini, akenda katika ile nyumba. 


walipogurubia?) ua, wakawakuta wanacheza uani. akamwuliza 
yule mtu mwenyi nyumba: ,watoto wa nani?“ akamjibu: ,watoto 
wangu.“ akamambia: ,usinene uwongo, nambie neno la kweli, kwani 
nauliza kwa haggi?).“ yule mtu akashtuka. ,kwani anauliza namna 
hii? akamambia: ,nataka nijue, kwani watoto hawa si wako, hawa 
watoto wa ndugu yangu, na wewe ukisema uwongo — kichwa chako 
halali yangu, ma'ana mimi mfalme katika inchi hii.“ marra ile akaji- 
geuza na nguo ningine kwa hali yake, na yeye akamtambua, akasema: 
mkweli, mfalme tajiri.” akanena tenna: ,hawa watoto wa ndugu yako, 
lakini akanambia ,,usimambie mtu,” kwani anawapenda watoto wake. 
na yeye anataka kusikia hokumu') yako, ndio ma'ana aliowaficha, aka- 
kwambia kama amewaua. 


akaondoka mfalme tajiri, akenda zake nyumbani, akamwita ndugu 
yake kwa uchungu na mauziko, akamambia: ,neno gani tuliloseme- 
zana, hatta ukaja ukanighilibu$), ukanambia watoto wako umewaua, 
nawe hukuwaua.“ akanena: ,ndio, watoto wangu sikuwaua, kwani 
miye napenda damu?) yangu, weye hupendi damu yako; kwani!?) weye 
usiweke wako?” akamambia: ,la, sive tumekwisha maneno kama tuue 
watoto, weye umegubali kama tuwaue. sasa nimewaua wangu, kwani 
usiue wako?” ,nimetaka kusikia hokumu yako, ndio maana niliyo- 
kwambia nimewaua, kwani wewe umenishika kwa nguvu, kama tuue 
watoto, na miye sikuridia!!). ukaja ukanishurutiza kwa nguvu, kha- 
lafu nikaitika — kama ,fanyiza unavotaka!??).“ akanena: ,na sasa 
twende katika sheri'a3), twende tukahokumiane, huyu atakayeshindwa 
— shera“a itamlazimu.“ akanena: ,vema, twende.” 


gadi!4) akawauliza: ,,kuna maneno gani?“ mfalme tajiri akanena: 
tuna mashitaka yangu na ndugu yangu. nilimambia ndugu yangu 
shauri — kama ,,tukiwazaa watoto waanaume tukiwaue,” naye ame- 
gubali. tuliwazaa watoto. miye nimewaua wangu na yeye kaficha 9) 
wake; kwani10) hakuwaua? sasa tunataka shera'a ituhokumu.” gadi 
akatazama katika kitabu, akamwuliza mfalme maskini: ,,maneno haya 


1) ar. glauben. 7) nitakuonyesha. 37) sivyo. 1) tukaingie. 9) ar.sich nahern. 
6) ar. Recht. ?) hier Befehl. Sar. bezwingen. ar. Blut. 9) kwa nini. 
11) ar. <zufrieden sein, cinwilligen. “) unavyotaka. 5?) ar. Gesetz. “ar. 
Richter. 5) akaficha. '9) kwa nini. 


64 


yalikwendaje weye usiue wako” akanena: watoto wangu nawapenda, 
ndio ma'ana sikuwaua. kama siwapendi, haifai kuwaua, kwani ni bin 
Adam kama mimi, ni watoto wangu. tenna mtu mwenyi 'agili hatoi 
shauri kama hu — ya kuwa ,,ukipata mtoto umwue.” miye nilimam- 
bia mfalme tajiri — kama ,,shauri hili si zuri,” naye hakusikia, ame- 
sema ,,anataka,“ ndio ma'ana sikutaka kumkasiri. na miye nikaitika, 
nikamambia ,,vema, fanyiza unavotaka." akafanza alivotaka mfalme 
tajiri, kaua watoto wake, nami nimeweka wangu. killa mtu ana khi- 
yari!) katika nyumba yake.“ 

mfalme maskini amepata shera'a, sherafa imemlazimu mfalme 
tajiri. gadi amefikiri: ,,tafanza suluhu?).”“ akamambia mfalme maskini: 
gaweni watoto, chukua watatu, mpe mfalme tajiri, nawe chukua 
wanne.” mfalme tajiri amekataa, amesema: ,,na tuwaue.” mfalme 
maskini akasema: ,,siwaui watoto wangu!” lete shauri jingine, kulla 
neno unalotaka?) ntafanyiza, lakini watoto wangu siwaui.” mfalme 
tajiri akasema: ,,kama huwaui, niletee ngoma ya milio sab'a, na miye 
takusamehe1) watoto wako. kama hukuniletea ngoma ya milio sab'a, 
ntakuua weye na watoto wako." kamambia?): ,,vema, takwenda$) ku- 
fanza shauri miye na watoto wangu." 

akenda kwa watoto wake akaweta?), akawambia: ,,watoto wangu, 
nimeshikwa kwa8) sultani, nami ntauawa, nanyi?) mtauawa, kama 
hamkuweza kufanza neno analotaka!9), bassi — sote!) tutakufa.” wa- 
katoka wale watoto, wakamambia: ,,baba, neno gani unalotaka 2)? kulla 
kitu unachotaka 3), inshallah tutafanyiza.” akawambia: ,,pana ngoma 
ya milio sab'a, nayo iko hilani?), iko kwa sultani wa mashetani.” 
wakasema: ,,bassi, baba, tuundie jahazi, twataka kusafiri.” baba aka- 
waundia jahazi, watoto wakatengeneza safari, wanataka kusafiri. sultani 
tajiri akasema kwa sultani maskini: ,,kama watoto wako hawakurudi 
na ngoma ya milio sab'a “umiri?) wako halali yangu, ntakuua.” akenda 
akaweta watoto wake: ,,msende 18) mkapumbazike?!?); kama hamkurudi 
— miye ntauawa.”“ watoto wakasikia maneno ya baba yao, wakasafiri, 
wakenda zao mudda 8) wa miaka miwili. 

wakenda katika bahari?) mwendo wa miezi miwili, wakenda 
wakapata inchi. watoto sitta wakashuka pwani, yule Msiwanda”) 
amebagi jahazini. wale walioshuka, hawakurudi jahazini illa kwa siku 


Ijar. Wahi. ?) ar. Friede, Versohnung. 95) unalolitaka. “) nitaku- 
samehe. ") akamambia. 9) nitakwenda. 7) akawaita, 9?) na. 9?) na 
ninyi. 9) analolitaka. '!) sisi sote. '?) unalolitaka. ?) unachokitaka. 7!) sie 
ist nur auf listige Weise zu bekommen. 3) 'omri, ar. Alter, Leben. 
16) msiende. '?) sich dumm anstellen. '?) ar. Zeittaum. 2?) ar. Meer. 
2) der jiingste Sohn wird immer Msiwanda (Benjamin) genannt. 


—. 


65 


ya pili. Msiwanda akakasirika, kawambia!): ,,ndugu zangu, huku 
hatukuja kucheza, tumekuja kutafuta kitu kwenda kumhui?) baba yetu.” 
ndugu zake wamekasirika, wameanza kumpiga na kumtukana Msiwanda, 
kwa ajili?) kawambia kweli. wakasema: ,,na tusafiri". wakatweka 
chombo chao, wakenda inchi ningine. 

walipofika bendarini, ndugu zake wote wakashuka, wakamwacha 
yeye na Uledi) katika jahazi. wamekwenda wamepata machezo ka- 
tika mji, wakakaa gadiri?) ya siku tatu, wasipande jahazini. ndugu 
yao Msiwanda akakasirika, akamtuma Uledi: ,,nenda katafute ndugu 
zangu, wambie waje zao tupate kusafiri, maana huku hatukuja kucheza, 
tumekuja kwa shughuli). 

Uledi akashuka pwani, akenda akawakuta katika ngoma wana- 
cheza. akaweta wote pamoja, akawambia: ,,ndugu yenu anawiteni?”); 
tafaddali3) nendeni jahazini.” wakenda jahazini, wakamuliza: ,,una- 
tuitia nini?" kawambia: ,,nataka kutweka, nataka kwenda zangu, ku- 
tazama kazi, niliyoijia.” wakamkamata, wakamfunga na mlingote, 
wakampiga, wakamambia: ,,wewe una wazimu? unataka kutuhokumu, 
sisi wakubwa zako?" akawambia: ,Ja, sitaki kuwahokumuni?), lakini 
nnauzika kwa baba yetu atakavouawa!), na sisi tumegabali, tumemda- 
mini!!), kama tutaweza kumhui asiuawe! sasa mnakuja mnafuata ma- 
chezo! neno hili halitapendeza baba yetu akisikia. na nyie fanzeni 
mtakavo?), na mimi ntawambieni!3) kweli, ijapokuwa mmenipija 1); 
walakini haiduru!9), radi iko kwa baba na mama yetu." 

wakasafiri wakenda zao, hatta wakafika katika inchi waliyoitaka. 
wakenda wakakuta inchi; inchi ile ina mji mzuri. wakashuka katika 
mji kwenda kuuliza wenyi ngoma ya mishindo sab'a. waliposhuka 
wakakuta hanasa!$) kubwa iliyoko katika mji. wakafuata vijana kama 
wao, wakenda katika machezo, wakazoea katika mji, hawafikiri baba 
yao hatta mama yao." 

Msiwanda amekaa na msiba!?”), akawambia: ,,nyie mmekuja kuta- 
futa kitu kwenda kumwondosha baba yenu katika mashakka!$) na 
“azabu !?), sasa mmejikalia na sterehe, nyie mmekosa radi ya baba yenu 
na mama yenu.” wakamfukuza Msiwanda, wakamambia: ,,nenda zako." 

Msiwanda akenda zake, akenda katika nyumba ya mzee moja, 
akenda akapanga chumba. akakaa siku mbili, akamuliza yule mzee, 


1) akawambia. ar. am Leben erhalten. 9) ar. Grund. 1) der 
jiingste Schiffsjunge wird stets Uledi genannt. “jar. ungefahr. $jar. 
Geschaft. "Janawaita ninyi. 9) ar.bitte. )kuwahokumu ninyi. “)atakapouawa. 
11) ar. biirgen. 7) mtakavyo. 5) nitawambia ninyi. '?) piga. “?) das schadet 
nichts. '$) wohi ar. husn, Schonheit, durch Metathesis zu hanasa ge- 
worden. 7”) ar. Ungliick, Trauer. '3) ar. Zweifel. ?) ar. Strafe. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 5 


66 


akamambia: ,.tafaddali unambie kwenyi!) ngoma ya milio saba?” ,,00" 
— yule mzee akashtuka, akamambia: ,,mtoto wangu, huko unaulizia 
nini? asema: ,,nataka kwenda kutafuta kitu.” yule mzee amemcheka, 
akamambia: ,,ni ujinini?), huku hakwendi?) mtu; akenda mtu, harudi 
m'aisha?) yake.” akamambia: ,.tafaddali unambie, na miye nikwambie 
gissa?) niliyojia huko.” yule mzee akamambia gartasi€) ya kulla mji 
atakapokwenda, akampa na hivo?) atakavofanyiza. 

yule mtoto akamambia maneno yote ya baba yake, na maneno 
ya ndugu zake walivomtupa. akamambia: ,,nataka shuruti ya kupata 
ngoma hii, na miye nikipata, ntakupa mali utajirike.” yule mzee aka- 
furahi, akamambia: ,,ntakufanyizia safari yako.” akamfanzia safari, 
akamfanyvizia bissi la mtama, na 'asali9) ya nyuki, na bissi la mahindi. 
akamtilia katika mituko, akampa na buyu la maji, akamambia: ,,nenda 
katika njia, ukisikia watu wamekoroma, usiende, kaa kitako; ukisikia 
wanasema, nenda — wamelala." 


vule mtoto akenda katika njia usiku na mchana, naye hapati 
kulala kwa kumfikiri?) babake na mamake. akisikia wanakoroma, hu- 
kaa kangoja 9) hatta wanaposema. akafika pahali penyi mji, akenda 
katika nyumba. nyumba ile nyumba kubwa, na hapo hapana mtu. 
akenda kutembea katika ile nyumba, akenda pahali akamkuta mzee 
moja, mzee sana. mzee yule alipomwona akashtuka, akamambia: ,,mwa- 
nangu'!), unakwenda wapi?" akasema: ,,natafuta ngoma ya milio 
saba.” mzee vule akamambia: ,,ngoma ya milio sab'a afadali rudi 
uende zako, bado wenyewe hawakuja, nathanni!?) wako njiani wana- 
kuja.“ akamambia: ,,njoo upesi nikufiche." akamchukua, akamtia 
katika uchochoyo!3), akamfinika na makanda, akamambia: ,,nyamaza. 
usiseme neno, walla usitoe upiimzi, mafana hawa wakija wakisikia 
watakutafuta wakuue. 

wakaja majini katika nyumba. walipokuja wakamwita yule mzec, 
wakamambia: ,,mbona pana h'arfu 1) ningine katika nyumba, labda ume- 
ficha mtu. amekuja bin Adam katika nyumba hii?" yule mzee akasema: 
Sijui, miye sikumwona.“ yule mtoto amesikia, anatetemeka katika ule 
uchochoyo alipofichwa. yule mzee akawambia wale majini — kama: 
labda nyie mmekamata bin Adam, nani atakuja katika nyumba hii:” 


') zusammengesetzt aus ko und enyi, der Ort dort, welcher besitzt. 
?) im Reich der bosen Geister. 7) haendi. f) ar. Leben. ?) ar. Sache. $) ar. 
Papier, hier Beschreibung. 7) hivyo. $) ar. Honig. 9?) ar. denken. 0) aka- 
ngoja. 1) mwana wangu. ?) ar. glauben. ?) ein dunkler schmaler Gang 
im Hause. ) ar. 'arf, Duft, Geruch; im suah. harufu und harfu ge- 
sprochen. 


07 


wale majini wamegubali, kama hapana mtu katika nyumba. marra ile 
wakenda zao. 

akenda akamtoa yule mtoto katika uchochoyo, akamambia: ,,njoo 
upesi, tazama wale majini, wale ndio wenyi ngoma ya milio sab'a.“ 
akamambia yule mtoto: ,,kama umenipa ngoma ya milio sab'a, ntakupa 
reale laki na buyu la 'asali ya nyuki.” akamambia: ,,nipe nuss ya 
mali, khalafu ntakwambia namna ya kuchukua ngoma ya milio sab'a.” 
akampa nuss ya laki, na nuss ya buyu la “asali. akamwita akamambia: 
unaona pale penyi ngoma? tazama kile kilima pana mlingote, na ile 
ngoma imetundikwa juu, na wenyewe wamelala chini. bassi — na 
ngoma ukitaka, chukua bissi lako na 'asali yako na buyu lako utie 
katika mifuko, uenende polepole, hatta ukifika pale. ukisikia wanako- 
roma — usiende, ukisikia wanapiga makelele — panda mlingote, ui- 
chukue ngoma. ukisikia wanakoroma — kaa huku juu ya mlingote, 
ukisikia wapiga kelele ,,huyo huyo, mfuate, mkamate, mpije" — bassi 
chukua polepole, nenda zako. ukisikia wamenyamaza, ujue, kama 
wamekufuata. bassi, uwamwagie “asali. kama umeona wamekuzidi!), 
wanataka kukukamata — mwaga bissi la mtama; ukiona wamekuzidi 
sana — mwaga buyu la maji, itafanya bahari, wasiweze kukukamata. 

amekwenda hatta katika njia, amesikia wamekoroma, amejinama?), 
amekaa kitako. alivosikia?) wanapija kelele, alikwenda akapanda mlin- 
gote, akaikamata ngoma ya milio sab'a. alivoikamata?) ngoma, ilianza 
kuvuma namna ya mishindo, na majini hupija makelele ,,huyo huyo, 
mkamate, mtuate, mpije.”“ hatta walivyonyamaza, wakaondoka kuta- 
zama ngoma yao katika mlingote — haipo. 

naye amekwisha fika mbali. wakamfuata mbio, wamenyamaza 
kimya; wakamgurubia hali ya kuwa walitaka kumkamata. akamwaga 
“asali ya nyuki. wakasimama kuiramba. ikesha wakamfuata, wataka 
kumkamata, akamwaga bissi la mtama. wakaokota bissi la mtama. 
likesha wakamfuata, akavunja buyu la maji, ikaondokea bahari, wasi- 
weze kumfuata. yule mtoto ameipata ngoma ya milio sab'a. 

akenda zake kwa ndugu zake, akawambia: ,,nimepata ngoma ya 
milio sab'a.” ndugu zake wakafurahi, wakamambia: ,,twendeni zetu." 
wakenda katika jahazi, wakatweka, wakenda zao. Msiwanda akamam- 
bia Uledi: ,,chukua vijiti?) vya ngoma, ufiche kwako, na kamba zake 
vilevile, ndugu zangu wakiniua, khalafu peleka kwa baba yangu.” 

khalafu ndugu zake wakaona, kama Msiwanda anapatana na 
Uledi. wakafanya shauri ,,;tuwaue wote wawili, nasi) tuchukue ngoma, 

1) vermehren, hier in der Bedeutung ,,ndher an jemand herankom- 


men". 7) amejiinama. 9) aliposikia. “) alipoikamata. 5) die Trommel- 
stocke. $) na sisi; neben nasi ist auch naswi gebriauchlich. 


n” 


68 


tukaseme, tumepata sisi, Msiwanda amekimbia, hataki kwenda ujinini." 
wakamtupa Msiwanda na Uledi baharini; na Msiwanda alikuwa na 
kamba na vijiti vya ngoma. na kama ile ngoma haina vile vijiti vyake 
— vijiti vingine havifai. 

Msiwanda ameogelea yeye na Uledi, hatta wamefika katika inchi 
ya Islam. wakapata mashua moja, wakanawili!) ile mashua. na ndugu 
zake wamekwenda zao. wakenda wakasema — kama: tumeipata ngoma 
ya milio saba.” babao?) akafurahi, akasema: ,,yuko wapi Msiwanda?" 
kwani alikuwa akimpenda zaidi kuliko wote. wakamambia: ,,Msiwanda 
amekimbia yeye na Uledi, amesema hataki kwenda ujinini, na siye 
tumekwenda tumepata ngoma, tumekuja.” 

wakenda kwa mfalme tajiri, wakamambia: ,,tumepata ngoma ya 
milio sab'a.” akawambia: ,,vema, nataka mwipije?), nisikie mlio wake." 
wakenda wakaipija kwa vijiti vingine, isilie kwa namna yake, ilitokea 
sauti) zisizojulikana. mfalme tajiri akasema: ,.hii siyo, bado hamkuni- 
letea.” babao marra akafikiri: ,labda hawa wamemwua Msiwanda." 
bassi, mfalme tajiri akasema: ,,kama hatta kesho ngoma sikuipata — 
nyote mtauawa.”“ ikibagi siku moja kuuawa. 

mudda wa sa'a mbili watauawa — marra wakaona mashua iko 
mbali inakuja. na baba yao ana msiba moyoni mwake ya khabari 
ya kuwa watauawa. wakaja kuchukuliwa na mfalme tajiri kwenda 
kuuawa. mfalme maskini akamambia: ..,nisibiri?) hatta mashua ile 
iwasili, labda ntapata barua ya Msiwanda.“ akampa saburi$9), akangoja 
ile mashua. hatta ilipokuja, ikaja na Msiwanda na Uledi. 

alipowasili Msiwanda, akawambia khabari, ya kuwa ngoma amei- 
pata yeye, na ndugu zake wamemnyanganya, wamemtupa baharini. 
ndugu zake walijinamia kuona haya. marra akaondosha vijiti na 
kamba za ngoma, akaikaza kwa kamba; akaipija na vijiti vyake, marra 
ilianza kulia kwa mishindo sab'a ya namna yake. na kulla mtu ana- 
cheza, anayetaka na asiyetaka — hucheza, kwa jissi?) inavolia$) nzuri. 
wafalme wote wawili wakacheza, wakasema: ,,hio ndio ngoma tuliyotaka/?). 

Msiwanda akawambia vissa vyake na ndugu zake, walivyom- 
fanyiza wakampiga wakamtupa, na hivo!) alivoipata!!) ngoma. babake 
akafurahi, akampa radi, akawafukuza ndugu zake. mfalme tajiri akampa 


Msiwanda “ezi?) yake, akaituma. 
Selim bin Abakari. 
1) nauli Fahrgeld, Fracht; hier miethen. 7?) baba yao. 37) mnaipige. 
1) ar. Stimme, Ton. Jj ar. warten, sich gedulden. $) ar. Geduld. 7) ar. 
Art; im suah. ist die Aussprache jinsi, jissi Oder ginsi, gissi. $) inavyolia. 
?) tuliyoitaka. 9) hivyo. '!) alivyoipata. 7?) ar. Macht. 


69 


Mtoto wa sultani na mtoto wa mfalme.!) 


Alitokea sultani na mfalme. sultani amezaa mtoto manamke na 
mfalme amezaa watoto sab'a waanawaume. watoto wale akawaoza 
wake, illa yule mkubwa wao wa sab'a ndio hakuoa. 


na yule sultani katika ule mji mfalme mkubwa. na yule mfal- 
me ni mfalme, mtu mojapo mkubwa katika mji, akampenda yule 
sultani, amemfanya waziri wake; anakula mshahara yeye na wa- 
toto wake. 


yule mtoto mkubwa wa mfalme husikia, ya kuwa kuna mtoto 
wa sultani, jina lake Miza. na yule kijana kazi yake, kulla siku huwa 
kazi yake, kwenda barran?) kupiga ndege. hatta siku hiyo alipokwe- 
nenda mwituni, akafika mahali pana siwa kubwa la maji. akaokota 
unywele, akauchukua, akaukunjua, akauona mrefu, zera“a?) mbili marefu 
vyake. alipouchukua yakafika nayo nyumbani, marra akaingia ndani 
va nyumba yakalala. 


wale watumwa wake wakasta'ajjabu?), kama bwana emeingia?) na 
mapema leo humo nyumbani; na desturi yake, yakienda piga ndege, 
hurudi jioni, lakini leo amerudi na mapema, ameingia ndani amenya- 
maza kimya. wale wajakazi wakamwambia baba yake: ,,kibana$) 
yumo humo ndani, yemeingia') zamani, ana nini? hebbu?) — nenda 
kamwulize, bana." 


akenenda mwuliza, yakamwambia: ,,una nini mwanangu wee 
kibana, una kichwa, tufunge mgomba, kama una homa, tupae ma- 
kaa?" na kibana akamjibu baba yake: ,,sina kichwa, walla sina 
homa, nalikwenda kule matembezi?), halikuta9) kapo!!) la wanja 2), 
si wanja, si makoma manga), nipaticni Miza mnioze. hapatiki Miza, 
hapitiki, na miango?) ya kwao ifungwa, panga na ngao ziko mko- 
noni.” 

yakatoka baba yake mle ndani, yakaja zake kumwambia mkewe: 
khabari ya kibana unayo? anataka mtoto wa sultani kuoa; na 
mimi naogopa, siwezi kwenda posa — nnaogopa, sisi maskini, sultani 


1) Diese Erzahlung hat einige Aehnlichkeit mit kibwana na kibibi. 
?)ins Inland. JJ ar. Elle, suah. zirafa und zera'a. “$) ar. sich wundern. 
>) ameingia. 9) der ilteste Sohn wird vielfach bei den Suaheli kibana ge- 
nanpt. /) yemeingia fiir yameingia, ameingia. 9) Ausruf der Aufforderung, 
deren Sinn sich gewohnlich nach dem im nachstehenden Satze vorkommen- 
den Verb richtet — hier also etwa ,,komm her“, ,,sieh her“, 9?) Spazier- 
gang. 5“) hakuta fiir nikakuta. '!) grosser Korb. 7?) Schonfirbemittel. 
13) Granatipfel aus Arabien. 1) milango; mlango und mwango. 


70 
ni mtu mkubwa sana, ni sultani mwenyi mali mengi. mtoto wetu ana 
khatari!) sana, mtazame kwanza mwanao?)." 

yule mtoto wake mfalme akafanya uchungu, akakaa kitako nyum- 
bani. na yule Miza amepata khabari — kuwa: ,,mtoto wa mfalme ana- 
nitaka mimi.“ na yule Miza anasoma gorani”) na ilimu), na 'ilim 
dunya”) anajua. akatazama katika ramli yake, akamwona mtoto mfalme 
anataka kumposa. naye mgonywa, walla hataki kula kwa sabiki?) ya 
mtoto wa sultani; ,,shurti nimpate nimwoe.” 

na yule mtoto sultani mwanamke anapewa vyakula vya mwezi 
mzima, na kuni za mwezi mzima, na maji ya mwezi mzima, kulla 
shughuli, na vitoweo pia pia, anapewa vitu vya mwezi mzima. naye 
desturi yake anakaa huko huko juu, hashuki. hatta siku moja akinena 
akimwambia mjakazi wake: ,,nenda kwa mtoto wa maskini yule, mwam- 
bie leo yafurahi, walla asiuzike, na chakula yale?) kwa furaha, kama 
ananitaka mimi — jioni ntakuja sa'a mbili usiku. 

yule kijakazi yakaondoka kwenda mwambia yule kijana, mtoto 
wa mfalme, akamwambia vilevile kama alivomwambia?) bibi yake. 
akafurahi yule kijana, yakimwambia: ,,kweli atakuja leo bibi yako?" 
yakinena: ,,atakuja.” wyakifurahi sana, akikaa hatta jioni sa“a mbili 
usiku. yule manamke wa sultani akateremsha kikapo juu ya nyumba, 
yakashuka yeye na mjakazi wake, wakaingia ndani ya nyumba ile. 
yule kibana akafurahi sana. wakakaa siku kumi pamoja. 

yule mtoto wa maskini akamwona?) baba yake, akasta'ajjabu 
huyu: ,,mwanangu furaha gani aliyo nayo?“ hatta siku ya hed“ashara 
vule mwanamke akitaka rukhsa, akamwambia: ,,nenda 9) zangu sasa, 
shika adabu yako, mimi mtoto wa sultani, si mwenzio!!), walla huni- 
pati mimi, umekwisha pata kwa kuzini, kuoa hunipati mimi; bakhti 2) 
yako kubwa hatta nimekuja nyumbani kwako.“ akamwambia: ,,sasa 
hivi nitakwenda zangu, kwa heri. 

hatta sa“a nne ya usiku akafika nyumbani. wale wajakazi wake 
wakamwona yule bibi, wakamteremshia kapo, yakaingia, wakamvuta 
hatta akafika juu; akakaa kitako. na baba yake anathanni3) labda 
mwanangu yuko juu tu, atakwenda wapi? hatta siku ya arb'at'ashara 
akija mwamkia baba yake chini, akirejea kwenda kaa kitako. 

na yule mtoto wa maskini emefanya 9) ghadabu 19) marra ingine, 
ememwambia!6) mama yake: ,,nipikie mikate.” yakimpikia mikate mingi, 


1) ar. Gefahr. 7) mwano wako. Jjar. Koran. fjar. Wissenschaft. 5) ar. 
Welt. $9) ar. Resultat — kwa sababu. 7) ale. 9) alivyomwambia. 9) fiir aki- 
mwona, besser alipomwona. 'P) nakwenda. 'J3) mwenzi wako. Bar. 
Glick. 5) ar. glauben, meinen. 'f) amefanya. P)ar. Zorn. 8) ame- 
mwambia. 


71 


akatandika na frasi wake, akamrukia akimpanda. akamwaga akamam- 
bia: ,,baba kwa heri, na mama kwa heri, nenda!) zangu, walla siji 
tenna.” 

akaondoka yule kijana akenda zake, hatta yakafika mahali pana 
mti mkubwa. akapanda juu ya mti akatezama anakokwenenda, akiona 
mji uko mbali sana. na ule mji hauna watu, watu wamekufa wote, 
vuko zimwi pekeyake. 

yule kijana akenenda, na inchi hiyo amekwenda mwendo wa 
siku sab'a. alipofika ugani, panapo ile nyumba kubwa, ndani mna 
zimwi, yule zimwi yakanena: ,,nani wee?" yule kijana akasema: ,,mi- 
mi.“ zimwi akamwambia: ,,njoo ule chakula, upate ushibe, nije kha- 
lafu kukumeza.”“ yule kijana akamjibu: ,,utaweza kunimeza mimi?“ 
vakimwambia: ,,ntakumeza.“ zimwi yakimwambia: ,,wacha ghururi?) 
yako weye kijana, hapa kuwa watu wengi walio katika mji huu, na 
mimi wote nimewameza; kama wewe mtu moja, utanishinda mimi?" 
vakamwambia: ,,njoo unimeze, kama unaweza kunimeza!” zimwi aka- 
sema: ,,ngoja, nakuja, kaa tayyari. 

akatoka zimwi kwenenda. na yule zimwi ana vichwa sab'a na 
miguu sab'a na mikono sab'a. alipokwenda mrukia, yule kijana aka- 
peleka upanga wake, akavikata vichwa viwili pamoja na mikono mi- 
wili. zimwi yakasema: ,,umekata vichwa viwili na mikono miwili, 
lakini vichwa vitano viko na mikono mitano iko bado.“ akimwambia: 
njoo.“ zimwi yakamwendea kumrukia, alimpiga vichwa viwili, ya- 
kaviangusha, na mikono miwili, vikabagi vichwa vitatu na mikono 
mitatu. akamambia: ,,€883), umefanya nini wee, ngoja nakuja tenna." 
vule kijana akasema: ,utakufa zimwi leo.“ alipomrukia akamkata 
vichwa vitatu vyote na mikono mitatu — likaanguka zimwi. 

na yule kijana mwenyewe emechoka, emeduruf), hatta “agili 
hana, akaanguka naye. hatta saa kumi na moja umekuja ubaridi 
mzuri, akapata fahamu?). akaondoka, akachukua upanga wake, huenda 
vakimpiga yule zimwi aliyokufa, humgonga zimwi huyu alitaka kum- 
ua. yule mtoto anapogonga hivi, hutoka mtu moja moja ndani ya 
zimwi, wakatoka watu wengi ndani ya zimwi mle tumboni mwake, 
watu wa mji ule wote wakatoka, hatta sultani wao, hatta na wa- 
toto wa sultani pia pia, na mbuzi na ngombe na punda wakatoka. 

khalafu mwisho akatoka Mgazija$) mmoja. alipokuwa yakimpiga 
yule zimwi, alipotoka yule Mgazija, kidole cha mwisho ukamkata ule 
upanga kidogo, akakasirika sana yule Mgazija, yakamwambia: ,,umc- 


') nakwenda. 7) ar. Betrug, Verfiihrung. ?) Ausruf der Verwundc- 
rung. far, schaden. ?) ar. verstehen. 9) ein Comore. 


72 


nikatia nini? na mimi ntakukata vilevile! watu wale waliopo wa- 
kamwambia: ,,tazama huyu, sisi cmetuponya!), tulikufa sisi ndani ya 
tumbo la zimwi, huyu amekuja kutoa, kama unataka kumpiga yeve 
tupige sisi, mtu umtakayo hapa, japo?) kama sultani mpige, walakini 
huyu usimpige.” Mgazija akasema: ,.sitaki, ntampiga huyu huyu35).“ 
vule kijana akasema: ,,mwache, anipige.” yakamwambia: ,,lakini tuka- 
pigana hapa utakufa weye, twende tukapigane msituni?).“ akam- 
ambia: ,,haya, twende;“ wakenenda msituni. 

yule kijana akamambia yule Mgazija, akamambia: ,tusipi- 
gane kwa upanga, tupigane kwa fimbo.“ vule Mgazija akamambia: 
"ndio kweli.” wakapigana; yakapigwa yule Mgazija sana, likapinduli- 
wa gogo, yakaanguka, yakapotea “agili. 

yakija zake mjini yule kijana, akaulizwa: ,,yule Mgazija yu wapi:” 
akasema: ,,nimemwua.” watu wakasema: ,,sisi tumejua toka zamani 
kama anataka kwenda kufa — bassi.” yakakaa yule kijana, yakarejea 
kule mwituni, akamsomea, akageuka bin Adamu. yule akamambia: 
mbassi bwana, nimetubu?) tenna.” akamambia: ,,bassi, nenda zako, 
rukhsa. 

sultani akapiga mbiu, wakija watu wengi sana, na yule kijana 
akija. alipokuja yule kijana, sultani akamwambia: ,,wewe ndio mwe- 
nyi 'enzi9), wewe sasa ndio sultani, hapana sultani mwingine tenna 
ila wewe; na mimi ni mtu mzima, tenna wa kukaa chini yako.” 
vule kijana akakataa, akasema: ,,mimi siwezi usultani.“ wale watu 
wa mjini wote pia wakasema: ,bwana wetu wewe, sultani wetu 
wewe.“ yule kijana hana hila?) tenna va kukataa, akakaa vyule ki- 
jana. mudda wa mwezi moja akamwoza mwanawe, akimwoa. vule 
sultani akiwapa upande wa inchi mwanawe$) na upande mkwewe?!, 

yakikaa juu ya 'enzi hatta mwezi wa sitta, yakamwambia: ,,na- 
taka kwenda kwetu, mkwe wangu." akimwambia: ,,nenda.“ akifunga 
safari “askari mia, akachukua na punda moja na frasi moja na waja- 
kazi waanawake kumi na watwana waanaume 'csherini, na mkewe 
akachukua wajakazi kumi. akatoka yule kijana na mkewe kwenda 
mtazama baba yake na mama yake. 

alipofika mjini, wakapiga bundugi nvingi. yule sultam akastuka!? , 
akapeleka “askari: ,,katazameni bundugi nvingi za nini?” yule mtoto 


') ametuponya. 7?) selbst wenn, mecist wird ijapokuwa gesagt. 
3) die Comoren sind im Aligemeinen nicht beliebt bei den Suaheli und 
gelten bei ihnen als undankbare Menschen. f) auch mwituni. '“Jar. 
bekehren, sich bessern. #$jar. Macht, Kraft; “ezzi, “ezi und “enzi sind ge- 
brauchlich. 'Jar. List, hicr ,,cr fand keinen Ausweg."" 9?) mwana wake. 
?) mkwe wake. 0) erschreckt werden, auffahren. 


73 


wa mfalme, aliyetoka zamani mjini humo, akasema: ,,mimi, mtoto wa 
mfalme, nimekuja kumtazama baba." wakarudi “askari wale, wakam- 
jibu sultani, wakamwambia: ,,mtoto wa mfalme amekuja mtazama 
baba yake.” wakafurahi sana baba vyake na mama yake kuwa mwa- 
nao!) amekuja. 

na yule mtoto wa sultani, Miza, akapata khabari, ya kuwa ame- 
kuja mtoto wa, mfalme. akimwambia baba yake: ,,baba, mimi nnataka 
mume mtoto wa mfalme, mume mwingine simtaki kabisa.”  aka- 
mwambia: ,,vema, mwanangu.” akapelekwa mtu kwa mfalme kwenda 
mwita. yakija, akimwambia sultani: ,,mwanangu utamwoza mwanao? 
nipe shauri lako, nini? utagubali?” mfalme akasema: ,,nimegubali, 
sultani.” 

akenda kumwambia mwanawe mfalme: ,,sultfani anataka yakupe 
mwanawe uoe, yule uliyokuwa ukimtaka zamani.“ yule kijana yakiji- 
zuia, akisema: ,,sasa simtaki, nimepata mke mzuri huko, nimepata na 
usultani na mali mengi huko, huyu simtaki tenna.“ akambembeleza?) 
baba yake, hatta khatima yakagubali yule kijana. 

akamwoza yule mtoto wake sultani Miza, yakiwa ndio mumewe 
uladi3) mfalme. wakakaa kitako siku nyingi, yakiaga kwenda zake 
tenna kule alikoupata usultani. kule akakaa kitako na wakeze), wa- 
kizaa nyike na ndume), wakakaa raha mustarehe. 


Muhemedi bin Madigani 
aus Kondutschi. 


1) mwana wao. '?)zureden, liebkosen. 7?) ar. Sohn, hier falschlich 
der plural gebraucht. f) wake zake. ?) Weibchen und Minnchen; meist 
von Thieren gesagt. 


Msiwanda.!) 


Alitokea sultani mmoja, akizaa watoto sab'a, mmoja jina lake 
Salem, na mmoja jina lake Sleman, -na mwingine Nagsur, na mwingine 
S'aid, na Hemedi, na “Abdallah, na mwisho wao Msiwanda, ndio mdo- 
go?) wao; ndio jina lake hili Msiwanda. 

wakikaa watoto wale hatta wakiwa watu wazima. na pale 


1) Diese Erziahlung hat einige Aehnlichkeit mit kisa cha binti 
Matlai Shems, Bittner Anthologie p. 106, ist jedoch bei Weitem ausfiihr- 
licher. 7?) jingste. 


74 


ugani!) pana mti mkubwa, katika uga ya nyumba ya baba yao. yali- 
kuja ndege moja, yakitua katika mti ule, yakilia yule ndege; mlio wake 
mzuri. baba yumo ndani, na watoto wote wamekwenda zao majum- 
bani kwao, yakibagi?) yule mtoto wa mwisho, msiwanda?) wao. 

akimtezama?) yule ndege, ndege yakiona oga — akiruka, yaken- 
da zake, yakiangusha unyoya moja. yule mtoto yakiuokota?), akimpe- 
lekea baba yake, yakimwambia: ,,baba, yalikuja ndege mzuri leo hapa 
panapo mti huu.” yakimambia: ,uko wapi unyoya wenyewe?" 
yakimambia: ,,huu.” yakiutazama baba yake, akiuona kweli mzur 
sana, yakaweta9) watoto wake wote, akiwambia: ,,nyie?) ni watoto 
wangu, nawatuma, sheruti$) mtumike, kama mnataka radi?) yangu 
mwende mkaniletee ndege huyu.” wakimwambia: ,,tutamwona wapi, 
baba, na ndege wengi aina?) moja, huyu umtakayo hatumjui sisi." 
akiwambia: ,,mkafanza upindani!!) na mimi, baba yenu? nawatuma, 
sasa hivi mwenende mkamlete huyu ndege, ndio mpate radi yangu." 

wale watoto wakiona neno limekuwa kubwa tenna, walla hali- 
kataliki, wakimwambia: ,tusafirishe.“ yakafanyiza mikate mingi sana, 
na kulla mtu akampa fedda rupia elfu elfu?) kullu mtu, na kitwana 
kimoja kimoja), na frasi moja moja. wakitoka wakipanda frasi zao, 
wakenenda hatta mwendo wa miezi miwili — hawamwoni ndege, wa- 
naona barra na pori4) moja kwa moja!”), walla mji hawauoni. 

hatta mwezi wa tatu akiona mji yule mkubwa 19), akanena: ,,mi- 
mi hapa siondoki tenna, na kama radi za baba za kumtafuta ndege, 
shurti nimpate huyo ndege, na ndege ni wengi, simjui mojapo!?). na 
kama radi ni hizo, na nizikose!8). mimi hapa — tenna siondoki, na 
nyie!?) kama mnataka kwenda, nendeni, mkamtafute huyo ndege.“ 

wakatoka watu sitta wale, ndugu yao wa sab'a wakimwacha. 
wakenenda wao hatta mwendo wa siku kumi, wakikuta pori moja 
kwa moja. wakaliingia, wakienenda mwezi mzima na mwezi wa pili 
na mwezi wa tatu, ndio lilipokwisha pori. yule mwingine ba“ada ya 
mkubwa wao ndiye yeye akisema: ,,mimi miguu inauma, hapa nime- 
fika katika mji huu, siondoki tenna, nendeni zenu.” 

wakitoka, wakenenda watu watano tenna. waliobagia hawa- 
wezi kujizuia, kulla mwendo wa miezi miwili wakikuta?) mji — hupa- 


JJ) auf dem freien Platze. ?Jj ar. tibrig bleiben. 9) der zuletzt Ge- 
borene.. $) alipomtazama. 7) akauokota. 9) akawaita. 7) ninyi. '"“Jjar. 
Bedingung. ) ar. Zufriedenheit. 1) pers. Art, Sorte. '1) Worte ver- 
drehen, davon das subst. mpindani — z. B. weye mpindani mno du 
verdrehst meine Worte, um mir tiberlegen zu sein. 7?) je tausend. 2) je 
einen. '“)Steppe. 2) nur. 9) ilteste. 7) wo der eine steckt. 9) so moge 
sie mir fehlen. ?) ninyi. €) walipokuta. 


75 


iga, wakikaa kitako wote wale watu sitta. kulla mji amekaa moja 
noja, akibagi yule ndugu wao wa mwisho, aliyozaliwa msiwanda!) 
vao. yakinena: ,,mimi kama kuwachongea nimewachongea mimi, kwa 
na“ana alikuja ndege huyo, akiingia?) mtini, akiangusha unyoya, ni- 
rampelekea baba, na baba ule unyoya akiuhibbu”) sana, akinena): 
wanangu”), kama mwanitaka radi zangu, sherti munipatief) ndege 
ijuyu.” .na sisi tukatoka tenna wote kumtafuta ndege huyu kwa rida?) 
zetu wenyewe. na leo siwezi kukaa mimi, illa nimpate ndege, nim- 
etce baba yangu, aima?) nife mimi bassi. imekuwa miaka miwili 
asa, na ndege hatujampata; haya, kwa heli?) ndugu zangu, nenda) 
angu kutafuta ndege.“ yakitoka akenda zake. 

hatta mwendo wa miezi miwili akikuta kizee kimoja, kimekaa 
ijiani na kijumba chake. yakipiga ,,hodi“, yakamwitikia: ,,Hodi, nani 
weye?” yakimambia: ,,mimi, mtoto wa sultani.“ yule kizee yaki- 
nuliza: ,unakwenda wapi" yakimambia: ,sijui nnakokwenenda, 
walla sijui nitokako.“ yule kibibi kizee yakimambia: ,,nimekwisha jua 
thabari yako, kwa mafana mmekuja watu sab'a kutafuta ndege, 
wenzio 1) wote wamepanga, kulla mji wamekaa kitako, na weye ume- 
zuja mtafuta ndege. hupendi kukaa, unaogopa radi ya baba; walakini 
idege huyo hapatikani hapo, yulipo ndege huyu — mahali pa sultani, 
za watu 'askari wengi sana na mizinga na bundugi.” yakimambia 2?) 
yule kizee: ,,ntakupa werekeo!3) moja). ukasikia?) ,,mfunge” ao 
mpige", ,,mchinshe“, ,,mnyonge", ,,mtose” — ndio wamelala hao 18), 
ikasikia!?) kimya, hawaneni — bassi ndio wako macho 8); ukienenda, 
watakukamata watakuua.” yule kijana akinena!?): ,,vema, nimesikia;“ 
yakitoka. 


akenenda, frasi wake na mtumwa wake yakiwaweka msituni, ya- 
:diwaficha. akatoka yeye mwenyewe, yakienenda akasikia wamenyama- 
za. akirudi?), akikaa kidogo, akisikia wanasema kwa matusi na kum- 
unga mtu na kumpiga. yakijua?!) yule kijana, ndio maneno yake 
yule kibibi kizee. yule kijana yakitagaddam ??), yakienenda akamwom- 
ya muungu: ,,nife ao nipone!" vakenenda. 

alipokwenda, wamelala wenyewe, na mikelele yao ndio kulala 
swao. yakenenda hatta panapo ndege huyo; roho inampiga shindo, 


1) der jiingste Sohn wird meist msiwanda genannt. 7”) akaingia. 
') ar. lieben. “$) akanena. 5) waana wangu. $) mnipatie. ') ar. Zu- 
;timmung. 9) amma. 9) kwa heri. 9) nakwenda. '!) wenzi wako. 2?) aka- 
mambia. "?) welekeo Richtung, Fingerzeig. ') mmoja. 5) ukisikia. 
6) hawa. ”) ukisikia. 9) wako macho sie sind wach; yu macho er ist 
wach etc. ?) akanena. €) akarudi. "'!) akajua. ?) ar. vorgehen. 


76 


na maungo yanamtetemeka, woga umemwingia. yakenda kumkamata 
yule ndege, yakaziacha mbawa zake; akikamata miguu — yule ndege 
akapupurika!). “askari wakaamka, wakimkamata yule kijana, wakim- 
funga kamba sana mikono nyuma, wanamambia ,,mchinshe“, na wengine 
wanasema ,,mpige”, wananena ,,€e82), mtose katika maji, katika 
mto huo." 

wakatoka “askari wengine wenyi huruma”), walioamriwa na 
muungu kwa ebhsanif) yao, wakawambia: ,,€88, mwacheni huyu, mchu- 
kueni kwa sultani kwanza yakamwone, kwa ma'ana hajaja mtu hapa, 
huyu labda emeamriwa?) na muungu, ndiye wyakija9) hapa.“ wale 
“askari wakamchukua hatta kwa sultani. 

alipomwona sultani, akimambia: ,,khabari yako nimeijua mimi, 
sina ku'azibisha radi za baba yako za kutaka ndege. na ndege yule 
wangu mimi. yule ndio mtoto, hao mama zake, huwaoni wewe. wala- 
kini kama wamtaka ndege huyu, ntakutuma mimi, uende ukanilctee 
upanga wa radu?).” yakimambia: ,,uko wapi, sultani?" yakimambia: 
Sijui, nenda ukautafute.” 

yakitoka?9) yule kijana, akenda zake mwituni, yakatwaa frasi wake 
na mtumwa wake, wakitoka wakienenda zao hatta mwendo wa mwezi. 
wanazidi kusukumiziwa mbele yeye na mtumwa wake. akikuta mji 
moja?), akauingia mji ule, akakuta kizee kiko mwisho wa mji, akimwam- 
bia: ,,bibi, nnataka upanga wa radu, ntaupataje?”“ yakimambia 10); ,,weye 
kijana, weye huna khatari!!)? huo — upanga wa sultani, ukasikilikana 
— utachinshwa.” ,,€€8, sasa ntaupataje?” yule kizee yakamambia: ,,nenda 
zako katika chumba, mlango wake umeregebia 2) gibura 3). 

yakenenda hatta akasikia wenyewe wale “askari wamelala. wana- 
sema vilevile ,,mfunge", ,,mpige", ,,mchinshe“, ,,mtose maji“, yakijua!, 
ya kuwa wamelala kwa maneno yake yule kizee aliyomambia. akae- 
nenda yule kijana, roho inamtetemeka na maungo yanamcheza. 

alipoukamata ule upanga, yakasahau kukamata kipini, yakakamata 
ala!?), upanga ukachomoka!9), ukalia upanga kwa mshindo wa radu, 
unalia rrrrr, “askari wakaamka, wakimkamata yule kijana wakimfunga, 
wengine wananena ,,mwue"”, wengine wanasema ,,mpeleke kwa sultani.“ 
wakimpeleka kwa sultani. 

hatta yakimwona?!?) sultani, akimambia: ,,nini khabari yako? huo- 


1) flattern; rauschen von Blittern. ") Ausruf des Erstaunens. 
3) ar. rahma Barmherzigkeit, Erbarmen; durch Metathesis zu huruma 
geworden. “ar. Gite. ”) ameamriwa. 9) akaja. 7) radi und radu 
Donner. $) akatoka, ) mmoja. '"j)akamambia. "jar. Gefahr, 2) ar. 
erwarten. 5) ar. Gebetsrichtung (gibla). '$) akajua. "ar. Instrument, 
Scheide. '$) herausfallen. 7) akamwona. 


77 


gopi wee? kama mimi sultani, nikikutaka!) nitakuua, hapana?) wa kuniu- 
liza, lakini nimejua kama hii amri ya baba yako ya kutaka ndege, na 
mwenyi ndege amekwambia, ukalete upanga wa radu, ndio uje upate 
ndege. na sasa unataka upanga, nenda ukaniletee kwanza ngoma ya 
milio sab'a.” yule kijana yakimambia: ,jiko wapi ngoma hii?“ ya- 
kimambia: ,,sijui, nenda ukatafute tu, hatta huko utakaipata.“ 

yakatoka yule kijana, yakaenenda kutwaa frasi wake na mtumwa 
wake; yakenda zake mudda wa mwezi, hajaona mji, katika njia tu. 
hatta mwezi wa pili yakaona mji uko mbali sana. akajongea garibu 
ya mji, akakuta kizee, akapiga ,,hodi“ yule kijana. yule kizee akaitikia 
hodi.“ ,,unataka nini, ao unakwenda wapi?" yakimambia: ,,sijui nna- 
kokwenda, walla nitokako;” akenenda yule kijana. 

yule kizee akamwita: unalolitaka?) nalijua, unataka ngoma ya 
milio sab'a, walakini utaipataje hiyo ngoma ya milio sab'a?”“ yakimjibu: 
vntaipata, ao ntakufa mimi, na ngoma ntaikosa; kama nikiwa mzima, 
ngoma ntaipata." 

akamwambia: ,,haya nenda, utapokwendaf), utasikia watu kama 
vilevile nyuma, wanavosema?) ,,mfunge"“, ao ,,mchinshe“, ao ,,mnyonge" 
— bassi wamelala; ukasikia9) kimya, hawaneni — ndio wako macho. 
na hiyo ngoma iko sebuleni imetundikwa, unapoikamata kamata jiti?) 
lake, usikamate ngozi yake; ukikamata ngozi — italia, “askari wataamka, 
watakukamata wewe, wakufunge ao wakuue.” 


yakitoka3) yule kijana, akenda zake hatta mjini. saa sitta ya 
usiku yakaingia katika mji yeye pekeyake, frasi na mtumwa wake aki- 
waacha mwituni. aliposikia ,,mfunge“, ,,mpige”, ,,mchinshe“, vaka- 
jua, kama wemelala?). akenenda hatta katika nyumba ya sultani, ya- 
kakamata ngoma. na ile ngoma yakasahau 9) kukamata kunako mti 
wake, akakamata kunako ngozi yenyewe. na ile ngozi ndio inayolia; 
ikalia ngozi ya ngoma. marra “askari wakaamka, wakamkamata wa- 
kamfunga, wakimchukua!!) kwa sultani. 


sultani akimambia: ,,nani emekutuma?) kuja kuchukua ngoma 
yangu? huna oga w€e, walla huogopi? kama mimi sultani nitakalo 
— huuwa13)!? yakimambia 14): ,,mimi najua kama wewe ndiye sultani 
mkubwa, kama sikukuogopa wewe nitamwogopa nani mwingine? wa- 
lakini huko nyuma nilikotoka nimekutana na sultani wengi, wenzio ) 
kama wewe, nikaambiwa: ,,illa ulete ngoma ya milio sab'a;“ na mimi 


1) nikitaka. 7?) mtu. 3) auf neno oder jambo beziiglich. 9) utakapo- 
kwenda. ”) wanavyosema. $) ukisikia. ') Holztheil. $) akatoka. 7) wame- 
lala. 09) ar. vergessen. ') wakamchukua. ?) amekutuma. 5) utauawa. 
14) akamambia. 2?) wenzi wako. 


78 


ndiye!) nimekuja kuifuata ngoma.“ sultani akinena: ,,kama wataka 
ngoma — kaniletee?) binti Sanabu; ukiniletea binti Sanabu, ntakupa 
ngoma uchukue.” yakimwambia: ,,yuko wapi binti Sanabu?“ ya- 
kimambia: ,,uko mji mmoja, jina lake ,,Haji mtu kwa shari“3), una- 
pokwenda wewe, ukimleta manamke huyo binti Sanabu, utafurahi 
mwenyeo?), walakini sherti?) uingie katika merkebu, na merkebu 
hio?) ntakupa mimi.” akimwambia: ,,nipe“; yakimpa”) merkebu. 


yule kijana akimambia sultani: ,,nataka rukhsa kwanza nikatwae 
frasi wangu na mtumwa wangu.“ akamwambia: ,,nenda.” yakenen- 
da msituni, yakimtwaa frasi wake yakimchukua, yakimleta hatta pa 
sultani. sultani akimambia: ,,mweke hapa frasi wako katika banda 
hili, mtumwa wako chukua mwenyewe uende nayo“. ,,nataka unipa- 
kilie ndani ya merikebu hiyo ushanga mzuri sana wa maji ya zahabu." 
yakimpakilia$), hatta merikebu ikasheheni?) sana. ikitweka 10) merikebu 
ikisafiri, ikenda zake mwendo wa siku sab'a usiku na mchana. 


siku kumi na nne katika jua saa tatu akaona nchi!!), yakenenda 
hatta akifika. ikatia nanga merikebu, ikapiga mzinga mmoja, akikaa 
kitako ndani ya merikebu. siku ya pili wakichukua baharia??), yakiwapa 
ushanga kidogo kidogo: ,,chukueni mjini mkaonyeshe waanawake;" 
na kulla ushanga aina) moja moja. wakachukua, na yule kijana 
akakaa kitako merkebuni; wale baharia katika mji wanauza ushanga. 


yakitokea!) mjakazi mmoja, akinena: ,,hebbu 9), huu ushanga na- 
taka kutazama." baharia yakimambia!$): ,tazama, kwa ma'fana mimi 
nauza, ina haja gani!?) kukataza ushanga kutazama? na mimi muhi- 
taji18), nataka pesa.” yakimambia: ,,ntachukua kwa bibi, ende) ya- 
kautazame.” akamambia: ,,chukua, walakini na mimi nitakufuata hatta 
chini ya nyumba, nitakaa nikungoje??). 


yakichukua?!) ushanga mjakazi, yakipanda juu ya nyumba kwa 
bibi yake. yakimwonyesha: ,,bibi, tazama ushanga huu mzuri sana.” 
akimambia: ,,hebbu!” yakiutazama, akaujaribu?) kuvaa shingoni, ya- 
kaujaribu mkononi, akiona kweli mzuri sana; yakimambia: ,,umepata 
wapi?" yakinena kijakazi: ,jana imekuja merkebu, ina ushanga 


1) aus ndio miye zusammengezogen. 7) ukaniletee. 9) Es kommt 
niemand hinein, der Uebles im Schilde fiihrt. 1) mwenyi wako. 9?) man 
hdort sherti, shurti und sharti sagen. 9) neben hii und hiyo. 7) akam- 
pa. 9) akampakilia. 7) ar. befrachten. “jikatweka. ')jinchi. 2) Ma- 
trose. 8) pers. Sorte, Art. “akatokea. ?) Ausruf der Aufforderung. 
16) akamambia. 7) wie sollte ich das Verlangen haben. "“Jar. wiinschend. 
19) aende. 7?) nikungojee. ?!) akachukua. 7?) versuchen, probiren. 


79 


mwingi, na hawa baharia ndio wanaokuza, na hivi huyu hapa chini.“ 
yakimambia: ,,mwite juu.“ yakimwita: ,,we8, mwenyi ushanga, njoo, 
bibi anakuita." akauliza: ,,bibi gani?" akamjibu: ,,bibi yangu, binti 
Sanabu.” yakamambia: ,,haya twende." 

wakenenda hatta juu ya nyumba, yakimwona!) yule bibi. aki- 
mambia yule bibi, akisema: ,,ushanga huu merkebuni mwingi sana?" 
akimambia: ,,mwingi, walakini mwite tajiri?) yetu, aje upatane naye." 
akisema: ,yuko wapi!" akamambia: ,,yuko merkebuni.“ akinena: 
—henda ukamwite.” 

akenda mwita yule kijana, akimambia: ,,unaitwa?) na manamke 
moja, mtoto wa sultani, binti Sanabu.” yule kijana akinena: ,,si ndio 
ninayomtaka huyo?“ yakitoka, yakenenda hatta akimwona, akimam- 
bia: ,,nini khabari yako?" akimambia: ,nataka ushanga huu, kwako 
uko merkebuni? yakamambia: .,uko kidogo, walakini uko chini na 
juu ghazia nyingi sana, labda uende mwenyeo ukauchague utakao.” 
yule manamke akimambia: ,,asubuhi nitakuja mwenyewe huko merke- 
buni.“ akimambia: ,,vyemaf), haya kwa heri sasa.“ wakitoka?) yaki- 
shuka, akenda zake merkebuni. 

wakikaa tayyari$) kumngojea yule mtoto wa sultani. alipofika 
merkebuni yule manamke kwa siku ya pili, yakimtia?) ndani ya 
chumba, yakimletea ushanga mwingi, yakimambia: ,,haya, chagua aina 
utakayo." yakiwa yanachagua ushanga, na huko merikebu inangoa 
nanga, ikapiga peipu?), merikebu ikaondoka. na yule manamke hana 
khabari kama merkebu inakwenda. 

hatta katika jua sa'a sab'a yule manamke yakimambia?): ,,sasa 
nakwenda zangu, na ushanga nimekwisha pata; frasila giasi gani?" 
yakamambia: ,,chukua bulle19).” yakamambia: ,,ahsante sana.“ na 
yule manamke yakitoa bakhshishi, yakampa pauni!!) kumi, akamhaja!?) 
kwa heri.” 

yalipotoka nje, akatazama — haoni mji, anaona merkebu ina- 
kwenda, yakamambia: ,,umekuja niiba.“ yakalia manamke: ,,wewe ndio 
mwizi, unayokwiba watu!” yakambhoji!3), yakamambia: ,,usilie, kulia 
sana maumivu. huko unakokwenda, hawakuli4) nyama, watakupenda 
kama unavopendwa/?) na baba yako, na hao masultani vilevile.” aki- 
nyamaza manamke yasilie. 


1) akamwona. 7?) ar. Kaufmann; tajiri und tajiri gespr. 7) neben 
unakwitwa. “) neben vema und njema, ngema gebrauchlich. 9) akatoka. 
€) pers. bereit, fertig. ') akamtia. $) Pfeife vom engl. pipe. 7) akam- 
ambia. ') burre. ') Pfund vom engl. pound. 7) wiinschen, verlangen. 
13) zureden, tiberreden. '?) hawali — eigenthimlich ist die Beibehaltung 
des Inf. ku im praes. verneint. ?) unavyopendwa. 


8o 


ikenenda merkebu hatta ikafika katika inchi vao, ikapiga mizinga 
“esherini na moja. sultani akatambua wamerudi kwa furaha. waka- 
shuka, na yule kijana akamambia sultani: ,,nimekwisha mpata yule 
binti Sanabu, yuko merkebuni.“ akamambia: ,,kamshushe jioni.“ wa- 
kenda wajakazi wengi kwenda kumshusha. wyakashuka yule manamke, 
yakenda hatta akafika kwa sultani. 

sultani akamambia: ,,aima!) kijana wewe una “ahadi?) na baba 
yako, ilmuradi?) unataka upate ndege, huyo manamke chukua wewe, 
mkeo) sasa, na ngoma ya milio sab'a chukua wewe, na watumwa 
nussu chukua.” akachukua watumwa na frasi. na punda na ngombe 
na fedda yakampa, yakamwaga: ,,haya, kwa heri mtoto, sipendi uon- 
doke, umenitia masikitiko ya kukupenda wewe.” 

yakitoka?), akenda zake yule kijana, hatta akafika kwa yule sul- 
tani mwenyi upanga wa radu, yakimambia: ,,nimekwisha kuja na 
ngoma ya milio sab'a, hii nakupa.“ yakimambia: ,,wewe hodari sana, 
mtoto mwenyi “ahadi uliyomgubali baba yako, chukua wewe.“  yaki- 
chukua); akampa na mali mengi, punda, frasi, watumwa na fedda, 
akimambia: ,,haya, kwa heri.“ 

akenenda zake hatta akafika kunako mji ule kwa yule sultani, 
mwenyi ndege, akamambia: ,,upanga huu nimekwisha leta.” akimam- 
bia: ,,chukua weye upanga, na ndege chukua wewe, walakini ndege 
huyo ukimambia ,,nataka fedda“ — atakupa fedda, ukimambia ,,nataka 
wali“, atakupa; haya — chukua ndege huyu.“ yakachukua na?) ndege, 
na mali mengi akimpa, akiwa na jeshi$) nzima, walla hapana mfalme 
kama yeye, aima?) sultani mkubwa kama yeye wa barra, ana mali 
mengi mno aliyoyapata burre, billa ya kupigania, billa ya kuya- 
sumbukia. yakipata!0) mali, muungu yakimja'alia!!) kwa kulla kitu | 
anacho, kulla aina ya nyama anayo. 

yakatoka yule kijana yakarudi, anakuja?) zake hatta akafika kwa 
ndugu yake mmoja, akamambia: ,,nimekwisha mpata ndege aliyom- 
taka baba.” ,yuko wapi?" akamambia: ,,huyu.” akamambia: ,,kweli, 
haya twende zetu sasa.” wakitoka wakenda zao. wakiwa watu wa- 
wili, yeye na nduguye). 

hatta wakafika kwa ndugu yao wa tatu, akamambia: ,.kaka, 
twende zetu, ndege, aliyomtaka baba, nimekwisha mpata; sasa una- 
kalia nini hapa, twende zetu.“ akamambia: ,tuenende, walakini huyu 


')amma. ? ar. Versprechen. Sar. Wille. $) mke wako. 59) aka- 
toka. 9) akachukua. 7) na wird hiufig so gesetzt im Sinne von ,,auch.“ 
S)ar. Heer. 9) amma. ') akapata. '!) ar. bestimmen (akamjaalia). '?) besser 
akaja. ?) ndugu yake. 


—. 


SI 


ndege yuko wapi?! akamambia: ,,huyu.” akamambia: ,,nimegubali 
sasa, haya twende." 

wakenenda hatta wakafika kwa ndugu zao wa nne, na wa tano, 
wakiwambia: .,,twende zetu na ninyi, ndege tumekwisha mpata sisi, 
twende zetu, msikae bulle!) hapa.” wakawambia: ,,haya, twendeni.” 


wakenenda hatta kwa kaka yao wa sitta, wakamambia: ,,ndege 
tumekwisha mpata.” akawauliza kaka yao: ,,haya mali mliyovapata 
kwa nani? mmepiga vita, ao mmekwiba?" wakasema: ,,muungu 
umemsahau?" wyakauliza: ,jissi gani?)?" wakanena: ,,ndio mwenyi 
rehema) yake, yampaye?) — humpa, bassi usione “ajabu?) weye; ku- 
pata kwetu sisi, ndio kupata kwako weye.“ akinena: .,,haya, twende 
zetuni$), lakini maneno ya kweli hamnambii ya haya mali mliyoya- 
pata!” wakamambia: ,tuenende, tutakwambia njiani hii;“ waken- 
da zao. 

njiani wanamweleza walivyopata mali haya, hatta wakifika kwa 
mkubwa wao wa mwisho. akiona?) jeshi$) inakuja, yakaogopa yeye, 
akasema: ,,hatta sultani wa nchi?) hii, niliyoikaa mimi, hana watu 
kama hawa wanaokuja!” 

wakajongea hatta garibu, akawaona wale nduguze !!), wakimwam- 
kia, yakaitikia, yakafurahi, yakinena: ,,ndege mmempata?" wakinena: 
tumempata ndege, tunataka twende zetu tenna kwetu. mwaka wa 
kumi tuko barra, sasa twende zetu, mama na baba yetu wana msiba 11). 
akawambia? ,,haya, twende zetu. 


wakenenda, hatta ulipotimia mwezi wa kumi wakaona mji. hatta 
wakifika katika mji ule, wakipanga, wakapumzika mudda wa mwezi 
mmoja. wakatoka wakenda zao, hatta ilipopata miezi sitta tenna wame- 
fika garibu va kwao, zimebagi siku mbili ndio kufika mjini mwao. 

na pale walipofika pana kisima cha mawe. nao hawakufikia ka- 
tika mji, wamepanga huko siku mbili mbele ya mji wao. 


wakatoka wale ndugu zake, watu sitta, wakinenana — kama: 
Shauri yenu nini?” wakimuliza!-) yule mkubwa wao wa sitta: ,,shauri 
gani unataka weye" akinena: ,,emetutia) fedeha/?); sisi tumekaa 
kulla mtu inchi moja moja, yeye amekwenda patikana na mashakka!?) 
makubwa sana, na “azabu !$) ikamfikia — hatta akimpata ndege. na mwe- 
nyi ndege akimambia ,,niletee upanga wa radu, ndio nikupe ndege; 
na mwenyi upanga akamambia ,,niletee ngoma ya milio sab'a;“ na 


U)burre. 7) wieso denn? 9$)jar. Barmherzigkeit. ") ampaye oder ana- 
yempa. 7) ar. Wunder. 9) wird seltener gebraucht als twende zetu. 7) alipoona. 
8) ar. Heer. ?) inchi. 9) ndugu zake. '!) ar. Trauer. ?) wakamuliza. ?) ametutia. 
14) ar. Schande. BJ ar. Zweifel. '9) ar. Strafe. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 6 


82 


mwenyi ngoma yakamambia ,,niletee binti Sanabu.“ kijana huyu aki- 
fanya buzzara!) kufungwa na kupopotolewa, hatta yakimpata?) ndege, 
aliyomtaka baba yetu. tenna anatupita mumo humo njiani, na hii 
fedeha kubwa, kitoto kidogodogo hiki kimepata 'agili?) sana. na uchu- 
ngu yakiujuaf), na amri ya baba akaisikia, sisi watu wazima tusiisikie. 
hatta tukifika katika mji wa kwetu, akaeleza khabari yake alivompata?) 
ndege, sisi tutaambiwa wapumbavu, na kwa baba yetu atatutukana, na 
radi zake tutazikosa, ntawapa shauri mimi, ndugu zangu, mtanisikia?“ 
wakinena: ,tutakusikia, mkubwa wetu.” akinena: ,mimi nataka tumtie 
kisimani huyu mdogo wetu Msiwanda, kwa maana ndio aliyopata 
ndege — yeye, bassi afadali9) tumwue.“ 

na yule mdogo wao Msiwanda haijui ile khabari yao, waliofa- 
nyiza, kwa ma'ana yeye nia?) yake njema, walla yasiwaze mabaya?) 
katika moyo wake. aliwachia mali yale yote- na mkewe, yule binti 
Sanabu, aliyompata kule; akimwaga mkewe: ,ntapiga ndege msituni.“ 

yalipokuja panapo kisima, akakuta shauri imekwisha fanyizwa. 
alipogaribia, akaona ndugu zake, wale wakubwa wake, wako kisimani 
wanateka maji wenyewe, akitupa?) bundugi yake, akenenda mbiombio 
hatta kwa kaka zake kisimani, akawapokea ndoo, akasema: ,kaka, kwa 
nini mnateka maji wenyewe, watumwa wako pale, arba mia hapa, na 
maji huteka wenyewe? nipeni, niwapokee mimi, mdogo wenu.“ wa- 
kimpa ndoo. alivoinama!?) kuteka maji — wakimsukuma, yakiangukia 
ndani ya kisima; mle kisimani akafikia wima!!). 

wale ndugu zao watu sitta wakinena: ,,bana wenu ametupotea ;“ 
wakalia. na yule binti Sanabu yakalia: ,,maskini mume wangu, eme- 
kuja?) inchi na miezi kumi na miwili hatta yakanichukua akanileta 
huku! baba na mama yangu nimewacha kwetu, hapa sina baba walla 
mama, walla nimjuayo jamaa 3) yangu, illa ni mume wangu, ndio baba 
yangu, ndiye ni mama yangu! na leo cmekufa/), sasa ntakuta ma- 
shakka!?)“, wakimambia: ,,twendeni zetuni!$), kulia — bassi tenna, shuku- 
runi muungu. 

wakishukuru, wakitoka watu sitta wale vijana, wakaondoa safari, 
hatta siku ya pili wakafika mjini mwao. wakinena: ,,watumwa nyie!?), 
pigeni bundugi za furaha.“ na baba yao, yule sultani, akapiga mizinga 
mingi, akafurahi sana; walakini akatazama — hamwoni mtoto wake wa 
mwisho, yule Msiwanda. wakawachwa, wakapumzika. 


ar. Verschwendung. ") akampata. Jj ar. Verstand. “) akaujua. $) ali- 
vyompata. 9) ar. besser. Uar. Absicht, Zweck. 9) zu erganzen maneno oder 
mambo. akatupa. 9) alivyoinama. '!)stehend. 7?) amekuja. 3) ar. Ver- 
sammlung, Verwandtschaft. “) amekufa. ?) ar. Zweifel, hier Unannehm- 
lichkeiten. '9) oder twende zetu. 7) ninyi. 


83 

siku wa pili akawauliza: ,,jee, wanangu!), khabari ya huko?“ 
wakinena: ,,khabari njema, walakini Msiwanda emekufa, na mke wake 
yuko katika nyumba yake". sultani marra yakalia, ukafanywa msiba 
mkubwa, hapana mtu kuwa na furaha mudda wa siku sitta. hatta 
ikapata siku sitta, tanga limeondoshwa, na khitima?) wamesoma. wala- 
kini yule manamke, binti Sanabu, hacheki walla hazungumzi, hutoka 
machozi tu kulla siku. 

yule mtoto kule, aliyotiwa kisimani na nduguze, akapita nokoa5) 
moja na ndoo yake kwenda teka maji. na nokoa yule wa baba yake, 
ni ndio mtumwa wao. alipopeleka ndoo kisimani, alipoivuta na maji 
ile ndoo, akaiona nzito, yakanena: ,,ndoo yangu imenasa na nini?“ 
akatezama kisimani, anaona!) mikono ya mtu, imezuia ndoo; yakavuta 
kwa nguvu yule mtu hatta anampata, hatta yakamwopoa?). yakamweka 
juu, akampigapiga na mchanga wa kifua, hatta yakatapika maji, ya- 
kamchukua mgongoni mwake hatta nyumbani kwa nokoa shamba. 

akamhimizia uji, yakimpa?) yakinywa?). akimfanzia maji moto 
yakimogesha, akampikia tenna uji, yakimpa yakinywa; ukasimama tum- 
boni kidogo. hatta jua sa'a sitta yakimpikia?) wali, yakimpa yakala; 
ukasimama tumboni wali. ndio sasa yakamuliza khabari, akamambia: 
weye si bwana wangu, mtoto wa bwana mkubwa sultani?" akamwam- 
bia: ,,ndiye mimi, niliyosafiri kutwaa ndege.” yakimuliza?): ,,masai- 
bu!) gani yaliyokupatia, hatta ukaingia ndani ya kisima?” akinena: 
ndugu zangu ndio walionitia kisimani kutaka kuniua, na muungu 
hakupenda kufa.” akimambia: ,,nduguzo!!) wabaya kutaka kukuua 
kwa sabigi/?) ya barakale!3).“ 

akikaa yule kijana pale shamba, hatta yakapata nguvu kidogo. 
yakaandika barua yake kumpelekea mkewe binti Sanabu. akimpa mja- 
kazi mmoja Mama Ammao, yakichukua 4) barua ile hatta kwa mkewe, 
akimpa kwa falagha?). akasoma yule manamke, na yule manamke 
yajua kusoma, akaona katika barua mumewe mzima, hajambo. ma- 
namke akafurahi, na watu walimwona siku ile kama yakicheka!$) kwa 
furaha na kuzungumza na watumwa wake — wakasta'ajjabu!?): ,,bibi 
leo ana nini? neno gani lililomfurahisha?" 

akakaa hatta jua sa“a kumi, akimandikia barua moja. yule Mama 
Ammao yakachukua, yakampelekea mumewe, yakaisoma, akifurahi nayo. 


') waana wangu. 9?) ar. Koranlesung. 5) Sklavenaufseher. 
4) besser akaona. ') herausnehmen. 9) akampa. 7) akanywa. 9) akam- 
pikia. 9) akamuliza. 9) ar. Ungliick, pi. von msiba. ') ndugu 
zako. 2) ar. auf Grund des (vorhergehenden). 2?) baraka lake, ar. Segen. 
14) akachukua. 5) faragha, Musse; hier bedichtig, vorsichtig. '9) akacheka. 
17) ar. sich wundern. 


0” 


84 


hatta siku mbili akaandika barua ningine kumpelekea mkewe: ,,nenda 
kamnongoneze!) baba yangu — kama ,,mimi mzima, kesho ntakuja, 
sitaki yasikie mtu.“ akenda mambia yule mkewe: ,,mwanao ameleta 
barua hii, hebbu?) isome.“ akaikunjua sultani, akaisoma, yakaona jina 
la mwanawe, na siku atayokuja?) ameiona nayo. 

hatta siku ya pili sa'a moja ya usiku yakija?) yule kijana, aka- 
fikia kwa mkewe. na mkewe akiondoka kwenda mambia baba yake — 
kama: ,,mume wangu, mwanao, amekuja, njoo usiku saa nne, uje 
umtazame.” yakija?) usiku sa'a nne, yakimtezama?) mwanawe, aka- 
mwona yeye na mama yake, wote wakamwona, wakifurahi sana. 
akimambia:' ,,baba, sina maneno mengi, umeniona mtoto wako, ni 
mzima, bassi — nenda kalale; hatta asubuhi nipigie mbiu, kama kesho 
mwenyi mtoto yambebe mwanawe, na asiyo mwana abebe jiwef). 
na mtu asiende shamba, walla hapana kazi kufanyizia ingine, walla 
kuvua, walla chombo kutweka, hapana rukhsa.“ yakimwambia: ,,vema, 
nimesikia maneno vyako.” na siku ileile akapiga mbiu sultani, akanena 
vilevile. 

asubuhi siku ya pili yake baraza ikajaa tele, waanawake kwa 
waanaume, watoto kwa wakubwa, watumwa kwa wangwana. na wa- 
toto wake yule sultani, wale watu sitta waliobagia?), waliotaka kumwua 
ndugu yao, wote wamekaa barazani, walla hawana khabari, kama yule 
ndugu yetu emekuwa?) mzima. hatta saa tatu ilipopiga watu wamejaa 
tele, akatoka ndani yule kijana, nduguze wakastuka?), wakatahayyari 19), 
yakinena!!) yule kijana — emesimama/??) wima, watu wote wamekaa 
kitako, akapiga ukelele wake, watu wote wamenyamaza kimya, hapana 
anenayo, akanena yule kijana: ,,baba alipotutuma kwenda kumtwaa 
ndege mimi na wenzangu, tukafika inchi va kwanza, kaka yangu 
mkubwa akikaa kitako; akikataa kwenda tafuta ndege. tukabagi watu 
sitta. na kulla mtu akiona mji akikaa kitako; wakiona miji sitta, na 
kulla miji sitta hiyo emeenea!”) moja moja kukaa, nikabagi mimi peke- 
vyangu Msiwanda na mtumwa wangu na frasi. nikauliza, nikaambiwa 
kunako ndege. nikenenda, wakanifunga, wengine wanataka kuniua, na 
wengine wakisema ,,mpeleke kwa sultani, yakamwone kwanza.” nika- 
pelekwa, nikamwona sultani, akanambia: ,,maneno yako nimejua uli- 
yokujia — radi za babako hizi za kutaka ndege, walakini ndege humpati, 
illa ukalete upanga wa radu.” nikenenda kunako upanga wa radu, 


') leise zuflistern. 7) siceh, bier ist er. 9?) besser atakayokuja. 
1) akaja. ") akamtazama. $) hiufig gebrauchte Redensart der Suaheli, 
dass alle Leute zusammenkommen sollen bis auf die kleinsten Kinder. 
7) ar. tibrig bleiben. 9) amekuwa. ?) auffahren, erschreckt werden. 
10) ar. verwirrt sein, '!) akanena. 7?) amesimama. 53) ameenea. 


wa. 


nikafanyizwa vilevile kufungwa na kupopotolewa, nikaambiwa: ,,kama 
unataka upanga wa radu, nenda ukalete ngoma kwanza ya milio sab'a, 
na upanga wa radu utapata.” nikenenda kunako ngoma, nikafanyizwa 
vilevile, nikakuta “azabu!) sana, nitazameni kamba za mikono nilivyo- 
fungwa mikono nyuma. na mwenyi ngoma akanambia ,,kamlete?) binti 
Sanabu kwanza, ndio ntakupa ngoma.” nikafanya buzzara?), nikapakia 
ushanga katika merkebu, hatta nikampata manamke huyo kwa sabigi 
va ushanga. nikaja kunako ngoma, nikamwambia: ,,manamke huyu 
uliyomtaka amekwisha kuja.” akanambia: ,,chukua weye mke huyo 
uoe, na ngoma chukua wewe“, akanipa ngoma, akanipa na mke yule 
na mali mengi, watumwa na kulla kitu. nikija) kunako upanga, ni- 
kimambia: ,,ngoma yako hii“; akasema: ,,chukua weye.” nikachukua 
mimi ngoma na upanga na mali, nikaja zangu hatta kwa mwenyi 
ndege, nikamambia: ,,upanga wako huu, nipe huvu ndege niende 
zangu.” akanambia: ,,chukua wewe ndege na upanga na chochote.“ 
nikachukua mali mno 'athimu?). nikaja zangu, hamwona?) ndugu 
yangu wa kwanza, na wa pili, na wa tatu, na wa nne, na wa tano, 
na wa sitta, nikawambia: ,twendeni zetuni, ndege nimempata, kwa 
kulla mali ninayo mimi.“ wakafurahi nduguze: ,,haya, twende zetu.” 
tukija?) zetu hatta garibu ya mji kwa nokoa Tshande, pana kisima, 
wanateka maji kaka zangu. nikiwapokea mimi, wakanitumbukiza kisi- 
mani, wanataka waniue, waje kwako, babangu, wapate barakalo5). 
hawa ndugu zangu si wema, walifunga shauri yao njiani kutaka kuniaa, 
ndio khabari yao hawa. akapita nokoa Tshande akateka maji kisimani, 
nikiikamata?) ndoo yake, akanivuta nikaja juu. yakanichukua kwake 
hatta nimepona, ndio khabari yangu hiyo, baba, na ya ndugu zangu." 


akamambia babake: ,,hebbu 0), mlete ndege.” ndege alipokuja: 
memetoa!!) nini?" baba yake akisema: ,,hakutoa kitu.” , bassi, mimi 
sikiliza, ntamambia upate kusadigi: ,,ndege, lete fedda 2)! akatoa fedda 
nvingi mno “athimu, na zahabu!$) nyingi, na michele mingi, na vya- 
kula akatoa. akimambia: ,,umesadigi, baba, kama ndege huyu wangu, 
ndio niliyompata mimi'r“ akisemal/): ,ulete na upanga." ulipokuja 
upanga: ,,umesema nini?” akinena: ,,haukusema kitu.“ ,,sikiliza mimi 
ntavousemesha ?)." akaupiga ala!$) yake, kipini kikachomoka, na upanga 
wenyewe ukalia sana kama mithili ya radu, watu wakiogopa. sultani 
akisema: ,,kweli.” ukatwaliwa upanga ule 'ukatiwa ndani ya ala. 


ar. Strafe, Pein. ") nikamlete. 9) ar. Verschwendung. “) nikaja. 
5) .ar. hoch, gross. 9) nikamwona. 7) tukaja. 9$) baraka lako; baraka ar. 
Segen. ")nikaikamata. 9) schau her, gieb her. '') ametoa. ?) ar. Silber. ?) ar. 
Gold. ') akasema. ”?) nitavyousemesha. '9) ar. Werkzeug, Scheide. 


86 


akinena: ,,niletee na!) ngoma.“ wakaleta ngoma. akinena: ngo- 
ma hii, toka ilipokuja, imenena nini?" wanasema: ,,tukaipiga — hailii.“ 
vSikilizeni mimi, itavolia?) ngoma!” alipoigonga ngoma — ikalia milio 
sab'a. baba yake akafurahi, akamambia: ,,kweli, mwanangu, ndio mwen- 
yewe wewe uliyozipata.“ 

maneno yale, yanavosema?) yule kijana, wale watu wameyasikia 
maneno yale yote. na sultani akaondoka wima, akawambia watu: ,,hawa 
si watoto wangu, washoneni fumba sitta, mkawatose baharini; walim- 
taka kipendo changu, huyu wa mwisho, mtoto wangu kumwua, leo 
kafeni ninyi pwani, mkatose huko.“ wakenda toswa watoto wale sitta. 

sultani akakaa kitako na mwanawe Msiwanda raha mustarehef), 


na toka siku ile jina lake Radi ya baba. 


Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) na im Sinne von ,auch“. 7?) itakavyolia. 9?) anavyosema. 9 ar. 
Ruhe des Ruhe Suchenden. 


Sultani na tajiri. 


Alitokea sultani na tajiri moja. wamefanya urafigi toka udogo 
wao. siku moja tajiri yakinena!): ,tuoe wake sasa.“ yule sultani ya- 
kimwambia: ,na tuoe.“ wakioa, wakaapeana kiapo — kama: ,ukizaa 
mtoto manamke wewe sultani, amma ukizaa mtoto manamme, mimi 
nikizaa manamke — mtu na mumewe.“ yakimambia?): ,vema."“ 

wakikaa siku nyingi, hatta kulla mtu mke wake akachukua 
mimba. sultani akazaa mtoto manamke, tajiri yakizaa?) mtoto nyoka. 
yakimlea?) yule mtoto wake, hatta yanakua yule mtoto wake nvoka. 
na yule sultani mtoto wake emekua?) sasa. 

na yule tajiri yakamtwaa yule nyoka, akimwambia: ,mke wangu, 
kama huyu si mtoto, huyu nyoka!“ mkewe akimwambia: ,ntafanyaje? 
hii amri ya muungu ya kuzaa mtoto nyoka; siwezi kumtupa, walla 
kumwua, ntamlea mwenyewe, hatta muungu anifariji$).“ naye mu- 
mewe yakimwambia: ,atakuuma.“ mkewe yakisema: ,mwache yaniue, 
kwa ma'ana mtoto wangu, amenipa muungu, siwezi kumkataa.“ ya- 
kimwambia: ,mchukue shamba bassi, ukamlee.” akisema mkewe: 
mntajenga nyumba kubwa huko shamba ya kumweka huyu mtoto 
wangu.“ 


YJakanena. ?)akamambia. Y akazaa. “jakamlea. S) amekua. $9ar, 
frei machen, Offnen. 


akipeleka mawe mengi na chokaa, yakachoma tannuu!) nyingi 
sana na mafundi wengi, akanunua na boriti?) nyingi, akasimamisha 
jengo. wakajenga nyumba ya mawe, vyumba sab'a. 

vakamtwaa yule nyoka mwanawe, akampeleka kulekule shamba, 
vakamweka katika chumba kimoja. akaweta”) watumwa wake, aka- 
wambia: ,nani atayokwenda?) kumlea mtoto wangu!“ wale watu- 
mwa wakimwambia: ,sisi ni watumwa wako, wataka kazi ingine —. 
tuambie, tufanyize; kama hatukufanyiza tufunge, utupige, kama desturi 
ya mtumwa na bwana wake wanovokosa?). japo?) ikiwa kupigwa 
risasi") mtumwa na bana wake, tupige; lakini yule mtoto wako nyoka 
hatumlei.“ akawapa rukhusa?) wale watumwa, wakenda zao. 


yuko kijakazi kimoja emesahau?) kumwita kumpa shauri lile. 
akimkumbukia yakamwita. na' kijakazi kile jina lake Kihinja, yaki- 
mwambia: ,Kihinja, nenda kamlee bana wako, huyu niliyomzaa mimi, 
mwanangu! utakwenda Kihinja?”“ yakimwambia: ,mimi mtumwa 
wako, japo!?) ukanichinsha, hapana atayokuuliza!!). huyu mtoto ni 
wako, kama sikumlea mimi, nani atayomlea?)? japo kama yakanila 3), 
mimi Kihinja kitu gani? mwache yanile.“ yakimwambia: ,nenda 
bassi.“ j 

yakenenda yule Kihinja hatta kwa nyoka yule, humpikia chakula 
chake wanga wa majimaji; humpa yule nyoka. na yule nyoka huram- 
baramba. yakiwa anakua, kikavunjwa chumba kimoja. hatta mwezi 
wa pili kikavunjwa chumba tenna. imekuwa vyumba viwili vime- 
vunjwa, vimebagia vitano katika vyumba sab'a. 


na yule mtoto wa sultani, mwanamke, anakwenda kidogo kidogo, 
hatta yakiwa kigori). na vule nyoka kikavunja chumba kimoja. 
hatta ukipata mwezi wa pili, kikavunjwa chumba cha pili. yule mtoto 
amekuwa mwari) nyumbani, na yule kijana nyoka limekuwa kubwa. 
vimebagi vyumba vitatu, vyumba vinne vyote vimevunjwa. 

yakimtuma!0) mtumwa wake yule Kihinja, yakimwambia: , nenda 
kwa baba, nataka mw'allimu!?), mpeni mwana wenu moja Umali18).“ 
Kihinja yakenenda hatta kwa baba yake, yakimwambia: mtoto wako 
Umali anataka mw'allimu.“ wyakatafuta mw'allimu, wakampeleka kule 


Dar. Kalkofen, tannuru cf. St. Paul, Suaheli Sprachfiihrer p. 427. 
3) Baubalken, Mangrovestamme. $) akawaita. 9) atakayokwenda. 
5) wanavyokosa. “)besser wire ijapokuwa. 7) ar. Blei, Kugel. $) oder 
rukhsa Erlaubniss (gehen zu dirfen)j; cf. St. Paul, Sprachfiihrer 
p- 547- 7) amesahau. 1) selbst wenn, gesetzt den Fall '!) atakayokuuliza. 
13) atakayomlea. '?) akinila. '?) bald mamnbar. 5) junges Midchen, das 
zum ersten Mal die Menstruation hat, wird mwari genannt. '$) akamtuma. 
17) ar. Lehrer. '$) “Omar. 


88 


kwa yule nyoka. na watu wanaogopa kwenda kufa bulle!j, hio ndio 
sababu vakipata?) mtu mmoja maskini ya muungu, tenna mzee sana, 
vyakimwambia: ,nataka twende ukanisomeshee mwanangu, walakini 
ni nyoka, utaweza?“ yakimwambia: ,nitaweza."“ 

wakenenda kwa yule nyoka, akamwambia: ,kaa kitako.“ akakaa 
yule mwallimu. akashika msahafu”) wake asubuhi, na nyoka yuko 
mbali, anamsomesha. anasoma yeye tu toka elhamdu hatta alif lam 
juzo?) ya thelathini; yule mwallimu hajui kama emekhitimu5?j. yule 
nyoka mwenyewe akamwita Kihinja: ,nenda kwa baba, mambie mwa- 
nao Umari cmejua?) kusoma, fedda yake mw'allimu mpeni.” 


akamtuma tenna Kihinja: ,,kamambie baba nataka ngariba”), mpeni 
mwana wenu Umari.”“ yakitafutwa?3), yakionekana yakapelekwa, akiu- 
tahiri?) mkia wa nyoka nchani9) kidogo sana. akamwita Kihinja: 
nenda kamambia baba, nimekwisha pona, yvampe fedda yake huvu 
ngaliba.“ Kihinja akaondoka, vakenda kwa baba yake, akimwambia: 
mwanao emcekwisha!!) pona, anataka kutoka, mpe joho?) na kilemba 
na jambia na upanga na fedda yake ngaliba mpe mwenyewe.“ aki- 
mwambia: ,vyema.“ akipeleka”) nguo na upanga na jambia na joho 
na kilemba na vyatu, yakapeleka yote 14). 

sultani akaondoka, akapiga mbiu yake katika mji wote: , kulla 
asiyo mtoto na bebe!?) jiwe!6), waje zao kwangu, niwape shauri langu.“ 
wakaja watu wengi sana, akiwambia sultani: ,nimeweta!?) mimi, kulla 
mwenyi nyumba yake ina tundu na zibe!8).< wakenda zao watu, kulla 
mwenyi nyumba mbovu — wakijenga, na kulla mwenvi nyumba inavyo 
tundu — wakiziba. 

hatta siku ya jum'a a!?) mosi kwa usiku kuamkia jum'a ya pili 
alitoka joka?) yule, akaingia mjini kutembea. likatembea mji wote, 
likarejea kulekule shamba nyumbani kwake. na vyumba viwili vimc- 
vunjwa, kibagi chumba kimoja. 

na yule mtoto wa sultani mtoto mzima, yumo nyumbani. yule 
nyoka akamtuma Kihinja: ,nenda kwa baba, mambie mwanao moja 
Umari anataka mke, mpeni mwanenu?!) moja Umari.“ yakienenda??) 


') burre. 7) akapata. 5) geschriebener Koran. 9) ar. Abschnitt. 
5) amekhitimu, ar. besiegeln, beendigen (die Schule), 9) amejua. 
7) ngaliba Beschneider; cf. Mittheilungen des Sem. f. or. Spr., 1. Jahr- 
gang, Abthig. HII, p. 22. $) akatafutwa,. 7) ar. rein sein. 9) ncha Spitze. 
11) amekwisha. 7) arabischer Mantel. ?) akapeleka. 4) besser vyote. ?) abe- 
be. 8) gewohnlicher Ausdruck, um zu sagen, ,,€s sollen alle kommen, 
selbst die kleinsten Kinder'. 7) nimewaita. 9) azibe. ?) auch jum'a 
ya mosi. €“) joka, maj. grosse Schlange. "!) mwana wenu, Zusammen- 
ziehung mit wenu ist selten. “) akaenenda. 


89 


yule baba yake hatta kwa sultani, akimwambia: ,kiapo chetu na 'aha- 


di!) yetu tuliyoweka zamani — ,ukipata mtoto manamke na mimi 
nikipata manamme — mtu na mkewe“, amma wewe ukapata ma- 
namme, mimi nikapata manamke — mtu na mkewe. na mimi nataka 


sasa mtoto wako manamke yaoe mtoto wangu.” sultani akamwam- 
bia: ,una wazimu? umtwae mtoto wangu, umpeleke kwa mwanao 
nyoka, sitaki; kama umezaa mtoto bin Adamu, nambie ntakupa, lakini 
kama nyoka sitaki. 


akaondoka yule tajiri, akatatuta mke wa mtoto wake, hatta ya- 
kampata kijike kimoja cha mtu maskini baba yake. akampeleka shamba 
kwa mwanawe, yule nyoka. akakaa yule mwanamke mwezi mzima. 
usiku anapolala yule manamke, katika nyoka hutoka mw'arabu mzuri 
sana, hukaa juu ya kiti, akavaa kikoi chake na kanzu yake na kulla 
libasi?) ya kiarabu, yakivaa?”) kwa jambia na joho, kwa kilemba na : 
upanga. akajitezama mwenyewe, na mke wake emelalaf) pale emelia?). 
yule mwanamke huzindukana usingizini kwa tartibu, akimwona?) yule 
mw'arabu: ,anatoka wapi? na miye mume wangu ni nyoka!“ akilala, 
yalipojinyosha — yule mtu akaingia tenna katika nyoka. 

wakilala?) hatta asubuhi, akitoka yule mkewe, yakenda kwa baba 
zake na kwa mamaze3), akiwambia kina mama: ,yule si nyoka, nna 
mume mzuri, walakini hapatikani, manamme huyo yumo ndani ya nyoka.“ 


“ pana kizee kimoja yakamwambia: ,fanyiza ulevi, kulla ulevi, utie 
mahali pamoja, upike pombe yako na sukkari?) utie.“ yakipika!?) yule 
manamke, akiweka garibu ya kitanda chake ule mtungi wa pombe, 
hatta usiku yakitoka. alipouona ule mtungi wa pombe, yakanywa pombe 
hatta yakalewa, asipate '“agili; akanguka kitandani akalala. 

yakiondoka!!) yule mkewe na yule mjakazi wake Kihinja, waka- 
lichukua lile joka, nalo kumbe si joka, ngozi yake nyoka. wakalipeleka 
uani wakalikunguta, wakalitwaa wakalipiga moto, likawaka hatta garibu 
ya yule kijana alipokaa. akazindukana pale alipolala, akaanguka chini. 
akatiwa mitungi ya maji sab'a, ndipo akapata fahamu 2). 

vule mjakazi akenda mbio hatta kwa baba yake, akamwambia: 
v>bana, yule mtoto siyo nyoka, mwarabu mzuri sana, kama weye 
mwenyewe.” akimwambia: ,kweli?“ akasema: ,kama mwongo, kichwa 
changu halali!3) yako.“ 

yakipiga'?) mbiu tajiri, aketa?) watu wengi, wakija akiwambia: 


1) ar. Versprechen. 7?) ar. Kleidung. 7?) akavaa. ') amelala. ?) amelia. 
$) alipomwona. 7) wakalala. $) mama zake. 9") ar. Zucker. 9) akapika. 
11) akaondoka. “Jar. verstehen. B)jar. erlaubt. 'f) akapiga. '?) akaita. 


JO 


"yule mwanangu nyoka — siyo nyoka, mtoto wangu khassa!) mwe- 
nyewe, damu?) yangu, tenna mw'arabu, hapana kama yeye. na sultani 
aliposikia, yakatahayyari?9), yakamleta yule mtoto wake, lakini tajiri 
hagubali. na mtoto wa tajiri akakaa kule shamba raha mustarehe yeye 
na mkewe, wakizaa mtoto mwanamme; yule tajiri akafurahi mjukuu wake. 

sulfani mwanawe yakamwoza mume mbaya sana, na sultani 
anaona haya tenna kwa 'ahadi yao ile yeye na tajiri. 


Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) ar. besonders. “ar. Blut. 7?) ar. verwirrt sein. 


Uchungu!) wa baba na uchungu wa mama. 


Alitokea mzee mmoja, ana watoto wawili, moja?) jina lake uchungu 
wa baba na moja?) uchungu wa mama. wakikaa vijana wale, hatta 
wakiwa watu wazima, mmoja akija poswa. na huyu mtu, aliyemposa, 
anakaa katika bahari, ndiye aliyeozwa. 

akikaa?) na mkewe mudda?) wa miezi sitta, akitaka mkewe kum- 
chukua. akimwambia baba yake: ,siwezi kuzuia mke wa watu utakako 
kokote — chukua.“ akimwambia: , vema, nimesikia.“ yakamjia manamke 
nyumbani mwake, akimwambia: ,shauri gani? nataka twende zetu 
kwetu!” yakimwambia: ,ngoja mwezi huu ukisha, tupate kwenda zetu;“ 
wakikaa. 

hatta ulipokwisha ule mwezi, mume akimambia: ,haya, twende 
zetu!” manamke akimjibu: hali hii nnayoiona — haba, ukinichukua 
ukinipeleka hatta huko kwenu — vitendo utavonitenda walla sivijui, 
na mtu huona vema hapa kwanza?), ndio ukitam'ani$) kwenda kwenu, 
na mimi ndio kwetu”), walakini sikuona vema mimi nawe, hapana 
ujinga huo wa kuacha kinywa kutia puani?“ 

yule mume akamjibu: ,vgissi gani kwenda nambia5) hivo?)? toka 
kukuoa kwako hatta sasa maneno mengi umenitolea. na siku ya kunena 
mimi — wewe utauzika, utavumbua njia ya kwenda kwenu, tafaddali — 
twende zetu. mke na mume wana taabu 9) katika nyumba, khassa 


') Bitterkeit, Sehnsucht, Hcimwceh. 7) mmmoja. ?j) akakaa. 9) ar. 
Zeitraum. ?) da wo cr zuerst war, nimlich wo er geboren worden. 
9) Verlangen haben. 7) zu erganzen, napenda kakaa. ") niambia. 7?) hivyo. 
0) ar. Beschwerde, Sorge. 


g1 

ikiwa hana kazi mume, nyumba itamwangaisha, na sasa tuenende, 
usinifanye mjinga, nakupenda mke wangu, walla hutapata mume kama 
mimi.“ akamambia: , tuenende.” 

wakenenda hatta garibu ya pwani, akimwambia: ,ingia majini.“ 
mnNitaingiaje, mume wangu? na hii ni bahari, huingia nyama wa 
baharini, haingii bin Adamu, walla nyama wa barra.“ yule mume 
akimambia: ,mke wangu, jivute hapo panapo micheche!) ya maji.“ 
akijongea katika maji, yule manamme marra yakigeuka?) papa, akamrukia 
yule mkewe, yakamwangusha; alipoanguka katika maji hakuona nguvu, 
hana kitu cha kuzuia mkononi. | 

yule mumewe papa akimtia”) mgongoni, akimchukua hatta 
panapo nyumba moja ya mawe. akaingia ndani, na yule mkewe akam- 
peleka ndani ya nyumba. khalafu vule mwanamume akimambia mkewe: 
vUuOnaje sasa, pema ao pabaya?“ mwanamke yakimjibu: ,ndivo ulivo- 
taka) mwenyewe.“ wakikaa kitako; na ile nyumba iko katika maji 
baharini. 

hatta siku hiyo vule mkewe akafungua dirisha?), yakitezama$) 
akiona kumefanya uwingu mkubwa. yakasta'ajjabu yule manamke: 
v”kuna nini kwetu?“ akamwita mumewe, yakimwambia: ,mume wangu, 
naona uwingu mkubwa, nataka unipe rukhsa.“ yakampa rukhsa, yakim- 
beba?) hatta mlangoni, akimwambia: ,fungua mlango.“ alipofungua 
mlango yule manamke, akiona njia moja kwa moja?) katika bahari. 
akimambia: ,fuata njia moja kwa moja hatta nyumbani penu kwa 
babayo.“ akafuata hatta yakifika. alipofika akamwona mama yake 
amekufa. yakizika?) mama yake, akashukuru muungu; tenna akakaa 
kitako. 

vule mumewe akimwona anakawia, akaja kumchukua mkewe. 
mke akikataa, akimambia: ,siendi, nataka kuachwa, mama yangu ame- 
kufa — sikumwona, sasa baba yangu mzee, nataka kukaa kwake, 
nataka kuachwa.” yule mwanamme yakimambia: , “ahadi 19) yako ime- 
fika wapi? tukaapiana “ahadi, leo imefika wapi?“ asema: ,sikutaki, shika 
njia, nenda zako kwenu; na uke na ume umekwisha, tenna usituma'ini!!) 
kama utanipata. haya kwa heri, nenda zangu ndani, utangoja kunon- 
gona 12). 


Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) Striiucher die an einer seichten Stelle im Wasser stehen. “jaka- 
geuka. 9?) akamtia. 6“) oder ndivyo ulivyotaka, 7?) ar. Fenster. ") aka- 
tazama. 7) akambeba; wieein Kind auf dem Riicken tragen. 9) einen 
nach dem andern, d. h. lang. Jj akazika. 9) ar. Versprechen. '!) Ver- 
Jangen tragen, hoffen. 7?) fliistern. 


92 
Nguvu za uganga. 


Alikuwapo tajiri mmoja hana mtoto, akatafuta mtoto kwa uga- 
nga. wale waganga wakatazama katika ramli zao, wakamwambia: 
”Utapata mtoto, lakini atakuja uawa ni!) mtoto wa tajiri fulani.“ 

bassi yule tajiri, atakaye mtoto, ba“ada ya miezi mitano mke wake 
akashika mimba, akazaa mtoto wa kiume, akamlea mtoto wake. hatta 
alipopata miaka kumi, yule tajiri akatoka na merkebu, akaenda hatta 
baharini, kuna kisiwa kizuri sana. akashuka hatta pale kisiwani, aka- 
chimba shimo zira'a?) khamsini urefu, na zira'a khamsini upana, na 
kwenda chini khamso u 'asherini zira'a. akajenga nyumba nzuri ya 
chini kwa chini, akaifanya na bustani?) yake ndani, akapanda na 
matunda yote, na s'amani?) ya nyumba, na vitanda vizuri vizuri sama- 
dari”), na matandiko mazuri mazuri, na vyakula kulla na'u89), zote?) 
akashusha katika merkebu, akatia katika ile nyumba. 


akisha, alipokamilia$) ile nyumba, yule tajiri akasafiri na merkebu 
yake, akarejea mjini kwake. akenda akamtwaa yule kijana chake, 
akampakilia hatta pale kisiwani, akashuka naye, akamtia ndani ya ile 
nyumba. mna ile nyumba imesaggifiwa?) kwa mbao juu, tenna 
akaifukia yote kwa mchanga, mtu hatambui shamba hapa pana 
nyumba. 

bassi na ma'ana ya hayo yote — amkimbize mtoto wake yule, 
asije kuuawa ni) yule mtoto wa yule tajiri mwenziwe!!). bassi 
miezi mitano huja yule mzee na merkebu yake, akashusha vitu vingi, 
akafunua mbao juu, akashuka katika darja??), akaingia ndani huko 
chini, akenda akaonana na mtoto wake. akamtilia vitu vingine, na 
maji mangine, akakaa mudda wa siku kumi; kisha 3) akasafiri. 


hatta yule kijana wa tajiri, yule wa pili, aliyeambiwa atamwua 
yule kijana, aliyekimbizwa ni?) babaye akamjengea nyumba ya chini 
kwa chini — bassi yule kijana akamwaga babaye, akamambia: ,na- 
taka kusafiri hajue!?) inchi; vijana wenzangu!8) wote wasafiri, mimi 
kwa nini sisafiri?“ bassi yule baba akamfanya merkebu akamsa- 
firisha. 

yule kijana kufika kwake baharini — ikavunja merkebu, ikapotea. 
yule kijana akashika ubao, hatta akampeleka pale kisiwani. alipofika 


!) sonst wird ,,von“ und ,,durch“ beim passiv durch na ausgedriickt, im 
Pangani- und Tanga-Bezirk ist ni gebrauchlicher. 7?) ar. Elle, 9) Garten. 
4) hindust. saman oder samann Hausgerith, Mobel. 7) indiscbes Holz. $) ar. 
Sorte, Art. 7") besser vyote. 9?) vollendet sein. 7) ar. ebnen, den Boden fest- 
stampfen. ?) na. 7) mwenzi wake. Bar. Treppe. 5?)akiisha, '?) na. 
15) nikajue. '$) wenzi wangu. 


kisiwani, na kiu ya maji imemshika sana, akawayawaya!), akazunguka 
na kisiwa, asione mtu walla asipate kitu. 

hatta kwa siku ya pili yule kijana amechoka kwa kiu na njaa, 
amelala pale kisiwani mbali. alipolala kichwa chake kainama?), ame- 
kiweka juu ya ubao. alipoamka akashika ule ubao, akautazama, akau- 
funua, akaona daraja nzuri; akashuka, akaingia mle nyumbani, akenda 
akamwona yule kijana. ghafula?) akastuka?) yule kijana, akathanni”) 
ni shetani?), akamuliza: ,nani wewe?” akamambia: ,mimi bin Adamu, 
nani wewe?” akamambia: ,na mimi bin Adamu, garibu!” akakaa 
yule kijana. 

akamuliza: ,watokapo?)?“ akamambia: ,mimi nimekufa maji), 
hashika?) ubao hatta hafika hapo kisiwani, na hali yangu ni hii 
da"ifu10).< akampa chakula na maji na matunda, kulla kitu akampa, 
akamambia: ,na tukae pamoja, unizungumze hapa nyumbani, ni 
pekeyangu." 

bassi wakakaa pamoja hatta mudda wa mwezi mmoja. hatta siku 
moja yule kijana, mwenyi ile nyumba, akashikwa ni harara!!), na kiu 
kumwuma, gadiri!?) maji atiayo — hayamkati kiu. akamambia yule 
rafigi mgeni: ,twaa hilo tikiti uniweke na kifua, nipate ubaridi hapa 
moyoni.“ yule akaondoka, akatwaa ile tikiti, akamweka na kifua. 
hatta kisha akamambia: ,.Jete kisu ulikate hapa juu ya moyo, nipate 
ubaridi wa maji ya tikiti.“ yule hathubutu 3) kukata 4), gadiri amwamru 
vule kufanya, amekuwa kama boy?) wake. bassi, akatwaa ile tikiti, 
akamweka vule kifuani, akashika kisu, akalikata na kisu, chakuwa!8$) 
akaona???) wembe — kisu kikashuka hatta uti wa maungo. 


yule kijana akafa. walla hakugusudia!83) kumwua, walakini ajali!?) 
vyake tangu hapo sababu yake itoke mikononi mwa yule kijana, ndiyo 
iliyoonekana ni?0) wale waganga. 

bassi yule kijana akafanya khofu?!), akatoka mle ndani ya nyum- 
ba, akafinika??) ile mbao, akalala chini ya mvindi”), ndiko alalako. 


hatta mudda wa siku chache akaona merkebu ikatokea, akapanda 
juu ya mvindi. hatta merkebu ikatia nanga, akashuka yule mzee aka- 
fika pale kisiwani, akafunua mbao, akaingia ndani. akenda akamwona 


) hin und her schwanken. 7?) akainama. 953) pletzlich. 1) er- 
schreckt werden, auffahren. ?Jar. glauben. $) ar. Teufel. 7) besser 
watokapi aus watoka wapi. 9?) ich ware fast im Wasser umgekommen. 
?) nikashika. 9) ar. schwach. '"Jjar. Hitze. ?j)ar. Ouantitat. Bar. fest 
sein, bestehen (wagen). 'f)im suah. stets so geschrieben; ar. gaf'a ab- 
schneiden.(?) 3) engl. boy. '$) kinakuwa. 7) ukiona. '?j ar. beabsichtigen. 
Dar. Ziel. W)na. “Jar. Angst. 7?) neben funika. 5) Baumsorte. 


94 
mtoto wake ameuawa, akalia kilio kikuu sana, akatoka kwa huzuni! 
iliyo kubwa sana, zikaja mashua zote merkebuni, zikapakia jamrei?) 
ya vitu vilivyo ndani ya ile nyumba. na yule kijana akatolewa, aka- 
tiwa katika sandugu?), akapakiwa katika merkebu. 

hatta kisha, yule mgee akapeleka macho juu ya mvindi, akaona 
mtu, akata'ajjabu?), akamuliza: ,,nani wewe?“ akamambia: ,,mimi ni 
bin Adamu, Islamu.“ akamambia: ,shuka.“ yule kijana akashuka juu 
ya mvindi, akamuliza: ,wewe i nani?), watokapo)?" akamambia: 
>Mmimi fulani bin fulani.” yule mzee akajua ,ni yule kijana, niliyeam- 
biwa atakuja kumwua mwanangu,“ kwa lile jina alijua. akajua — hii 
ni amri”) ya muungu, walla hakugusudia kumwua. 

akamuliza: ,umefikaje hapa kisiwani?“ akamambia: ,nimekufa 
maji, hashika$) ubao hatta hawasili hapa kisiwani.“ akamaliza kama 
yaliyokuwa. mzee akamambia: ,twende zetu mwanangu!” akampakia 
hatta mjini, wakenda wakamzika yule kijana. kisha yule mzee akam- 
pakia yule kijana hatta kwao kwa babaye, akenda akamambia babaye 
kama yalivokwenda?) tangu mwanzo hatta mwisho. 


“Ali bin Nasr, Wali von Pangani. 


) ar. Traurigkeit. ?Jar. all. Sar. Kiste. $) ar. sich wundern. 
9) wewe u nani oder wewe nani ist besser. 9) besser watokapi. “ar. 
Befehl. 9) nikashika. ?) yalivyokwenda, zu ergianzen mambo. 


oa mke — mkeo, usioe mke — mke wetu), rafigi ya 
baba yako usimsahau. 


Walitokea watoto wawili, maskini wote, hawana baba walla mama, 
wote yatima?). wakakaa siku nyingi, hatta wakiwa watu wazima. 
zikaingia “agili3) kichwani mwao, wakisema: ,mimi na wewe, mwenzi 
wangu, urafigi tumeuanza zamani tokca watoto hatta sasa wakubwa, 
haifai kukaa hivihivi illa tufanye kazi. baba zetu na mama zetu wali- 
kuwa wakikaa maskini, na sisi tufanye kazi, muungu mkubwa huja, 
tukapata mali“ yakimwambia?): kazi gani tufanyize?" yule mwen- 
ziwe yakimwambia: ,tuchuuze?).” akimwambia: ,siyo kazi, kama 
wataka kazi, tukope mali, twende zetu barra tukafanyize bi'ashara$) ya 


Jd. h. oa mke wako mwenyewe nyumbani kwako, usioe mke akaja 
nyumbani kwetu kutusumba. 7?) ar. Waise. 5”) ar. Verstand. $) aka- 
mwambia. 5) churuza und chuuza Strassenhandel treiben. $9) ar. Handel, 
bei Verkauf shira Kauf. 


pembe, na watumwa kununua, na punda kununua, na ngombe na 
mbuzi na kondoro!) kununua.“ yakimwambia: ,haya, tukakope.” 

wakenenda dukani kwa Banyani?). Banyani akiwapa mali, billa 
ya kutaka faida”), wakafunga mali mengi, wakachukua bida'af) na 
ushanga na baruti?) na bundugi?). wakenda zao hatta barra waka- 
fika, wakafanya bi“fashara. wakanunua mali mengi; kulla kitu wamenu- 
nua. wakija zao pwani, wakaingia mjini kwa furaha?) na bundugi 
kupiga, na ngoma kucheza, na watu walio mjini wakafuraha sana. 

wakauza pembe kwa yule tajiri$) yao Banyani, wakamlipa, na wao 
wakapata mali mengi. Kulla mtu akitaka kuoa sasa. mmoja akaoa 
mke mjini pao, na yule mmoja, rafigi yake, akaoa mke mwendo wa 
siku mbili, ndio kwao?) yule mke. wakikaa hatta miezi sitta, yule 
aliyooa mbali mwendo wa siku mbili yakamhamisha mkewe, waka- 
kaa mahali mwendo sa'a sitta. wakawa matajiri wakubwa mno sana, 
wana mali mengi 'athimu 10), 

yule mwenziwe, aliyeoa mjini pao, amezaa mtoto manammc; 
yakizaa!!) na mtoto manamke, wakikaa. mkewe akachukua mimba 22) 
tenna, yakazaa mtoto manamme mwingine. na yule mwenziwe, ali- 
yokaa mji wa sa'a sitta, yakazaa mtoto manamke. wakiwa watu wa- 
kubwa wale watoto, yule mwenyi watoto watatu, yule mwanawe bassi 
mkubwa, yakimwambia: ,baba, nataka mke, kama kusoma nimekwi- 
sha kusoma, na tohara 3) nimekwisha ingia.“ baba vake yakimwambia: 


yoa mke — mkeo, usioe mke — mke wetu, rafigi wa babayo 4) usim- 
sahau.” 

yakenda kwa mama yake, yakimwambia: ,nataka kuoa, mama.“ 
yakimwambia: ,0a mke — mkeo, usioe mke — mke wetu, rafigi ya 


baba yako usimsahau.“ wyakasita'ajjabu 9) yule kijana: ,baba na mama 
wamenambia maneno, walla siyajui ma'ana!$) yao.“ wyakioa!?) billa!8) 
ya kuyajua?) maana. 

akakaa na ndugu yake manamke, yakija?!) mtu akiposa. yakiozwa?!); 
na mtu huyu anakaa mahali mwendo wa saa tano, yakimwoa??) yule 
mtoto manamke. 


) kondoo. 7) heidnische Inder, die in Ostafrika meist Klein- 
handel, hauptsichlich in den Derfern treiben. $) Gewinn. “$) ar. Waare. 
Sar. Pulver. 9) ar. Gewehr. 'jar. Freude. $)Jar. reich, Kaufmann. $) ihre 
Heimath; meine und unsere Heimath kwetu, deine und meine 
kwenu, seine und ihre kwao; z. B. nakwenda kwetu, unakwenda 
kwenu, anakwenda kwao. 9) ar. gross. ') akazaa. 2?) Schwangerschaft. 
3) ar. Reinbeit, '$) baba yako. 5) ar. sich wundern. '$) ar. Bedeutung. 
17) akaoa. 8) billa ist hier wie die andern Prapositionen mit dem geni- 
tiv-praefir gebraucht. 5) ya bezieht sichauf maneno. 7?) akaja. ?!) aka- 
ozwa. 7?) akamwoa. 


96 


na yule mdogo manamme, naye akimwambia baba: ,nataka 
kuoa.“ babaye akimwambia: ,oa mke — mkeo, usioe mke — mke 
wetu, rafigi wa babayo usimsahau.” akenda kwa mama yake, yaki- 
mwambia: ,mama nataka kuoa;“ yakimwambia vilevile kama alivyo- 
mambia babaye. 

wakakaa siku kumi, baba yake akifa. wakakaa siku tano, na 
mama yake akifa. na yule rafigi wa baba yake yuko mabali mbali 
mwendo wa sa'a sitta, na wale vijana hawamjui, kama ni rafigi wa 
baba yao. wakakaa kitako pale mjini pao, wakisoma khitima!) ya baba 
yao na mama yao, wakashukuru muungu. 

hatta na yule mdogo yakioa?) mke. alipooa mke mahali 
mbali, mwendo wa siku tatu, wakikaa na mkewe hatta sab'a ikesha5), 
yakatoka nje tenna, yakimwambia mkwewe): ,sasa nataka kuchukua 
mke wangu.“ yakimwambia: ,siwezi kuzuia mke wa watu, chukua 
hatta mwendo wa miaka mia.” yakamchukua kwa wajakazi wengi 
na watwana waanaume na punda gadri ya kumi moja?). wakafunga 
magodoro na vitanda, na kulla kitu cha nyumbani wakachukua. wa- 
kenda zao, hatta wakafika mjini kwao. 

yule kaka?) yake yakimwambia: ,ndugu yangu, mali katika 
nyumba yanapotea, sitambui baba yangu alivonambia?) — kama ,o0a 
mke — mkeo, usioe mke wa mwenzio, Tafigi wa babayo usimsahau.“ 
na sasa ntakwenda mahali pa mwendo wa siku sitta, walakini sita- 
fika, ntarudia njiani, ntakuja na uwongo, ntasema mgonywa, macho 
yananiuma, nipeleleze hii maana, alivonambia baba yangu.“ 

yakifunga?) safari?), yakimwaga!?), yakenda zake mwendo wa 
sa'a nne. khalafu yakarudi na makelele: ,mke wangu, nimeumia macho 
yangu, labda ntakuwa pofu.“ mkewe yakasta'ajjabu!!); vjissi gani, 
mume wangu ameondoka mzima, sasa anarudi na ugonywa?” yakim- 
twaa!?), yakimpeleka ndani, yakimweka kitandani, yakatafta 2) mganga, 
akafanyize dawa. yakikaa?) mle ndani mumewe, na yule mkewe hu- 
sema: ,mume wangu kweli hawezi, dawa hizi wanazofanyiza wa- 
ganga kaza wa kaza”) — na macho vilevile, naye haoni.“ 

humtwaa hawara!8) yake, yakamtia nyumbani. hupika chakula 


') ar. Koranlesung. 7) akaoa. 7) cf. Sitten und Gebriuche der 
Suaheli, Mittheilungen des Sem. f. orient. Spr., Jahrgang I Abthig. III, 
Pp. 24. 9) mkwe wake. 7) eine Zehner. 9) dcr a#ltere Bruder. 7) alivyo- 
niambia. 9) akafunga. 7?) sich zur Reise riisten. 7) akamwaga. '!) ar. sich 
wundern. ?) akamtwaa. 5?) akatafuta. '?) akakaa. ?) ar. so und so. '8) Ge- 
liebte, die man nicht zu heirathen gedenkt; mchumba oder mposi Geliebte, 
die man zu heirathen beabsichtigt; hawara auch Liebhaber, mchumba 
Gcelicbter. 


97 


cha mumewe, hula naye pamoja na yule hawara yake, kwa sababu 
hana macho mumewe. siku nyingi yule mumewe yakafikiri!), yaka- 
sema: .,ndiyo maneno aliyonambia baba kama haya!“ yakikaa?). 
akaja tenna yule hawara, na mkewe akapika chakula cha mumewe, 
vakapakua, yakiandikia?). anakula pamoja na hawara yake yule mu- 
mewe, akinena: ,,Jhana macho huyu, haoni tenna.“ wakila pale. 

vakiondoka?) yule mumewe, akamrukia yule hawara wa mkewe, 
yakimwambia: ,wewe ndio mgoni?) wangu, ndio unayokwisha mali 
yangu; lakini sikuchukui kwa hakimu, walla sikupigi kwa kisu, walla 
kwa upanga, rukhsa nenda zako. umenifanya mimi mgonywa wa 
macho — sioni, naona mwenyewe kama zamani; napeleleza khabari 
va maneno ya babangu.” yule mwanamke ametahavyari$). yakamfu- 
kuza akimwambia: ,sikutaki tenna, mke wee.“ 


yakenda?) zake manamke kwao?). na yule ndugu yake mdogo 
nave mkewe huenda kule kwao mwendo wa siku tatu. kulla siku huja 
kwa mumewe, yakikaa?) siku kumi, khalafu huenda kwao, akikaa 
miezi miwili. 

hatta siku hiyvo mumewe vyakamfuata, yakapita pale kwa dada!) 
vake, ni nduguye manamke. akatwaa frasi wake na nguo zake na 
mtumwa wake, akawaficha mwituni. yeye mwenyewe yakaokota ki- 
tambaa cha kaniki, akapita pa dada yake; na yule dada yake yuko 
ndani anachungulia. na yule shemekiye!!), mumewe?) dada yake, 
vuko barazani. alipomwona yule shemekiye anakuja kwa umaskini, 
vakimwambia: ,,mke wangu, lete kitambi hichi3) upesi, tumpe ndugu 
yako, hana nguo ya kuvaa.” dada yake akimwambia: ,mali yao wa- 
meyatupa, mimi sina kitambi, na barazani pangu sitaki aje." 

yakiondoka 1), akenda zake hatta kule mwituni. yakatwaa nguo 
zake, yakavaa, yakapanda frasi wake, yakenenda hatta mahali mwendo 
wa siku mbili, ndipo alipo rafigi ya babaye. walakini yule mtoto ham- 
jui kama huyu rafigi wa baba yangu; anayomjua — yule rafigi wa 
babaye, kama huyu mtoto wa rafigi yangu. 

gabla ya kufika yakaenenda msituni yule kijana, yakavua nguo 
zake, yakaweka msituni. na frasi na mtumwa wake na jambia na 
upanga pia emeweka/?) msituni. yakatafuta kitambaa yakavaa, yaka- 
pita mjini. 


1) ar. nachdenken. 9?) akakaa. 9) akaandikia. 6“) akaondoka. 
5) Ebebrecher, ugoni Ehebruch, kulipa ugoni Ehebruchsbusse zahlen. 
6) ar. verwirrt sein. 7) akaenda. akenda. $9) zu den ihrigen, in ibre Hei- 
math. 7) akakaa. 9?) Schwester. '!) shemeki yake. ?) fir mume wake 
wa dada yake. 5) fir hiki. '“) akaondoka. 7?) ameweka. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 7 


98 

na yule rafigi wa baba yake hayupo, emekwenda!) sogoni ku- 
tembea; yuko mwanawe, yule mwanamke, barazani emekaa?). wyaki- 
mwona?) yule kijana anakuja, wakamtupia nguo, wakamtwaa wajakazi 
wakampeleka chooni, wakamwogesha, wakamsafisha. akavikwa nguo 
na kitambi cha kilemba na majambia na joho). 

alipokuja baba yake, yakimwambia: ,baba, tumemwona mtoto 
mmoja hapa, sura) yake ya kiungwana.“ yakimwambia: ,,yuko wapi?" 
yakamambia: ,,yumo ndani.” akamtezama; alipomwona yakifurahi?) 
sana, akisema: ,,huyu mtoto wa rafigi yangu.“ akamfanyia karamu?) 
kubwa sana. 

hatta khalafu mudda wa siku sitta yakimwambia: ,,baba, mimi 
nimeoa; mke wangu yuko mbele mwendo wa siku moja, hivi sasa 
namfuatia.” yakenenda yakafika, akatoa frasi wake na mtumwa wake 
na nguo zake, yakaweka mwituni; yakavaa kitambaa cha kaniki cheusi, 
yakaenenda mjini. 

hakuwahi kufika mjini — kuna mchunga wa baba yake yule mke, 
yakamwokota akasema kitwana hiki: ,,unatoka wapi?“ akasema: ,,mimi 
mtoro, kama umeniokota — bassi.” yakamchukua hatta kwa bana 
wake, yakimwambia: ,bana nimeokota mtumwa.” yakimwambia: 
yuko wapi?" yakimwambia: ,,huyu.” yakimpa?) bana wake. 

akatoka mtwana yule, akaja zake nyumbani kwa bibi yake, mtoto 
wa bana wake, ndio hawara. yake, yakimwambia: ,,bibi, nimeokota 
mtumwa leo mzuri sana. yakimwambia: ,,yuko wapi?“ vakamambia: 
vemechukua?) bwana, baba yako." 

yakitoka 9) yule manamke, yakaenenda hatta kwa baba yake, vya- 
kimwambia: ,baba, yuko wapi mtumwa aliyookota Yaya, mchunga 
ngombe?” yakimwambia: ,huyu.“ yakamwambia: ,niulize mimi.“ 
yakamwambia: chukua, mtoto wangu.“ yakamchukua, yakenda zake 
nyumbani kwake, yakinena!!): ,kitwana hiki kimekonda sana“. na kile 
kitwana kinyewe!?) emejipakaza'!3) tope, emegeuka'4) sura, emekuwa 
meusi). huja yule mchunga ngombe, mtumwa wa baba yake, ndio 
hawara yake, na yule kitwana huwapo palepale, yakimwambia: ,ki- 
twana weye, chukua mkeka ukaoshe pwani.“ yakauchukua, yakenda 
kuuosha. 

alipokwisha kuosha, yakajitwika!$) kichwani, na yale maji va 
mkeka yanajiririka!?), yakateremka!9) usoni mwake kidogo, ngozi ya 


') amekwenda. 7) amekaa. 9) besser alipomwona... 9) arabischer 
Mantel. $j ar. Form, Gestalt, Gesicht. 9) akafurahi. “Jar. Fest. 9) akampa. 
?) amechukua. ") akatoka. ') akanena. 7?) chenyewe gebriauchlicher. 
3) amejipakaza. ') amegeuka. 5) mweusi. 9) auf den Kopf nehmen. 
17) heruntertropfeln. 9) heruntergleiten. 


99 


ndani neupe ikaonekana; ule udongo ulipobanduka — ndipo ulipoone- 
kana uso wake. 

akenda hatta kwa bibi yake, akimwambia: ,bibi, mkeka huu.“ 
na bibi yakimwambia: ,kwa nini hukuosha vyema?“ yakitaka!) kum- 
piga. yule hawara yake, mtumwa wa baba yake, akimkamata akimwam- 
bia: ,kwa nini kumpiga mtwana huyu?” yule bibi akamtezama, akaona 
vshuyu labda mungwana, sura kama ya mume wangu.“ yakimwam- 
bia bibi: ,nikate kidogo hapa na kisu;“ yakamkata. akamwambia: 
nifunge na kitambaa kilichokuwa chako mwenyeo?) — kisicho kuku- 
potea;“ yakamfunga na kitambaa chake mwenyewe. 


yakitoka?) yule kitwana, akenda zake mwituni kule kunako vitu 
vyake. akatwaa maji akaoga, akatwaa nguo zake yakavaa, akajifunga 
jambia lake na upanga wake, akachukua na kilemba chake, yakapiga, 
yakapanda frasi wake. wakenda zao, hatta mjini wakafika, yaka- 
mwona mkewe, yakamwonyesha “alamaf): ,kitambaa cha nani hiki?“ 
vakimwambia: ,changu mimi.“ wna kisu nani emenikata?)?“  yaki- 
mwambia: ,mimi nimekukata.”“ yakamwambia: ,yule uliyokuwa nayo 
hapa ndio hawara yako?“ ,huna haya$) weye?“ yakimwandikia tala- 
ga”), yakimpa, akamambia: ,sikutaki tenna, na mdhari$) yako chukua.“ 

yakatoka yule kijana manamme, akafunga yitu vyake, yakichu- 
kua?), yakaenenda zake, hatta akafika kulekule kwa rafigi wa baba 
yake, yakimwambia: ,baba, tenna nimekwisha rudi, mke simtaki, ni- 
memwacha, na weye baba kwa heri, nenda!!) zangu.“ yakampa frasi 
kumi na punda 'asherini na watumwa waanawake na waanaume the- 
lathini, yakamambia: ,katumie!!) wewe na nduguyo 2) shirika 13).“ 

yakenenda zake, akapita palepale pa dada yake aliyomnyima') 
kitambi cha kuvaa. alipomwona ana mali mengi aliyokuja nayo, marra 
akimtaka: ,njoo, ndugu yangu, garibu hapa.“ yakikataa, akamwambia: 
vUmeona mali, sasa hivi unanitaka; nimekuwa maskini, ukanyima nguo 
yakuvaa, haya kwa heri, nenda zangu.” 


yakenenda, hatta yakafika mjini pao, yakamwambia: ,kaka yangu, 
nimekwisha rudi, maneno ya baba yetu na mama yetu — kama ,0eni 
mke mke wenu, msioe mke wa mwenzenu 3), rafigi wa babayo usim- 
sahau,“ ndugu yangu hakunijua mimi, yaliyonijua — baba yangu, 


') akataka. 7) mwenyi (mwenyewe) wako. 3?) akatoka. $) ar. 
Zeichen. 9) amenikata,. 99) ar. Scham, Schande. 7) ar. Scheidung; cf. 
Mittheilungen des Seminars fiir orientalische Sprachen, I. Jahrgang, 
Abthig. III, p. 26 fi. $) ar. Brautgeschenk. 9?) akachukua. 9) na- 
kwenda. '!) ukatumie. 7?) ndugu yako. 2?) ar, Vereinigung, Gesellschaft. 
14) yerweigern. 7?) mwenzi wenu. 

# 


7 


OO 


rafigi wa baba yetu; ndiyo aliyonipa mali haya.” yakimweleza!) kaka 
yake khabari, alizofanyiza yule mwanamke zote pia. 

wakakaa kitako, wakashukuru muungu, wakafanya kazi yao, we- 
nyewe mjini matajiri wakubwa sana; kulla kitu wanacho, hawata'abu?) 
kitu. wakatia masuria, kulla mtu na wake, wakakataa kuoa kabisa. 
muungu akawaja'alia?), wakapata watoto, wakakaa raha mustarehe. 

ndio khabari yangu ya kutaka kuoa mke. ndio waliposema wazee 
wa kwanza — kama: ,0eni mke mke wenu, msioe mke wa mwenzenu, 


rafhgi wa babayo usimsahau.“ 
Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 


1) akamweleza. 7) ar. Sorge, Miihe haben. 7) ar. bestimmen; sehr ge- 
brauchlich ist die Redensart nikija“aliwa (zu erganzen na muungu), ,,wenn 
ich von Gott dazu bestimmt werde“, und zwar gebraucht der Suaheli diesen 
Ausdruck, wenn der betr. Wunsch oder das Vorhaben von ihm ausgeht; 
geht die Aufforderung von einem andern aus, seli es in Gestalt eines 
Wunsches oder Befehls, so zieht der Suaheli vor inshallah ,,s0 Gott will" 
zu sagen. 


Sultani na maskini. 


Aliondokea sultani, inti!) yake kubwa sana, amemiliki?) watu 
wengi sana. na matajiri katika nti!) yake wangi?), lakini matajiri 
khassa4) wanao mali mengi — watu arbatashara. 

na katika mji wa sultani yumo maskini; kazi yake anavua mshipi 
katika bahari”). huenenda siku moja katika bahari, akatupa mshipi 
wake marra tatu, hupata samaki?) wake mmoja. na yakirejea baha- 
rini, hupeleka kwa sultani yule samaki mmoja, na sultani humpa cha- 
kula chake pishi ya mtama; hio ndio huwa kazi yake kulla siku. 

hatta khalafu ikatokea mvua ya masika'), yule maskini anatoka 
baharini na samaki wake, anapeleka kwa sultani. akifika kwa sultani, 
baraza imejaa tele, wamekutana ote$), mawaziri wapo, matajiri wapo, 
na jumla?) ya watu. sultani akamgaribisha maskini, akamsaili!9), aka- 


1) fiir inchi. 7?) beherrschen. 7?) wangi fiir wengi ist in den Dorfern 
ndrdli. Daressalaams bis Bagomoyo sehr gebriauchlich, ebenso wangine fiir 
wengine. “ar. besonders. Sar. Meer. Sjar. Fisch. ') grosse Regenzeit 
(Mitte Miarz bis Mitte Juni). ?)oder wote. ar. Summe, P) ar. fragen. 


— 


IOI 


mwambia: , wanne na wanne hawakukifu!), hawakukifu wanne?“ -aka- 
jibu, akanena: ,hawakukifu wanne, lau?) kwama”) wangalikifu wanne, 
ingalikuwa hali hi?” akamwuliza: ,hukulala — ukaamka?“ akamjibu, 
akamwambia: ,nimelala haamka?), lakini nimeamkia wenzi wangu, 
sikuamkia nafsi yangu.“ sultani amwambia: ,usiuze kwa rakhisi?).“ 
maskini akajibu: ,usimfundishe mchuruzi, ndio “amali?) yake.” 
alipokwisha jibu, sultani akampa pishi moja ya mtama, maskini 
akenda zake. 

khalafu sultani akawambia mawaziri zake na matajiri wakubwa 
wote, akanena: ,nataka mnipe fasili?) ya maneno, niliyokuwa hanena8$) 
na yule maskini, mnipe ma'ana yake; kama hamkuzumbua?) maana 
yake — tawaua 9) wote, ma'ana hamna 'agili.” wakitaka rukhsa ya saa 
arb'a u “asherini kupeleka majibu kwa sultani, wakipawa!!) rukhsa. 

wakienenda, wakikutana na nvumba moja Cte!?) mawaziri na 
na matajiri, wakileta fikira!?) zao, wasipate majibu. 

khalafu yuko mtu mmoja katika mkutano wao, akanena: ,mimi 
nimekwisha fahamu majibu ya sultani sasa, kutanani'?) katika saa ya 
sab'a usiku.“ wakakutana usiku katika saa ya sab'a, akawambia: ,na 
tuchange!”) fedda sisi 0ote1$) reale elfu, tumpelekee yule maskini, aliyo 
akinena na sultani, tupate majibu ya maneno haya, tuliyolazimishiwa 
na sultani.“ wakachanga fedda reale elfu, wakaja hatta katika nyumba 
ya mvuvi maskini, wakapiga hodi, akatikia!?) maskini; wakampa ile fedda, 
maskini akawapa majibu. 

wao wenyewe hawakupata kutambua ma'ana ya maneno ya sul- 
tani, ndio afadali kwenda kwa mvuvi maskini kununua maneno 
ya “agili. Mwenyi Hija bin Shomari 

aus Kondutschi. 

1) ar. geniigen. 7) lau —ao. 3) kama. 1) nikaamka. 5) ar. billig. 
8) ar. Arbeit;,.Werk. ") ar. Erklirung. $) nikanena. 9) finden. ") nita- 
waua. '!) wakapewa. 7) wote. 3) ar. Gedanke. ') die Endung eni fiir 


Imper. Il ist gebrauchlicher als ani. 5?) zusammenschiessen. '9) sisi sote. 
17) akaitikia, 


Mfalme na watoto wake. 


Alitokea mfalme, akazaa watoto tiss'atashara; wa tiss'at'ashara 
mwanamke. kulla mtoto na yaya!) wake. wote wakatiwa chuoni, na 


1) Amme, Kinderfrau; dieselbe nimmt bei den Suaheli eine bevor- 
zugte Stellung ein und gehsrt vielfach in ihren spiteren Jahren ganz zu 
der Familie. 


102 


yule mtoto mwanamke kazalika. wote wakasoma, wakakhitimu!), 
wakatoka chuoni. 

na mle mjini wanafanya kharbati?) ya kupiga watu, ya?) kutu- 
kana watu mjini, ya”) kubikiri watoto wa watu wengine wengi, ya) 
kuingia katika nyumba ya watu billa ya hodi?) — vitu vya watu 
njiani na sogoni)).. na katika ule mji hawakkofu waziri walla 
mashekhi wakubwakubwa pia. 

na waziri wakenda shauri, wa'arabu wakubwakubwa kwenda 
mwambia waziri. waziri akawachukua, wakenda kwa mfalme. na yule 
waziri akamambia mfalme: , wamekuja wa'arabu wakubwa na mashekhi 
wakubwa, wote wanataka shauri, kwa maana watoto wako wana- 
tu'azibu?9) sana, bassi — kama watutaka?) waue watoto wako — a0 
tuondoe?) sisi wote?) mjini.“ yule mfalme akawambia: ,nataka mudda 
siku tatu, nitawajibu shauri lenu. 


wakenda zao waarabu, akabagia waziri na mfalme mbali. mfalme 
akamambia waziri: ,tufanye shauri gani?“ watoto hawa wanauzi watu 
mjini?” akamambia: ,hatta mimi, waziri wako, nitauzika, lakini wewe 
mtu mkubwa, niseme nini? nao watoto wa mfalme!” ba'ada waziri 
akitaka?) rukhsa, akenda zake kwake. 


yule mfalme akaweta!!) wanawe!?), akawambia: ,walikuja watu 
wa mjini, wote wananena, ya kuwa mnafanya kharbati mjini ya ku- 
nyanganya watu vitu vyao, na kupiga watu, na kuingia nyumba ya 
watu, bassi wa“arabu watatoka inchini na mjini humo, ninaoupenda 
mimi; huo mji ni wenu, napenda mwache kharbati yenu, ufalme huu 
ni wenu, ni kuondoka mimi mwenyewe — si ninyi, bassi tulieni.” 

wale watoto wakamambia: ,sisi hatuna shauri — tunaondoka, na 
ufalme wako mwenyewe.“ na watoto wake wakaingia nyumbani kwa 
mama yao, wakamwambia: ,mama, tufanye mikate mingi, kesho 
tunaondoka.“ yule ndugu yao mwanamke akawauliza: ,mnakwenda 
wapi?” yvbaba yetu ananena, ya kama tunaharibu!3) mji wake, na sisi 
tunaondoka tumwache mji wake yeye na waarabu wake.” wakenda 
zao manyumbani?) mwao. 

yule mtoto mwanamke akamwambia babaye na mamaye: ,nami 
nitaondoka, nifuate ndugu zangu, siwezi kukaa mji huu.“ mama yake 
na baba yake wakalia: ,,usiondoke na wewe katika mji huu!” ,,nitakaaje 


') die Schulzeit beendigen. 7?) ar. Aufrubr, hier bese Streiche. 
3) auf kharbati beziiglich. 1) ohne hodi zurufen. Jj) ar. Markt. 9) ar. 
strafen, peinigen. /') wataka watuue. $) utuondoe. '“9)sisi sote. 9) aka- 
taka. '!) akawaita. 7) waana wake. 3) verwtisten. ') in ihre verschiedenen 
Hiauser. 


103 


mji huu, nami nilikuwa na ndugu zangu, nami sasa ntakaaje? na sasa 
ndugu zangu ntaondoka nao." 

bassi hatta alfajiri!) wakaja, wakaingia katika chumba cha panga 
na cha bundugi, wakatwaa bundugi zao wenyewe na za watumwa 
wao, wakiwapa, na kulla mtu ana mtumwa mojamoja?). wakatoka 
wakaingia banda la frasi, wakachagua frasi kumi na wanane, wakaji- 
funga kiume kivita wote kwa panga, kwa bundugi na mikuki na ma- 
jambia kulla mtu, na shoka mojamoja wale watumwa wao. yaka- 
tokea baba yao, akawapa mifuko ya fedda, mmoja mifuko saba — 
kulla mtu. 

yule mwanamke akivaa?) kiume, akajifunga bundugi, kulla se- 
laha?) ya kiume, yakaingia kondeni kwa nduguze; wakapakia mikate 
na fedda zao, wakenda zao. 


wakenenda hatta wakafika mahali pa kulala. kulla usiku hutoa 
mashoka wale watumwa wao, hukata miti, hujenga kambi. wakenda 
zao mudda wa siku sab'a, wakaona mji mkubwa hauna watu, watu 
wako mojamoja mwisho wa mji, watoto maskini. katika ule mji kuna 
nyumba nyingi za mawe, hazina watu — zote. 


wakaingia mjini, wakaona nyumba kubwa sans, iko kattikatti ya 
mji ina uga mkubwa sana na ghorfa?) nyingi na sebule$) nzuri sana; 
yalikuwa ya mfalme wa mji huu. na chini unapita mto wa maji; wa- 
kakaa mulemule?) wote. 

na mama yao huko nyuma yakachukua mimba, yakazaa mtoto 
mwingine mwanamume. yakamlea yakamtia chuoni, akasoma, aka- 
khitimu, akafanya kharbati kama zile walizozifanya nduguze”). naye 
akasikia na watu, ya kama nduguze wametolewa katika mji huu. 
akamwuliza yaya yake, yakikataa, yakamambia: ,,uwongo.” yakamu- 
liza mamaye, yakimambia: ,urongo?).“ yakimambia baba yake, yaki- 
kataa. na katika mji watu wanasema, wamecheka kunena. 


akamambia mama yake na baba yake: ,nambieni kweli ao ntawa- 
pigana.“ wakamambia: ,kweli, walikuwa nduguzo!) wakafanya khar- 
bati, nawe tulia, kama hukutulia utaondoshwa.“ akamambia baba 
yake: ,mimi jina langu ,Kamiliwa 'asherini11),<“ na ndugu zangu wote 
wameondoka, sasa nawafuata.” babake akamambia: ,ntakupa ufalme, 
na mimi nikae chini yako!“ yakakataa. 

ndipo wanapofanya watoto kama wazee hawajui kuwalea vema. 


1) ar. Morgenrdthe. 3?) je ein. 9) akavaa. “$) Wafle. “) Stock- 
werk. $) Empfangshalle. 7) mle mle dort drinnen. $) ndugu zake. 
9) neben uwongo gebriauchlich. 9) ndugu zako. '!) der die Zahl| zwanzig 
vollmacht. 


104 


akaja asubuhi!), yakamambia babake: .,nipe kama ulivyowapa 
ndugu zangu!“ akampa fedda na frasi na bundugi na upanga na jam- 
bia?) na kitwana, akenda zake mudda wa siku saba, yakafika alasiri?) 
katika ule mji. alipoiona nyumba ile, walipokaa nduguze, akashuka 
juu) ya frasi, akamfunga katika mti, akaingia ndani ya sebule, akakaa 
kitako. akaona panga themint'ashara, roho yake ikagubali — kama 
"hawa ndio ndugu zangu.” 

na wale nduguze hakuwakuta, wamekwenda kupiga ndege msi- 
tuni. nduguze waliporejea, wakaona frasi amefungwa ugani chini ya 
mkunazi, wakatazama ndani ya sebule, wakiona mtu. wakimwona?) 
wale vijana, wakataka kumua. akaja mkubwa wao, akawambia: ,tu- 
ngoje, tumulize khabari kwanza.” 


wakamwambia: ,unatoka wapi?” akawajibu: ,sijui nendako, 
walla nitokako.“ wewe mtu ao jini:“ akasema: ,mimi mtu, walla si 
jini.“ khalafu yakitoka?) mkubwa wao, wakafanya shauri, wakataka 
kumua. yule mkubwa wao akanena: ,ngoje?), nende mjini, nipate kha- 
bari yake.” yakamwambia tenna: ,watoka wapi wewe? niambie, una- 
kwenda wapi? ili tueleze unakotoka.“ akawambia: ,mimi natoka kwa 
mfalme aliyozaa watoto themintashara, wa tiss'at'ashara mwanamke. 
nilipozaliwa, mimi Kamiliwa 'asherini, watu wakanena mjini — kama: 
"huyu yalikuwa na nduguze, wakafanya kharbati katika mji, wameto- 
lewa mji, na mimi nikasikia hafanyiza?) vilevile. wakanishitaki watu 
mjini kwa babangu. nikenda mwambia yaya yangu — kama: ,kweli 
nilikuwa na ndugu zangu?“ yaya yangu akaniambia: ,sijui, khabari 
hiyo — uwongo.” nikenda kwa mama yangu, yakanijibu vilevile. ni- 
kenda kwa baba yangu, yakanijibu: ,hatta mimi sijui.“ 


akasema tenna: ,wamenikatalia ingia mjini watu. nikenda ku- 
mwambia baba yangu na mama yangu — kama: ,nambieni kweli; kama 
hamkuniambia — ntawapiga.“ wakaniambia: ,kweli.“ nikamambia baba- 
ngu: ymimi sasa nitafuata ndugu zangu, na mimi ndiye?) Kamiliwa 
“asherini.“ nikenda kwa mamangu, nikamwambia: ,nifanyizie mikate.“ 
yakanifanyizia, nikatoka, nikenda zangu nyumbani kwangu. hatta 
asubuhi nikenda kwa babangu, nikamwambia: ,nataka kama ulivo- 
wapa!) ndugu zangu, nami nipe.” yakanipa vilevile kama ndugu za- 
ngu. hiyo ndiyo khabari yangu.“ 

wale nduguze wakafurahi!!!) sana, wakampelekea khabari ndugu 
yao mwanamke juu. naye yakashuka, yakija onana naye, wakafurahi 


1) ar. Morgen. 7) Dolch. $) ar. Nachmittag. “von oben herab. 
5) besser walipomwona. 9$) akatoka. 7") ngojeni. 9) nikafanyiza. 7") ndio 
yeye, 9) ulivyowapa. “Jar. sich freuen. 


105 


sana, wakifanya karamu kubwa sana, tenna wakilala hatta asubuhi. 
siku ile hawakwenda kupiga nyama, wakakaa nyumbani kwa furaha 
ya ndugu yao mudda siku sitta; ya sab'a wakenda piga nyama msi- 
tuni. na yule ndugu yao — ,leo, akanena, na mimi twende.“ waka- 
nena: ,sisi tulikuwa na shauri ya kumweka mtu mmoja, amngoje 
ndugu yetu; na wewe ndiye ndugu wetu, kaa — afadali.“ 

wakenenda mwituni kupiga kanga, kulla siku ndio kazi yao. 
na yule ndugu yao huwapo nyumbani. hatta siku moja yakashuka 
dada yao chini panapo mto kwenda koga. alipofumua!) nywele, ukatoka 
unywele mrefu sana, ukachukuliwa na maji. chini kidogo pana kizee?), 
anakoga maji, unywele ukamzingiria mguuni, yakautoa yule kizee aka- 
ukongoa, akaukata nta5). 

khalafu akingia?) kwenda panga moto, akapiga hodi, akaingia 
ndani. yule kijana yupo sebureni?), akamwambia: ,nataka moto.“ ya- 
kimwambia: ,nenda ndani.“ yakaingia ndani, yakapanda juu yule 
kizee. alipomwona yule kibibi, yakajitia ujanja, yakaanguka yule kizee. 
yakisema:9) maskini huyu kizee ameanguka!” wyakenda yakimwondo- 
sha.) yule kizee yakaupata unywele moja,”) yakauchukua, na mwe- 
nyewe hana khabari. yakamwuliza: ,unataka nini?“ ,nimekuja panga 
moto;”“ yakampa moto. wyakashuka, yakenda zake hatta kule kwao. 

yakautwaa ule wa zamani, aliouokota mtoni, na ule yalioupata 
kwa kibibi — sawasawa kama huu, na huyu ndiye menyi unywele. 

yakenda mwambia mfalme: ,mwanamke huyu hafai mtu illa 
wewe.” yakauliza: ,mwanamke huyu yuko wapi?“ ,nimemwona 
mbali sana.“ ,unaweza kumleta?“ yakasema: ,nipe watu.“ ,wataka 
watu mia ao miteni?” ,huko sitaki watu wengi; jambo”) kwa “ashe- 
rini.” yakampa khamso u 'asherini, yakafuatana nao, hatta wakafika 
katika mji ule. 


na yule mwanamke yuko juu anasoma, yakiwatambua "), yaki- 
mwambia nduguye — kama: ,njoo ule chakula, wanakuja watu, wata- 
fanyiza ghazia''); nimewaona wanakuja.“ 

wakaja wale watu hatta nyumbani, wakapiga hodi. yakiwambia: 
vmnataka nini?“ yakajibu yule kizee: ,tunataka huyu bibi ndani.“ 
Pita, ukamchukue.” yule kizee yakafurahi sana, yakapita ndani. na 
yeye yakapita njia ningine. wakakutana katika ngazi, yakimulia”) 
mbali; yakatoka nje, yakawaulia mbali. huyu wa mwisho yakamkata 


1) Haarflechten auftrennen. 7) unter kizee ist immer eine alte 
Frau, Zauberin zu verstehen. 7) ncha. 1) akaingia. 9) sebuleni. 9) aka- 
sema. 7) akamwondosha. $) mmoja. ") Geschift, Arbeit. 7) akawatam- 
bua. 'J) ar. Feldzug, Erpedition. 7?) akamwulia, akamwua. 


106 


sikio,') yakamwambia: ,chakula,”) kitoweo kiko wapi?“ yakamwacha, 
vakenda, yakisema na sultani. akamwambia: ,mwanamke yuko wapi?“ 
>Sikuniuliza3) watu wako wako wapi? wamechinshwa, na mimi 
nimekatwa sikio, nimeambiwa: ,umeleta chakula, kitoweo kiko wapi?“ 
sultani yakimwambia: ,kuna watu wangapi huko?" yakimwambia: 
“kuna mtu moja — kama elfu na moja ukali wake.“ yakapeleka watu 
khamsini. 

hatta asubuhi yakamambia nduguye: ,njoo, ule chakula, kuna- 
kuja watu.” wyakenda kula upesi. alipokwisha kushuka chini, yaki- 
waona") watu, yakiwapiga, yakiwaua. akabagi?) mmoja, yakenenda 
hatta akafika kwa sultani. sultani akamwambia: ,wako wapi wenzio?)?” 
akasema: ,tumeuliwa?), nimebagi mimi, nimekatwa mkono, nime- 
ambiwa ,umepeleka chakula, kitoweo kiko wapi?“ akimwambia: ,,mtu 
huyu watu wangapi?“ yakimwambia: ,moja — kama mia kumi 
na moja." 

yakipeleka?) watu mia. yakiwaona?) dada yake vilevile, yaki- 
mwambia: ,kunakuja watu wa kuzidi wale.“ yakamfanyizia chakula, 
yakala upesi. hatta yalipofika chini, yakimwona waziri sultani na jeshi!0) 
yake, yakitoka nje, yakawaona, yakawapiga, yakiwaua, vakabagi moja; 


akasema: ,nenda kamwambie, umeleta kitoweo — amekula, ana- 
taka maji ya kunawa.“ 
yakenenda mbio kumwambia — kama: ,yule anataka maji ya 


kunawa.“ akafunga vita tenna watu miteni. wakenenda wakapigwa 
naye, yakabagi moja, yakikatwa!!) sikio na mkono moja: ,kamwam- 
bie, anataka sasa tumbako na tambuu/??), tengeneze3) kwa upesi!“ 

yakifunga ") vita vikubwa sana, watu elfu, na sultani pamoja nao; 
wakenenda, na wale watu wa kwanza walichimba handagi?). na yule 
kijana humwambia kaka!$) yake — kama: ,watu wanakuja, njoo ule 
kwanza.“ yakenenda kula juu kwa dada yake, yakala upesi, yaki- 
shuka!?), yawaona!8) — jeshi iko garibu ya nyumba. yakiwaendea !9), 
yakawapiga yule kijana, yakawaua wengi, yakiangukia katika lile han- 
dagi, walilochimba watu wa vita kwanza, yakaanguka shimoni katika 
handagi. waliobagi wakakimbia wakasema: ,amekwisha kufa sasa.“ na 
yule kijana mle shimoni — hakuumia hatta kidogo. 


1) neben shikio. 7) zu erganzen umeleta. 9) soll wobl usiniulize 
heissen. $) akawaona. 5) ar. iibrig bleiben. 9) wenzi wako. 7) besser 
ware tumeuawa. $) akapeleka. 7) akawaona. P) ar. Heer. '!) akakatwa. 
13) gudz. tambul Betel; die Zuthaten zum Betel, der gekaut wird, sind 
popoo die Betelnuss, tambuu Betelblatt, chokaa Kalk und tumbako Tabak. 
13) atengeneze. '#) akafunga. 5) ar. khandag Graben, Kanal. '$) der altere 
Bruder. '') akashuka. '$) besser akaiona. ?) akawaenda. 


. 


——.... 


107 


vule frasi wake wakimwona ndugu yao kule mwituni wakasta'a- 
jabu!). wakamkamata yule frasi, wakirudi hatta mjini, wakiona damu?) 
nvingi na watu waliokufa, wakamwona: ,gissi gani, umeumia?“ aka- 
sema: ,sikuumia.“ wakamtoa ndani ya handagi, wakisema: ,tupe kha- 
bari yako, nini“ akisema: ,imekuja vita hii marra ya sitta na ya 
sab'a.” ,wakimwambia: kwa nini usituambie?” yakisema”): ,,hao sa- 
wasawa vyangu, hawakunishinda.“ wakisema: ,haifai kumwacha peke- 
vake tenna; ikiwa enda?) kupiga ndege — moja moja. wakakaa kitako 


raha mustarehe. 
Muhemedi bin Madigani 
“ aus Magogoni. 


') ar. sich wundern. 3? ar. Blut. 7) akasema. f) kwenda. 


hadithi ya maneno matatu. 


Alikuwako mtu mmoja maskini sana, kazi yake huvua baharini!). 
ana mwanawe mmoja manamme. siku moja akamambia: ,mwanangu, 
ntakupa urithi?) wako, mimi maskini, sina kitu, lakini sikiliza maneno 
matatu.“ akamambia: ,kwanza ,hamadi?) iliyo bindoni?),“ na ya pili 
>mke — mkeo akatoka nje — si mkeo,“ na ya tatu ,lala jirani?) — 
kuliko ndugu mzaliwa naye.“ uyauze kwa reale thelatha mia, kulla 
neno reale mia; iwapo hukufanyiza, ntakushika sana.“ 

khalafu babake akifa9;, huyu maskini mwanawe akafanza haya 
kuyatembeza?) mjini. baba yake akamshika sana, asipate mapesa ya 
kutumia. yakawa maskini, akaomba mjini. 

khalafu siku moja akenda kwa mganga kutazamia, akamambia: 
babako alikwambia maneno, na shurti$) maneno hayo ufanyize.“ 
asubuhi?) akaondoka, akapiga makelele kunadi) maneno matatu kwa 
reale thelatha mia. watu wakamfanyiza ,ana wazimu, umaskini wake 
umemtia kichaa.“ 

akenda akapita kwa sultani, akamambia: ,maneno yako nimenu- 
nua.“ yakatoa fedda yakampa reale thelatha mia. ,nimekwisha nunua, 
nambie maneno yangu.“ akamambia: ,kwanza hamadi iliyo bindoni, 


') ar. Meer. ?j)ar. Erbschaft. 3) ar. Lob, Preis. ') Geld tragt der 
Suaheli gewohnolich in dem die Hiiften umschliessenden oberen Rande 
(Saum, bindoni) des Lendentuches. “) lala kwa jirani. 9) akafa. 7) feil- 
bieten. 9) ar. Bedingung. “ar. Morgen. 'Wjar. cffentlich ausrufen zur 
Versteigerung. 


108 


cha!) shamba hakikufai, walla katika bueta hakikufai; na mke mkeo 
yakitoka nje — si mkeo; lala jirani kuliko ndugu mzaliwa naye.” ya- 
katoa fedda, yakagawa sawasawa, yakamambia: ,niwekee iwe hagai? 
yangu.“ yakatoka, yakenda zake maskini. 

na sultani ana mkewe, mtoto wa sultani. hatta siku moja aka- 
ingia ndani, akamkuta mkewe analia, akamambia: ,mke wangu, unalia 
nini?” akamambia: ,nikapata khabari, babangu hawezi sana.” akam- 
ambia: ,kwa nini isije barua?“ akamambia: ,hawa watu walipita njiani 
wakaniambia, nami nataka kwenda zika akifa.” sultani akatoka nje 
asimjibu neno. 

akaingia marra ingine, akamkuta mkewe analia sana. akamambia: 
mke wangu, unalia nini?“ akasema: ,nataka kwenda kwa baba yangu, 
akifa nimwone.“ akafunga mali kumpa mkewe kwenda kwa baba yake, ; 
akafanya watumwa sab'a akampa mkewe, yakatoa saanda yakampa mkewe. 


asubuhi akaondoka, akenda, akamkuta babaye barazani akasoma. 
akamuliza: ,umekuja, umegomba na mumeo)?” akamambia: ,nime- 
pata khabari huwezi sana, na mimi nikaja kukutazama.“ akamambia: 
uwongo, mimi mzima.“ yakapita ndani yakakaa kitako. na yumo 
ndani mtwana anayompenda. mwanamke akakaa siku sab'a, mumewe 
hapati barua, walla hapati majibu yatoke kule kwa mkewe. 


hatta siku ya nane yakatoa reale mia, yakafutika bindoni, yaka- 
panda frasi kwenda kwa mkewe. yakafika usiku garibu mjini, yaka- 
toa frasi yakamfunga mwituni, yakatoa upati?), yakapiga, na fedda yake 
emefutika katika upati. yakatoa nguo yote, yakafunga tambaa, yakatoa 
na fimbo ya kwendea. yakipata mwangoni, yakapiga ,hodi;“ yakamwi- 
tikia: ,nani anapiga hodi?“ yakamambia: ,mimi mtumwa wa bibi, 
natoka kwa mumewe.“ yakamambia: ,pita ndani umtazame bibi yako." 

alipokwenda yakamkuta mkewe emekaa?) pamoja na mtwana 
huyu; akatambua marra yote. lakini mkewe hakumtambua, akaman- 
bia: ,khabari za huko ulikotoka?“ yule mwanamme wake akakasirika 
sana, yakatoa fimbo, yakampiga, yakampasua nguo zake. akapiga kelele:$ 
”mtwana huyu ananiua.” wakaja watu wengi sana. baba yake ak 
ma: ,mwenyi kupiga mwanangu — shurti nikamchinshe, na kichwa ch 
mkilete hapa nikione; kama hamkuleta ntawachinsha niye?),“ 

wakamfunga kamba sana, wakampiga sana, wakamkokota hatu 
mwituni, wakataka kumchinsha. akawambia: ,ntawapa mapesa, wak 


1) zu erginzen kitu. 7?) ar. Recht, Forderung. 7) mume w 
4) ein kurzes Lendentuch, das, zwischen den Beinen durchgezogen, 
anliegt; andere Ausdriicke dafiir sind kupiga winda, kupiga msamban 
(nach Banyanen Art). 9) amekaa. “$) ninyi. 


“NY 


109 


kini msinichinshe mimi.“ wakamambia: ,mwongo, waipata wapi fedda?“ 
akawambia: ,,ndegezeni!) kamba, ntawapa fedda.“ wakasema: ,uwongo 
wake, mkamregeza?) — atakimbia mbiombio.“ akawambia: ,kaeni hapa, 
moja?) anishike mkono kama ntakimbia.“ wakamshika mkono; yaka- 
wapa fedda. wakamambia: ,,kimbia sana, asikuone sultani tenna.“ fedda 
yao wakagawana. 


wakenda, wakanunua mbuzi, wakachinsha, kisu wakampelekea 
sultani, wakasema: ,kimepaka damu yake, mtumwa huyu tumekwisha 
tumika.“ 

khalafu yule akakimbia sana, akenda yakapata frasi wake, yaka- 
rudi kwake. alipokwenda njiani, iko nyumba ya ndugu yake, baba 
moja mama mojaf). akamambia: ,mji wangu nimepigwa vita; na mimi 
nikafungwa na kamba. yakiisha?) nikakimbia; sasa nipe watu nikapige 
vita, watu wangu nirudishe mjini kwangu.“ huyu akanena: ,weye 
tajiri, unajua maskini? na hapa ondoka, sitaki ukae, walla sikupi 
watu.“ akamfukuza kwa fimbo, akenda zake. 

akenda kwa rafigi yake, akamambia: ,mji wangu nimepigwa 
sana, hakikubagia hatta kitu kidogo.“ rafigi yake akalia sana, kiisha 
kulia akapiga goma?). wakaja watu wengi sana, ndugu zake na wa- 
tumwa wake. akawambia, ,rafigi wake amepigwa vita sana.“ watu 
wakafuata wote, wakenda hatta mjini kwake, wakakuta mji kamiri?), 
hakupigwa hatta mtu moja. 


akafanya karam3$) kubwa sana, yakawapa watu waliokuja naye — 
yakawapa fedda nyingi sana. wakisha wakenda zao watu. naye ra- 
hgi akamambia: ,umesema mjini wako?) umepigwa vita, mbona hau- 
kupigwa vita?“ akamambia: ,khalafu, nataka kupona fimbo zangu nili- 
zopigwa, na kesho nitakwambia.“ 
| yakaja mkewe, akamuliza: ,mke wangu, khabari huko ulikotoka? 
baba yetu hajambo? nipe gissa 9) ulichokaa siku nyingi.“ akamam- 
bia: ,nilikuwa nikaonana na ndugu zangu, nilikuja njiani, nilikutana 
simba, akanifukuza sana, nguo ikapasuka; na sasa, mume wangu, nipe 
themani!!) ya nguo iliyopasuka.“ akamambia: ,imepasuka — bassi.“ 
akafanya takirim!?) sana na watu aliokuja nao; akawapa bakhshishi ?) 


1) nilegezeni. 7) mkimlegeza. '?) mmoja. $) ndugu allein kann 
“Bruder, Schwester, Freund, Verwandter, Bekannter“ bedeuten; will 
man wissen, Ob es der leibliche Bruder oder Schwester (dada) ist, 
so fragt man wie hier baba moja mama moja? oder auch tumbo 
moja? 9) zu erganzen mambo. 9) Kriegstrommel. 7) kamili ar. volikommen. 
8) ar. gastfreie Bewirthung. ”) mwako. YJar. Sache. '!) ar, Preis, Werth. 
12) ar. fiir edel, freigiebig erklaren. 5?) pers. Geschenk. 


ILIO 


nyingi. hatta usiku yakamandikia talaga!) mkewe ya kumwacha, ya- 
kamandikia maneno kama aliyompata kwao. 

hatta asubuhi akatoa watu kumpeleka kwao, na barua yakampa 
kuchukua mwenyewe. akamambia baba yake: ,mimi si mkweo?) — 
mkweo mtumao3?) aliyo?) nyumbani kwako; nami mlitaka kuniua, 
lakini fedda yangu ikanifaa. na sasa mwanao?) niliyomwacha nakupe- 
leka, na mahari?) yake nimeishempa?).“ 

mfalme akakasirika sana alipopata khabari hii, yakamuliza mkewe: 
vkhabari hii unajua?” akamambia: ,sijui;“ akamambia: ,ulikuwa nyum- 
bani — ukakosa wapi huijui khabari?” wakafungwa kwa kamba mke 
na mwanawe, na yule mtwana yakafungwa pia; wakatiwa wote katika 
fumba, wakatoswa baharini. 

na yule, aliyokuza$9) maneno matatu, akapata usultani, yakawa 
mtu mkubwa, umaskini wote ukamtoka. khabari za waanawake 
ndizo hizo. 


Muhemedi bin Diwani Tambaza 
aus Klein-Bagamoyo. 


1) ar. Scheidung. 7) mkwe wako. 7) mtumwa wako. $) neben 
aliye. 9) mwano wako. $) ar. Brautgeschenk, Morgengabe. 77) aus 
nimekwisha mpa zusammengezogen. $) neben aliyekuza und aliyeuza, 


'Agili!) ya waanawake. 


Alikuwako sultani akazaa mtoto mwanamume, na maskini akazaa 
mtoto mwanamume. wakilewa wale watoto hatta wakiwa watu wa- 
kubwa. walipokuwa wakubwa wale watoto, yule sultani akamwita 
maskini, akamwambia: ,weye ntakufanyiza waziri, na mtoto wako 
ewe?) rafigi?) ya mwanangu.” akaridi1) maskini, akiwa waziri, na yule 
mtoto wake akafanyiza urafigi na mtoto wa sultani, hatta wakape- 
wa wake. 

yule mtoto wa sultani akaoza mke, na yule mtoto wa waziri 
akaoza mke naye?). yule mtoto wa sultani hutongoza$) mke wa mtoto 
wa waziri, hutwaa vitu vizuri akampelekea. na yule mwanamke ali- 
kuwa anampenda yule manamme wake, mtoto wa sultani, walakin 
yule manamke hakuwa na nafasi?) ya kuonana naye manamme wake, 
mtoto wa sultani. . 


YJar. Verstand. )awe. Jar. Freund. “Jar. zufrieden sein. 9) auch 
er. $) nachstellen. ")ar. Raum, Gelegenheit. 


III 


akafanyiza hila!) mtoto wa sultani ya kusafiri kwenda barra, aka- 
chukua mali mengi akenda barra. aliporudi akaleta zawadi?) ya vitu 
vingi, kumletea yule mke wa rafigi yake, mtoto wa waziri. akakaa; 
siku moja "Vile mwanamke akamwambia mumewe, mtoto wa waziri: 
>kwa nini na weye, mume wangu, husafiri, ukenda barra kama anavo- 
kwenda mtoto wa sultani, ukileta?) na zawadi, ukampelekea mwen- 
zangu, mkewe) mtoto wa sultani? ajili yeye ananipa mimi na weye 
wajibu?) kumpa mkewe.“ yule mwanamume akanena: ,haihitaji8) 
kwenda barra, hatta hapa naweza kupata zawadi hampelekea?) mke- 
we.“ yule mwanamke akamwambia: ,kitu kinachotoka barra tunu?$).“ 
yule mumewe akanena: ,iwapo unapenda, mke wangu, nisafiri, nta- 
kwenda barra.“ 


na yule mwanamke anafanya hila magsudi?), na yule mumewe 
hakujua khabari ile. akaazimu) safari kwenda barra. alipoondoka, 
yule mwanamke akanena kumwambia mumewe: nenda kanunulie!!) 
kipande cha 'agili, kama hukuja nacho kipande cha 'agili mimi siku- 
taki.“ vule mwanamme akanena: ,vema;”“ akasafiri. akaingia katika 
chombo, akapakia mali mengi, akaenenda, akawasili katika inchi nin- 
gine, mji mkubwa sana. 

alipowasili katika mji ule, akafikia katika nyumba ya kizee ki- 
moja, akakaa katika nyumba ile. na katika mji ule yumo sultani, ana 
watoto wake waanawake sab'a, hawajaolewa bado. kulla mwanamme 
anavokuja akawataka — wale watoto hukataa kuolewa; naye ni mtu 
mzuri yule kijana. akakaa siku moja vule kijana akavaa nguo zake, 
akafanyiza uzuri sana. akapita katika nyumba, wakimwona?) wale 
vijana waanawake watu sab'a, wakampenda rohoni mwao. 

akazunguka marra ingine, akatokea panapo nyumba ya waziri, 
ina!3) mtoto mwanamke ndani yake — binti waziri. alipomwona, aka- 
furahi akamwita. alipomwita akenda ndani akamsaili ?): ,nini khabari 
yako?“ akanena ,nimekuita kuonana nawe.“ akamwambia: ,nataka 
nikuoe, wanitaka?“ yule mwanamke akanena: ,nataka, aridipo?) baba 
yangu." 

akaenenda kwa baba yake waziri kumtaka yule mtoto kumwoa. 
waziri akanena: ,sharti!$) ulete junia mbili za fedda!?), ndipo umpate 


1) ar. List, Vorwand. ”)Geschenk. 3jukaleta. f) mke wake wa 
mtoto. Sar. Pflicht. $9) ar. ndthig haben. 7) nikampelekea. 9) Selten- 
heit. 9) ar. Absicht. 9) ar. sich entschliessen. '!) ukaninunulie. ?) besser 
walipomwona. 53) auf nyumba beziiglich. '?) ar. fragen. 7?) ar. zu- 
frieden sein. '$) ar. Bedingung. “Jjar. Silber. 


112 


mtoto wangu.” akenda zake nyumbani kwake. alikofikia hatta asu- 
bubi akuleta junia mbili za fedda, akamwoa yule mtoto. 

na katika mji ule waanawake wote wana 'agili nyingi. yule 
mwanamke alipoolewa, akamwambia mumewe: ,iwapo unanipenda 
mimi, sharti!) uende kuwachezea wale watoto wa sultani.” akamwam- 
bia: ,siwajui hawa waanawake.” akamwambia: ,ntakupa sifa?) zao, 
wana 'agili nvingi, walakin ntakufundisha maarifa?) gadiri?) utaka- 
loona?) uje unambie.” akamwambia: vema, nimeridi. akamwambia: 
yaa nguo zako, ufanvize uzuri sana.“ akavaa nguo zake, akafanyiza 
uzuri sana, akamwambia: ,pita panapo nyumba ya sultani, gadiri 
utakaloona uje unambie.” 

akapita panapo nyumba va sultani kwa nyuma. walipomwona 
wale waanawake, wakammwagia maji nguoni mwake. akapita, akenda 
zake. alipokwenda kwa mkewe, akamsaili akamwuliza: umeona nini?“ 
akamwambia: ,nimepita, wakanitia maji katika nguo zangu.“ yule mwana- 
mke akamjibu mumewe: ,hiyo ma'ana ya kutia maji — wanakuita, nenda 
kawangoje?) kisimani, kwa usiku sa'a?) tano watakuja.“ 

akaondoka yule manamume, akenda kisimani usiku, akakaa kisi- 
mani kuwangojea, asiwaone. marra akarudi akenda pwani. alipo- 
kwenda pwani, wakitokea wale waanawake kwa nyuma. walipokuja 
hawakumfika, wakanena: .,,mwanamme yule hana 'agili;” wakarudi 
nyumbani. naye aliporudi pwani akatazama hapana mtu pale kisi- 
mani, walakin alisika harufu?) ya mafuta mazuri pale kisimani, aka- 
jua ya kama wamekuja waanawake. 

akaondoka akenda nyumbani kwa mkewe, akamsaili mkewe: 
“Umeona nini, mume wangu” akanena: ,nimekwenda kisimani, si- 
kuona mtu, marra nikarudi nikenda pwani; niliporudi pwani, hasikia?) 
harufu ya mafuta kisimani, hajua kama wamekuja waanawake, wa- 
lakin bawakunifika.” yule mwanamke akamwambia: .lala hatta agu- 
bubhi, ufanyize uzuri kama jana, upite nyumbani kwao." 

akulala, akafanyiza uzuri asubuhi, akapita nvumbani kwao. wali- 
pomwona kwa juu, wakachukua yasmini!?) kwenda mtupia, wakam- 


!) nchben shurti. 7) ar. (gute) Eigenschaft. 7) ar. Wissen, Kennt- 
niss., fjar. ungefahr. 7) zu crginzen neno. !) ukawangojee. ar. 
Stunde, Ubr, "par. 'arf Geruch, 7?) nikasikia. '”) Jasmin, des scharfen 
Wohlgeruchs wegen bei den Suaheli-Frauen sehr beliebt. Wische und 
KicidungsstuUcke, die zur Aufbewahrung in einc Kiste gelegt werden, 
werden mit Jasmin bestrcut. Will cine Frau ihrem Manne eine besondere 
Aufmerksamkeit crweiscn, s0 schmtdckt sic sich (Haar und Kleider) und 
das Mhebett mit Jasmin, 


113 
mwagia yasmini nguoni mwake. akatoka akenda kwa mkewe. naye! 
akamsaili: ,umeona 'alama!) gani leo, ulipopita. kwa hao?) waanawake, 
watoto wa mfalme?“ akanena: ,wamenitupia yasmini nguoni mwa- 
ngu.“ akamwambia: ,ma'arifa?3) yao — wanakuita, nenda kawangoje 
kitaluni). akatoka usiku, akenda akawangojea kitaluni. 

ilipopata saa ya tano, wakija wale waanawake wote, watu sab'a, 
walipokuja, wakimwambia: ,sisi watu sab'a, nani umtakayo?” yule 
mwanamme akanena: ,nawapenda wote.” wakamwambia: , kutwaliwa 
ote?) na mtu mmoja hatutaki, walakini taka umtakayo aliyovote katika 
sisi watu sab'a.<“ yule mwanamme akanena: ,jichagueni ninyi wen- 
yewe, aliyoyote namtaka, ajili nawapenda wote.” walipoambiwa wa- 
anawake wakafurahi, wakamtoa ndugu yao, yule mdogo wa mwisho, 
wakamwambia: ,huyu tumekupa.“ akamchukua. yule mwanamke 
akampenda manamme. khalafu wakaondoka, tenna wakenda zao. 


na yule mtoto wa waziri akenda kwa mkewe. yule mwanamke 
akamsaili mumewe: ,umewaona?” akanena: ,nimewaona, wamekuja, 
nikachukua mdogo wao.“ yule mkewe akimwambia: ,bassi mume 
wangu." . 

akakaa siku moja yule mtoto wa sultani kwa mwanamme wake. 
akamwambia: ,nataka uje ushinde?) nyumbani kwangu.“ na yule ana- 
ridi, akenda akimwambia mkewe — ya kama: ,yule manamke ananiita 
kwake, nikashinde;“ akimwambia: , nenda.” 

akatoka usiku akenda, akaingia nyumbani. yule mwanamke aka- 
fanyiza chakula, ale na yule mwanamme wake; wakala pamoja yeye 
na manamme wake. marra akatokea kizee kimoja, anajua 'agili ya 
chanakike?) sana. bassi alipokuja, akaondoka yule manamme, akaji- 
ficha ndani. vule mtoto akatwaa kule alikokula manamme wake, aka- 
tengeneza. akamgaribisha huyu mzee, akapita ndani, akamwambia: 
Njoo, ule.“ yule mzee akenda kula. alipokaa kitako, akaona wali umea- 
nguka chini. akajua yule mzee, kama walikuwa watu wawili wakala, 
walakin mtu mmoja amekimbia kujificha kwa kuniogopa mimi; naye 
ametambua kwa ajili ya ule wali ulioanguka. 


akala yule mzee, khalafu akaondoka, akenda akaleta khabari kwa 
vijana wa mji. na wale waanaume vijana wanataka kumwoa yule 
mwanamke, walakin yule mwanamke hataki kuolewa na mmoja wao. 
khalafu wale vijana wakenda wakamvizia?) usiku. wakenda wa- 


1) ar. Zeichen, Kennzeichen. 7) hawa. Jj ar. Mittheilung. ") Garten, 
mit Mauern umgeben. 9?) wote. 9) shinda hat neben besiegen, iiber- 
treffen auch die Bedeutung bleiben, verweilen, sich authalten. 7) chana 
— kiana — kijana; kike weiblich. 9) auflauern. 


Velten, Suaheli-Marchen. 8 


LIA 


kapanda juu ya ghorfal!), wakamkamata yeve na yule manamke, binti?) 
sultani. wakamchukua, wakamtia katika kanda, yeye na manamme 
wake pamoja. wakalifunga lile kanda, nao wakawachukua hatta gere- 
zani”), wakampa bawabu) wa gerezani. wakamwambia: ,twaa 
amana”) yetu uweke hatta asubuhi, tutakuja wenyewe.“ na yule 
bawabu hana khabari, ya kama ndani ya kanda wamo watu wame- 
fungwa. 

khalafu yule mkewe alipoona, yule mumewe hakuja nyumbani, 
amekawia sana, akapeleka khabari kwenda mwuliza kwa vule mwa- 
namke; wale nduguze wakanena: ,amekuja chukuliwa usiku.“ 

akenda nyumbani kwake yule manamke; akenda akatwaa fedda, 
akampelekea yule bawabu, akamwambia: ,shika hii fedda, unionyeshe 
hiyo amana uliyopewa kuweka.“ akatwaa fedda, akimwonyesha lile 
kanda. khalafu yule mwanamke akafungua lile kanda, akamtoa mtoto 
wa sultani. yule mwanamke akaingia yeye na mumewe katika kanda, 
akamwambia yule mtoto wa sultani: ,lishone kanda.“ akaingia yeye 
na mumewe, likashonwa kanda. yule binti sultani akenda zake kwa 
nduguze?), wale watu sitta. 

khalafu usiku ulipokucha, wakenda kwa sultani wale watoto wa- 
anaume, wakamwambia — ya kama: ,watoto wako sisi tukiwataka 
kuwaoa — utukatae, nao wanazini?) na watu wengine.” sultani 
akauliza: ,mmewaona wakizini?"” wale watoto wakasema: ,tume- 
waona; tenna tumewakamata, wako gerezani, veye na mwanamme 
wake.“ khalafu sultani akaamrisha: ,kawatoeni gerezani.“ 

wakenda kutwaliwa gerezani, wakaja. walipokuja, likafunguliwa 
kanda, akitazama ndani ya kanda — yumo binti waziri na mumewe, 
binti sultani hayumo. wale vijana wakasta'ajjabu?)j. akasailiwa?) binti 
waziri: ,nini maana ya kufungwa?" akanena: ,hawa waanaume wa- 
mekuja nitaka 10), nami hakataa!!), wakanifunga mimi na mume wangu." 
baba yake waziri akaghadibika??) sana, kwa ajili ya kufungwa mtoto 
wake pasipo sababu. 

bassi, khalafu sultani akawatoa wale watoto waanaume katika 
mji, kawafukuza 3), kawambia 4): ,tokeni mji wangu ?), kwa sababu siyo 
adabu kwenda kutaka mke wa mtu, naye, akikataa mwanamke, khalafu 
mke mfunga; hii si desturi, tokeni mji wangu.“ wakitoka wale watoto, 
na waziri akafurahi, akajua — nimepata heshima18) kwa sultani. 


1) ar. Stockwerk. “jar. Tochter. 9) Gefangniss. “) ar. Thiirhiiter. 5) ar. 
Sicherheit, Pfand. $) ndugu zake. 7) Ehe brechen, Unzucht treiben. $) ar. 
sich wundern. 9?) ar. fragen. '") oder kunitaka. '!) nikakataa. 1) ar. er- 
ziurnt sein. 5?) akawafukuza. ) akawambia. 5) oder mjini mwangu. '$) ar. 
Achtung. 


115 


na yule mtoto mwanamume aliyooa binti waziri akajua, kama 
inchi hii wamo waanawake wenyi “agili. akasafiri akenda inchi ingine!). 
akitokea katika mji mwingine una?) waanawake wana 'agili sana. 
akenda akawambia: ,nataka mnipe “agili ya waanawake.“ na khabari 
alimwambia mzee mmoja. yule mzee akamwambia: ,yuko mwanamke 
ntamwambia akufundishe “agili ya waanawake. yupo mwanamke mmoja, 
ana mumewe, na yule mumewe ana uwiwu sana; hampi rukhsa kutoka 
nje mkewe — kabisa, walla mwake”) haingii mtoto wa mwanamme 
kwa uwiwu wake alio nao.“ 


akenenda ndani mwaf) mkewe, akimpa?) khabari yule mwana- 
mke, akamwambia: ,emekuja?) mwanamme mmoja mzuri, anatoka 
inchi za mbali, emekuja kuja kutaka 'agili za waanawake, bassi nataka 
umfundishe “agili za waanawake.“ yule mwanamke akanena: ,vema, 
nimesikia.“ 

akamwambia: ,nenda kwa mume wangu umwambie: ,nimepewa 
amana na mwarabu”) mmoja, na huyu mwarabu mkubwa sana, aka- 
nipa mkewe nikae naye, naye mwenyewe amesafiri; bassi nnayo yule 
mkewe. na sasa mimi mtu mzima, nataka kwenda tafuta chakula na 
kuni za kupikia, na kuondoka na kumwacha pekevake nna?) khofu?), 
wasije waanaume wakimtaka !0), imekuwa — atakasirika mwenyewe 
akija akisikia. na sasa nataka nimlete kwako kwa mkeo!!).“ kizee aka- 
fanya kama hivi, naye mwanamme akamwambia: ,vema, nimegubali 2), 
nenda kamtwae 3) umlete aje nyumbani kwa mke wangu.“ 


akenda, akamvika kanzu ya chanakike na suruali?) na ukaya na 
mitali miguuni, akaja naye. yule manamme akajua ,huyu sahihi!?) 
mwanamke,“ naye mwanamume si mwanamke, walakini hila ya waana- 
wake wamefanyiza. akamwambia: , mpeleke nyumbani kwa mke wangu.” 


akawasili18) nyumbani, akamwambia: ,na aende, akakae chumba 
kidogo.“ akenda, akakaa chumba kidogo. yule mkewe huenda aki- 
zungumza!?) naye na yule mwanamme aliyoingia nyumbani. yule mu- 
mewe akathannr!3) manamke, lakini si manamke. 


hatta usiku wagati!?) wa kulala yule mwanamke akenda kulala na 
mumewe. yule mumewe akanena: ,si desturi, emekuja mgeni katika 
nyumba yako, naye mtoto wa watu, tenna mke wa mtu mkubwa, 


') oder ningine. 7) auf mji beziiglich. 9) zu erganzen ist nyum- 
bani. $) nyumbani mwa. 97) akampa. 9) amekuja. 7?) ar. Araber. 
8) nina. “ar. Angst, Furcht. 9) wakamtaka. ') mke wako. ?) ar. 
einwilligen. 3) ukamtwae. '?) Beinkleider. ?) ar. richtig. 9) ar. ankommen. 
17) akazungumza. '5) ar. glauben, meinen. 2?) ar, Zeit. 


gi 


116 


kumtupa — akija akilala huku — si desturi, enenda kazungumze naye 
pamoja, mimi ni radi!). | 

akenenda yule manamke, akafunga mlango, akazungumza naye. 
yule mwanamke akamwambia yule manamme: ,unaona 'agili ya waana- 
wake?” akamwambia: ,nimeona.” akamwambia: ,bado — ntakuo- 
nyesha 'agili ningine.“ 

akikaa hatta usiku, akamwita yule mzee, akamwambia: ,kesho 
njoo umtoe huyu mwanamme; atakapokuja kwako, mwambie, atake 
mkewe kwako, ajifanyize emerudi?) barra.” . yule mzee akajua, huyu 
anataka kumwua mumewe, kwa sababu yule mzee anajua 'agili ya 
waanawake sana. akimwambia: ,vema."“ 


akikaa”) hatta usiku. alipolala mumewe usiku, akamwambia yule 
mwanamme wake: ,twaa jambia kampige la) tumbo mume wangu.” 
akatwaa jambia yule, akenda akamchoma tumboni, akafa yule mumewe. 
akamkata kichwa, bagi”) yote ya mwili akaenda akatia katika shimo 
la choo, na damu zote akaosha. kile kichwa akakitia dawa, kisipate 
nuka. khalafu, alipokwisha tia dawa, akatia ndani ya buetaf) kile kichwa. 


khalafu yule mzee akaja asubuhi, na yule manamme amekwisha 
toka kwenda kwa yule mzee. alipokwenda mwanamume, ndipo ali- 
pokuja mzee, akamwambia: ,mumeo?) yuko wapi? nataka amana 
ya yule mke wa watu, niliyomleta kwenu.” yule mwanamke akanena: 
wewe mzee harabu3) sana, umeleta mwanamke katika nyumba yangu, 
gasidi?) kumzinisha mume wangu, na sasa yule mwanamke na mume 
wangu wametoka, siwajui walikokwenda; yapata ya tano na ya sitta 
sijawaona.“ . 

yule mzee asigubali. akenda akamfundisha yule mwanamume, 
akamwambia: ,nenda kanishitaki kwa hakim?), ya kama umenipa 
mkeo, nami nimempoteza.“ akenda akashitaki kwa hakim. aketwa!!) 
yule mzee, akaambiwa: ,toa mke wa watu.“ yule mzee akanena: ,ha- 
gdiga!?), amenipa mkewe kukaa naye, walakini nimempeleka kwa mw'a-. 
rabu mmoja kumweka.“ yule hakim akamwambia: ,mwite huyu 
mw'arabu.“ akamwambia: ,hayupo, amekimbia yeye na huyu mwa- 
namke.“ hakim akauliza: ,mkewe yupo?" akanena: ,vyuko.“ .aka- 
mwambia tenna: ,kamwiteni huyu mkewe; huyu mwarabu, aje.“ 
akenda akitwa!3). 


) ar. zufrieden. ") amerudi. 9?) akakaa. $; auf pigo Hieb be- 
zuglich. “)ar. Rest. 9) portug. Kiste, Kistchen. ") mume wako. 7?) ar. boshaft, 
Verderben bringend. 9?) ar. Absicht, Vorhaben. D) ar. Herrscher, Richter. 
11) akaitwa. 2?) ar. Wahrheit. 5) besser mkewe wa. 1) neben aketwa 
und akaitwa. 


117 


alipokuja, akasailiwa: ,,yuko wapi mumeo!)?' akanena:.,,hayupo, 
emekimbia?) yeye na huyo mwanamke aliyokuja.” hakim akanena: 
weye mwarabu, sikiliza mudda wa siku sitta, arudipo mkeo na huyu 
mw'arabu — vema, na asiporudi — chukua huyu mkewe uende naye.” 

akakaa mudda wa siku sab'a — hakutokea, ajili amekwisha uawa 
na mkewe zamani. akachukua yule mwanamke, akenda naye. yule 
mwanamke akamwambia; ,,umeona 'agili ya waanawake, niliyokufanvi- 
zia marra ya pili?" akanena: ,,nimeona.“ akachukua mkewe, akenda 
naye. na yule manamke — kile kichwa cha mumewe aliyomwua kachu- 
kua”) kwenda nacho. 

aka“azimu1) safari?) yule mwanamme kurejea kwake, walla haku- 
pita kwa yule mkewe, binti waziri. akenda hatta alipowasili9) garibu 
ya mji Wake mwendo wa safa tatu, ikatia nanga manowari?). 

hatta usiku ulipoingia, ikenda mwendo wa sa'a mbili, bagi sa'a 
moja kuingia mjini. yule mwanamke, aliyokuja nayo, akamwambia; 
mhapa na mjini mwendo wa sa'a ngapi“ akanena: ,,sa'a moja." aka- 
mwambia: ,,shusha mashua ya moshi$).“ akashusha mashua ya moshi 
wakenda zao hatta mjini, na yule mwanamke amechukua dawa za 
mlango uliofungwa — kufunguka. bassi wakiwasili bendarini usiku, 
wakashuka, watu wamelala katika mji wote. 


walipoingia mjini, wakenda hatta nyumbani kwake kwa yule 
mkewe. yule mwanamke akamwambia: , tafuta ngazi uweke.“ akaweka 
ngazi, akapanda hatta juu ya dirisha?), akatia dawa — likafunguka dirisha, 
akaingia ndani nyumbani mwake. 

akienda — akamwona yule mtoto wa sultani anazini na mkewe. 
akawatia dawa, ikapotea “agili kwao, wasiwe na '“agili. khalafu akamwua 
yule mwanamme aliyomfumaniza!?) na mkewe. khalafu akatwaa damu 
zile zote, akazitia maji, akitwaa!) kichwa chake, akatia dawa, gasidi 
kisioze. ile iliyobagi, akenda akatia katika shimo. bassi khalafu akam- 
vua dawa puani, ikarudi “agili yake yule mwanamke. 


na yule mumewe akaondoka na yule mwanamke, na kile kichwa 
anachukua cha mtoto wa mfalme, akenda akaingia ndani ya sitima!?), 
kwenda merikebuni kurejea. hatta alipoamka usingizini, yule mwana- 
mke akaona manamme wake, mtoto wa sultani, hayupo, akata"ajjabu sana. 
khalafu usiku ulipokucha, ikija ile merikebu mjini. na yule mtoto 
wa mfalme anatafutwa mjini. ilipowasili mjini ile merikebu, akashuka 


) mume wako. 7?) amekimbia. 9) akachukua. f) ar. sich entschliessen. 
5) ar. Reise. $) ar. ankommen. 7?) engl. man of war. $) das kleine Dampf- 
boot, die Pinasse. 9) ar. Fenster. ') iiberraschen, ertappen. '!) akatwaa. 
13) das englische Wort steamer, daneben ist auch meli (mail) gebrauchlich, 


118 


akenda nyumbani kwake, akamfika mkewe. nave amekasirika, kwa 
ajili manamme wake, mtoto wa sultani, hajulikani alikokwenda, naye 
alilala mwake!). 

bassi — alipomwona mumewe, akamwambia: ,,kiko wapi kipande 
cha “agili, nilichokutuma kununulia?) yule mwanamme akamwam- 
bia: ,,nifanzie chakula nile, ndipo unisaili khabari.” mwanamke aka- 
mwambia: ,,nionyeshe kipande cha 'agili, nilichokutuma kununulia; 
na iwapo hukunionyesha, niwache, sikutaki.” yule mwanamme aka- 
mwambia: ,,vema, lakini fanyiza chakula.” 

akafanyiza chakula mwanamke. hatta ilipopata usiku, akamwam- 
bia: ,,nionyeshe kipande cha 'agili.” akampa ufunguo, akamwambia: 
fungua sandugu?).” akafungua sandugu mwanamke. ndani va san- 
dugu akaona bueta, akatoa bueta, akaifungua, akaona imo dawatif9; 
kamwambia?): ,,fungua dawati.“ akafungua dawati, akaona ndani yake 
vimo vichwa vya watu wawili. akamwambia: , fungua, kichwa 
kimoja utazame.” akafungua, akaona kichwa cha mumewe yule mwa- 
namke aliyokuja naye. akamambia: ,fungua na hicho chingine;” aka- 
ona kichwa cha mtoto wa sultani, aliyozini naye, yule aliyokuwako 
nyumbani mwake. akata'ajjabu mwanamke, akalia sana, akatetemeka 
nafsi$) yake. | 

khalafu akasema: ,,nimetubu?), mume wangu, hatta siku ya pili, 
nikwambiapo maneno kama hayo — niue. mwanamume akasema: ,,Si$a- 
digi?), apa yamini?) — ya kama ,,wewe hutanena maneno haya, uli- 
yoyaona ya mtoto wa sultani, aliyokufa.” akaridi mwanamke kuapa 
yamini, akaapa. 

na yule mwanamme hamtaki yule mkewe tenna, walakini anam- 
khofu, asiende msaliti10), ya kama ndiye!!) aliyeua mtoto wa sultani. 
alipokwisha apa, akalala hatta asubuhi. akajua kama mwanamke huyu, 
maadam ameapa kiapo cha yamini, hataweza kuniduru 2); akamwacha 
akamwambia: ,,sikutaki, nenda kwenu." 

yule mwanamke akakosa mwanamme wake, mtoto wa sultani, 
yakafa. naye akaapa yamini; na mume wake akimkosa!3), akakataa, 
akikosa yote matatu mwanamke. la kwanza mumewe akamwacha; la 


1) zu ergianzen nyumbani. 7) kuninunulia. 7) ar. Kasten, Koffer. “) Kast- 
chen, Fach. 7?) akamwambia. 9) ar. Seele. 7) ar. sich bekehren, be- 
reuen. 9) ar. glauben. 9) ar. Eid, und zwar den Eid auf den Koran 
schworen kuapa yamini; das Suaheli-Wort fiir Eid ist kiapo; schworen 
heisst kula kiapo, kufanya kiapo oder kushika kiapo; unter kiapo verstebt 
man ejgentiich eine Eidesleistung in der Form, dass sich der Betreffende 
einem Gottesurtheil unterwirft. '") beschuldigen. ') ndio yeye. '2) ar. 
schaden. ?) akamkosa. 


119 


pili mwanamme wake, mtoto wa sultani, akauawa; la tatu hakuweza 
kunena, ya kama mwanamme wangu, mtoto wa sultani, kauawa!) na 
fulani, hakuweza kunena, kwa ajili ya yamini, aliyoapa. 

hio ndio khabari ya mwanamke, aliyomwuzi?) mumewe; na “agili 


ya waanawake ndio hiyo. 
Mw'allim Mbaraka bin Shomari 
aus Kondutschi. 


) akauawa. 7?) ar. krinken. 


Sultani wa kisiwa na sultani wa barra. 


Yuko sultani anakaa kisiwani, na sultani wa pili anakaa barra. 
beina!) yao vita, wanapigana. huyu sultani aliyo?) katika visiwa 
ana ndugu yake, amekuwa mzee; kazi yake anavua samaki?) katika 
bahari. 

hatta siku moja amekwenda baharini kuvua samaki, yule sul- 
tani ndio siku anayopiga mbiu katika inti?) yake kuweta?) “askari wa 
jeshi9), gasidi?) na damiri?) yake kufanya vita kwenda mpiga sultani 
wa barra. 

walipokwisha kutana watu wote, akawauliza: ,hapakubagi?) mtu, 
aliyesalia?“ wakamjibu: ,amebagi yule mzee, ndugu yako, amekwenda 
baharini.” waziri wa sultani akajibu, akanena: ,huyu mzee haduru 9) 
kwetu, sababu yeye hawezi kupigana." 

baada ya hayo sultani akaamru 'askari kukaa zamu!!) katika 
malango!?), kulla zamu kwa lango lake. ba'fada ya hayo yule mzee 
akirejea 3) baharini. khalafu aliporejea baharini, akaondoka yule mtu, 
aliyomwambia sultani — kama: ,amepungua mzee, ndugu yako, ndio 
aliyokwenda baharini kuvua samaki.“ 

akamwendea yule mzee akamwambia: ,khabari ya mjini unayo?“ 
vule mzee akanena: ,sina khabari.“ akamwambia: ,nipe haggi9) yangu 
samaki”), nikupe khabari.“ akatoa samaki, akampa akanena: ,nipe 
khabari.“ akamwambia: ,ulipoondoka wewe ukenda baharini, sultani 
alipiga mbiu katika mji, akakusanya watu, wakakutana watu wote; 
khalafu 18) sultani akauliza: ,hapakubagi mtu?“ mimi hamjibu!?): ,yame- 


Uar. zwischen. 7?) oder aliye. Sar. Fisch. “jinchi. 9?) kuwaita. 
6) ar. Heer. ”) ar. Absicht. 9) ar. geheimer Gedanke. 7) ar. tibrig bleiben. 9) ar. 
schaden. ') Wache, Posten. 2?) lango, mal. Thor. 5?) akarejea. ') ar. 
Recht, Gebtihr. 5?) haggi yangu ya samaki. '$) zr. nachher. 7) nikamjibu. 


'I20 


bagi mzee nduyako!), amekwenda baharini. akaondoka waziri, akajibu 
akanena: ,haduru yule mzee, anaweza neno gani, sababu hawezi-.ku- 
pigana vita?” sultani akaamru zamu, kulla lango la mji na zamu 
yake; ndio khabari za katika mji." 

alipokwisha mpa khabari, yule mzee asijibu neno lo lote. aken- 
da akalala hatta asubuhi, akenda pwani; akatwaa mtumbwi wake, 
akavuka, akenda ngambo ya pili kwa sultani wa barra, akafika. 

naye sultani wa barra amefanya tayyari?) vita, anataka kwenda 
mpiga sultani wa kisiwani. alipowasili yule mzee, sultani wa barra 
akamwuliza: ,mzee, umekuja taka nini? nipe khabari yako!“ aka- 
nena: ,nimekuja kuwajihi3) kwako, nataka na kitu unipe.“ sultani 
akamwuliza: ,wataka nini?? akamwambia: ,nataka kigogo?) cha 
“ambari?). unipe.”  asimkasiri sultani, akatoa kigogo cha “ambari 
akampa. . 
akipakia$) katika mtumbwi wake, akirejea?) kisiwani. akifika 
usiku — milango imefungwa na “askari katika zamu, akipiga hodi, 
wakimwuliza: ,nani wee?“ akanena: ,mimi, natoka baharini.“ waka- 
fungua mlango, yule mzec akaingia ndani, alikwenda ndani kwa sul- 
tani, akabisha hodi?). marra wakamjibu, wakimwuliza: ,nani wee“ 
kanena?): ,mimi, mzee fulani, namtaka sultani.“ 

akipelekewa sultani khabari, akatoka, akimwuliza!?) khabari: 
”Umekuja kwa shughuli!!) gani — huu ni usiku?“ akanena: ,, natoka 
baharini. naliondoka asubuhi, henenda!?) baharini kuvua samaki, hao- 
kota kigogo cha “ambari, nimekuja nacho, kiko pwani ndani ya 
mtumbwi; siwezi kukichukua, sababu mimi ni mzee — sina ' nguvu.” 

alipompa khabari, sultani akipeleka) watu kwenda kitukua!?, 
wakija nacho kwa sultani. khalafu sultani akampa rukhsa!5), aka- 
mwambia: ,nenda zako nyumbani ukalale.“ umekuwa usiku yule mzee 
akenda zake nyumbani akalala. 

ulipotasabahi subuhi!), yule mzee akirejea katika mtumbwi wake, 
akavuka akaenda ngambo kwa sultani wa barra, akamwambia: leo 
nataka unipe vigogo viwili vya “ambari.”“ asimkasiri, akampa. akavi- 
'pakia katika mtumbwi wake, akirejea kisiwani. 

akifika usiku vilevile kama auwali, akibisha mlango wa pili wa 
zamu, wakimsaili!?): ,nani wee?” akancna: ,mimi, mzee fulani." 


) ndugu yako. 7?) pers. fertig, bereit. 9?) begriissen. $) Stamm, 
Klotz, Klumpen. "“) ar. 'anbar Ambra. 9$) akapakia. 7) akarejea. $) ku- 
piga hodi, kubisha hodi und kusumiza hodi gebrauchlich. 79) akanena. 
0) akamwuliza. '!) ar. Geschiift, Arbeit. ?) haenenda fiir nikaenda. 3) 'aka- 
peleka. '4) kichukua, ki beziglich auf kigogo. 5?) ar. Erlaubniss. '$) ar. 
Morgen. 7) wakamsalli. 


I21 


wakamfungulia mlango, akaingia, akifuuza!) hatta katika nyumba vya 
sultani. akaja sultani, wakionana?) mithili?) kama auwali. aka- 
mwambia: ,leo nimeokota vigogo viwili, peleka watu pwani, waka- 
wae.“ “naye mzee akitaka?) rukhsa, akenda kulala. 

uliposabahi subuhi, akenda marra ya tatu kwa sultani wa barra, 
ikataka vigogo vitatu, akapawa. akirejea?) vilevile usiku, akapeleka 
wa sultani, khalafu sultani akamwambia wenyi zamu: ,sasa akija 
nzee, ijapokuwa usiku, milango na iwe wazi; pasiwe mtu mwenvi 
kuvunja milango va zamu, rukhsa usiku iwacheni wazi kwa sababu 
ru mzee, akitoka baharini asiuzike." 

'alipokwisha toa amri, mzee ulipotasabahi — akenda ngambo kwa 
sultani wa barra, akataka vigogo vinne vva 'ambari, akavipata. aki- 
peleka9), akafuuza siku sitta. hatta ilipotimia?) siku va sab'a, aki- 
mwendea sultani wa barra, akimwambia: ,sasa fanviza jeshi$', upeleke 
kisiwani, sababu milango vya ukuta yote 1 wazi, walakini wape? 
mausi!) “ “askari katika vita vyako wasimwue sultani walla wa- 
ziri wake. 

akiwapa!!) mausi, wakenenda na vita, usiku wakaingia katika 
mji. sultani akakamatwa na waziri wake akafungwa. uliposabahi 
subuhi, akenenda yule mzee, akiwaona wamefungwa, akiwambia sul- 
tani na waziri wake, akinena: ,zama mlipokutana mkitaka watu gasidi 
ya vita, sultani ukiuliza), hatta wakinitaja mimi, ndio niliyopungua, 
nimekwenda baharini, wewe waziri ukanena ,haduru, hawezi kupi- 
gana, sababu mzee,“ leo nimeduru ao sikuduru?“ 

wakaamriwa kuuawa wote wawili. sultani wa baharini ndio 
aliyouawa, na waziri wake. sultani wa barra akamiliki 3) inti) ya sul- 
tani wa baharini. 


Mwenyi Hija bin Shomari 
aus Kondutschi. 


') ruhig seines Weges gehen. ") wakaonana. 9) ar. gleich, gleich- 
wie. '?) akataka. 9) akarejea. $) akapeleka. ') ar. vollendet sein. . ?) ar. 
Heer. ”) uwape. ) Auftrag, Befehl, '') akawapa. ?) ukauliza. 5?) herrschen. 
4) inchi. 


hadithi ya mwanamke aliyeoa baba na mwanawe. 


palikuwa mtu na mwanawe katika mji mmoja, nao watu wa- 
moja maskini, hawana mali. yule mtoto akasafiri, akenda inchi ningine 


122 


kutafuta rizigi!). mweny'ezi?) muungu akaja'alia?), akapata mke akaoa, 
akakaa naye akastarehef). 

kisha yule manamme akamwaga mkewe, akamwambia: ,mke 
wangu, kwa heri, nasafiri inchi ningine kwenda kutafuta mali, tuje 
tustarehe.“ kisha yule manamme akasafiri, akenda mji mwingine 
mbali. akakaa miaka minane, walla asipeleke barua kwa mkewe, walla 
kwa baba yake, walla hapana mwenyi kumwona mudda wa miaka 
minane ile aliyosafiri. bassi — sheri'a?) ikamachisha yule mke, akakaa 
“eda$) yule mwanamke miezi minne na siku kumi kama desturi ya 
sheri'a. 

kisha yule babaye yule?) kijana mwanamme akatoka mjini mwake, 
kenenda?) kutafuta mtoto wake. mweny'ezi muungu akajaalia aka- 
shukia katika mji, na ule ndio mji wa kwanza aliposhukia mwanawe. 
akauliza watu wa mji: ,mwanangu?) fulani yuko wapi?“ waka- 
mwambia: ,mwanao hatumjui kwa jina hili.“ 

bassi, yule babaye mtu akakaa katika ule mji kwa tamaa) ya. 
kupata khabari za mwanawe; mweny'ezi akamjaalia yule baba, akam— 
posa yule mke wa mwanawe, aliyeachika kwa sheri'a. akamoa, akazaazmai 
naye mtoto wa kiume. 

mtoto alipopata miaka minane, yule mwanawe, aliyepotea, akajaa 
hatta mjini, akenda nyumbani kwake. hatta akapata garibu ya bomba!! > 
yake, akakutana na mtu wa mji ule, nao tambuana. akamwambia - 
vahla!?) fulani, umekuja leo? watokapi3) miaka yote hii?“ akamwam— 
bia: ,nalipotea, sasa mweny'ezi muungu amenirejeza katika mji wangu, 
na sasa nakwenda nyumbani kwangu.“ akamwambia: ,shukuru mu- 
ungu, huna nyumba tenna, walla huna mke tenna.“ akamwuliza: 
vjinsi gani?” akamwambia: ,mke wako ameachika kwa sheria.“ 

yule ndipo alipokwenda katika nyumba yake, akafika mlangoni — 
akamwona yule kijana, anatoka ndani, akamwambia: ,ewe ndugu 
yangu wa kwa baba?) mwambie babako) ndiye babangu 18) — mume 
wa mke.” 

amesimama mlangoni yule mtu, akarejea nyumbani, akenda aka- 
mweleza babake. alivoeleza 1?) akaona ni yule mwanawe mjini, aliye- 
kuja sasa, aliyepotea zamani mudda miaka kumi na sitta. alipokwisha 


1) ar. Lebensunterhalt, Nahrung. 7) mwenyi 'ezi. 3) ar. bestimmen. 
HU ar. sich ausruhen. 7) ar. Gesetz. $9) ar. bestimmte Anzahi von Tagen; 
cf. Mitth. des Sem. f. orient. Spr. Jahrg. I, Abthlig. III p. 29. 7) baba yake 
wa yule. $9) akaenenda. 7) mwana wangu. ') ar. Sehnsucht, Verlangen. 
11) portug. Pumpe. ?) ar. willikommen. 5?) watoka wapi? ') mein Bruder, 
der du von demselben Vater bist. '3) baba yako. '$) baba yangu. 7) neben 
alivyoeleza. 


Pawa. 


123 


mweleza, babaye akatoka nje, akenda kumtazama yule mgeni aliye- 
kuja. alipomwona, akaona ni yule mwanawe, aliyepotea miaka kumi 
na sitta, aliyekuja mtafuta. 

bassi — yule mke akiachika, akasirrikwa ni!) maharimu?) yao 
baba na mtoto abadan”) ila yom elgiyama?). 


“Ali bin Nasr, Wali von Pangani. 


na. ? ar. unerlaubt. 3?jar.immer. far. am Tag der Auf- 
E€rstehung. 


hadithi ya zamani. 


Alikuwako mtalme na ra'ia!) zake wengi; akawako mw'iallim 
vyao. yule mw'allim akapiga ramli, akanena: ,,mwaka huu baada ya 
CTieruzi?) watu wasitumie maji ya visimani, atakaye tumia — zitapungua 
“agili zake.” 

ikawa watu kufanya mitungi na kununua mabalasi?) na matungi 
Da mapipaf), na kuweka mabiriga?), wakajaza maji gabla isijapata neruzi. 

khatima$) ba'ad ya kupita neruzi, wakatumia maji yao waliyo- 
kusanya. mafugara?) maji yao yakesha, ma'ana zombo?) zao si zombo 
za “amali?); wakateka visima wakatumia. ikawa kulla anayetumia maji 
yale — hupungua 'agili. ikawa hali hiyo, hatta wakesha watu mji mzima, 
akabagi!9) mfalme — ndiye mwenyi “agili kamili!!); ma“ana mfalme mweza, 
ana zombo za kutia maji kwa uwingi sana, maji yake hayakwisha. 

lakini watu wote “agili si mustagarri?), hufanya marra nyingi 
kelele burre. hakim53) akiwarudi neno, marra huwa wakatabayyani 14) 
wamelifanya lilelile walilozuiwa, hatta yule hakim akaona, hapana 
haja — tawaziisha!?) bilashi16), walla hatusikizani; kheri nami nijifanye 
kama wao. akenda akateka maji kisimani akatumia, akawa kana wao; 


wakasikizana wote. 


S'aid bin Bushiri Ilmalindi 'agida 
von Kilwa Kisiwani. 


') ar. Unterthan. 7) pers. Neujahrstag. 5") grosses Wassergefiss, das 
12—15 mitungi (gewohnliche Wassertopfe) enthilt. f?) port. Fass, Tonne. 
5) ar. Wassergefuss. 9) ar. schliesslich. ') ar.arm. $?) plur. von chombo 
Gefiss kann vyombo und zombo lauten. 7?) ar. Arbeit. ') ar. iibrig bleiben. 
11) ar. volikommen. ?) ar. ruhig. 7?) ar. Herrscher, Richter. '") ar. sich 
zeigen. '?) nitawaziisha. '?) ar. ohne eine Sache. 


124 
Sultani Haruni Alrashidi na waziri wake. 


Zamani moja aliondoka Harun Alrashidi na waziri wake Jafafari 
Baramak kutembea katika miji yake; wakenda safari iliyo kubwa, mfano 
wa kupotea. 


wakitokea mahala ipo bustani!), na mbele yao wakiona?) nyumba. 
wakienenda wakafika barazani, wakimwona mtu moja mcha muungu, 
ndio mwenyi bustani. akiwaona wageni, hakumjua, ya kama huyu 
ndio Amiri almuminina?) Harun Alrashidi. wakamtolea salaam, yaki- 
pokea?) salaam. yakiwagaribisha?), akienenda katika bustani yake, ya- 
kikata miwa miwili. yakimenya, yakitwaa makopo mawili, yakikamua 
ile miwa; kulla mua ukijaa kopo. akiwagaribisha maji ya mua, wa- 
kinywa, wakikuta9). wakihemidi?) mweny'ezi muungu, khalafu wa- 
kimwaga; akiwashindikiza yule sahibu?) bustani, akirudi katika makani 
yake, na sultani na waziri wakiwasili?) manzili 19), yao. 

nyongoni za!!) siku sultani akamambia waziri wake: ,tuenende> 
tukatembee!”“ wakenenda, wakitokea pale katika bustani, na yule sahi— 
bu yao wakimfika wakimtolea salaamu. wyakipokea ?), akiwagaribisha 
yakifanyiza takirimu 3) kama auwali. khalafu akataka rukhsa, akawa— 
shindikiza. wa amma sultani Haruni katika damiri14) yake alifazimu 1?) 
ile bustani kumnyanganya yule maskini. wakenda zao hatta mji- 
ni kwao. 


marra ya tatu akamambia waziri wake: ,twende tukazunguke."“ 
wakienenda, wakiwasili katika bustani ileile) ya yule sahibu yao, 
wakimfika barazani pake. wakimtolea salaam, yakipokea salaam, aki- 
wagaribisha. akenda katika bustani yake, akikata miwa miwili, akija 
nayo akimenya. yalipokamua ile miwa — haikutoka kitu, labda kikombe 
cha gahawa!?). yule mwenyewe husta'ajjabu!3) sana na wale wageni 
kazalika !?). 
wa amma sultani Haruni alimsaili yule mwenyi bustani kam- 
wambia?0): ,miwa hii yatoka mahala gani? naile miwa ya auwali, 
ulivokuwa?!) ukikamua maji, yatoka mahala gani?” yule mwenyi 
bustani akanena: ,ileile ya auwali na hii mahala pamoja, na shina ni 
lile moja.” wakamsaili: ,nini fasili?) vake?? wyakanena — kama: 


ar. Garten. 7) wakaona. 3) ar. First der Gliubigen. ") akapokea. 
>) akawagaribisha; ndiher treten heissen. 9) sich laben. 7) ar. loben. $jar. 
Freund. ?) ar. ankommen. 9) ar. Wohnung. '!) nach Verlauf von, ?) aka- 
pokea. ?) edel, freigiebig. 'f) ar. Verborgenes, geheimer Wunsch. "?)Jar 
sich entschliessen. '$) gerade jenen. ”) ar. Kaffee. '?) ar. sich wundern. '?) ar. 
gleichfalls. “) akamambia. “?!) ulipokuwa. “”) ar. Erklarung. 


125 


itani amebadili!) nia?), ataghusubu5”) haggit) za maskini.” na 
e mwenyi miwa hamjui, kama yule ndio sultani, walla yule wa 
yake hamjui, kama ndio waziri. wakimwaga: ,muungu akuweke 
ri,“ wakaondoka. 

yalipowasili kwake sultani akaleta toba?) kwa mwenyezi 
ungu wake, akamsamehe") mweny'ezi muungu kwa yale aliyo- 
iria. 

nyongoni') mwa siku kamwambia?) waziri wake: ,twende tu- 
awwiri?).“ wakenda wakitokea pale pa sahibu yao. wakimfika 10) 
'shughulika, mkewe aumwa na uzazi. wakatoa salaam, akawa- 
3.11); akawagaribisha, akawafanyizia heshima?) kama auwali. 

pale katika julusi!”) akija) mtu kumpa khabari — ya kama: 
;azi mtoto huja, ukarudi, shika mchele?) uombe muungu.” aka- 
: mbado, kama zuriya!?) yangu hazaliwi, illa kwa saa itafaayo !?).“ 
a!3) mtu marra ya pili, akamambia: ,shika unga wa mchele uombe 
ungu;“ akanena: ,bado, hazai.“ sultani na waziri wanata'ajjabu. 
'a zilipo mwafigi 9), gadiri alipomwaga, akajifungua salaama?) u 
mini mtoto mwanamume. 

yule sultani akamsaili: ,sababu nini marra ya kwanza amekuja 
1 kukupa khabari — mkeo?!) anataka kuzaa, ukanena , hazai?“ marra 
pili vilevile, illa wagati??) ulitaka weye, nini fasili??3) yake?” aka- 
: nimetaka sa'a aliyozaliwa Harun Alrashid, ndio niliyoitaka. na 
1 mtoto huyu akiwa kiumbe cha dunyani?) — sultani — kwama???) 
'eny'ezimgu??) vatamtawilisha?”) amuri?8) — mamboye??) khatari ?0).“ 
isangaa”!) sultani, yakaondoka. . 

akipata njiani, akamambia ilwaziri: ,nipe shauri lako, mtoto 
> tumfanyeje?" yule waziri kamjibu??): vjawabu??”) kwako.“ 
wasili katika manzili??) yao; wa amma sultani ana hamu?””) sana. 

wakikaa nyongoni mwa siku, sultani akamambia waziri: vtuka- 
bee.” wakienenda, wakiwasili pale pa sahibu yao, wakamfika 
izani na mtoto wake, wakimtolea ”?) salaam, akiwapokea. akawaga- 


') ar. lindern, wechseln. “ar. Absicht. 9$jar. zwingen. far. 
ht. ?j ar. Reue. 9) ar. verzeihen. 7) zama za siku. $) akamwambia. 
r. sich nach etwas umthun. '?) besser walipomfika. '') akawaitikia. '?) ar. 
tung, Respekt. 5) ar. Hof. ) akaja. ?) cf. des Verf. Abhdlg. tiber Sitten u. 
Tauche der Suaheli Jahrg. 1, Abhdig. HI p. 16 der Mitth. des orient. Sem. 
r. Nachkommenschaft. '') besser itakayofaa oder ifaayo. “JJ akaja. “Jar. 
monirend, zu erganzen ist hier wohi sa'a. V) ar. Wohibefinden, unversehrt. 
mke wako. 7?) ar. Zeit, Jahreszeit. 5) ar. Erklirung. 8 ar. Welt. 
kama. ') mwenyi "ezi muungu. 7”) ausfiihren lassen. 7) ar. Befeht, 
mambo yake. $?) ar. Gefahr. ?!) akasangaa. ”?) akamjibu. $) ar. Ant- 

ti $) ar. Wohnung. 35) ar. Sorge. 98) wakamtolea. 


124 
Sultani Haruni Alrashidi na waziri wake. 


Zamani moja aliondoka Harun Alrashidi na waziri wake Jdfafari 
Baramak kutembea katika miji yake; wakenda safari iliyo kubwa, mfano 
wa kupotea. 


wakitokea mal 


la ipo bustani!), na mbele yao wakiona?) nyumba. 
wakicnenda wakafika barazani, wakimwona mtu moja mcha muungu, 
ndio mwenyi bustani. akiwaona wageni, hakumjua, ya kama huyu 
ndio Amiri almuminina?) Harun Alrashidi. wakamtolea salaam, yaki” 
pokea?) salaam. yakiwagaribisha?), jakienenda katika bustani yake, ya 
kikata miwa miwili, yakimenya, yakitwaa makopo mawili, yakikamua 
kulla mua ukijaa kopo. akiwagaribisha maji ya mua, wa 
ikuta 9). wakihemidi?) mweny'ezi muungu, khalafu wa 
ashindi hibu$) bustani, akirudi katika makani 
uani na vi ili?) manzili 19). yao. 

nyongoni za!) siku sulfani akamambia waziri wake: tuenende 
tukatembee!”— wakenenda, wakitokea pale katika bustani, na yale sabi- 
ao wakimfika wakimtolea salaamu. 
nviza takirimu !9 kama auwali, khalafu akataka rukhsa, 
shindikiza. wa amma sultani Haruni katika damiri) yake ali" 
ile bustani kumnyanganya yule maskini. wakenda zao | 
ni kwao, 


yake, ni 


mara 


a tatu akamambia waziri wake: wtwe! 


ni pake. wakimtolea salaam, 
waygaribisha, akenda katika bustani yake, a! 
nayo akimenya, yalipokamua ile miwa —h 
cha shani vule mwenyewe hust'aj 


wambia MV -< 
umekuwa” wkik mua “maji, yatoka A 
vi akanena; wileile ya sauwali 
wakamsaili:; wnibi 


Oa, 


125 
.sulfani amebadili!) nia?), ataghusubu? haggid) za maskini.£— na 
yule mwenyi miwa hamjui, kama yule ndio sukani, wala yule wa 
pili yake hamjui, kama ndio waziri. wakimwaga: #muungu akuweke 
kheri, 


w 


aondoka. 
yalipowasili kwake sultani akaleta toba?) kwa mweny'ezi 
muungu wake, akamsamche?) mweny'ezi muungu kwa yale alivo- 


damiria. 

nyongoni?) mwa siku kamwambia?) w. ? atwende tu- 
enda wakitokea pale pa sahibu yao. wakimfika !) 
mkewe aumwa na uzazi. wakatoa salaam, akawa- 
tikia. 11) wafanyizia heshima!?! kama auwali. 

pale katika julusi!?) akijaM) mtu kumpa khabari — ya kama: 
>mzazi mtoto huja, ukarudi, shika mchele!”) uombe muungu.“ aka- 
nena: vbado, kama zuriya!!) yangu hazaliwi, illa kwa saa itafaayo 17).< 
akija!) mtu marra ya pili, akamambia: ,shika unga wa mchele uombe 
muungu;“ akanena: ,bado, hazai.” sukani na waziri wanaufajjabu. 
hatta zilipo mwafigi 9, yadiri alipomwaga, akajifungua salaama?!; y 
salimini mtoto mwanamume. 

yule sultani akamsaili: ,sababu nini marra ya kwanza amekuja 
mtu kukupa khabari — mkeo?!) anataka kuzaa, ukanena ,hazai?“ marra 
ra pili vilevile, illa wagati??) ulitaka weye, nini fasili?9) yake?” aka- 
ibu: ,nimetaka sa'a aliyozaliwa Harun Alrashid, ndio niliyoitaka. na 


hamu) sana, 


126 


Tibisha, akakata mua kama auwali. khalafu akiingia nyumbani, kum- 
amru mkewe kuhimiza chakula; yule mtoto alimwacha barazani. 
sultani akamamru waziri: ,mchukue mtoto.“ wakamchukua, wasipite 
njiani, wakiingia maguguni. 

yalipotoka baba yake — mtoto hayupo, na wale wageni hawapo. 
ikawa kutafuta popote baba yake na mama yake — hawakuona jawabu, 
wakashukuru!). hio ndio khabari ya wale wazazi. 


turejee kwa sultani na waziri na mtoto wao. walipopata mwi- 
tuni, sultani aliamru waziri kumwua mtoto. waziri kamjibu?) sultani: 
kumshika damu yatamu (yatima?)) — haijuzu?).” wakitupa macho, 
wakiona kisima cha asili?). elwaziri akinena: ,tumtie kisimani mtoto, 
hana uponyi.” wakimtupa?) ndani ya kisima, wakashika njia sultani 
na waziri, yao”) yamekwisha. 

wa amma khabari ya yule mtoto: mweny'ezi muungu kambha- 
fithi?), wakamcheleza malaika?), hatta maji ikiwa juu kwa juu. 


mudda wa siku sab'a yuko mtu mmoja mwanamume na mkewe. 
mke ameshitadi 19) kutaka talaga!!); na mume ampenda mkewe, amempa 
uwingi wa mali, mwanamke abadan!?) haridi3), ikiwa muhikama!? 
wao kwa Amiri Muminina Haruni. wamepotea ndia), wakija!$) wa- 
kitokea panapo kisima. 


ghafla!) yule mwanamke kiu imemshika, akamambia mumewe: 
Nataka maji.” mwanamme katafuta!8) kamba zake, ipo ndoo ya asili 
kaifunga!??). alipotia kisimani, yule mtoto kaingia?) katika ndoo; ya- 
lipovuta kamwona?!) mtoto, kamwambia mkewe. mwanamke akashu- 
kuru muungu, akamambia mumewe: ,,nataka radi??) ya muungu, wa 
thamma?) nawe, mume wangu, unisamehe???) kwa haya?) niliyokuuzi”), 
nimpate mtoto huyu nimlee. nami sina d'awa??) nawe, mume wangu, 
wa amma hii ni sababu ya huyu mtoto mweny'ezi muungu kutuleta 
huku.” wakapana radi mke na mumewe, wakachukua mtoto wao, 
wakarejea kwao kulea mtoto wao. 

walipowasili mjini kwao, hekima?) mtoto yule — walikuwa wa- 
toto wa mji wote, wanaotambaa??) na wanaokwendea viwamba??), 


Jar. (Gott) danken. “) akamjibu. 3) ar. Waise. $ ar. erlaubt 
sein. Jj ar. Ursprung. 9) wakamtupa. 7) zu erginzen mambo. Sar. 
beschiitzen. 7) ar. Engel. 9) ar.sich anstrengen. '"Jar. Scheidung. “Dar. 
immer. 2) ar. zufrieden sein. '?) ar. fest. 'S) njia. '$) wakaja. 7) ar. pidtz- 
lich. '?) akatafuta. '?) akaifunga. “) akaingia. 7?!) akamwona. 2?) ar. 
Zufriedenheit. 5?) ar. hierauf. 4) ar. verzeihen. 7?) mambo. 8) ar. krtin- 
ken. “Jjar. Prozess, Klage. ) ar. Weisheit, Verstand. “?) anfangen, 
gehen zu lernen. 9?) sich beim Gehen an Gegenstianden. festhalten. 


127 


1) walio katika mji hutaka kwenda nyumbani kwa yule mtoto, 
wa 'ajabu?). kulla mwenyi mtoto wake kutaka kumzuia — hazu- 
L, huwa analia. wapata vijana mia U khamsin nyumba moja kum- 
ua mwenzi wao, tokea wazazi wakichukiwa hatta yakiwapendeza. 
yule baba yake na mama vyake wastirifu”) ilhali?); ikiwa marra 
ngi chakula cha watoto wale ote juu ya wazee wake yule mtoto, 
waliobagi?) wafanvizia chakula watoto wao. 


hatta ikiwa mtoto wa kuenenda na wenzi wake, akitiwa?) chu- 
na wenzi wake, akapishwa tohara!) na wenzi wake watu mia U 
msin. shauri yao moja. na akitokea mmoja kumkosa mwenzi 
re neno, huenda wakashitaki kwake; huwahokumu wale wenzi 
(e; na baba zao na mama zao wakiwa radi3). wa amma hiyo 
yo?) fe“cli19) ya yule mtoto pamoja na wale wenzi wake. 


hatta walipokuwa wakubwa, wanaweza kushika silaha !1), iko 
vi moja imet'aadi'?) hakim 3) Amiri Muminina. akajeshi4) kwa vita 
> hakim — asidukhulu). akenda marra ya pili akapeleka vita — 
ukhulu. marra ya tatu akaleta khabari kutaka watu waenende kwa 
iri Muminina, wapate kwenda kupiga ule mji uliot'aadi. yule ki- 
1 akamambia baba yake: ,mwambieni Amiri Muminina, asiende ka- 
mji huu kupiga vita, ntakwenda mimi na wenzi wangu watu mia 
hamsin, tutatosha." 


akienenda'!9) yeye na wenzi wake, akaupiga ule mji, akaupata. 
khalafu akaandika barua kupeleka kwa sultani — ya kama: ,mji 
ni tumepata.“ yule sultani akafurahi!?) sana, tenna akata'ajjabu 
1 kwa sababu ule mji ameupiga vita siku nyingi — hakuupata, na 
> mtoto amekwenda — marra moja akaupata. 

yule sultani akamwuliza yule mtoto: ,weye babako!3) nani?“ 
> mtoto akanena: ,baba yangu fulani.“ akapeleka “askari: ,kamwi- 
babake aje.” wakenda wakimchukua; akija?) nao???) pamoja. na 
:'we. sultani akawasaili?!) wale: ,huyu mtoto wenu?“ wale wa- 
ena: ,mtoto wetu.” sultani akanena: ,semeni kweli.” wale wa- 
ena: ,mtoto wetu.” akanena marra ya pili: ,semeni. kweli, kama 
ikunena kweli — ntawaua.“ wakamambia sultani: ,,huyu mtoto 


1) wote. 7) ar. Wunder. 3) weder reich noch arm sein, so dass das Ndthige 
i Lebensunterhalt immer vorhanden ist. 1) ar. Zustand, Wohibefinden. 
ir, tibrig bleiben. 9) akatiwa. 7) ar. Reinheit. $) ar. zufrieden. 7) oder 
ndio. 9) ar. That. ') ar. Waffe. 2?) ar. tiberschreiten. 2) ar. Herr- 
31. 9) zum Krieg riisten. '?) ar. hineingehen, hineintreten. 9) aka- 
ida. 7) ar. sich freuen. 8) baba yako. ?) akaja. 9) na wao. 7) ar. 
en. 


128 


tumemokota katika kisima.“ sultani akajua, kama mtoto huyu — ndio 
niliyomtia kisimani.“ 
akapeleka watu kwa yule sahibu yake, mwenyi bustani, babake 
yule mtoto; akamwita na mkewe. wakija!), akawasaili: ,ninyi ham- 
kupotelewa na kitu?“ wale wakikana, wakinena: ,hatukupotelewa na 
kitu.” akamambia: ,kumbukieni sana!” wale wakasema: ,mtoto wetu 
ametupotea zamani sana, walikuja watu wawili kwetu, wakamchukua 
mtoto wetu.“ sultani akanena: ,ni mimi ndio nilivokuja kwako pa- 
moja na waziri wangu safari?) zote tatu, na huyu mtoto nimemchukua, 
damiri3) yangu — kumwua, kwa sababu ulinena: ,mtoto huyu ameza- 
liwa kwa sa'a aliyozaliwa Harun Alrashidi,“ nikachelea ndani yangu!) — 
labuda mtoto huyu, akiwa mkubwa, atafanyiza fitina?) kwangu. ni- 
kimchukua!), haenda?) hamtia kisimani, wakija$) hawa watu wa- 
wili, mwanamke na mumewe, wakimokota. na sasa mtoto wako 
huyu, weye ndio babaye, uliyomzaa, na huyu ndio babaye, aliyomlea; 
na sasa nyote?) wawili chukueni mtoto wenu.” 
akampa na inchi yule mtoto, akiwa hakim, akahokumu vema; 
na Harun Alraskidi akampenda sana yule mtoto. 


Mw'allim Mbaraka bin Shomari 
aus Kondutschi. ' 


') wakaja. “ar. Reise. 9) ar. Verborgenes, geheimer Wunsch, Ge- 
danke. ") ndani ya roho yangu oder moyoni mwangu. 'J ar. Unruhe, Auf- 
stand, Zwist, Zwietracht. ") nikamchukua. 7) nikaenda. 9) wakaja. 9) ninyi. 


hila!) za waanawake. 


palikuwa mtu katika mji tajiri mkubwa mno wa 'ajabu?), ana 
mali mengi; naye hana mtoto hatta moja. bassi akiomba?) muungu 
kulla siku apate mtoto; muungu akampa mtoto wa kiume, akaona 
imemshukia ne'ema4) kubwa kwa mweny'ezi muungu kushinda yale 
mali aliyo nayo. 

akakaa hatta alipotoka katika aroba'ini?), akafanya karamu?) ku- 
bwa sana, na maulidi?) na ngoma kucheza kwa furaha?). akamlea yule 
mtoto kwa mapenzi makubwa sana, akamfanyia vyombo vya fedda?) 


1) ar. List. ?) ar. Wunder. 3) akaomba. far. Wohithat. 9) d. h. als 
vier mal sieben — 28 Tage um waren. 9) ar. Fest.. ") ar. Geburtsgeschichte 
des Propheten. 9) ar. Freude., “Jj ar. Silber, 


129 


na Zahabu,) na lulu na almasi,” na yaguti?) na feruzi,?) kwa furaha 
nyingi alizomfurahia mtoto wake. na furaha alizo nazo, gadiri afanyalo, 
aona halitoshi. 

vule mtoto akapata miaka sab'a, akamfanyia kumbi”) kwa ngoma 
kubwa, na kulla jambo iliyo?) kufurahisha watu — akamfanyia. kisha 
akamnunulia frasi na matandiko ya zahabu, kwa khatamu'?) za zahabu, 
akamfundisha mwanawe kupanda frasi. kisha akamtia chuoni kusoma, 
akasoma hatta akakhitimu.?) 


akakaa yule mtoto hatta akapata 'omri?) wake miaka kumi na 
minne, akamposea mke kwa tajiri 7) mwenziwe — kama yeye, akamoza 
mke, akashughulika kumtengezea harusi), na kulla neno ambalo!?) 
jema kwa vyombo vya zahabu na lulu, kwa nguo za hariri3) na 
zari 1). 

na desturi ya swaheli hupiga ngoma siku sitta, ya sab'a ndio 
h'arusi kuingia nyumbani. ilipopata siku ya sitta, yule mtoto akavaa 
jambia ?) lake la zahabu na kitara!8) cha zahabu na almasi, akasimama 
mlangoni katika nyumba yao, mlango wa nje; na yule kijana wa 
kiume hajui khabari ya waanawake. 

akapita mwanamke mmoja mzee, “umri wake apata miaka the- 
manin. akauliza yule mzee: ,naona yule kijana anajitengeneza sana — 
ana nini?“ wakamjibu watu waliopo: ,yule kijana ameoa, ataka kui- 
ngia nyumbani kesho.“ akasema yule mzee: ,maskini yule kijana.“ 
yule kijana akasikia yale!?) maneno ya yule!?) mzee anayosema, ya- 
kamwingia moyoni. yule kijana akasema: ,labuda hii harusi ni 
neno baya, chamba'!?) ni njema yule mzee asingalinisikitikia;“ ukamwi- 
ngia waswasi/?) yule kijana. akenda zake pwani yule kijana, akaona 
chombo kinasafiri, akajipakia upesi katika kile chombo kuwakimbia 
wazee wake, kuikimbia na ile h'arusi kwa yale maneno aliyosema 20) 
yule mzee mwanamke. 

akasafiri yule kijana, akenda inchi ningine, akakutana na mtu 
mmoja, alikuwa msimamizi wa baba yake. alipomwona, akamwuliza: 
wewe siwe?!) mtoto wa fulani bin fulani?“ akamwambia: ,ni 
mimi;“ akamwambia: ,masaibu??) gani yaliyokutoa kwenu — ukaja huku, 


') ar, Gold. 7) ar. Diamant. 9) ar.Smaragd. $) ar. Tiirkis. 7) Beschneidung. 
6) besser lililo. 7) ar. Halfter. 9?) ar. siegelo, beendigen. “Jar, Alter, auch “umri 
10) ar. reich, Kaufmann. '!) neben “arusi. '?) veraltetes Relativ. ?)Seide. '$) Bro- 
kat. 5?) Dolch. '$) hindust. Sibel. ') Vorsetzung des pron. ist haufig, 
besonders um etwas nachdriicklich hervorzuheben. 9) chamba — kwamba, 
kama wenn. ?) ar. boser Gedanke. “€) aliyoyasema. 71) si wewe. 7?) ar. 
plur. von msiba Ungliick. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 0 


130 


mtoto, upendaye hivo na utajiri ulio nyumbani mwenu?” akamwam- 
bia: ,mimi baba amenioza mke, amenifanyia harusi, inataka!) kuingia 
nyumbani, nimekwisha jipamba kwa kisua?) na selaha?) zangu za 
mali, ambazo?) ni muthmini?), akapita kizee kimoja cha kike, 'umri 
wake miaka themanin. aliponiona, hali niliyo — akata'ajjabu nilivojipamba, 
akauliza: ,,ana nini yule mtoto aliyejipamba hali ile” akajibiwa: ,,aka- 
pewa h'arusi, yule ataka sasa ingia nvumbani." yule mzee akasema: 
maskini yule mtoto!" hasikia9) mimi yale maneno ya mzee, hafanya 
khofu?) na waswasi, haona labuda hii h'arusi ni neno baya; lingalikuwa 
jema, huyu mzee asingalinisikitikia, bassi. marra ile haterermka?$) pwani, 
haona chombo, hajipakia, hasafiri, hatta haja haangukia katika mji 
huu, bassi.” 

vule mtoto, aliyekuwa msimamizi wa baba yake, akamambia: 
twende nyumbani kwangu ukakae.” akampeleka hatta nyumbani 
kwake, akamwambia mke wake: ,.shuka huko, juu ya ghorfa?), tumpe 
huyu mwingine, wewe njoo chumba cha chini, kwani mgeni huyu ni 
mtu mkubwa sana kwangu; asili!9) ya mali haya, niliyo nayo sasa, nali- 
yapata kwa babaye, bassi nataka kumheschimu sana, nilipe fadili'9.“ 

akashuka mwanamke, akakaa chumba cha chini. bassi yule mwe- 
nyeji!?2) akamwambia yule kijana: ,,panda juu, ukakae kitako, ajaye ku- 
kuamkia umpe gahawa”?) na halwa/?).“ yule kijana akamwambia: 
“mimi sikuja kukupoteza mali yako, mimi nimekuja kwa matembezi 
bassi.” yule mwenyeji, aliyekuwa msimamizi, akafikiri”): ,,nitafanya 
hila gani hatta huyu kijana arudi kwao kwa babaye, na waswasi alio 
nao umtoke?" 

akatafuta mzee wa kike, “umri wake apata miaka tiss'ain, aka- 
mweleza mambo yaliyompata yule mtoto, hatta akakimbia inchi yao na 
wazee wake na harusi yake. bassi yule mwenyeji akamwambia vule 
kikongwe: , fanya hila, hatta ukamtoa huyu mtoto waswasi na khotu, 
hatta akarudi kwao, nitakupa denari elfu.“ yule kizee akamwambia: 
starehe"), ni madogo haya”), usitie khofu, lakini huyu kijana yuko 
wapi“ akamwambia: ,,yuko nyumbani kwangu.“ akamwambia: ,,bassi, 
kesho takuja 9) kwako, lakini wewe usiwepo, nataka nimkute huyu 
mgeni wako pekeyake." 


1) inataka auf harusi beziglich. 7?) ar. Anzug. 39) ar. Waffen. 
$) seltener gebrauchte Relativform. ?Jar. kostbar. 9) nikasikia. “Jjar. 
Furcht. 9?) nikateremka. ?) ar. Stockwerk. '?) ar. Ursprung. '!) ar. Giite. 
3) mwenyi mji. B?)ar. Kaffee. ') ar. siisse Speise. 5) ar. nachdenken. 
6) ar. lass dich nicht storen (sei unbesorgt). 7) zu erganzen mambo. 
13) nitakuja. 


I3I 

hatta ilipopata siku ya pili, yule manamke mzee akenda, akamkuta 
yule kijana mgeni, aliyekimbia h'arusi yake, kamwambia:') ,,we?) 
<ijana, unatoka wapi? sijapata kukuona katika mji huu hatta siku 
moja!" akaona sura?) zake za kitajiri yule kijana. akamjibu yule 
kizee: ,,mimi natoka mji fulani.“ yule kizee akamwambia yule kijana: 
nambie kweli, iliyokuleta mji huu i nini? kama umeleta biashara?) 
ya kuza — nambie mimi, ntakutia watu wangu wanunue; na kama ume- 
leta fedda wataka kununua vitu, mimi ntakuletea vitu utakavo;”) na 
kama umepoteza kitu, nambie mimi, ntakupa khabari zake; na kama 
umekuja kutafuta mganga, nambie mimi, ntakuletea; na kama umedi- 
gika?) na neno, nambie mimi, ntakutengenezea bassi.” 


yule kijana akamwuliza yule mzee: ,ma'ana ya kuniuliza maneno 
yote haya, maana yake i nini?“ vule kizee akamwambia yule kijana: 
vmimi hapa katika mji huu ndimi?) mzee wa asili9), kulla mtu mwe- 
nyi neno lake huja kwangu, hamfanyia?); nami sikuwachi10) — illa 
unambie lililo moyoni mwako, siondoki.“ 


bassi yule kijana akamambia khabari yake yote, akamwambia: 
Mimi ni mtoto wa tajiri mkubwa sana, na baba yangu anipenda sana, 
amenioza mke; hatta siku ya kuingia nyumbani, nimekwisha vaa nguo 
zangu za mali, nimejifunga selaha!!) zangu, nimefanya uzuri wangu, 
akapita mzee mmoja wa kike, kama hivo wewe uzee wako. aliponiona 
hali niliyo — akauliza: ,mtoto yule ana nini, aliyejipamba sana?“ aka- 
ambiwa: ,vyule ni harusi, lco ataingia nyumbani.“ akasema: ,,mas- 
kini! namsikitika kijana yule!“ aliposema maneno yale yule kizee, 
hasikia!?) mwenyewe, hastuka, hafanya khofu ?) nafsi yangu, tenna ha- 
tac'ajjabu ya harusi kuwa neno baya, naye amesema maneno yale. 
bassi — hakimbia, hashuka pwani, chombo hajipakia !9), hashukia mji huu, 
hakutana na huyu msimamizi, twajuana tangu kwetu, alikuwa msima- 
mizi wa baba; aliponiona, akanigaribisha hapa nyumbani pake.“ 

akamwambia: ,ni hilo jawabu yenyi) kukushughulisha — ni 
jambo dogo, hilo juu yangu, nitakuonya!$) milango uingie — utoke.“ 
kisha yule kizee akotoka, akenda kwa mke wa sultani, akamwambia: 
ewe, mke wa sultani, huna khabari, chamba ”) hapa mjini pameingia 
kitu “azizi'?), nawe huna khabari nacho? amekuja kijana mmoja mzuri 


1) akamwambia. “Jj als Anruf fiir wewe meist gebraucht. 79) ar. 
Form, Gestalt. $) ar. Handel. 5) utakavyo. Sar, daig Noth, Enge; 
ka ist passive Endung im Suaheli, digika in Noth, Sorge sein. 7) ndio 
mimi. $) ar. Ursprung. 7) zu erganzen mambo yake oder shughli zake. 
W) sikuachi. '') ar. Waffen. 7?) nikasikia. 5) ar. Furcht. ") nikajipakia, 
15) besser lenyi, '9) neben onyesha. 7) kama. ?) ar, theuer, michtig, stark. 

9 


k 


132 


sana, hapatikani dunyani') mwingine kama huvu.”“ vule mke wa sul- 
tani akamwambia yule kizee: ,umenitia waswasi, utafanyaje hatta uka- 
mta kijana huyu — roho itulie: vule kizee akamwambia mke wa 
sultani: ,starehe. takuletea” huvu kijana hapa nyumbani pako.“ 

akatoka yule kizee hatta kwa yule kijana mgeni, aliyekimbia h'a- 
rusi, akamwambia: ,utasikiza maneno vyangu, nitakayvokwambia, ao 
utanikhalifu?):? vule kijana akamambia vule kizee: ,mimi siwezi ku- 
khalifu, gadri unambialo — ni mwenyi kufuata, hatta ukanambia tu- 
ingie mtoni — taingia').“ 

vule kizee akamambia vule kijana: ,hii khabari yako vote nime- 
kwisha mweleza mke wa sultani, asema ,hana buddi?) nawe shuruti!) 
nikupeleke nyumbani kwake.“ vule kijana akamambia vule kizee: 
vUtanipelekaje nyumbani kwa sultani na 'askari'), wataka hauawe?)j:“ 
yule mzee akamambia yule kijana: ,usifanye khofu, mimi nyumbani 
kwa sultani 1 rukhsa, gadri nifanyalo, sina anizuize, hatta nijapoingia 
sina aniulizaye.“ yule kizee akamambia yule kijana: ,kesho usiondoke 
bapa barazani, mimi nitakuja na sahani kupima halua?) hapa pa mwe- 
nyeji!?) wako; hisha!!) pima, ukaniona nimeshika sahani?) ya halua 
kuchukua, ruka nje unipokee ile sahani uchukue wewe. mwenyeji 
wako akikuzuia — usigubali kabisa kabisa, hatta uchukue wewe ile sahana 
ya halua.“ 


bassi, kwa siku ya pili akaja yule kizee kupima halua. akishas 
pima halua, yule kijana akaruka, akashika ile sahani ya halua kuchu— 
kua, yule mwenyeji wake asigubali, akamambia: ,niata3) nichukue 
mimi mwenyeji, wewe kijana mgeni hujui pahala.“ yule kijana asi— 
gubali, wakagombea ile sahani vule kijana na mwenyeji wake, hattza 
sahani wakaivunja. yule kizee akawambia: ,lipeni sahani yangu mli— 
yovunja, walla halua venu sitoi tenna mapesa.“ akaondoka yule 
mwenyeji, akaingia ndani, akaleta sahani kama ile, akampimia na haluza 
yake iliyomwaika. 

akaondoka yule kijana mgeni, akachukua ile sahani, ili kutimiza 
yale maagano yao, waliyoaganagana na kizee. akatangulia mbele nz 
yule kijana yuko nyuma, hatta wakafika nyumbani kwa sultani; kama 
walivofuatana/), kizee mbele na kijana nyuma, wakingia?) ndani, 
wanataka kupanda juu ghorfani. 

bassi, wale “askari, waliopo mlangoni, wakasema katika moyoni? 


')ar, Welt. 7?) nitakuletea. 9?) ar. ungehorsam sein. “) nitaingia. 
?) ar. Ausweg. f) ar. Bedingung. 7) zu erganzen wako wengi. $) ni- 
kauawe. 7?) ar. siisse Speise. ) Gastfreund. '!) nikisha, 7?) ar. Teller. 
3) niache. 'f) walivyofuatana. ?) wakaingia. 


aa 


133 
bona huyu kizee leo anaingia na mtoto mwanamme? nayo Si 
turi yake, si afadal!) tumzuie asiingie, kwani twachelea sultani 
ufunga na kutupiga.“ kiisha wakaona kheri — wamwache, ajipitie 
se apendezavvo?), asije akatutongea?) kwa sultani, tukaja tukapata 
ibu?) ya burre, bassi. 

wakamwachia, akaingia kizee pamoja na yule mtoto, hatta alifika 
a huvu bibi wa sultani. akenda akakaa pahala penvyi viatu kama 
vana, na wale vijakazi na bagi?j; ya vitwana vilivyo mle nyum- 
ui, wakamthannia?) ni kitwana Gorjia?) wa sultani, analeta halua 
bibi yake. 

na yule mke wa sultani alipomwona yule kijana — akapotea na 
ili, akampenda mno wa 'ajabu?) kwa uzuri muungu aliompa yule 
na — kwa uso mdawwari?), kwa shingo ya mwanzi, kwa macho 
kikombe, pua va upanga, mikono va pino1), mwili umeviringana, 
meno ya pembe. 

bassi, yule mke wa sultani akamwambia kizee: ,mchukue huyu 
ina sasa, hatta ukisikia muezzini!!) akiazzini — njoo nave bassi.“ 

yule kizee akashuka pamoja na yule kijana. bassi mke wa sul- 
1 akajitengeneza mwili wake kwa kujisinga na kufanya uzuri na 
aa nguo nzuri na manukato mazuri, ili kumfurahisha vule ki- 
a mgeni. 

hatta ilipofika wagati?) wa kusali!3), yule kizee akampitia yule 
na, akamwambia: ,haya, twende zetu!” yule kijana akamfuata 
€ hatta kwa mke wa sultani, bassi. yule mke wa sultani akam- 
bia yule kijana: ,ingia humo — ukajifiche ukangoje.“ 

marra akaja yule sultani. alipomwona mkewe, akathanni ,huo 
iri afanyao mke wangu leo — anifanyia mimi;“ akenda kusali. ali- 
ali isha), sultani akenda barazani, asiweke barza) leo kwa 
ugu!$) ya mkewe; hatta watu, waliopo barazani, wakata'ajjabu ,sul- 
iana nini leo?“ 

hatta kuingia kwake ndani yule sultani, kufika mlangoni, aka- 
ona yule mkewe ameshika moyo, apiga kelele sana, akalia: ,,nina- 
a mimi leo!“ vule sultani akasema moyoni mwake: yana nini leo 


U) ar. besser. 7") neben utakavyo wie du willst, upendavyo wie du 
ebst, sei so gut. 7) verliumden. 1) ar. Strafe; die Suaheli gebrauchen 
hg adabu Anstand 1m Sinne von Strafe, kupata adabu jd. Anstand bei- 
'gen, ibn bestrafen. “Jj ar. Rest. “jar. glauben. 7) weisser Sklave aus 
rgien. "j) ar. Wunder. "jar.rund. 9) weiss wie das pino-Holz. '!) ar. 
etausrufer. "“Jar. Zeit. ?)ar.beten. Mar. Abendgebet beten. 2) in 
Bedeutung von Gerichtssitzung. '$) ar. Verlangen, Lust. 


134 


mwanamke huyu, mke wangu” leo amejipampa, na mimi nimevunja 
baraza mapema gasidi!) kuja kuanisi?) kwake, na sasa mambo ni 
haya?” bassi kamwuliza?) mke wake: ,una nini, mke wangu?” aka- 
mwambia: ,moyo wangu unaniuma.“ akamwuliza: ,tangu lini moyo 
huu unakuuma?”" akamwambia: ,tangu ujana wangu.“ akamwuliza:. 
”Zamani unapokuuma unafanyia dawa gani?” yule mwanamke aka- 
mambia mumewe: ykama moyo wangu unaniuma, lazima nitulie 
nisiseme neno.” sultani akamambia: ,vema, mke wangu, ntatoka 
ukae pekeyako, kesho inshallah umekwisha pona.“ mkewe akamambia: 
"kwa heri, mume wangu, kesho inshallah, nimekwisha ona vema 
moyo wangu.” sultani akatoka, naye mwanamke akenda kwa yule 
kijana kuzungumza naye. 

hatta asubuhi kulipokucha, akaja yule kizee kumchukua yule 
kijana, akaja akamtoa akampeleka hatta nyumbani kwa yule mwenyeji 
wake, akamambia: ,kaa, na mimi ntakuja kesho kukutazama.“ aka- 
mambia yule kizee: ,ngoja, kwanza nikueleze khabari, alizofanya yule 
mke wa sultani.“ yule kizec akakaa kitako, yule kijana akamweleza 
vitembef) na hila?) zote, alizofanya9) yule mke wa sultani. 

alipokwisha mweleza, yule kizee akamambia yule kijana: ytuli— 
zana”), utaona mambo mangine; nawe kwa heri, nakwenda zangu — 
kesho ntakuja.” akenda zake yule kizee kwa mke wa waziri, aka— 
mweleza mambo yote, aliyofanya$) mke wa sultani, akamsifia na yule— 
kijana hali aliyo mzuri. na mke wa waziri akaingia ni shaugu?) ku — 
pita mke wa sultani. akamambia yule kizee: ,,mlete kwangu huy. 1 
kijana nimwone." 

bassi yule kizee kwa siku ya pili akenda kwa yule mtoto, asifik.< 
nyumbani, akasimama kwa mbali, akamkwiza 9) kwa mbali. yule km- 
jana yupo barazani. alipopeleka macho, akaona yule kizee anamwitezd3. 
yule kijana akaruka marra, akenda akaonana na yule kizee. akaman—3- 
bia: ,kesho ntakuja kukutwaa jioni, mke wa waziri anakuita.“ 

bassi kwa siku ya pili kaja?!) yule kizee, akaja akamchuku—aa 
akenda naye hatta nyumbani kwa mke wa waziri, akampandisha juu 
ghorfani. na yule mke wa waziri tangu mchana anajitengeneza nafsi 7—7) 
yake, na kutengeneza chumba chake, kama vile mke wa sultani. bas ), 
akamtwaa yule kijana, akamficha ghorfa ya pili. 

bassi yule waziri alipoona, mkewe anajitengeneza, akafurahi sa 4 
akasema: ,mke wangu ajitengeza kwa mimi!” hana khabari — mkew—V€ 


') ar. Absicht. 7) ar. jd. familiir behandeln. 7?) akamwuliza, f) Schliche, 
"Jar. List. 9) alizozifanya. 7) beruhige dich nur. 7") aliyoyafanya. 9) ar 
Verlangen. '?) zuwinken, ein Zecichen gcben. '"Jakaja. ?) ar. Seele. 


135 


vuna!) mambo mangine — yake mwenyewe, ayatakayo?) kuyafanyiza. 
bassi yule waziri alipokwisha kunywa gahawa?) kwa sultani, marra na 
kumwaga sultani wake, akenda zake nyumbani kwake. 


bassi yule sultani akatafakari?): ,huyu waziri wangu ana nini? 
leo ameondoa desturi; na kulla siku, barza?) ikisha vunjika, hukaa 
mimi naye tukazungumza kwa faragha?), leo hakuwaje? ana nini?“ 
vule sultani akatoa mtu akamambia: ,mfuate ukamtazame.“ akamfuata, 
akamwona yule waziri ameingia nyumbani mwake. akarudi yule 
mjumbe wa sultani, akamjibu sultani, akamambia: ,sikuona kuingia 
mahala pengine illa nyumbani mwake, na mlango wa nyumba yake 
umekwisha fungwa.” 


bassi yule waziri kufika nyumbani kwake, akasikia mkewe apiga 
kelele, ameshika na kidole cha mkono, analia kwa kelele. bassi yule 
waziri akasema: ,mke wangu ana nini? mchana kutwa akajitengeza, 
na kupamba nyumba, na mimi nimevunja baraza magsudi'”) kustarehe?), 
na sasa mwanamke hawezi.” akamuliza: ,mke wangu, una nini?“ 
akamambia: ,siwezi, chanda cha mkono chaniuma;“ analia sana, na 
chanda amekishika mkononi. 


yule waziri akamuliza: ,tangu lini chanda hiki chakuuma?“ aka- 
mambia: ,tangu zamani udogo wangu, lakini hunijia baada ya miaka 
miwili — huja marra moja.“ na yule mwanamke anapiga kelele, ana- 
sema: ,kanitieni wazee wangu, nakufa mimi leo.“ akamuliza: ,bassi, 
dawa yake 1 nini?” akamambia: ,lazima damu itoke.“ akashika kisu, 
akajikata kidole, damu ikatoka nyingi. akamambia mumewe: ,tafaddali 
niache nilale pekeyangu, afadali takwenda?) ghorfa ya pili nikapum- 
zike.“ akamambia: ,nenda, mke wangu, kapumzike.“ akatoka yule 
manamke, akenda ghorfani ya pili kwa yule kijana. 


hatta kulipokucha, akaja yule kizee, akamchukua yule kijana, 
akenda naye hatta kwa mwenyeji wake. kisha yule kijana akamam- 
bia yule kizee: ,kaa, nikueleze mambo ya mke wa waziri yalivo!0) ma- 
kubwa.” yule kizee akakaa kitako, akamweleza. 

alipoktvisha mweleza akamambia: ,sasa mimi ntasafiri, mji huu 
sitaweza kukaa ulivo!!) na mambo makubwa.“ yule kizee akamambia 
yule kijana: ,wewe wataka kusafiri upesi, bado mimi sijakupeleka kwa 
mke wa gadi?)? leo ntakwenda kumuliza mke wa gadi, na kesho 
ntakuja kukuchukua.“ 


') veraltete Form fir ana. 7?) oder anayoyataka. 9) ar. Kaffee. 
Y ar. nachdenken. ?)baraza. Sjar. Musse. 'Jar. Absicht. 35) ar. sich aus- 
ruhen. 9?) nitakwenda. "yalivyo. "Jjulivyo. “Jar. (geistliche) Richter. 


136 


bassi yule kizee akenda kwa mke wa gadi, akamweleza mambo, 
waliyofanyiza mke wa sultani na mke wa waziri, akamsifia na uzuri 
wa yule kijana alio nao. yule mke wa gadi akamambia yule kizee: 
ntafaddali, ukaniletec kijana mgeni huyu, haja!) hamonyesha?) mambo 
yote wafanyayo.“ yule kizee akamambia yule mke wa gadi: lini?) 
wataka nimlete huyu kijana?“ akamambia: ,mlete siku ya jum'a saa 
ya tissa za mtanaf).“ 


vule kizee akatoka akenda zake, akenda akampa khabari vule ki- 
jana. na yule mke wa gadi akatoa watu wawili, watumwa wake, 
akawambia: ,nendeni Kiungani?), ndani ya nyumba yangu mkachimbe 
shimo ambalo?) ni pana, mtu husimama kwa nafasi?) na kwa kulla 
kwa nafasi liwe na wasa'a?), walla msimambie mtu, walla wagati?) wa 
kuchimba msionekone ni!9) mtu. na mkisha chimba hilo shimo, 
shurti liwe pembeni!!!) ya nyumba kwa ndani. kisha?!?2) hilo shimo mli- 
funike kwa busati”) na mazulia), mtu yo yote!) asitambue shamba 
hapa pana shimo.“ 


bassi wale watwana wakenda, wakafanya kama walivoamurwa 
ni1$) bibi yao. kisha yule mke wa gadi akamambia yule kizee: ,huyu 
kijana kamtwac!?) siku ya jum'a, ukamweke nje ya mji njia va Kiun- 
gani, mimi ntapita na gari, ntamchukua."“ 


yule mke wa gadi akamambia mumewe: ,,mume wangu, mimi 
kesho napenda kwenda Kiungani kwenda kutembea, na mimi ntaon- 
doka saa ya tissa; na wewe, ikisha vunjika barza 3) ya sultani, panda 
baghla 9) wako, saa ya kumi uje, unifuatie Kiungani.“ akamambia > 
"vema, mke wangu, wewe tangulia sa'a ya tissa, na mimi ntakuja saa 
ya kumi.“ 


bassi ilipofika sa'a ya tiss'a, yule mke wa gadi akapanda gari, 
akatoka. akapita njiani, akamkuta yule kijana amevaa kisibao chekundu, 
akafungua gari, akampandisha yule mtoto, wakenda zao hatta Kiun- 
gani. na yule mchunga wa gari hakumona yule kijana, alipopandish- 
wa Juu ya gari. 


walipofika Kiungani, akashuka juu ya gari yule mtoto, akamficha 


1) nikaja. 7?) nikamonyesha. 9) besser ware wataka nimlete lini. 
1) mchana. 9?) Vorort von Zanzibar. “$jalte Relativform. “Jar. Raum. $?) ar. 
Freiheit. “Jar. Zeit. 9) na. '!) pembe hat auch die Bedeutung Ecke, pembe ya 
njia Strassenecke, pembeni in der Ecke; hier besser pembeni mwa. ?) ikiisha. 
3) ar, Matte spec. Moscheematten. '#) ar. Decke, Teppich. 5) mtu wo 
wote. '$) yon und durch beim Passiv im N. (Tanga, Pangani) mecist ni 
fur na. 7) ukamtwae. 3) baraza. 9?) Maulthier. 


137 


ndani ya shela!), akashuka naye, asionckane hatta ni?) mtu mmoja. 
akamtia ndani, akamweka ukumbini”), akamambia: ,kaa kitako.“ 

kisha yule mwanamke wa gadi akawambia watumwa wote wa- 
liopo: ,pale Kiungani wake kwa waume kulla mtu na ashike njia 
ende) zake, mjapokwitwa — msije; na wewe mchunga gari kasimame 
njia kuu, bassi.” 

ilipopata sa'a ya kumi, amwona mumewe anakuja, amepanda 
baghla wake, anakuja mbio. marra akamtwaa vule kijana, akafunua 
zulia, akamtia shimoni. kisha yule gadi akapiga kelele kutaka mtu, 
aje amshike yule baghla, ashuke, asipate hatta mtu mmoja. kusha yule 
mwanamke akamambia mumewe: ,shuka mwenyewe, hapa hapana 
mtu.” akashuka yule gadi, akamfunga mwenyewe baghla wake pana- 
po kinguzo cha nyumba. 

wakakaa juu ya kibaraza wanapumzika. na katika kiunga kile 
mbele yao imo mitende imezaa sana. bassi, yule mwanamke akamam- 
bia mumewe: ,bwana, natam'ani?) zile tende, nani ataniangulia?“ 
yule mume akamambia: ,shamba hapana mtu, mimi ntakuangulia."“ 

akaondoka vule gadi akapanda juu ya mtende. yule mwanamke 
akaingia sebuleni, akafungua madirisha yote. kiisha yule mwanamke 
"kamtoa yule kijana ndani ya shimo, akamambia: ,hava njoo.“ vule 
“Ajana akaja, akakaa naye pamoja. 

yule gadi juu ya mtende akamwona mkewe na yule kijana, aka- 
RAambia mkewe: ,mke wangu, unafanya nini?“ akamambia: ,sifanyi 
€no.“ akamambia: ,naona kijana kimoja ana kisibao chekundu nawe 
'amoja.“ akamambia: ,hasha$) ya kumbe?) mtu huvu! na hapa ni 
Ulimi na wewe.” 

yule gadi akashuka juu ya mtende; yule mwanamke marra 
akamtwaa yule kijana, akamtia ndani va shimo. wvule gadi akaingia 
Ukumbini, akatazama — haoni mtu. 

kisha vule mwanamke akamambia mumewe: ,huwachi upuzi 
na waswasa?)? mimi nataka hizo tende leo kaniangulic!“ vule gadi 
akapanda tenna katika mtende, akaona vivile?) yule kijana na kisibao 
chekundu. akashuka tenna gadi, akamambia: ,ginsi gani mwanamke 
wewe unanidanganya: mbona, nalipopanda marra ya pili, nimeona 


1) grosser schwarzer Schleier. ”) na. 3) der vordere und hintere, an der 
Vorder- und Hinterthiire gelegenc, nicht geschlossene Raum in den Sua- 
zeli-Hausern heisst ukumbi, ukumbini. In Inder- und Araber-Hausern 
verden die im inneren Hofraum befindlichen Vceranden so benannt. 
) aende. ar. Verlangen haben. SJ) ar. es sei fern von, meist hasha lillah 
zesagt ,,Gott behiite.“ 7) Ausruf der Verwunderung ,.das ist nicht so.“ 
bar. boser Gedanke. ? oder vilevile. 


138 


umekaa pamoja na huyu kijana kama kwanza?“ na yule mwanamke 
amekwisha mficha yule kijana, akamambia: ,?we, mume wangu, hu- 
wachi waswasi ulio nao? hapana mtu — ao tazama.“ akatazama yule 
manamme — haoni mtu. kisha yule mwanamke akamambia mumewe: 
vkaa kitako hapa ukumkini, mimi ntapanda juu ya mtende.“ 

bassi yule gadi akakaa kitako, hatta alipokwisha panda yule mwa- 
namke juu ya mtende, akamambia mumewe: ,wajua? na mimi na- 
kuona kama ulivoniona; jinsi gani?“ akamambia: ,naona huyu mtoto, 
aliyevaa kisibao chekundu, anakaa nawe pamoja.“ akamambia: sasa 
shuka, mke wangu, juu ya huu mtende.“ 


yule mwanamke akashuka, akaja ukumbini akasema: ,mbona 
sioni mtu?” gadi akamambia mkewe: ,khabari hii ni kubwa sana, 
labda nyumba hii ina jini!), kulla apandaye juu ya mtende huona mru- 
jiza?) hu.“ akamambia mkewe: ,ngoja, marra hii nipande nitazame, 
nipate sadigia”) moyo wangu.” 

bassi gadi akapanda juu ya ule mtende. alipopanda, yule mwa- 
namke akamtoa yule kijana ndani ya shimo, akamambia: ,haya, toka 
shimoni mwako, njoo kwangu.“ yule gadi akapeleka macho, naye 
yuko juu ya mtende, akaona vivile kama kwanza ameona mkewe 
pamoja na yule kijana mwenyi kisibao chekundu. 


bassi yule gadi akatoka shakkaf), akajua — kweli nyumba hii 
ina jini. akashuka juu ya ule mtende na kikapo cha tende, akaja 
akala na mkewe. kiisha yule gadi akapanda baghla wake, akenda 
zake, akaagana na mkewe. gadi akatangulia, na yule mwanamke ba' ada 
ya sa'a moja akaondoka, akaja zake mjini. 


alipokuja hatta njiani, pale alipomtwaa yule kijana, akaja akam- 
weka papale, akamgabidi?) yule kizee amana$) yake; kizee kikatukua) 
amana yake. na yule kizee akamtwaa yule kijana, akampeleka kwao 
kwa vule mwenyeji wake; na yule mwanamke akenda nyumbani 
kwake. 


yule kijana na yule kizee, walipofika nyumbani kwao, yule ki- 
jana akamambia yule kizee: ,kaa kitako, nikueleze khabari ya mke wa 
gadi.“ yule kizee akakaa kitako, akameleza jamre?) ya khabari tangu 
mwanzo hatta mwisho. 

kesha?) yule kijana akaingia ndani, akatoa denari elfu, akampi 
yule kizee bakhshishi!0) yake, akamambia: ,twaa bakhshishi yako kwa 


1) boser Geist. ”) ar. Wunder. 3) ar. glauben. 1 ar. Zweifel. Jar. 
ubergeben. “ar. Sicherheit, Pfand. ') chukua. "Jar. all. 9) ikiisha 
10) ar. Belohnung. 


139 


Mambo uliyonifanyia na uliyonionyesha.“ yule kijana akamwaga yule 
kizee, akamambia: ,,kwa heri, kesho ntasafiri kwenda kwetu.” yule 
kizee akamambia yule kijana: ,,hutaki tenna kukaa, nikakuonye mambo 
kushinda haya?" akamambia: ,,nipenda!) kukaa, lakini siwezi tenna 
kukaa kwa mambo naliyoyaona — yanitosha, kheri nende zangu, walla 
hatuna tenna mimi nawe maneno na hivi, kwa heri, nenda zangu. 

kisha yule kijana akamwaga mwenyeji wake, yule aliyefikia kwa- 
ke, aliyekuwa msimamizi wa baba yake, akamambia: ,,mimi kesho 
ntanauli?) merkeb, nataka kusafiri kwenda kwa babangu.“ akamambia: 
vema, nisalimie wazte wako sana.“ bassi yule kijana akanauli mer- 
kebu, akajipakia, marra akasafiri akenda kwao. 

kisha safiri, yule kizee akaja kwa yule mwenyeji wa yule kijana, 
aliyekwenda mtafuta kizee marra ya kwanza, akamambia: ,,kwangu 
kimekuja kijana mzuri, amekimbia kwao, amemkimbia baba yake na 
harusi yake, bassi nikakwambia, ufanye tartibu na hikma?) hatta 
kijana arudi kwao, kwani kijana ni mtu wa sahibu) yangu, nime- 
kula fadili?) yao; ukanambia ,.tayyari9), lakini utanipani”)?" nikasema: 
stakupa?) dinari elfu.“ kizee akamambia: ,,haya, kazi yangu imekwi- 
sha, kijana amekwisha safiri, nataka haggi?) yangu twalivoagana." 
vule mwenyeji akaingia nyumbani, akenda akatwaa dinari elfu, akampa. 
vule kizee akamambia vule mwenyeji: ,,wajua? na yule .kijana amenipa 
kama hivo ulivonipa — denari clfu.“ 

yule kijana kufika kwao — mji ukapiga mshindo mkubwa sana wa 
furaha ya vule kijana, sababu babaye, alipopotea mwanawe, naye ha- 
mjui alipokwenda, akaweka matanga na msiba), bassi usuli!) wake 
mtoto!?) babaye mtoto akatoa mali mangi kwa furaha, akatasaddag ?) 
tugaraye) na maskini. 

bassi yule babaye mtu siku moja akamambia mtoto wake: .,wa- 
taka kuingia nyumbani kwako, tukutengezee "arusi yako?” yule kijana 
akamjibu babaye, akamambia: ,,chamba?) wataka ningie!$) nyumbani, 
shurti ukanijengee Maziwe!?), nikae pekeyangu, sitaki kukaa na watu.” 
bassi yule babaye marra akapeleka watu Maziwe, wakenda wakajenga 
nyumba ya bao kamba!?) na tanaki?) mudda wa mwezi mmoja. 


1) napenda. 09?) griech. Fracht; im suah. Fahrgeld, hier im 
Sinne von miethen. 3) ar. Weisheit. 1 ar. Freund. 9?) ar. Wohi- 
that. 9) pers. bereit. ') utanipa nini. $) nitakupa. 7?) ar. Recht, recht- 
liche Forderung. '?) ar. Ungliick, Trauer. Jjar. Ankunft. 7?) usuli 


wake wa mtoto.. ?) ar. Almosen geben. '$ fugara yake — ar. arm, 
bediirftig. ?) kama. '$) niingie. 7) eine kleine unbewohnte Insel vor 
Pangani; der Erzahler ist aus Pangani. '?) Dachsparren. “) Messing- 


platten. 


go 


kisha yule kijana anaiandika ile khabari yote, aliyoiona kwa mke 
wa sultani na waziri na mke wa gadi; kulla neno, vissa!) vvote ali- 
vofanyiza?) akaviandika katika gartasi3). 

bassi nyumba anayomjengea babake kule kisiwani imekwisha, 
ikatiwa sa'famani?) kwa vitanda vya mafadini?) na viti vya mazwafri, 
kwa meza zurizuri, kwa vyoo vikubwa, kwa matandiko ya fakhsi$), 
mazulia rumea?). akamfanyia na karamu kubwa sana, watu wote 
mjini wakala karamu hiyo. akapelekewa mkewe, akaingia nyumbani, 
akamfanyia na fungate) siku sab'a, kulla siku huenenda watu wen- 
gine, gabila?) ningineningine, kenda kula vyakula. 

kisha yule kijana akamambia babaye: ,,nyumbani kwangu sitaki 
mtumwa, mke walla mume, nataka nikae mimi na mke wangu bassi, 
hatta chakula nipikiani kuko huko kwenu, mniletce tayyari.”“ babake 
akamambia: ,,tayyari.” bassi yule babaye akamambia mtwana mmoja: 
wewe ndiwe amini!0) kwangu, kaa tayyari, ata!!) na shughli zako zote, 
usiwe na kazi illa kupeleka chakula kwa bwana wako kisiwani.” yule 
mtwana akamambia: ,tayyari, bwana.” 

bassi yule babaye akafanya mashua!2), akikaa tayyari asubuhi 
humpikia chayi!?) kwa namna?) ya vyakula, na sa“a ya tatu akampelekea 
matunda anwai!?) zote, na athuhuri!9) wali, na afasiri!?) akampelekea 
sharbati!$) namna zote. na ba'ada cssalati!?) clmaghribi20) akampelekea 
sinia?!) ya maandazi ambavo?) ya vyakula usiku. 

bassi yule kijana haoni mtu mwingine ila yeye na mumewe. 
hatta ilipopata miezi mitatu, yule kijana mwanamke akamwaga mu- 
mewe, akamambia: ,nataka rukhsa??) kwenda kutazama wazee wangu, 
siku zimekuwa nyingi.“ bassi yule mwanamke kulla akimwaga mu- 
mewe kutaka rukhsa, yule mumewe humjibu: ,mimi nimekwisha an- 
dika zamani.“ na yule kijana manamme zile gartasi alizoandika??) vile 
vissa vya mke wa sultani na mke wa waziri na mke wa gadi — gartisi 
zile zote amezificha chini ya kitanda. 


') von gissa Sache ar. ist plur. vissa gebildet. 7) alivyovifanyiza. 
3) ar. Papicr. ') gudz. Hausgeridth, Mdbel. Sar. Mine, hier Metal. 
6) Polster., ') ar. ostromisch-byzantinisch. 9) werden die 7 ersten 
Tage nach der Hochzeit, wahrend welcher der Briautigam das Haus 
nicht vcrlasst, genannt. In viclen Bantudialekten heisst fungate noch 
sichben, z. B. kissukuma : pungiti, kihehe : mufingate etc, Jar 
Stamm. '?) ar. treu, zuverissig. ') acha. 7?) hindust. Boot; mashua 
ist die Bezeichnung fiir curopiisches Boot. 5) chin. Thee. ) ar. Art. 
15) ar, Sorte. “Jar. Mittag. “ar. Nachmittag. "ar. Getrink. '?j ar. 
Gebet. 9) ar. Sonnenuntergang. “') ar. grossc Metallschtiissel. 7?) alte Relatir- 
form. Bar. Erlaubniss, “)alizoziandika. 


IA4I 


hatta siku moja yule manamme aingia mashuani, akenda mjini 
Umtazama babaye. yule kijana mwanamke anatandika kitanda, aka- 
anua tini!) ya kitanda, ukaona zile gartasi, akazisoma, akaona vale 
zaneno yote, aliyoandika?) ya vissa vya yule mke wa sultani na mke 
ra waziri na mke wa gadi. yule kijana manamke ndipo katambua)3) 
huyu mume wangu, ndio maana — kulla humwaga nataka kwenda 
wetu kutazama wazee wangu — akanikataza, ndio maana yake, lakini 
ema, haiduru1), dawa yake naijua mimi. 

na yule mume kulla siku henda?) mjini asubuhi. siku moja akenda 
ike, yule kijana mwanamke ashughulia$) dirishani”), akaona ngalawa, ndani 
ake mna mvuvi anavua. na yule mvuvi ile ngalawa yake ameiweka chini 
a nyumba kabisa, anajiziba jibaridi la bahari. na huku anainua uso wake, 
natazama juu ya nyumba, anatazama yule mwanamke kidogo kidogo 
wa khofu. hatta kisha yule mwanamke akamuliza yule mvuvi: ,una- 
zama nini huku juu ya nyumba? unataka nini?“ yule mvuvi akam- 
mbia: ,analo tazamalo, lakini naogopa, sithubutu3) kusema.“ akam- 
mbia: ,sema, utanipiga mzinga”).“ akamambia: ,nataka kuonana na 
vewe, U tafaddali ukanipe rukhsa nikaja huko juu.“ akamambia: 
huna haya? ata!) neno khanithi!!) wewe, walla hutaki kuja juu 
liasi12) ya kuningilipo 'agili mimi.“ bassi yule mvuvi akamambia yule 
nwanamke: ,chamba!?) wataka, ujue, chamba ni kile nifanyeje ni 
uka, na nyumba yako imetiwa gufuli#) kwa nje. akamambia: ,chamba 
inataka kuja huko juu kusema na mimi, bassi kanivulie udanga!?) 
We mzima usiwe umekufa, uniletee, bassi hapo utanipata kusema 
lami,” bassi vule mvuvi akamambia: ,,hayo!$) ni madogo, kesho 
wagati kama huu udanga utakuwasilia.“ na yule kijana akamambia: 
Uletapo udanga nilioutaka, nawe utapata ulitakalo!”).<“ bassi mvuvi 
ikenda zake kutafuta udanga ulio mzima. 

bassi yule mume wa kijana akarudi mjini, yule mkewe akamam- 
Ja: ,mume wangu, kesho wendapo mjini ninunulie tikiti3) uniletee.” 
ikamambia: vema." 

hatta kwa siku ya pili manamme akenda zake mjini kama dasturi !?) 
'ake, henda?) asubuhi hatta saa nne hurudi nyumbani kwake. bassi 
'Ule mume alipokwenda zake mjini, yule mvuvi akarejea na ule uda- 


') chini. 7) aliyoyaandika. 7?) akatambua. $) es schadet nichts. 
)huenda. #Sjar. sich beschiftigen. ') ar. Fenster. $) ar. fest, muthig 
ain, 9) ,du feuerst mir cine Kanone ab"— und ich weiss nicht warum, 
li, du machst mich neugierig. “Jjacha. ') ar. verderblich, schlecht er- 
wgen. ?jar. Maass. 53)kama. 1) ar. Schloss. ?) essbare Krabbenart. 
$| zu erganzen mambo. '7) zu erginzen neno. 3) Wassermelone. ?) neben 
lesturi. 9) huenda. 


142 


nga kimu, akampa yule kijana mzima, akamambia: ,fungua mlango. 
nipite na hili danga.“ akamambia: ,mume wangu endapo mjini 
ufunguo hutukua!), lakini takushushia?) jikapo uwatie hawa danga, 
na wewe kesho wagati kama huu njoo utakuja pewa haja yako." 


akarejea mume wake, amechukua na lile tikiti alilotaka mkewe. 
kisha yule mwanamke akalitwaa lile tikiti, akalitoa vitu vilivyo ndani 
va tikiti; kisha akalitia lile danga lote ndani ya tikiti, akaliziba kama 
kwanza, mtu hatambui, akaliweka hatta alasiri). 

alippamka mumewe usingizini, akalitwaa lile tikiti, akalikataw 
mbele ya mumewe. alipolikata likatoka lile danga ndani ya tikiti. 
yule mwanamume akata'ajjabu ya danga kutoka ndani ya tikiti, aka 
mambia mkewe: ,lizoe) hilo danga, uliwache, uliweke hatta jion 
akija mtu kuleta chakula — tutampa apeleke mjini likapikwe.“ yule mwaz- 
namke akasema: ,vema.“ akalitwaa lile danga, akachukua hatta katias 
shimo la choo, akalitia. yule mumewe akamuliza: ,umekwisha liw € 
ka?” akamambia: nimekwisha.“ 


wakakaa hatta maghribi?), akaja yule mtwana, aletaye chakula, 
yule mwanamme akamambia mkewe: ,kalitwae?) lile danga ndani ya 
tikiti, tuje tumpe huyu mtwana alipeleke mjini likapikwe.“ yule mwa- 
namke akamjibu mumewe: ,?we, mume wangu, una wazimu? kuna 
danga kutoka ndani ya tikiti? umeona wapir“ yule mwanamme aka- 
piga mkewe. na yule mtwana yote yale maneno yao na d'awa?) zao 
anasikia yote. 


vule mtwana akarudi mjini, akenda akawambia wazee wao, aka- 
wambia: ,yule bwana umeingia wazimu.” jinsi gani?“ akawambia: 
anampiga mkewe, kwa sababu anataka danga, litokalo ndani ya tikiti; 
yule mwanamke kulla$) akamambia: ,,dunyani hapana danga, litokalo 
ndani ya tikiti,“ bassi — kulla akamambia huzidi kumpiga." 


bassi wale wazee waliposikia kama yale?), wakenda wakamwona 
ni kile 10) — humpiga mkewe burre. wakamtwaa yule kijana mwanamme, 
wakamfunga pingu na mti katti!!), wakamambia mkewe: , usimwache 
mtu akaingia nyumbani, mwache kizani, kwani ndio dawa ya wazimu; 
akisha ona vema, tuletee mtu tuje tumtazame.” bassi yule kijana mwa 


Uchukua. 9“) nitakushushia. 3) ar. Nachmittag. “) zusammen- 
lassen. 9) ar. Sonnenuntergang. $) ukalitwae. 7) ar. Klage, Prozess, Streit. 
8) zu erganzen marra. ") zu crganzen maneno. 1) zu erginzen kitu. 
11) namlich zu erginzen ya miguu, cinen Pfosten zwischen den Beinen. 
Die Fiusse werden so gefesselt, dass der Gefangenc sich nur um den 
Pfosten bewegen kann. 


. 


143 
namke akafunga mlango na madirisha, na watu wote wakenda zao, 
akabagi yeye na mumewe pale kisiwani. 

hatta kwa siku ya pili akaja yule mvuvi na kingalawa chake 
tarmbu hatta chini ya nyumba. mwanamke alipomwona yule mvuvi, 
| akamambia: ,pita.”“ yule mvuvi akapita juu ya ghorfa. 
alipofika, mwanamke akatandika kitanda ukumbini, ule mlango 
wa chumba hichi!), mumewe alikofungwa, akaufungua, akawacha wazi. 
akamambia yule mvuvi: ,haya, njoo kwangu, huyu mume wangu 
aone.” akakaa kitako kwake, na mume anaona, akapiga kelele — hali 
Ile siku sab'a. hatta kisha siku ya sab'a mwanamke akamambia mu- 
mewe: ,haya yameandikwa katika gartasi zako.“ 
bassi yule mume akamambia mkewe: ,nimetubu?), na sasa cnenda 
utakapo — rukhsa, na hapa kiswani?) siyataki1) tenna, na tuhame twende 
zetu mjini; na tukifika mjini — rukhsa, utakalofanya ni radi?), vanitosha 
haya$).“ 
bassi yule mwanamke akatuma mtu mjini kwita wazee wake; 
wakaja. walipofika wale wazee kisiwani, yule mzee wa mume akam- 
uliza yule mwanamke: ,khabari ya huku kisiwani?“ akawambia: 
"jema, nimeweta?), mume wangu amepoa.“ ,alhamdu lillahi rabb il'aa- 
lamina3).” wakamfungulia katika kifungo chake. 
alipokwisha funguliwa, yule kijana akenda akatwaa magartasi 
yake, yale aliyoandika?) kwa ujinnini10) — ya gissa cha mke wa sultani, 
na mke wa waziri, na mke wa gadi, akawasha kibiriti!!), akashika na 
yale magartasi yake mkononi, akasema: ,elfu leila u leila?) hawakuweza 
kuandika mambo ya waanawake, mimi ntayaweza wapi? haya tokome- 
ani3), sina haja nanyi!t) tenna!“ 
akayatia moto yote. kisha akahama pale kisiwani yeye na mkewe, 
Wakenda zao mjini. akenda akakaa na mkewe raha mustarche, kama 
watu wanavokaa P) na wake wao. na nyumba ya kisiwani wakaitupa. 
huu ndio mwisho wa hadithi hi. 
j 'Ali bin Nasr, Wali von Pangani. 


!) neben hiki. 7?) ar. sich bessern. bekehren. 97) kisiwani. “$) auf 
mambo beziiglich. “Jar. zufrieden. 9) mambo. ') nimewaita. 59) ar. 
Lob sei Gott dem Herrn der Welten. 9) aliyoyaandika. 1) Thorheit, 
Dummbeit. 1) ar. Schwefel. ?J) ar. Tausend und eine Nacht. 3) yerschwindet. 
4) na ninyi. 'S5) wanavyokaa. 


144 
hadithi ya kijitu kiowvu.!) 


Alitokea mtu tajiri, ana mali sana. naye amezaa mtoto wake 
mmoja mwanamume; akamlea mtoto wake. hatta alipobaleghi?), aka— 
mambia baba yake: ,nataka 12ini3) kwako, unipe rukhsa ya kwenda 
kupita katika inchi, na katika safari yangu sitaki kufuatana na mtu 
mwingine aliyo yote — illa mimi na frasi wangu.“ bassi baba yake 
akamjibu, akimambia: ,nimekupa rukhsa.“ 

baada ya hayo baba yake akimpa?) fedda nyingi sana, na ma- 
pambo ya frasi, yaliyo mazuri, na jambia na upanga mzuri. akasafarri 
akienenda mudda wa siku nyingi, akitokea mahala pana jangwa kw: 
bwa, nalo jeusi sana; lina mti mmoja katti ya jangwa, hapana nati 
mwingine. 

Alipouona yule mtoto, kiu ya maji imemshika sana, akafikizia 
katika ule mti, gasidi afunge frasi wake apumzike. alipofika kata ka 
ule mti, akashuka juu va frasi, akamfunga frasi wake, akavua na se 
laha?) zake, akaweka panapo mti. akatazama upande wa matw7 €0 
ya jua, akaona kisima cka maji kikubwa sana, akaona na ndoo li 
kutekea maji; akikamata ndoo, akaletea kisimani, gasidi kuteka ma ji. 
anywe. 

akilivuta ndoo, akaliona zito sana, akilivuta kwa nguvu, akila toa 
akaona nyoka ndani ya ndoo. alipopata nje — yule nyoka ikas Jlhu- 
kuru sana. 

khalafu akilipeleka9) marra ya pili kisimani, akilivuta, akala<ona 
zito kushinda marra ya kwanza. akalitoa, akamona simba; na “yule 
simba kazalika akashukuru sana. 

akalirejesha marra ya tatu, akiona vivile?) zito, akalivuta akaona 
mtu. yule kijana akahamaga?); na yule mtu, aliyozuia ndoo, akanena: 
vUnahamaga kitu gani? auwali umemtoa nyoka — hukujambo?) lolote; 
ukamtoa simba kazalika; lakini umeniona mimi — umchamagi nitowe 
nje?“ akamtoa; alipokwisha toka, marra akimpiga!) yule aliyemtoa 
kisimani, akaanguka marra. akatwaa kamba, akamfunga hodari, ka- 
mwacha!!) papale. frasi wake na zila fedda akazichukua, na selaha 
zote akazichukua, hakubagisha kitu, akenda zake. 


1) Diese Erzihlung gleicht der in den Suaheli Stories der Englischen 
Mission in Zanzibar gegebenen kisa cha mwana wa sultani, ist jedoc 
jin besserem Suaheli und weit ausfiihrlicher gegeben. 7) ar. mannbir. 
“ar, krlaubniss. “)akampa. 3) ar. Waffen. 9) akalipeleka. 7) vilevile. 
r.a. verrickt sein, hier bestiirzt sein. 7) hier ist jambo als Verb 20” 
yelasni du hast auch nichts davon gehabt. ") akampiga. ") ake 


mwacha, 


Pa 


145 


akaja nyoka, akanena: ,ningalikufungua, rafigi yangu, walakin 
ina khofu mno yangu.” ikaondoka yule nyoka, na khalafu akaja simba 
yule, aliyomtoa kisimani, akija!) akimfungua akamambia: twende 
zetu kwangu.” akafuatana na simba hatta kwake. 

walipomwona mtu — watoto wa simba wakafanya ukali sana. 
baba yao akawarudi, akawambia: ,tuliani?), huyu baba yenu.” wale 
watoto wa simba wakanyamaza. khalafu akaondoka yule simba, ake- 
nenda katika njia kubwa va mji, inayopita watu wanaochukua vitu 
vya mashamba mjini, akajificha njiani. akipita mtu na mzigo wa cha- 
kula — hupiga mgurumo, akatupa mzigo, akakimbia. vule simba hu- 
chukua mzigo wa chakula, akampelekea rafhigi yake. 

khalafu simba akamambia rafigi yake: ,sasa ntakwenda katika 
mji — hakamata?) mwanamke, nikuletee, sababu u katika ta“abu?) sana.“ 
yule simba akenda katika mji, akaingia katika kitalu cha sultani, akam- 
kamata mtoto wa sultani, mwanamke; naye katika kidole cha mkono 
wake ana pete ya lulu; akamchukua. ikiwa mshindo mkubwa katika 
inchi, wasimpate yule simba. 

akenda naye hatta kwake, akampa rafigi yake. yule akamfanya 
mwanamke wake, akazaa naye watoto wawili waanaume. wakawalea 
hatta wakiwa wakubwa. chakula huwalisha simba kulla siku. 

ikija ikaingia njaa katika inchi, mashamba hayana vyakula; simba 
mashauri yakampotea, chakula hapana cha kumpa rahgi yake. 

yule mwanamke akamambia mume wake: ,twaa hii pete ya lulu, 
wape”) hawa watoto, wakauze katika mji, wanunue vyakula walete.” 
vyakamwita yule simba wakamshauri — akawajibu: ,rukhsa. waende.” 
wyakenda katika mji kutembeza?) ile pete.“ 

khalafu yuko mtoto mmoja anakaa nyumbani kwa yule sultani 
toka zamani hatta amekuwa mtu mzima, alipoiona ile pete — akai- 
tambua, akawapeleka wale watoto nyumbani kwa sultani. walipowasili — 
ikaonekana pete, watu wote wakalia katika nyumba vya sultani, sababu 
ile pete walitambua. 

sultani akawauliza: ninyi watoto, pete hii mwalipata wapir“ 
wakisema?): yametupa baba yetu kuja uza.“ akawambia: nendeni 
mkamwite baba yenu aje, na pete yenu iwacheni hapa. 

wale watoto wakaondoka, hatta wakafika kwa baba yao, wa- 
kampa khabari, wakamambia: ,nawe unakwitwa.<“ akamwita rafigi 
yake simba, akamshauri; akamambia: ,nenda.”“ akenda; hatta alipo- 


ji akaja. ” und tulieni. 7) nikakamate. f) ar. Beschwerde, Sorge. 
) uwape. ") feilbieten. ') wakasema. 


Velten, Suaheli-Mirchen. 10 


140 


wasili barazani kwa sultani, akamfika yule mtu, alivomtoa kisimani, 
akampiga!), khalafu akamnyanganya?) frasi wake na selaha zake. ali- 
pomsaili?) sultani: , wewe ndio mwenyewe hii peter“ akanena: ,ndio."“ 
akamambia: ,eleza ulivyoipata!” hakudirikif) kueleza — yule kijitu 
kiovu, aliyemtoa kisimani, akamambia sultani: ,acha kumsaili, sababu 
huyu ndio anayogeuka simba, haifai illa na yafungwe?”), aone ta'abu, 
ndipo atasema, lakini billa ta“abu kumpata hutajua fayida?) yake.“ bassi 
akafungwa gerezani kwa taabu sana, hatta nafasi?) ya kulala ha- 
pati usiku. 

akija3) yule rafigi yake nyoka, akamambia: ,mimi leo ntakwenda 
mwuma mtoto wake sultani anayompenda sana, na gadiri ya mganga 
anayofanya dawa, haifai dawa zao — illa uende wewe, ndipo apone; 
nawe twaa dawa hizi uwe nazo.“ akamwonyesha zote. akenda yule - 
nyoka, akamuma mtoto wa sultani, ukiwa msiba?) katika mji wote— 
wakesha!) waganga wote — wasifac. 

khalafu yule kijana, aliyofungwa, akamambia bawabu 11): ,mim 
najua dawa sana, walakini nimefungwa.“ marra wakisikia mnada was 
sultani unanadiwa: ,atokeapo mganga wa kuweza kummtibbu!??) mtot— 
wa sultani — akapoa, akiwa na 'afya!3) yake, atapata khattiiliyokubw - 
kwa sultani, ataongezwa na mali.“ ilipokwisha mbiu, yule bawab uma 
akenda akamambia sultani: ,yule mtu aliyofungwa asema, ajua daw” . 
sana.” sultani akiamuru?) kwenda mfungulia. akija), akifanya daw— 
zake, marra moja mtoto akipona; ikiwa furaha sana katika inchi, mmi 
sultani amefurahi sana. 

khalafu sultani akamwita yule kijana kwake juu ya gholofa 16), 
akamsaili: , wewe unatoka wapi asili?) yako?“ akanena: ,ntakueleza 
mwanzo hatta mwisho.“ akampa khabari zote za auwali hatta akheri!?), 
akamambia: ,na asili ya “adwi'?) yangu ni huyu waziri, uliyo nayo; 
na frasi wangu anayo na jambia na upanga wangu, min gheir ?) ya 
fedda mali mengi aliyoninyanganya.“ 

sultani alipeleka amri ya kumwita yule waziri wake, kijitu kiovu, 
akauawa. na yule kijana akaamuriwa kwenda mleta yule mwanamke, 
binti wa sultani, aliyozaa naye. alipowasili nyumbani, watu waka- 
mwona katika nyumba, walifurahi wote, na sultani kazalika. akapata 


1) aliyempiga. “) aliyemnyanganya. #Jar. fragen. “) ar. erreichen, 
5) afungwe. 9) ar. Nutzen. (Jar. Raum, Gelegenlheit. 9?) akaja. ?) ar. Un- 
gliick, Trauer, 9) wakaisha. 'U)jar. Thirsteher. ?)ar. als Arzt thatig 
sein. 2?) ar. Gesundheit. ) akaamuru. 6?) akaja. '$) ghorfa Stock- 
werk. 7) ar. Herkunft, Ursprung. 3) ar. von Anfang bis zu Ende, 
19) ar. Feind. 8) ar. ohne, ausserdem . 


147 
milki!) yule kijana na mkewe na watoto wake. akiwa mwallim ka- 
tika ile inchi; na baba vyake akampelekea khabari, akafurahi sana. 

ndio mwisho wa hadithi ya kijitu kiovu. 


Mwenyi Hija bin Shomari 
aus Kondutschi. 


Jar. Macht, Heorrschaft. 


maskini na binti wa suiltani.!) 


Alikuwako maskini. kulla siku hukata kuni, vakauza pesa mbili, 
Vakapata mhogo, vakala. 

hatta siku hiyo akenda mwituni, yakakuta mti mkubwa, na chini 
Pana shimo kubwa na nyama wawili na kiumbe moja?); mna simba moja 
na nyoka moja na mtu mmoja. naye aliye ndani akasikia vishindo kama 
mtu anakata kuni, akauliza: ,nani vakataye kuni“ yakamambia: ,mimi 
maskini.” yakamambia: ,nmtae, unitoe katika shimo.“ akamambia: 
sina nguvu za kutolea katika shimo.” akamambia: ,ntakupa mali 
mengi utumie.” akatafuta kamba maskini, yakapeleka katika shimo, 
yakashika kamba alive ndani ya shimo, yakamvuta hatta yakatoka nje. 
alipotoka akamambia: ,nipe mali yangu.“ akamambia: ,ngojea nta- 
kupa; akatafuta fimbo nene, yakaja yakampiga, akamtoa damu kichwani. 
maskini akenda mbio, akamambia: ,kana ungalisimama — ningalikuua."“ 

yule akenda zake; yakarudi palepale maskini kukata kuni. nyoka 
akamwita, akamambia: ,nifac, unitoe katika shimo.“ maskini yakasema: 
nsiwezi kukutoa, ma'ana nilimtoa mtu yakanipiga, nikakimbia; yakaon- 
doka, na mimi nikarudi, ili kukata kuni zangu, na weye kukutoa siwezi.” 
akamambia: ,mimi ntakupa mali.“ yakapeleka kamba, ili kumtoa; yaka- 
toka nyoka. yakamambia: ,nipe haggi?) yangu;“ akamambia: ,ntakupa 
kesho.“ akamletea dawa ya nyoka, akamambia: ,mwenyi kumuma 
mtu, ukamfanyizia — atapona.“ yakenda zake nyoka. 

yakabagia shimoni simba. akamambia: ,na mimi nitoe.” akam- 


') Diese Erzihlung ist ihrem Inhalt nach wesentlich dieselbe wie 
die vorige. Ich gebe jedoch auch diese PDarstellung, um zu zeigen, wie 
dieselbe Geschichte yon verschiedenen Leuten vycerschieden erzahlt wird. 
Der Erzahler der vorigen ist bei weitem gebildeter und weiss zusammen- 
hingender zu erzihlen als der Darsteller der letzteren. 7) kimoja. 7?) ar. 
Recht, Forderung. 


FE 


IO 


148 


ambia: ,nyoka hakunipa kitu, na weye hutanipa kitu.” akamambia 2 
#mimi ntakupa.“ yakapeleka kamba, yakamtoa mpaka nje. ,nipe hagga 
yangu, kazi vako nimekwisha kutendea.“ asimjibu neno kwanza. 
khalafu akamambia: ,ntakupa kesho.“ bassi simba akaondoka, akenda 
zake. akaondoka na maskini na kuni zake, akenda zake mjini, vaka— 
nunua muhogo, yakenda nyumbani kwake. | 

na mji wa pil garibu yuko binti sultani mzuri sana, emefanza! > 
“arusi?) siku hizi, ili kuolewa. bassi wakampamba sana yule binti sul— 
tani, wanampeleka usiku — ili kwenda kwa mumewe; na simba huko 
njiani anamngojea. alipopita — yakamkamata. wakamkosa bundugi, wa- 
simpate; wakamtukuza sana — wasimpate, anakwenda kimbia mwituni. 
yakamchukua yule binti sultani mpaka kwa maskini, yakenda yakampza, 
yakamambia: ,fadili?) yako nakulipa, ma'ana ulinifaa sana.“ yule akam- 
ambia: ,unanipa matata, vakisikia baba yake ntachinshwa.” akamam- 
bia: ,sijui, ba'ada nnakulipa, nakwenda zangu.“ 

akakaa naye vule binti sultani, yakazaa na mtoto. bassi kulla 
siku humpa mtalii kwenda kuuza katika shamba la babake, hupata 
mpunga. ukesha mpunga, vyakampa mkutu, yakenda kuuza katika 
shamba la babake. ukesha marra ya tatu, yakampa binagiri?) kwenda 
kuuza kupata mpunga. mtwana vyakachukua mpunga, mwingine akabagia, 
akamambia: ,kesho ntakuja chukua mpunga uliobagia;“ yakenda zake. 

hatta siku ile yule mtwana, aliyouza mpunga, akenda kwa bana 
wake sultani na vyombo vyote, mitari”) na mikufu na binagiri. ali- 
poviona — vakalia sana yule sultani, yakamuliza: , umepata wapi? nilimpa 
mwanangu kuvaa, naye amekamatwa na simba siku ya 'arusi vyake, 
weye umevipata wapi?“ asema yule: ,alikuja kuuza maskini, humpa 
mpunga kulla suku?), na hivo?) kesho atakuja maliza mpunga wake." 
akampa “askari, akamambia: ,yakija8) — mtungeni kamleteni hapa, ndio 
emegeuka?) simba, aliyokula mwanangu.“ wakatoka wakenda zao kukaa 
kungojea. 

hatta asubuhi yakaja. alipokuja wakamkamata, wakamfunga wa- 
kampeleka hatta kwa sultani, wakamambia: “huyu mtu wako uliyom- 
tafuta, tumemleta.” sultani akaamru, akasema: ,kamchinsheni.” wa- 
kamambia: tungojee afasiri 19), twende tukamchinshe.“ 

na yule sultani ana mwanawe mwingine, yakenda yakaumwa 
siku ile na nyoka. sultani 'agili zikampotea kwa mwanawe enevom- 
penda!!) sana. yule maskini akasikia khabari hi, vakasema: ,,najua 


')amefanza. ?)'arusi und Warusi. Jjar. Giite. f) Armspange. 7) mi- 
tali. ")siku. 7) hivyo. “akija. ") amegeuka. ") ar. Nachmittag. 
1) fur anavyompenda. 


JA vya,” wakamambia: ,mwongo weve, unataka hila!) kukimbia.” va- 
wambia: ,nifungeni kamba va kiuno, na mtu anishike nyuma, kana 
Ntakimbia.“ sultani akampa watu saba na bundugi, akiwambia?): 
rakikimbia — mpigeni risasi”). 

vakenda yakachimba dawa, ma'fana yakachimba mizizi), kapele- 
ka53) kwa sultani. yakenda vakaifanyiza dawa, akampa yule mtoto, 
yakapona. aliposikia sultani, akasema: ,huyu haifai ya kuchinshwa, 
ma'ana emenifaa?).“ tenna vakamuliza: ,vyombo vile umevipata wapi 
weye?“ akamambia: ,amenipa simba, ma'ana nilimtoa shimoni; yaka- 
niletea binti sultani usiku, nami nikakaa naye, nikazaa nave mtoto 
moja. vyakanipa siku moja vyombo vyake kwenda kuuza; hivo ndivo?) 
nnavyovijua.”“ akamambia: ,nenda mkamlete.“ 

yakenda, yakachukuliwa hatta kwa baba yake. yakamambia ba- 
baye: ,huyu maskini yalikupataje?“ amambia: ,alinikamata simba, 
baba, yakanichukua hatta kwa huyu maskini, nami nikakaa kwake 
maskini.“ yakafanya 'arusi kubwa baba yake, vakamoza maskini. nao 
wakakaa kitako, wakashukuru muungu. 


Muhemedi bin Diwani Tambaza 
“ aus Klein-Bagamoyo. 


1) ar. List, Vorwand, 7) akawambia. 3) ar. Blei. $) kleine Wurzeln, 
Wurzelfiserchen. 9") akapeleka. 9) amenifaa. ') hivyo ndivyo. 


Sermala!) na hirizi?). 


Alitokea Makame, na yule Makame selamala?), anachonga miti. 
akaenda zake mwituni, akachonga mvinja sura?) kama bin Adamu?) 
kwa vidole, kwa mashikio, kwa pua, kwa macho, kwa mdomo, kwa 
kidevu. akimwita9) mw'allimu, akiusomea?) — ukageuka mtu. akamwita 
mfuma nguo, akaufumia; akimchukua nyumbani — yakiwa manamke 
mzuri mno, kama huvu hapana tenna. 

yule mwenyewe Makame amcemficha msituni; wakipita watu 
wengine, wakimwona, wakimchukua vule mwanamke. aliporudi Ma- 
kame na mizigo yake ya mijiti, akamtazama yule mkewe pale — ha- 
yupo. yakalia Makame, yakaja zake mjini, yakakaa nyumbani kwake. 

na yule mwanamke, kule alikochukuliwa, hasemi kwa kinywa 


1) Zimmermann. “Jjar. Amulett. 3?) sermala. 9) ar. Form. ”) Men- 
schenkind. 9) akamwita. 7) alkiausomea. 


chake, cemekaa!) kama bubu. wakimwambia: ,jissi gani, Weye mana- 
mke huneni?“ yule manamke hasemi. watu wengi huja wakimhoji?) y 
wakimnasihi?) — manamke ameshika kunyamaza, haneni walla hafurahi 
walla hacheki. 

na Makame anamtafuta yule mkewe, aliyomchonga mti. na mwa— 
namke kule anatafuta mtu, yawezaye hojaji9), ya kumpa yule mume— 
vule Makame yakencnda kule kwa yule manamke; alipomwona akim-a— 
tambua — kama ,huyu ndio mke wangu,“ walakini haiduru. akawamee— 
bia wale: ,mtu asiyojua ma'ana, haambiwi maana, kwa ma'ana nnaze—- 
taka mimi huyu manamke — hasemi?), labda amekwibiwa; ana uchwao > 
ngu wa mumewe, ndio ma'ana hasemi; mimi nnataka tuandikianz—z 
khatti9), ambapo?) hakusema — kichwa changu halali$) yenu, amba . 
po akisema — mke huyu wangu?) mimi.“ wakaandikiana khatti mz 
mkataba 10), kulla mtu akashika wake. 

yakatoka Makame, akakaa kitako juu ya kiti, na yule manam” ke 
amekaa mahali mbali kule. na pale alipokaa Makame pana ndege, 
mwenyewe jina lake asiraji. Makame akamwambia asiraji: ,baba amamali- 
mwita selamala, akichonga mti fano!!) va bin Adamu, kwa kulla jimmmnsi 
ya bin Adamu. yakija?) mw'allimu akiusomea, akiuvika hirizi, 2. ki- 
geuka mtu wa kusema na kucheka. yakija?) mfuma nguo, akiufu?— mia 
nguo, weye asiraji watu watatu hao — nani mwenyi mkewe?“ asizwaraji 
amenyamaza; atajibu nini asiraji, naye ndege? walakini hamwambii asssi- 
raji, anamambia yule mwanamke. 

Makame anafanya ghadabu 3), akasema: ,, weye asiraji, ntakup Mga, 

ambie kweli watu watatu hao — nani mwenyi mke wake?“ alipoond <dka 

kutaka kumpiga asiraji, yule manamke akamwambia: ,mwache baana, 
ya nini kumpiga huyu ndege?“ marra yule manamke amesema, ve7atu 
wakasta'ajabu 14). 

yakamchukua mkewe Makame hatta mjini kwao; akakaa maaye 
siku nyingi. hatta siku moja akamwambia: ,mke wangu, nnakwe nda 
zangu barra kwenda chuma.“ akimwambia: ,inchi hii ya sultani ha- 
sherati!?) sana, anakamata wake wa watu; na wewe utulie, kaa kitako 
nyumba yako !9),“ 

Makame akaondoka, akenenda zake barra kufanya bi'ashara; hu- 
ko nyuma mkewe. siku moja akija!) kitwana cha sultani, akaingia 


') amekaa, 7) Uberreden; z. B. amemboji — amemshinda er hat ibn 
liberredetu 7, gut zureden,. far. Angelegenheit, Beweisgrund, gericht, 
Fntscheidung. 7”) asiyesema. Par, Schriftstick, Brief. 7) falls; meist Sagi 
manikiwa, "Jar, crlaubtu ) oder kwangu mimi. 'Ojar. Vertrag. ') oder 
mfano, “akaja. "?) ar, Aerger, Zorn. ') ar. sich wundern. "Ja. 
yerdorben, Hofe des Volkes. 'f) nyumbani kwako. “) akaja. 


AI 


ISI 
ndani ya nyumba ya Makame: ,nnataka moto.” akaambiwa: ,pita 
Juu;“ akapita juu. alipomwona yule mke wa Makame yule kitwana — 
akaanguka. akenda kumwambia bana wake — kama: ,bana nimeona 
immanamke mzuri katika nyumba ya Makame, mke wako wewe mbaya 
sana kuliko mke wa Makame, mzuri sana.“ sultani akasema: ,kwelir“ 
zakamwambia: ,kweli, bana.“ 
akamtuma kizee kimoja sultani, yakenenda yule kizee katika 
myumba ya Makame. ,alipomwona yule manamke mzuri, yakimlaghai!) 
yule kizee, yakamchukua yule manamke, akamwambia: ,sultani ataku- 
pa nguo za fedda?) nyingi na vyombo vya zahabu), na wewe uta- 
kuwa mtu mkubwa.“ akenenda nyumbani mwa sultani, akakaa kitako, 
yakiwa?) ndio mumewe, nyumba ya Makame akaitupilia mbali. 
alipokuja Makame, akipiga hodi nyumbani mwake, yakaona kim- 
ya, akasema: ,labda emekwenda?) kwa mama mkwewe?).< akenenda 
kwa mama yake, akauliza: ,mkwe?) wenu yupo, mke wangu?“ mama 
yake akimwambia: ,hayupo.“ akija zake Makame nyumbani kwake, 
akaingia ndani, yakawaza: ,mke huyu kamchukua sultani!” yakasema: 
vhaiduru.“ 
yakamwita ndege moja jina lake kurumbiza, akinena: ,nenda 
nyumbani kwa sultani, nakutuma mimi Makame, ukatwae vyombo 
vyangu; ukivipata sawasawa kwa sawa?) mimi nawe.“ 
akaondoka ndege, akenda nyumbani kwa sultani. yakikaa juu 
ya nyumba, yakemba?) wimbo wake, akinena!?); 
nSili mti tunda!!J), 
kautwae — si wajawaja 2), 
kavika pingu!3) na makoja'!f) tunda D).“ 
na mwanamke akanena: 
twaa vyombo vyo!) 
Makame, na Makame 
si mume wangu, 
hanitaki vyombo, 
anitaka roho!”).“ 


1) ar. mit jd. scherzen, suah. in scherzender Wceise jd. zu iiberreden 
Versuchen. ?) ar. Silber. 3?) ar. Gold. $) akawa. ?) amekwenda. 9) mkwe wake; 
mama mkwewe ihreSchwiegermutter. 7) Schwiegertochter. 9) ar. gleich; worti. 
gleich mit gleich du und ich, d. h. du erhaltst die Halfte davon. ") akaimba. 
0) Zum Sultan und seiner Frau. '!) ich esse keine Frucht des Baumes (weil die 
Frau aus einem Baume geschnitzt war;. ?) nimm du (Sultan) sie — es ist nicht 
mein Begehr sie zu haben. 53) bekleide sie mit Fussspangen. '“) Hals- 


kette. ?) Perlkette, die die Suahelifrauen um den blossen Unterleib tragen. 
6) vya. ar. Seele. 


yakampa vvombo vvake, mikufu na mitari') na pete zake 
na nguo, kulla kitu cha kike, wanachovaa?) waanawake, ampe 
Makame. 
vule ndege akapeleka, akamambia: ,hivi, Makame, vyombo vyako . 
vimekwisha kuja.“ Makame akimwambia: ,bado vyombo vyangu kuja, 
kitu kimoja umesahau, nenda tenna.” 
yakienenda”), hatta akafika kule, vule ndege, yakembatf;, vaki— 
wambia: 
vSili mti tunda, 
kautwae — si wajawaja, 
kavika pingu na makoja tunda.” 
mwanamke akimjibu: 
ntwaa vyombo vyo 
Makame, na Makame 
si mume wangu, 
hanitaki vyombo, 
anataka roho.“ 
vule mwanamke akimwambia: ,nimekupa vyombo vyenu, nini 
unataka tenna?”“ yule mwanamke analia sana, yakiya?”) mumewe vule 
sultani: ,nini unalia, mke wangu? mpe mwenyewe vyombo vvake 
Makame. na kama hiyo hirizi — mpe mwenyewe, hirizi nyingi kwangu 
ziko; zikiwa za uchawi, tenna bado za fedda, zimetiwa kwa zaha- 
bu, twaa uvae; nini hirizi va Makame?“ 
akamvua kwa nguvu, akampa ndege — marra ukaota mvinja; 
yule sultani akatahavyari9). na Makame akakaa kitako kwake; ndipo 
ulipokwishia. 
Muhemedi bin Madigani 
aus Magogoni. 
1; mitali Fussspangen. “) wanachokivaa. 5) akenenda. 1) akaimba. 
”) akaja. 9) ar. verwirrt sein. 


hila!) ya vita. 


Palikuwa vita; wako sultani wawili walipigana. na mkewe wa 
sultani mmoja yuko katika mji, lakini yeve sultani mwenyewe hayuko 
katika mji, yuko katika vita. mkewe kulla siku huondoka kwenda 
hatta mashamba kumwona labda mumewe akirudi. 


'Jar. List. 


siku moja akamwona mumewe, wakasema maneno vao. vule 

Mumewe akamwaga tenna, akenda zake. kidogo!) vule mke akaona 

vile vita vinakuja, anataka mambia mumewe, na wale watu vile vita?) 

wasijue, akamwita akamambia: ,wewe! buibui?) likipanga, hupanga 

Wapi?“ na yule mume akasema: hupanga juu na chini.“ j 

na yule manamme akapita upesi kattikatti, akenda zake, sababu 
Amejua maneno ya mkewe). 

Merere bin Kawamba Mshale 

aus Vikindu. 
1) kurz darauf. 7) wale watu wa vita vile. 5) Spinne. f)ein Heer- 
haufe kam von oben, der andere von unten, ihr Mann wich nach der 
itte aus. 


shauri la vita, 


Palikuwa mtu, amekwenda katika inchi ningine, akakaa kule. 
kwao hataki kwenda tenna. akaoa pale, akapata watoto, na kulla kitu 
chake chiko!) kule. na wale wenyi nchi?) wakampenda. 

wakafanyiza vita, wanataka kupeleka vita kule alipozaliwa yule. 
wakaja siku moja wakafanya karamu?) ya watu wakubwa wakubwa, 
magsudi!) wafanye shauri. wakenda karamuni, wakaapa yamini”): 
mtu mwenyi kusema khabari ile ya kupeleka vita kule — atauawa.“ 

na yule mtu, aliyozaliwa inchi ile, vilevile akaja karamuni pale- 
pale. alipokwisha sikia maneno ya vita, akachukua vitu vidogo vidogo 
vya vyakula vilivyokuwa?) pale karamuni, akapamba?) kidogo, akatia 
na$) kisu kidogo na damu kidogo; akatafuta mtu, akampa vitu vile, 
apeleke kwa sultani wa inchi yake alipozaliwa. 

na yule sultani na watu wake wakaweta watu wa 'agili”), wakaja 
wakafungua, wakatazama vile vitu, wakajua, kama inakuja vita hapa. 

tokea hapo, watu wakikaa pamoja, wakitaka kufanya shauri ya 
inchi ningine ao ya vita, huulizana kwanza: ,weve umezaliwa wapi?“ 
ao ,umetoka wapi?“ maana asikae mtu wa inchi ningine katika shauri 


lao la vita. 
Abdallah bin Musa. 


) kiko. inchi. SJ ar. Fest. far. Absicht. ?) ar. Eid. ") besser 
vilivyoko. 7) einwickeln. 9) im Sinne von ,auch“. ?jar. Verstand. 


154 
mtu mwenyi kuweka mali!) na watoto wake. 


Palikuwa mtu, akazaa watoto wawili waanaume. na yule baba 
yao ana mali nyingi, walakini ukimwona hufikiri — huyu mtu labda 
hana pesa moja, sababu havai nguo njema, walla hali chakula kizuri. 
wale watu wengine humo mjini wakatukana watoto wake, kwa sababu 
baba yao ana mali, lakini havai nguo njema, walla hali chakula kizuri. 
na yeye baba yao anajua, kama watu wanamtukana. 

hatta siku moja akafanyiza karamu, akaweta watu wengi sana 
wa katika mji ule. wakaja kwake, wakala chakula. wakesha waka- 
zungumza. na watoto wawili wake wako pale wanasikiliza. akawam- 
bia baba yao kwa watu wale: ,tafaddalini?), mniulizie watoto wangu, 
nnataka maneno mawili wanambie. moja?) — mtu yakisema?) mtu 
vule hana kitu,“ ao ya pili — yakisema?) ,mtu yule bakhili?) mno, 
anapenda yasile?) vyakula vizuri walla vasivac') nguo nzuri,“ — un- 
gechagua lipi?“ 

na wale watu wakashtuka. yule mtoto mkubwa akasema: ,, miye?) 
afadali?) — nikiwa na kitu nikatumie.“ na yule mdogo akasema: yafa- 
dali miye, watu wakisema mimi ni bakhili, nnapenda nisile vyakula 
vizuri, nisivae nguo nzuri, kwa sababu nnacho. watu wakisema ,va- 
tendeni19)?“ huo!!) hana kitu — hana la??) kufanyiza.“ 

na babake amefurahi sana, akawambia watu: ,huyu mzuri kuliko 
yule.” akasema tenna: ,bassi, mimi naona afadali, watu wakisema — 
kuwa ,mimi ni bakhili,“ kwa sababu nnacho. wakisema ,mimi nifa- 
nyizejer“ hapa sina kitu cha kutumia.“ 

ma'ana yake: afadali kuweka mali, watu wakuite bakhili, kama 


kutumia yote. 
“Abdallah bin Musa. 


!') der Sparsame. 7) tafaddali ninyi. 3) neno. “akisema. Ja. 


geizig. “") asile. 7) asivae. 9) mimi. 9?) ar. es ist besser. '9) atende nini. 
1) huyu. P)auf neno oder jambo beziglich. 


Abu Nuwasi na waziri wa sultani. 
Abu Nuwasi siku moja alikwenda katika inchi ya sultani Hassani; 
amepakia nazi kwenda kuuza. alipowasili!) bendarini?), akashuka pwani. 


akenda kwa waziri, akamambia — kama: ,nimepakia nazi, nataka ku- 


1) ar. angommen. 7?) ar. Hafen. 


155 


za hapa.“ sultani Hassani amempa rukhsa kushusha nazi zake. aka- 
usha akaanza kuuza. alivouza!) nazi zake zote, akenda zake mjini, 
enda akapanga nyumba. 

amekaa mudda?) wa miezi mitatu, akaona hana shauri”) la ku- 
nya, akanena — kama: ,nataka kufanza 'agili?) ningine, nipate pesa la 
itumia.” amekwenda zake kwa waziri, akenda akafanya urafigi?) yeve 
1 waziri. waziri akafurahi sana; kulla siku humwalika?9) kwenda 
vake kula. 

Abu Nuwasi akafikiri'), akanena: ,sasa huyu waziri nimefanya 
'afigi mimi naye, ntaweza kumghilibu$) — tumwuc huyu mfalme, 
pate inchi, nitume.” akamambia waziri: ,sikiliza, ntakwambia shauri 
uri sana — litakufaa — linifae na?) miye.“ waziri akamjibu: ,kama 
>) — shauri unataka kunena?“ akamambia: ,lakini usimambie mtu; 
swambii — mpaka unipe “ahadi 9), kama humambii mtu shauri nai- 
ka!!) kukwambia.“ waziri akampa shuruti, akamambia: ,simambu mtu.” 

Abu Nuwasi akanena: ,huna khabari, weye mpumbafu, wewe 
ia “agili kuliko sultani, una kazi kuliko sultani, hali yako na mfaume?) 
moja — weye bin Adam — yeye bin Adam, na weye unasumbuka 
iliko yeye, ba'ada yeye anakuhokumu. miye, Abu Nuwasi, sigubali 
tu kunihokumu katika 'agili yangu, nilivoftundishwa!?), hapana mtu 
kubwa dunyani 14) kama mweny'ezi muungu na mtumewe — khabari 
. sultani upuuzi; usultani anaweza kutuma kulla mwenyi nguvu na 
jili.? asema: ,mafana nnayokwambia neno hili — weye rafigi yangu 
na, na miye nimekuona kama weye mtu mzuri sana; unasumbuka 

na mtu mwingine anakula nguvu zako.“ yule waziri akasema: 
'ema, nimesikia. tutamwua mfalme; nikipata “aezi!?) — utakuwa wa- 
ri.” Abu Nuwasi akafurahi sana, akanena: ,“agili yangu leo zimenifaa.“ 

Abu Nuwasi ameondoka, akenda zake nyumbani, akenda na tu- 
ha!6) kubwa mno, akenda akanena — kama: ,yule waziri mpumbatu, 
iweza kumwua sultani — ntaweza miye nimwue waziri, niitume.”“ 

yule waziri mtu wa 'agili sana, naye akajua, kama yule Abu 
uwasi kazi yake kughilibu watu. akenda akamambia sultani — kama: 
bu Nuwasi yuko huko mjini, na weye fanza hila tumwondoshe; jana 
aja, akanambia maneno ya ujeuri!”), anataka afanze hila!8) yatuue!?) 
ote wawili, yapate kutawala?!) katika inchi.” mfalme akaamru?!) 
atu, akawambia: ,nendeni mkamfunge Abu Nuwasi.“ 


') alipouza. “Jar. Zeitraum. J)Jar. Rath, Berathung. “ar. Verstand. 
ar. Freundschaft. "?) einladen. ?) ar. iiberlegen. 7?) ar. tiberwinden. 
auch. 9) ar. Versprechen. '!) fiir ninayoitaka. ?) mfalme. 7?) nili- 
'ofundishwa. “) ar. Welt. 6?) ar. Macht, Herrschaft. '8) ar. Freude. 
ar. List. '?) ar. List. ?) atuue. “?) ar. herrschen. "! ar. befehlen. 


Abu Nuwasi akakamatwa, akapelekwa kwa sultani, akaulizwa: 
,Jana umesemaje weve na waziri?” akanena: ,mive sikusema neno — 
miye na waziri.“ sultani akasema: ,mwongo, jana umcefanza shauri 
weye na waziri.” Abu Nuwasi akamambia sultani: ,kama jana nime- 
fanza shauri na waziri — mive nimesahau!); afadali?; umwulize wa- 
ziri, labda yeye anafaham?).“ akamambia: ,jana umemambia, kama. 
mnataka kuniua, na nyie?) mwitume inchi.“ Abu Nuwasi akasema — 
neno alilokwambia waziri — ndilo, siwezi kukwambia uwongo.“ sul—. 
tani akaamru “askari wake: ,mchukueni, mumtie katika kanda, nenden m— 
mkamtose baharini?”).” wakamchukua, wakamtia katika kanda, waka 
shona hatta asiweze kutoa pumzi. wakamchukua, wakenda pwani. 

walipofika pwani, hawakukuta mtumbwi wa kumpakia, wakae2 
mweka mchangani. wakarudi kwenda kumtafuta mvuvi kuja kumpakiz 2 
wende wakamtose. walipokwenda zao kumtafuta mvuvi, akaja mw >, 
moja nyuma. yao. Abu Nuwasi alivosikia$) mtu anakuja, akawanza mma 
kupiga makelele, akisema?): ,mimi nimetubu?j, ntamwoa mtoto Vai 
sultani, jama'ani 9) nifungulieni, nimetubu — nitaoa mtoto wa sultanam j. 
yule mtu akagurubia!!) lile kanda, akamwuliza: ,nani vuko katiak 
kanda“ akanena: ,mive Abu Nuwasi.“ anena: ,umcfanya nini wema 
ulivofungwa ?) katika kandar“ akasema: ,nimekamatwa nimwoe mta—>tc 
wa sultani, na miye sitaki; lakini sasa wakinifungulia — nitamwe moa, 
nisije kutoswa baharini.“ akamuliza tenna: ,kwani?) utatoswa bak—aa- 
rinir” akamambia — kama: ,kwa hivo — sitaki kumwoa mtoto —— wa 
sultani; nikimwoa — hawanitosi.“ 

yule mtu akafikiri, akasema: ,bassi, weye mpumbafu! umepos. wa 
umwoe mtoto wa sultani — umekataar“ akanena: ,ndiyo, sitab—ri." 
vule mtu akanena: ,nikikufungulie, niingie mimi — nitamwoa?“ aser—wna: 
,ndivo, ukitaka kumwoa, njoo ingia hapa.“ yule mtu akamfungw..ulia 
upesi, akatoka Abu Nuwasi katika kanda, akamambia yule mtu: ,kamma ma 
umesikia watu wanakuja, hao ndio watu walionifunga; nao sasa —wra- 
nataka majibu, kama nimegubali kumwoa mtoto wa sultani. b:Smssi, 
kama wewe unataka kumwoa mtoto wa sultani, wale watu wanak-< uja 
— na miye nakimbia; wakigurubia hapa, piga makelele, ukanesna; 
,htamwoa mtoto wa sultani, nimetubu.” 

wale watu walivogurubia!t), yeye akajifanza Abu Nuwasi, aka- 
anza kupiga makelele; ,jama'a nimetubu, nifungulieni, nitamwoa ntoto 


I) ar. vergessen. “)jar.besser. SJ) ar. verstehen, ninyi. Yar. 
Mcer. "jaliposikia. ')akaanza. $) akasema. ) ar. bereuen. Tar 
jamaa ninyi, ibr alle. '!) ar. sich nihern. 7) ulipofungwa. 3) kwa nini, 
4) walipogurubia. 


157 
a sultan.“ wale watu wakasikia, wakamwuliza: Unasema nini wee” 
na wazimu“ akasema: ,mive, Abu Nuwasi, nimetubu, nifungulieni, 
tamwoa mtoto wa sultani.” wale watu wamezidi!) kukasirika. aketa?) 
ara va tatu: ,nifungulieni, ntamwoa mtoto wa sultani.” wakasema: 
huyu ana wazimu, sasa twende tukamtose baharini.“ akenda akato- 
wa baharini, na Abu Nuwasi akavuka salaama, akenda zake. 


Selim bin Abakari. 


Tar. yermchren. ”?) akaita. 


Makame. 


kule kulikuwa!) na sultani na tajiri na maskini katika inchi. watu 
akafanya 'arusi?) va kutahiri?) wana?) wa sultani na maskini. kulla 
tu mwenyi mwanawe akatia kumbini?), hatta siku ya watu wataka 
via!) waana kumbini, kulla mtu ashonea mwanawe kanzu. 

pana maskini hana kitu, akamwambia mkewe: kulla nyumba 
>ndayo, omba moto, ukaona?) kitambaa cha kale — kitwae, tuje tu- 
konee mwana kanzu kwa umaskini.” ndio sababu mwanamke kulla 
““umba aombavo moto, akaona kitambaa akatwaa. mume akashona 
nzu, hatta akatimiza) kanzu ya mwanawe. na mwanawe jina lake 
ukame. 

hatta siku zilipofika za kutolewa?) wakatolewa, na Makame ali- 
dawishwa na kanzu na vitambaa vya kale, akawambia babiye na 
amiye!!): nataka mnipe rukhsa mimi, mwana wenu, nipotee na 
Chi, nende mbali kama nitakalopata nije nilifaale!!) baba na mama, 

nipotee nife huko nendako.“ akapawa rukhsa na babaye na ma- 

aye, akenda safari. na chakula chake ukasi wa mtama na bissi la 
ahindi. hatta alipofika mbele kule endako??), akaona mtu mrefu kama 
Nazi; akamfuata. watu wawili hawale !3) wafuatana, walipofikiana wa- 
wa sawasawa vimo'!!). Makame akatoa ,salaam 'aleikum“, mwenziwe 
Atikia , aleikum salaam.” 


') neben pale palikuwa. “Jim Sinne von karamu gebraucht. ar. 
ein sein. f) waana. “) kumbi Beschneidung. "toka. f) ukiona. “Jar. 
oOllenden. "”) cf. Jahrg. | Abthlig. HI p. 23 der Mittheilungen des Orient. 
'€eminars. ') fir babaye na mamave. '!!) alte Perfect-Bildung. '?) aendako, 
niakokwenda. '? hawa. 1?) von gleicher Grosse. 


158 


Makame akamwuza: wu ani!) jina lako?“ akamwambia: ,ni 
mimi Mweza Nyayo pasi Yayo?), nawe u ani?“ akamwambia: ,ni 
mimi Makame.“ yule mwenziwe akamwambia Makame: ,nikufuate 
uendako?“ Makame akamwambia mwenziwe: ,haya, nifuate!” wa- 
kenda. walipofika mbele, wakaona mwingine mrefu kana mnazi. 
hatta walipogaribiana wakawa sawasawa. Makame akatoa ,salaamu', 
akaitikiwa ,'aleikum salaam“. akamwuza: ,u ani?“ akamwambia: 
Ni mimi Mfungua Moto pasi Moto3), wewe u ani nawe?“ Makame 
naye akasema: ,ni mimi Makame.“ yule Mfungua Moto pasi Moto 
akanena: ,nikufuate Makame?“ akamwambia: ,nifuate;“ wakafuatana. 

wakenda hatta walipofika mbele tenna, mbele yao wakaona mtu 
mrefu kana mnazi. walipogaribiana, wakawa sawasawa vimo. Ma- 
kame akatoa ,salaam“, akapokea. Makame akimwuza: yu ani?“ aka- 
mwambia: ,ni mimi Munda Chombo pasi Mbaof), nawe u ani?" 
Makame akamjibu akamwambia: ,nifuate“; wakawa watu wanne. wa- 
kenda, na chakula bissi. majira”) Makame akawapa bissi wale watu 
watatu — hawali, illa Makame pekeyake. 

wakenda hatta walipofika mbele — waona nyumba moja, ina mtu 
moja mwanamke shaibu?) sana, kibibi kikongwe, akamwambia Ma- 
kame: ,uendapi?)?? Makame akamwambia: ,napotea kwa ulimwengu 
kwa umaskini hapatce?) nije nikae, nimfaale?) baba na mama, a0 
hafe 10), “ 

yule mwanamke akamwuza Makame: yauwali wenzio?” aka- 
mwambia: ,ote hawale!!) nimewaona njiani; mimi nimetoka mjini 
pekeyangu, hawale nimewaona njiani.“ akamwambia: ,wache papa 
pangu mjini, niwapandie mrehani!?); huko wendako, ukawa mzima na 
“umri!3) — mrehani mzima, hautakuwa mzima mrehani — ukaba naweuta- 
kufa; utakapokufa, tawambia mtu wenu kana kufa, watakufuata uliko kufa." 
Makame akaweta akawambia: ,nisabirini4) hapa;“ nao wakagirri”)- 

Makame akaenenda. alipofika mbele mwendo wa mwezi hatti 
mwezi wa pili, akafika inchi haina watu, pana nyumba moja ya maw6, 
malango sab'a. Makame akaingia mlango wa kwanza, hamna mtu, 
mna mali nyingi sana,. kulla aina!9) fedda, zahabu na nguo nying! 
sana. akaawa?!?7), akaingia mlango wa pili, mna mali nyingi nayo feddi 


1) nani. “”) dice Bedeutung des Namens ist: Ein Mann, der den Spurel 
folgen kann, wo kaum Spuren sind. “) bedeutet: Ein Mann, der zum Lebel 
(Feuer) wieder auferweckt, wo kein Leben mehrist. 1) bedeutet: Ein Mani, 
der ohne Holz ein Schiff bauen kann. 9) Zeit, wenig gebrauchlich, Sar, grauts 
Haar, Alter. 7) unakwenda wapi. 7") nikapate. 7) nimfae. ?) nikafe. '!) hawa. 
13) ar. rehan Basilienkraut (wohlriechendes Kraut). Bar. Alter. Bar, 
warten. ?) ar. bestitigen, annehmen. '8) pers. Sorte, Art. ') herausgehen. 


159 
a zahabu na nguo nyingi sana. akaawa, akaingia mlango wa tatu, 
nna mali nvingi —- fedda na zahabu na nguo nyingi. akaawa, akaingia 
nlango wa nne, mna mali nvingi — fedda na zahabu na nguo. akaawa, 
kaingia mlango wa tano, mna mali nvingi — fedda na zahabu nvingi 
ia nguo nyingi. akaawa, akaingia mlango wa sitta, mna mali nyingi 
— zahabu, fedda nyingi na nguo nyingi. akaawa, akaingia mlango wa 
ab'a — mna mtu, mke mmoja pekevake. 

manamke alipomwona manamme, roho ikampasuka, akapiga kifua 
wa kumwona mlimwengu!) mwenziwe. Makame akamwuza?) mwa- 
jamke: ,mbona u pekeyako, hamna na mtu illa wewe?” mwanamke 
ikamwambia Makame: ,wewe nakuonea huruma?).“ Makame aka- 
mwuza mwanamke: ,sababu nini:“ mwanamke akamwambia Makame: 
mmji huu ualikuwa na watu wengi, wake na waume na waana wao 
pia, wakaliwa na nyoka pia; akanisaza mimi, sababu kumpikia. naye 
kula kwake kaango “asherini, nawe utamwona alasirif) hapa kana 
kwenda chuma)”).“ 

hatta alasiri akawasili9), Makame akageuka paka. akaja nyoka 
nkubwa auwali ya saa tiss'a kuingia nyumbani, hatta saa va then- 
ishara ndipo alipokwisha m'aeshi?). akala chakula kaango 'asherini 
a wali, na mchuzi vikaango 'asherini, na tonde?) za maji. akalala 
iatta saa ya hed'ashara ya usiku, akatoka nyumbani, akenda nje kwe- 
ida chuma. 

Makame akageuka mtu. mwanamke akampikia Makame, aka- 
afuta tembo na mafuta, akaweka tavvari. hatta Makame alipokula, 
nwanamke akamsinga Makame; ni wao wawili mjini hamna mtu 
Nwingine, ni wao wawili bassi. hatta safa ya nane mwanamke akam- 
Pikia yule nyoka kaango 'asherini na vikaango “asherini vya mchuzi, 
hatta sa'a ya tisa ya mchana nyoka akawasili nyumbani. 

alipofika garibu ya nyumba, akanena: ,kunuka kimutumutu?,.” 
mwanamke akanena, akamwambia nyoka: ,ndivo walivo watu pia ku- 
nawala !9), kunanisaza!!) mimi kwa kupikia, sasa lamda?) nami wataka 
nila, njoo unile, rohoyo 3) upate furaha.“ asiweze kumla. yule Ma- 
kame kanasoma'f) gorani, ajua ya kujificha, kanajificha!?). khatima 
Sa'a ya hed'ashara ya usiku nyoka akatoka nyumbani, akenda chuma 
nje, naye njia ashikavo — miti aivunja kwa ukubwa wake. 


1) Mitmensch, von ulimwengu Welt gebildet. 7) uza neben uliza. 
3 ar. Barmherzigkeit, Mitleid; durch Metathesis von rahma gebildet. '; ar. 
Nachmittag. 5) Lebensunterhalt verdienen, hier Essen suchen. 9) ar. 
ankommen. ?)ar. Mittel zum Leben., $) Wassergefass zum Trinken. "; mtu. 
1) umewakula. '!) umenisaza. '?) besonders von Fraucn gesagt fir labda, 
labuda. 3?) roho yako. '$ akasoma. ?); akajificha. 


ra 


hawa sa usa 
akanena" k KIN um 
mke: ” umba na Jaha! 
mwu yu aa v anamk kam 
pusu bwa, a ZM aza kama 
ungu? aha ka akaone akaond upan 
La ake (rasha aka wam 
ndio utakayo vua NI umwana 
darb S moja pipa ilia kamp! 
akaja akala vyaku! kaang sheri" 
akalali- atu alipopao” angizi 
darba moj: wana akamsh 
a pil. nyoka akase niong” 
akam”? send ennd, mwao 
akata nyoka, mla wak ufung 
AN akakad V- Dan!- khal 
mali; cha kule k ib 
walo atatu moj: 
Mfung .c3 MOTO a 
ima > mwa ke, 
kame: ” ana kuta my 
mwe nayo: akaja hp 
akenda kwake na kule kwake 
alip Ak akeni wa 
sand, guu na V kw 
caskal! m eni nan 
namke vi a sukan 
g ze” ukuleteo, je uzi 
nam Ka ahye 
Ka al ) safari hizo, 
marra > ali poku) 
mwan ay wan 
ange" Pa kaja mai 
kha na akAP 
mw ago: 
alipo ka kwao, 
v 
A 
ar wafieh 
ar. ub 
Form: 


' 
werden. 
KWTA Kua Peri. 
muchene 


IOI 


akasema: wkweli, mwanamke mzuri kweli.” sultani akafanya vita 
kumfuata mwanamke, aliye na Makame. na huyu akatazama, akaona 
vita, akamwambia Makame: ,vule mwanamke, aliyokuja, sikuambii 
mwage? ukamwacha wee, leo kaja kwa vita. Makame akanena: 
na vije vita.“ vikaja vita. vilipokuja — Makame akapigana nao, aka- 
wesha!), akasaza mmoja, akamkata mkono, akamwambia: ,mwambie 
sultani, na waje tenna.“ akienda sema, sultani akifanya vita tenna. 
wakenda; Makame akapigana nao, akawesha, akasaza mmoja. akam- 
kata shikio, akamwambia: ,kamwambie sultani, na alete tenna.” 
akenda sema. 

sultani alipoambiwa akamwita mwanamke: ,mbona watu wesha?), 
sasa mashauri nini?” mwanamke akamwambia sultani: ,mashauri — 
watu na wende”), hapo wapiganapo wachimbe mashimo makubwa, 
majira!) ya kupigana ataanguka shimoni.“ wakenda na usiku, waka- 
chimba mashimo thalathini. 

mwanamke akamwambia Makamc: ,leo frasi mlegeze, usimfunge 
sana.“ Makame maneno ya mwanamke asivafuata, frasi akazidi kum- 
kaza kamba. walipopigana akagabili?) pana shimo. frasi akataka ruka, 
asiweze, kwa sababu ya kumkaza. akaingia shimoni yaliyochimbwa, 
kazidi na farasi pia, wakaingia shimoni, wakafukiwa. khatima tenna 
wakenda nyumbani kufuata mwanamke pamoja na mali. wakenda 
mtwaa mwanamke na mali, wakachukua kumpelekea sultani, alive- 
toa vita. 

akakaa mwanamke asiwe na maneno na sultani. khatima mwa- 
namke ajua kusoma, akatazama chuo ule mrechani kule kwa bibi ki- 
kongwe. bibi akaweta wale watu watatu. walipofika, kibibi kikongwe 
akawambia: ,mrehani unakuta, mashauri nini?“ wale watu watatu 
wakauzana. Mweza Nyayo pasi Yayo akawambia wenziwe: ,nifua- 
teni.”“ wakamfuata mwenzi wao. wakenda mwendo wa siku kumi 
na tano hatta gaburini9) pa Makame. Mweza Nyayo pasi Yayo aka- 
wambia wenziwe: ,Makame kazikwa?) hapa.“ aliyebagia Mfufua Moto 
pasi Moto na Munda Chombo pasi Mbao.“ Mtfufua Moto pasi Moto 
akawambia wenziwe: ,,kayaleni$) hatta asubuhi; wakenda yaa?) hatta 
asubuhi — Makame na farasi wanakuwa wazima. akabagi Munda chombo 
pasi Mbao. akawambia wenziwe: ,kayaleni hatta asubuhi.“ walipo- 
kuja — chombo tayyari; wakapakia mali nyingi sana, wasicshe!0), waka- 
sheheneza!!) chombo. wakafuata kuliko mwanamke kwenda mtwaa. 


1) akawaisha, 7) wamekwisha. 39) waende. $) Zeit. ?) ar. sich 
nahern. $) ar. Grab. Jakazikwa. 7?) kalaleni. 9) lala, '?) wasiishe. 'D ar. 
befrachten. 


Velten, Suaheli-Miarchen. 11 


kule mwanamke alipo kwa sultani aliko akatazama chuo, akaona 
katika chuo, kaona!) Makame kafufuka?), iwaja?). mwanamke aka- 
mwita sultani, vu miskitini, akamtolea mtu kumwita. naye mwana- 
mke, tokea siku aliyokwenda, hakujua kunena na sultani. alipokuja 
sultani, mwanamke akamwambia: ,sultani, ma“ana ya kukuita, ni sababu 
ya kukwambia, leo kutakuja ndugu vyangu; na wewe jua, ndio sababu 
hakuita.” sultani akasema: ,,vema.” 

hatta saa ya tiss'a chombo kikawasili. hatta kilipota nangaben- — 
darini, wakawa wageni wa sultani. lakini mwanamke ajua — leo mume 3 
wangu kanawasili?); sultani hakujua, ya chamba?) huyu ndio aliye-— - 
pigana. 

hatta asubuhi vule mwanamke ataka rukhsa ya kwenda wadibo? > 
mgeni, ndugu yake, aliye mumewe. apewa rukhsa. alipofika pwani. 20 
akapakiwa mashuani na wajakazi wengi. hatta walipofika chomboni 2 #— 
chombo kikatweka. sultani kule mjini alikoona chombo chatweka?)C YP" 
kawambia3) watu: ,,mbona chombo chatwekar kifuateni!o kuli 20 
chombo kilicho bendarini kifuate!" lakini Makame akenda kwa upe > > 
sana na chombo chake. 

alipofika kwao bendarini — wale wenziwe ni malaika?), wakend> ad 
zao, wakamwacha Makame na muiW) na malize!!) na kiomboke 1 ai: 
alipofika mjini babaye mzima na mamaye mzima, akawafaa sana, aka > ka 
wa ndio tajiri katika inchi. 

na hadithi ikesha hivo. na sababu umaskini ndio mwanaye. 


Diwani Mamgola bin Diwani Ms “Mpola 
aus$ Gubiro. 


Uakaona. ") akafufuka. ?) akaja. $) anawasili. 9) kama. 9) We oh 


verstummelt aus wajihi begriussen. 7) kinatweka. 9) akawambia. 7) ar. 
Engel; im suah. werden auch die Brusthaare, sowie die Harchen auf 
Handen und Armen malaika genannt. 9) mwanamke. 1) mali zesaake, 


13) chombo chake. 


asili!) ya pepo. 


Alikuwako mwanamme mmoja akaoa mkewe, akamweka ndani, 
naye mwanamme akenda kuchuma hatta akapata tedda?). 

hatta siku moja akaona mwanamke katika bucta”) ya mumewe 
iko fedda nyingi, na fedda zenyewe uwingi wake ni rupia thalatha 


UJar, Ursprung. ") ar. Silber, Geld. 7) portug. Kistchen. 


163 


mia. alipoona fedda hii, akajitia ugonywa ugonywa mwanamke, aka- 
kaa kitandani; usiku hali kitu na mchana hali kitu, huponea maji mudda 
wa siku sab'a. 
akaondoka mumewe, akenda kwa mw'allim moja akamambia: 
mtafaddali mw'allim, tazamie mke wangu hawezi.“ na mw'aallim aka- 
kamata ubao, akapiga lamli!), akabasiri”) khabari katika falaki?). ikanena 
falaki — vya kuwa: ,mkeo hawezi, na sababu ya mardif), ana shetani ma- 
wili, wa kwanza kinyamkera”), wa pili kilima”). bassi — mtafute mganga 
wa kinyamkera, ampe dawa ya kunywa, na mafusho9), na jimbo apa- 
ka, na mvuke?) kidogo wa kufunulia katika kijungu?) mudda wa 
siku mbili, na inshallah taala atapata usingizi. ba'ada ya hayo umtake 
na mganga wa kilima, akupe dawa za kunywa, na matusho yampike 
na mvuke katika nyungu mudda wa siku sab'a — atapanda huyu shetani.“ 
akenda zake mumewe, akenda kuonana na mganga, akamambia: 
mtafaddali mganga, mke wangu mwenyi pepo, ndiye shetani anayemu- 
guza, bassi sasa nataka nimwone mke wangu hajambo, aweze kupika 
na kula na kuzungumza kama kwanza.“ mganga akanena: ,vema, 
hio ndio kazi yangu.“ akamambia: ,na sasa tupatane, unifanyizie 
ngoma yangu, nataka kupunga?) mke wako.“ 
wakapatana mudda!?) wa siku sab'a, na kulla siku reale u nuss, 
na chakula cha mganga kulla siku pishi nne za mchele na rupia moja 
Kitoweo. na watu wanaomngojea mgonywa imelazimu kwake, mwe- 
Ni vi ngoma, kuwapa chakula hatta ngoma imekwisha. 
wakapiga ngoma siku sab'a, na mwenyi ngoma akawapa watu 
<< hakula, akatumia fedda nyingi. hatta siku ya mwisho ya ngoma 
Nwakachinsha mbuzi, yule mgonvwa akanywa damu ya mbuzi. aka- 
Pigwa na kilemba cha namna tatu, cheupe na chekundu na cheusi, 
<“akavikwa na jumla ya vyombo vya fedda yule mwenyi pepo. mganga 
akatuzwa!!) na watu jumla ya mapesa, na mumewe akatuza mchele. 
ma inapopigwa ngoma hufukizwa na mafusho, ikaimbiwa na nyimbo; 
wnganga akaambia na maneno — hayajulikani mwanzo walla mwisho 
ya maneno hayo. 
marra yule mgonywa akatikisika!?), akesha akanguruma. khatima 
akaulizwa na mganga wake: ,wewe ndio mrimagaro 3)?“ akamjibu: 
vMimi ndio mrimagaro, natoka jangwa kuru!f), kapita?) juu kwa juu, 
1) ramli. "J) ar. schen. 9?) ar. Aether, Astronomie. 1) ar. Krankheit. 
>) Bezeichnungen fiir die bosen Geister. 9) Raucherwerk, gebrauchlicher 
ist manukizo oder mafukizo. 7) Oualm, Rauch (von der gekochten 
Arznei). $) kleiner Topf. 7?) einen bosen Geist aus einem Kranken durch 
Zauberei vertreiben. 9) ar. Frist, Zeitraum. '!) tuza beschenken. 


12) Schiittelfrost bekommen. 5) wohl mit Kilimanjaro zusammenhingend. 


4) kuu. ?) nikapita. . 
Aa 


vu maengaengani kama wingu la mvua.” mganga akamambia: ,toka, 
uende zako, wacha manamke huvu.“ akatoka akenda zake na mwa — 
namke akapona. 

mganga akakamata fedda zake reale “asherini na moja, akakamata ms > 
mareale manane, alizotuzwa akakamata, na mikeka iliyofanyiziwa ngoma, 2 
na sahani zilizofanyizwa ngoma, na mkate aliofanviziwa pepo, na chano> g 
kilichofanyiziwa pepo, na nguo alizovaa mgonywa, na yule mbuzi | 
mzima alivokwisha chinshwa, aliyokunyvwa damu vule mgonyvwa, la 
nyama huchukua mganga; jamfei ya vitu hivi huchukua mganga. n222 
wapiga ngoma wakapata rupia tano katika siku sab'a, na mpiga zomarz 
akapata rupia tano pekevake. 

hio ndio asili ya pepo kama imeandikwa katika hadithi hi, nza 
gharama! za waganga kama hizo tulizoziandika. 

na namna za pepo nvingi, kama pungwa, dungumaro, umundi£> Ya 
mshakini, kitimili, lewa, kasia. kimbagwi. cha ngombe tali, kigwars —m yr 
kumbura. kigala, kisomali, kipita, kokolai, kaputa, kitanga. 


Mwenvi Gogo bin Mwenyi Mbes Yo 
aus Kichwele bei Daressalaam mr am 


par, Unkosten, Gebiihren. 


asili ya uchawi. 


huwa mtu moja mwenyi mali, akapata chakula kizuri, akap———Data 
nguo nzuri, akapata na mabali pa kulala pazuri, ana watumwa wo miva- 
zuri, ana na fedda nvingi nyumbani, ana na mkewe mzuri, na jir ani 
wakajua khabari ile, ya kama mtu huvu ana vitu hivi. wakafanye—<iza 
shauri -— ya kuwa: mtu huvu anajivuna sana, bassi afadali tumwoe 3! 
apate kuugua, apate twabu?, na mkewe atoc fedda vawape watu ku——24m- 
tanyvizia dawa mumewe, na watu wapate kutumia zile fedda.” 

wakenda wakamwoga vule mtu hatta akaugua. marra mke We 
akenda kuwaita hawa watu hasidi? watanve dawa vao ya uchawi. na 
dawa ya uchawi ni hivo: akisha kufa mtu huzikwa; kwa siku ya —WERtU 
wale wachawi huenda wakamchimbua katika yaburif vule mtu alim yo- 
zikwa. wakamchukua wakenda wakamkata mwituni, kulla mtu akat Sia 
sehemu? vyake ile nyama ya mtu. wakatwaa na miti waijuavo, Ki ula 


Waoga duroh Zaubergiit hezaubern, 7 ar. Miihe, Beschwerde, Sorge, F 
. “ . . ( 
YU an Naidiseh, War Grab, ar, Antheil YI 


105 


Mtu akachoma nyama yake, na miti wakachoma; nyama ya mtu 
ikaungua na miti ikaungua, wakachanganya wakaweka. 
na wanapotaka kumwoga mtu — humvizia hatta anapotema mate, 
Wakatwaa yale mate, wakatia ndani ya vyungu vyao pamoja na ile 
dawa, wakachanganya yote garibu na lile gaburi ao panapo miti mi- 
zubwa, wakachimba ile dawa papale. 
akaenda yule manamke kumwita mchawi akamambia: ,tataddali 
mipungie mume wangu, ntakupa ijara!) yako.“ wakapatana ijara, wa- 
< afanya kwanza ngoma. mganga akamambia mwenyi pepo: ,nenda 
mbio mpaka mwituni ukaanguke chini vya mbuyu.“ akafanya vivi 
mivi, wakamkomoa, akarudi nyumbani. 
aliporudi nyumbani, mganga akalala chini ya mlango; yule 
mngonywa akamkanyaga, akaingia nyumbani mwake, akenda kulala. 
hatta kwa siku ya pili asubuhi akaja mganga, akamchanja mgo- 
nywa chale thelathin na wembe, akamtia dawa ndani. wakafanya 
ngoma siku kaza wa kaza, hatta siku ya mwisho pepo alipojaa tele 
kichwani akaulizwa na mganga: ,nani wewe mlimagaor“ akaitikia: 
heka", na maneno yake yote ya kimassai?). akanywa damu ya mbuzi 
yule mgonywa, akaondoka khalafu yule pepo. na watu wakacheza, 
wakazunguka waanawake na waume kwa ngoma na zomari. waka- 
cheza kwa furaha na kelele, wakapakaa na rangi moja, jina lake ngeu, 
nyekundu sana kama damu, huchanganya na samli, wakapaka toka 
kichwani hatta miguuni. na yule mgonywa pahali po pote anapo- 
kwenda siku ile wakamambia ,mkuu wa pepo.“ 
kiisha toka yule pepo mganga akawambia watu: ,lazima ba'ad 
va mwaka mmoja kufanya ngoma siku sab'a tenna na kunywa damu 
ya ngombe; baad ya miaka miwili mitatu lazima ngoma ya siku sab'a 
na kunywa damu vya njiwa; baad va hivo si lazima tenna kufanyiza 
ngoma. 
akaondoka yule mchawi, akachukua ijara yake na vitu vyote 
alivyovitaka kwa yule mgonywa. na mali hivo alivochukua yeye na 
wenziwe pamoja na gharama ya ngoma na vyakula vya watu yalipata 
zavidi ya rupia miten. 
hio ndio asili ya uchawi, na watu hufanya leo vivi hivi. aki- 
ugua mtu husema ,ameugua sababu ya uchawi, haponi — ila kwa 
kugeuzwa na mtu mchawi kama yule aliomwoga.“ 


Mwenyi Gogo bin Mwenyi Mbegu 
aus Kichwele. 


ar. Lobn, suah. ijara und ujira, 7) die Zauberer reden bei der- 
gleichen Proceduren ein Kauderwelsch, das weder die Anderen noch sie 
selbst verstehen. 


166 


Mabanyani!) na pepo. 

Yalikuwa zama moja gabla ya miaka thelathin na mitano Banyano 
moja Djiwa, alikuwako katika Kaole?). 

wakinena Banyani — ya kama: ,watu wa mrima waongo, wana Aa. 
taka kula mali ya watu tu, hakuna pepo.“ 

baada ya siku kumi na mbili alichukuliwa usiku, akatolewa ka- mza. 
tika nyumba min gher”) ya mtu — huyu Banyani Djiwa, akend: £- Jd. 
mwenyewe mwituni usiku, akapanda juu ya mti min gheir ya kujua; ya 
na ule mti jina lake mbuyu. akakaa siku tiss'a ndani ya Ule Mm mti 
wakataka kumkamata wenziwe Mabanyani — asipatikane. 

wakesha hila zao, wakagubali na Banyani, kama kweli hagiga mw 4) 
kwa suaheli?) wako pepo. Mabanyani wakatoa reale khamsin, waka. 
wapa madiwani; wakaweta waganga wakapewa waganga reale kuna—,j 
wakakusanya ngoma katika mji wakapiga, wakapiga siku kucha ha tra 
asubuhi sa“a mbili — wakamwona Banyani anakuja, akacheza, kava —maii) 
nguo za mlangamia), kapiga?) kilemba va mlangamia. 

alipofika uanjani, wakamgaribisha kwa maneno ya pepo, wakanz——1p, 
mchuzi wa kuku — akanywa, akapewa na nyama ya kuku — ak aAjy 

waketwa?) Mabanyani katika mji, wakaambiwa: ,mambieni ndt 29; 
yenu maneno ya kibanyani.“ walipomambia maneno ya kibany anj 
asifaham 10) hatta moja, akawacheka; na yeye akanena kwa maneno ya 
kishenzi, na ndugu zake Mabanyani wakacheka. 

khatima waganga wakamuliza wakamambia: ,tukukomoe!!), uta- 
lala hapa ao utakwenda mbuyuni“ vule pepo akasema: ,ntakwenda 
mbuyuni.“ wakapiga ngoma, akakimbia yule Banyani na pepo yake 
kichwani, akenda mwituni katika mbuvu wake. 

wakagubali Mabanyani wote kama hagiga pepo yupo katika 
Afrika. wakatoa gharama ningine reale saba'in, wakafanyiza ngoma 
siku tatu. siku ya tatu wakamtega yule mgonywa na ndizi. alipokuja 
akaona zile ndizi, akenda akatwaa ndizi, akala; na mtu amejificha na 
maji garibu vyake. maira aliposhika tenna ndizi, wakamwaya maji 
yule Banyani — pepo akakimbia, akatoka. akaanguka Banyani, aka- 
pewa dawa, akanywa, ikarejea “agili yake kama kwanza. ndipo wali- 
posadigi Mabanvani, kama pepo va Kinvamkera mkali sana ?). 

Mwenyi Gogo bin Mwenyi Mbegu 
aus Kichwele. 

') heidnische Inder. 7?) Dorf siidi. Bagamoyo. $jar. ohne. ar 
Wahrheit. ?) besser waswaheli. S)akavaa. 7) nach Banyanen Art. #Jaka- 
piga. “) wakaitwa. 9) ar. verstehen. ') bosen Geist austreiben. 7) der 
Erzihler musste am Ende secincr Erzihlung selbst lachen, dass es deh 
schlauen Suaheli gelungen war die Banyanen um so viele Realen zu be- 
trugen und auf Kosten ihrer Dummheit sich zu amisiren. 


167 
Masiala'!). 


I. 


Aliondoka mtu asafiri?). alipofika njiani, pana .mti na ndege 
igi. akatoa ,salaam 'aleikum, ndege mia;“ na wale ndege wakapo- 
, wakasema: ,sisi hatukutimia”) mia, twataka kama sisi, na nussu 
sisi, na robb'o ya sisi na wewe uingie, ndipo tutimie mia,“ 

ma'ana: hao waliokuwa hapo mtini walikuwa ndege sitta Uu the- 
ini; na sitta uU thelathini na themintashara na tisa na mwenyi 
pa salaam — wakatimu mia. 


II. 


Masiala ya pili — ni mtu hawezi mgongo. watu wakenda tazamia 
ongo kwa wa'fallimu; wakaona sadaga ndimu moja. na mdimu 
, lakini u kattikatti ya kisima, tenna una mtu juu amlinda, nazo 
iuzwa, nazo haziombwa, na ukaomba hupewi. wafanvaje hatta 
zaipata? 

aitakaye afuata kwa kuondoa kuchukua jiwe, ukampiga mlezi 
'o juu ya mdimu. jiwe atalipisha kuona oga kupigwa, naye atatunda 
mu, atampiga yule aliyotupa jiwe; ataokota ndimu, aende akaagulic?) 
ongoye?). 


HI. 


Watu wawili, mmoja mtu wa Mugeta Mapasa na mtu wa pili 
a Pangani, wakaonana barrani pia. walipoonana wakafanya shirka?) 
bida“a?), wakanunua samli mannif) manne. baada ya mali hiyo 
yana zaidi pia. 

wawili wakashuka kuja pwani, na katika samli katika kibuyu 
a manni nane kitele, pana kibuyu cha manni tano kitupu, na ki- 
ru cha manni tatu kitupu. hatta walipofika mbele pana njia mbili, 
ja ilienda?) Mugeta na moja ienda Pangani. wataka wagawe samli, 
a mtu ende kwao, napo nyikani, hapana mji garibu. 

wagawaje, killa mtu akapata zake manni nne, na kibuyu cha 
nni tano kitupu na cha manni tatu kitupu, kugawa kwao? 

kugawa kwao: auwali wapima kibuyu cha manni tatu tele, aka- 
kibuyu cha manni tano, na katika iliyosalia buyuni manni tano. 


D ar, Fragc, Problem, 2) anasafiri. 3) ar. vollenden. f) irztlich be- 
deln. ?) mgongo yake statt mgongo wake. $) ar. Gemcinschaft. "ar. 
are, ?) ungefahr 3 Pfund. 7) inakwenda. 


168 


akapima tenna na kile kibuyu cha manni tatu, akatia mle buyu la 
manni tano, mkiingia manni mbili; ile ya tatu ikabagia moja, katika 
buvu jingine mbayi manni mbili. khatima tenna ile iliyomo katika 
kibuvu cha manni tano, 'ikatiwa kibuyu cha manni nane, mlimo manni 
mbili. tenna ile manni iliyosalia kibuyu cha manni tatu, kaitia kibuvu 
cha manni tano. tenna akapima manni tatu, na kile kibuvu cha 
manni tatu ikatiwa kibuyu cha manni tano, na manni moja zikawa 
nne; kibuyu kwa manni tatu kikavunjwa. kulla mtu akenda kwao. 


Diwani Mamgola bin Diwani Mgola 
aus Gubiro. 


IV. 


Nataka kuuliza katika watoto watatu, wana rangi tatu; mtoto 
mmoja mtumwa, tenna mwana wa haramu!); na mtoto wa pili mung- 
wana, walakini mwana haramu; na wa tatu mungwana, tenna mwa- 
na halali?) na baba moja mama moja watoto hao. nawauliza 
ma'ana yake” 

ametokea mtu mmoja ana watumwa wake mjakazi na mtwana, 
huja wakizini yule mjakazi na mtwana, huzaa mtoto, cmekuwa mwa- 
na wa haramu, tenna mtumwa. 

huandikiwa yule mjakazi na mtwana wakiwa huru3) — waung- 
wana; wakizini wakizaa mtoto mwana haram, walakini mungwana. 

bana wao akiwaoza, akiwafanyiza nikaha?), mwanamke aka- 
chukua mimba, tenna akizaa mtoto — mungwana, naye mwana halali. 
ndio ma'ana yake; uwongo ao kweli? ni kweli kabisa. 


Merere bin Kawamba Mshale 
aus Vikindu. 


ar. unerlaubt. ?) ar. crlaubt. Ji ar. frei, f) ar. Ehe. 


Druck von Albert Damcke, Berlin SW. 12.